ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
ALIYEENDA KWENYE MKESHA wa MWAMPOSA AKUTWA AMEKUFA ARUSHA AKIWA ANATAPIKA DAMU MDOMONI....Global TV Online
มุมมอง 79K
เลือกยากจัง Ep.2 #แป๋มวัดดวง #freefireแป๋มวัดดวง
มุมมอง 83K
เจ๊เอ๋ จัดหนัก เงินดิจิทัล | สำนักข่าววันนิวส์ข่าวช่องวัน
มุมมอง 1.1M
MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA DART AWAMU YA TATUDART TV
มุมมอง 7K
LIVE: SIMBA DAY UBAYA UBWELA, KWA MKAPA KUMEFURIKAMillard Ayo
มุมมอง 309
#breaking "MAKONDA" MAJONZI NA MACHOZI VIMETANDA PIGO KUBWA KWA TANZANIAYuhai media
มุมมอง 78K
🔴LIVE: Kuapishwa kwa Rais Mteule wa TLS Wakili Boniface MwabukusiWAKILI TV
มุมมอง 188
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIANPASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
มุมมอง 65K
🅻🅸🆅🅴 : RAIS WA TLS WAKILI MWABUKUSI ANAAPISHWA MUDA HUU...JAMBO TV
มุมมอง 430
Umati wa MWAMPOSA wamshangaza RC CHALAMILA,afunguka MAZITO ''kama ni UCHAWI ata mimi usingenifikia''Simulizi Na Sauti
มุมมอง 59K
Help Barry And Barry Woman Scan PrisonersGarri Creative
มุมมอง 1.5M
แมนเชสเตอร์ ยูไนเต็ด 3-2 เรอัล เบติส | ไฮไลต์เกมอุ่นเครื่อง ปรีซีซั่น Pre-Season friendliesbeIN SPORTS Thailand
มุมมอง 516K
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn佐助与鸣人
มุมมอง 1.7M
เจ้าผู้เดียว - ดิด คิตตี้ [OFFICIAL MV]ดิด คิตตี้ official
มุมมอง 380K
EP.1 กำเนิดทายาทแจ็คแฟนฉัน "น้องคากิ"Jackfanchan
มุมมอง 171K
We Built 5 Secret Rooms w/Traps Chucky Can't Find!SpriteDer SPD
มุมมอง 4.1M
หมานแต่ผัวเขา - แสตมป์ โตเกียวมิวสิค [ OFFICIAL MUSIC VIDEO ]โตเกียว มิวสิค
มุมมอง 138K
Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele
Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉
Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤
Nomaa halafu saana😂
Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you
MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED
Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤
Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja
Akili kichwani
@@ujenziimaratv1192unauhakika
Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana
Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏
Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa
Kijana kbs
Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂
Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana
HHHH NDIOOO_🤦🏿♀️
Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu
Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet
hahaha
@@salumsiraji-ou3uo yeah
Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana
Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia
Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki
😂
😂😂
MGANGA!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
na ww ukawe mganga ili na.ww ujulikane afrika
😂😂😂 umepiga panapouma
Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki
❤❤❤
Aswaaa!mwacheni Mwamposa afanye kazi ya MUNGU,AMEBARIKIWA SANA!
Kabisaa,alikuwa anatangaza matangazo yake mosh akiwa na kirikuu kidogo ,na spika 3
Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌
Aminaaa
Ss mwamposa si mganga km waganga wengine wa jadi,huduma za mwamposa ni za kishilikina km ni MUNGU ata ww unawez kuomba ukaskika, pia ukisema yy katumwa na MUNGU ndo tyl ww ni mfuas wa mganga😂
Ameen
@@msafirimaulidi5054Kuma ww acha makasiriko
Amen
Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.
Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb
Mwamposa bado ni kijana
Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa
Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele
Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God
Umeona eeh 🎉🎉🎉
Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana
Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba
Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia.
Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo ....
The nan is humble,
No show offs, proudness.
He only says It si the hand of Almighty
God.
Text me on whatsApp
+255753694154
mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤
mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika
😂😂
Hapo hakuna zuzu ila wew ndo zuzu. Uctukane mamba kabla hujavuka mtooo
Ww ni zz namba moja halafu ss wengine tunafatia
nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu
Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!
usiende baki unapoona pana mungu msije wengi tukakosa nafasi 😂
Haja❤!!
@@Leeeeeeee-96 mkiwa mnachomwa moto uwe una wahi viti hvy hvyo sw 😂😂
🤣🤣🤣🤣nimecheka yangu yote
ni kweli
Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno
🙏🙏🙏🙏 Amina
Amen
dyness upo
@@hendrylema5640 nipo kabisa
Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like
Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho
Kwahyo mwamposa ndiye baba ako wa kiroho acha kumuudhi mungu wew
Huyu muhuni tuu , hana utumishi wowote
Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina
Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa
Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.
Ameniiii
Ukweli ambao watu wengi hawautaki
Kabisaa Kabisa Hawajui Kumwamini Mungu
Kwani wale walio kwa mwamposa awajampokea yesu na je kanisani kwako waumini wote wameokoka
Nikweli huo ni muujiza mkuu saana kuzidi muujiza yote
Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤
Mtume feki😂
@@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki
@@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA
@@IsaackPaulo Tatizo hamna maarifa yale Mafuta anayouza ametolea wapii
@@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu
Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima
Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4
Aliemtoa ugumba ni mungu au mwaposa😅
@@Wakwehapa ndio watu wanapo mkosea Mungu
Weuweeee🎉
kweliiii
Nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho yako mungu azid kukuweka mtumishi wamungu
Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani
Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏
Mtume ni handsome🥰
Kabisaaaaa
😂😂😂😂
Ama kwel ndo maana yesu hakuoa😂
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤
Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe
Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.
100 lwa 100 nimtumishi wa mungu kazi inajiziilisha asiyeamini atajiju
Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤
Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo.
Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza.
Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu
@@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure
Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu
@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho
Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako
@@benardbonephace4896 safi sna
Umenena vema kabs udugu
Ameeeeen
Utukufu kwa YESU
Mungu aendelee kukulinda, kukutunza
Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.
Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.
Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️
Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini.
Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.
Unamfananishaje Yesu na binadamu we mpumbavu
Good point acha wabeze tunafaidi tunaoelewa
Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du
Amen
Laana unayo ww@@barutiabuu9492
Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume @@barutiabuu9492
Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu
Might God enich you with more wisdom Apostle
Mathayo 7:21-23
[21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
[22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
[23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
Nimependa alivyomuwai muandishi kusema anayetenda ni Mungu yaani hajataka kupokea utukufu yeye, kibinadamu ni ngumu kumuelewa mtu akifanikiwa kiwango hiki "utasema kweli ni mahubiri tu au kuna kitu nyuma?" kuna muda tukubali kumuacha Mungu ajuaye na ndio atahukumu kwa haki tusiwaseme vibaya hawa watu wa Mungu, kwani sisi tunaokosoa tunafanya maovu mangapi? Nani anainuka kukuhukumu? Mana ni Siri yako, aliyeelewa nasema nini naomba like
Kabisa❤❤❤
Umenena vyema mno🎉
Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata
Na wewe si uanze kuwakamata
Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii
Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂
@@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili
Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU BONIPHACE MWAMPOSA
Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko
Ujumbe mzuri
Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️
Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.
Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako
Uumwamini usimwamini hayo ni yako,huyo ndo baba yetu wa kiroho,asante mungu kwa zawadi hii ya pekee
Mungu akuongesee miaka mengi kutuudumia naamini maoombi yuko mtume
Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu
Be blessed man of God
Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana
Mimi naamini Kila kitu ni MUNGU anapanga.wasaidie watu na kuwaponya.tunakuombea miaka mia zaidi ya UTUME🙏
Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.
Hongera ongeza juhudi
Nakupend sana mtumishi ,pale kwa baba yangu kuna mbwa wetu akawa hazai akawa na miaka miwili nilipo kuja hapo kanisani kuchua mafuta na maji ya upako nilipo enda kumwagia akabeba mimba sasa anawatoto 5
Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤
Hallelujah!
I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..
Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako
Ambao hawamuamini mwamposa shauri yao mana huwezi kumlizisha kila mtu sie tuliopona magonjwa nakuinuka kiuchumi acha tusonge mbele na baba yetu wa kiroho
Ungeuliza kuhus mke na watt na familia yake🙌🙌au ulikuwa unaogopa muuliza maswali🤷♀️
Na kuhusu hzo shutuma za kudai anatembea na baadhi ya wasanii
Tangu sinza ngumbani kwa mtu tunafanya ibada mwacheni❤❤
KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐
Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu
Arise and sheni
Amekuwa tajiri kuliko Waumini wake. Dini hizi tuwaachie wenyewe waliozileta😂😂😂😂
Ameni mtumishi wa mungu na mungu Azidi kukuinua tunakupenda waumini wako🎉
Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God
Noted
Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.
Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe
Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa
Mama angu amepona kisukari,BP namshukuru sana huyu pastor
Bora mwamposa ndo awe DC wa ubungo 😂
Hakuna kanisa lenye wababa kama kawe
Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe
Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉
mungu akuwekee mtumishi wetu amen 🙏
Nakuerewa sana mtumishi ubarikie kwa uduma
Nakupenda sana mtumishi wa mungu mwamposa naomba mungu akulinde miaka mingi zaidi ili tuzidi kupona ubalikiwe sana mtumishi wa mungu mwamposa 🙏🙏🙏🙏
Hata sauti yako tu inajieleza kwamba umetumwa na mungu respect baba wa kiroho
Amen Apostle Mwamposa
Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki
Dingi mimi nimsela haswaaa''' ila Mwamba hugu asikwambie mtu,, Mwamposa kaitwa na Mungu'
Eee Yesu wakumbuke watu wako muokoe na mwamposa akawe ushuuda atoke aliko.
Amen apostle ❤
MUNGU AKUBARIKI SANA MTU WA MUNGU .
KWA NEEMA YA MUNGU YOUR TO🎉
Ulijaza watu kwakweli duh ❤😂
Tunao kuelewa wacha tukuelewe wasio kuelewa pia wapee muda one day wata kuelewa maana hata mimi sikuwa nakuelewa ila muda wa Mungu ulipo fika nilikuelewa bila kipingamizi coz upo tofauti sana na manabii wengine hasa wenye umaarufu. Huna sifa hujisifu unafwata sheria za biblia unakemea dhambi unatoa muda wa maombi na unakumbusha kuomba kila siku japo mala 3 kwa siku why nikuchukie Mwaisa mwenzangu mie nakupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉