MASANJA na OSCAR NYERERE WAMUACHA RAIS SAMIA HOI KWA VITUKO VYAO...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ธ.ค. 2021
  • MASANJA na OSCAR NYERERE WAMUACHA RAIS SAMIA HOI KWA VITUKO VYAO...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 259

  • @khadijalambo2138
    @khadijalambo2138 2 ปีที่แล้ว +32

    Lugha ya masanja sijaipenda wangapi wamechukizwa na lugha ya masanja,like nyingi

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 2 ปีที่แล้ว +7

    Kubwa jinga as person..
    Sio kwamba ukiwa na jeshi imara na vifaa vya kivita vya kisasa ndio tupigane ..
    Lilivyo jinga hili chawa halijui jeshi letu limefanya operations nyingi za
    peace keeping .Congo,Juba South Sudan, Comoro.e.t.c

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya7349 2 ปีที่แล้ว +64

    Nchi hii kuna uzandiki, unafiki, ufala, ushenzi na upumbavu wa hali ya juu mpaka kwa watu na ndevu zao!...

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937 2 ปีที่แล้ว +36

    Yani masanja kwa kujipendekeza anayaweza🙌🙌🙌

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 2 ปีที่แล้ว +4

      masanjaa mnafikiii sijapata onaa

    • @ramayonline2281
      @ramayonline2281 2 ปีที่แล้ว +4

      Mwenzako siku inaingia na anajitengenezea fursa

  • @ukumbushoadam5691
    @ukumbushoadam5691 2 ปีที่แล้ว +4

    Hii nchi inavijana wa Hovyooo sanaaaaaaa ety
    Dah Jpm baba endelea kupumzika kwa Aman

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 2 ปีที่แล้ว +13

    Huyu Mzee Nyerere ni hatariii... 😂😂😂

  • @hamadrajab8042
    @hamadrajab8042 2 ปีที่แล้ว +7

    Miaka 60 ya uhuru, nchi imeoza, watanzania hayupo huru, nchi haina democrasia, wala haki za binaadamu, huduma za jamii, vyombo vote va dola vinazidi kukandamiza raia maskini wa Mungu, WALA HUNA PA KULILIA.

  • @mohamedabdirisak3940
    @mohamedabdirisak3940 2 ปีที่แล้ว +7

    The video is hanging after very 5 or 6 seconds wasafi plz considers on that ndugu yenu from 🇸🇴

  • @fredymwanzi4448
    @fredymwanzi4448 2 ปีที่แล้ว +10

    Eti vifaa vya jeshi vinanuliwa havitumiki,kwamba tupashe na Rwanda-huyu Masanja ana akili kweli

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 2 ปีที่แล้ว

      Ni comedian boss mchukulie poa

    • @josefinajemsi1726
      @josefinajemsi1726 2 ปีที่แล้ว +1

      Nimaraya tu huyu Masanj, uenda siasa analeta mahubuli

    • @rizikinasetsi4155
      @rizikinasetsi4155 2 ปีที่แล้ว

      Hapo amechemka kusema tutest vifaa vya Vita eti vifaru mnhh

  • @chikuabdallah9950
    @chikuabdallah9950 2 ปีที่แล้ว +3

    Yan siamin kama masanja nimnafki hivo duh

  • @farouqbanda8656
    @farouqbanda8656 2 ปีที่แล้ว +6

    Bro hapo kwa mazige ulizingua. Wakenya wapo hapo. Uongozi haizuii maradhi wala nzige hivu kesho itakuaje?

  • @thomasmpemba4161
    @thomasmpemba4161 2 ปีที่แล้ว +1

    Alie mpa maiki Masanja mungu anamuona

  • @dbarrik4108
    @dbarrik4108 ปีที่แล้ว +1

    ...kuna maneno mabaya masanja amezungumza anatakiwa kuwa arrested!

  • @benedictomwangoka7425
    @benedictomwangoka7425 2 ปีที่แล้ว +1

    Madudu, mafunza na matakataka yamefanywa na masanja mpaka unafiki wenyewe umemkataa... Maisha marefu kwako mama Samia Mungu ndie ukujuze kweli katika uongozi wako achana na izo kelele za masanja

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 2 ปีที่แล้ว +2

    magufuli hakuweka sherehe hizi za kipuuzi hakuzitaka😢😢😢🇹🇿🇹🇿

  • @strong8534
    @strong8534 2 ปีที่แล้ว +4

    What kind of video is this??

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 2 ปีที่แล้ว +2

    Nice Love you

  • @kentkihongole8235
    @kentkihongole8235 2 ปีที่แล้ว +7

    Masanja bwana yesu akuponye

  • @aginiweyessayakyando1885
    @aginiweyessayakyando1885 2 ปีที่แล้ว +4

    Penye kutest vyombo hapo mm ndio macho..🙄🙄🙄

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni Tanganyika tu sio Tanzania.

  • @ramahanijuma599
    @ramahanijuma599 2 ปีที่แล้ว +5

    Acha unafiki unampamba bule

  • @baghary1official879
    @baghary1official879 2 ปีที่แล้ว +2

    Masanja Kuma yako

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 ปีที่แล้ว +1

    Tutest na kagame daaahhhhh kazi kweli kweli huko kujipendekeza hulo

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 ปีที่แล้ว +5

    Manzigee tunayaskia huko kwa wenzentu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha kujipendekezaaaaa 😏😏😏

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 ปีที่แล้ว +12

    Kapashe Vita kwenye ukoo wako nyumbu wewe. Unaifahamu Vita wewe? Tunafurahia Amani na silaha hatuzijui. Nyumbu mkubwa. Eti mchungaji. Unachunga nini?. Ninaomba watu wa protocol wawe wana edit mambo ya kutapikwa na washenzi kama hawa. Hawafai.

  • @emanuelkinoko9126
    @emanuelkinoko9126 2 ปีที่แล้ว +3

    Eti mchungaji, punguza kujipendekeza!!!

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa9830 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmekaa na suti zenu na ombaomba wako mtaani afu mnasema Uhuru

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 2 ปีที่แล้ว +3

    Aaah mbona watu mnakua wanafki hivi tena mtumishi ?

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 2 ปีที่แล้ว

      masanja akili yake inaludi nyumaa yani nimnafikii

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 2 ปีที่แล้ว

      @@athumanimhanga2053 brother katika kitfuta ugalii lazma ujitoe akili,na anajua ukwelii

  • @tintz1453
    @tintz1453 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaaah watu n n wanafikii aseeee khaaaaaaa pesa hizi , huyu naye anaongea kijaluo cjuw nani kamwmbia amepatia, Masanja n mnafiki bora hat babalevo.

  • @papafikiri
    @papafikiri 2 ปีที่แล้ว +1

    Oscar sawa lakini Masanja hapana

  • @hussein0757
    @hussein0757 2 ปีที่แล้ว +2

    Duh uyo oscar ni hatar sana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 ปีที่แล้ว +8

    Kutest vyombo kwa Kagame mmmm??????😰

  • @ntyukatv3852
    @ntyukatv3852 2 ปีที่แล้ว +1

    Msanja kachemsha anasema ndani ya miaka 60 hakuna vita amesahau Kuwa kulitokea vita vya idi Amini baina ya Uganda na Tanzania

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 2 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri !

  • @monalisalebasoto2538
    @monalisalebasoto2538 2 ปีที่แล้ว +2

    Masanja chawa wa maraisiii

  • @ayubutwalibu2381
    @ayubutwalibu2381 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli

  • @iam_paul3279
    @iam_paul3279 2 ปีที่แล้ว +24

    Masanja mnafiki sana huyu jamaa , anajipendekezaga hatari

    • @msetikebwasi7270
      @msetikebwasi7270 2 ปีที่แล้ว +3

      Na hili ninalo liona hapa ni fundisho sana ,kumbe mchongo ni kupambiana tu .

    • @josephatjordan5560
      @josephatjordan5560 2 ปีที่แล้ว +5

      Ukijifanya mjinga ndio utafanikiwa !!hiyo n moja ya akili cz kesho yake anaiandaa 🤛🤛

    • @iam_paul3279
      @iam_paul3279 2 ปีที่แล้ว +3

      @@josephatjordan5560 katika maisha jitahidi uwe na rangi moja na sio mbili , utafanikiwa . Watu wakisha kusoma unabadilika badilika km kinyonga utaishia kupiga debe tu. Trust me

    • @fzafza6746
      @fzafza6746 2 ปีที่แล้ว +3

      @@iam_paul3279 Sio kweli ukweli ni kwamba katika MAISHA unatakiwa uende na Hali ya MAISHA inavoenda ili kijikidhi na kujiokoa binafsi lazima uende na upepo

    • @msetikebwasi7270
      @msetikebwasi7270 2 ปีที่แล้ว +1

      @@iam_paul3279 Na hii hali ya kubadirika badirika ndo inayo lirudisha taifa nyuma .

  • @christopherngunwa9522
    @christopherngunwa9522 2 ปีที่แล้ว

    Nihatari sanaaaaaaaaaaa,

  • @michaelnkamba9872
    @michaelnkamba9872 2 ปีที่แล้ว +4

    Chawa wa Marais kwenye ubora wake😅🤣🤣🤣

  • @zakariamnzavas7260
    @zakariamnzavas7260 2 ปีที่แล้ว +2

    Eti mungu anatueshim wewe ninani ushimewe na mungu eti mchungaji

  • @innocentnmanyasi4750
    @innocentnmanyasi4750 2 ปีที่แล้ว

    Lkn ihii nchi iv Nan alitufikisha hapa? Mbona sielewi

  • @tozyalex2289
    @tozyalex2289 2 ปีที่แล้ว +1

    Munaenda na upepo nyie vilaza kipnd cha Magu ulipayuka kw kumusifia xx hv umehamia hku

  • @luganoamosi6416
    @luganoamosi6416 2 ปีที่แล้ว +1

    Massanja Vita ya entebe uganda ,jinja ,kagera umesahau mkuu

  • @seniorprophetisaackmtawala9080
    @seniorprophetisaackmtawala9080 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp 2 ปีที่แล้ว +1

    Njaa mbaya sana🥱

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri4690 2 ปีที่แล้ว +2

    Chawa aliye bobea

  • @ayubukhamis8673
    @ayubukhamis8673 2 ปีที่แล้ว +2

    Oscar wew ninoma hatar San unajua.

  • @martmstarabu4252
    @martmstarabu4252 2 ปีที่แล้ว

    Mko vizuri mnooo

  • @hallin9561
    @hallin9561 2 ปีที่แล้ว +2

    Namkubari sana masanja lakin Kwa huu UCHAWA wake mi ananikera kwakwel,, kujipendekeza kumezud,, Njaa utoa akili

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa hapo kichwa cha samia anajikuta anajua sana kumbe hamna kitu rais gani hajui kuwa mungu yupo hovoooo kabisa

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 ปีที่แล้ว +1

    WEWE KWELI UMEISHIWA UYU NDIO YULE MASANJA WA MIRADI

  • @everever2807
    @everever2807 2 ปีที่แล้ว +1

    ww nae nakupenda kukusikilza lkn kwa utumbo huyu mama ananni hasa mambo yke ovyo hana lolote juu ya hhi nchi

  • @mrgardendesignerluta4667
    @mrgardendesignerluta4667 2 ปีที่แล้ว +5

    Ebu Tubadilikeni jamani hivi watu Kama Hawa wameandaliwa kwajili yakuongea maneno ya kijinga mbele Rais eti mazige na magonjwa tunayaskia kwajilan ..😥😥Mungu Tunasamehe kwajili ya haya Maneno ya kufuru ..

  • @renathahendry8658
    @renathahendry8658 2 ปีที่แล้ว +4

    mungu wangu mbona vitu vya aibu jmn, yaaani ni aibuuuu, unafki tuuu

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 2 ปีที่แล้ว +6

    Ukiwa kwenye system lazima usifie kupitiliza, mchungaji halafu unapendelea sehemu 1

  • @anethteodos6208
    @anethteodos6208 2 ปีที่แล้ว +1

    cjawahi kukuelewa we mwehu😩😩😩

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 2 ปีที่แล้ว +1

    Good job masanja

  • @estermassawe1687
    @estermassawe1687 2 ปีที่แล้ว +2

    Mmmh km kweli nyerere

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 ปีที่แล้ว +2

    UNAWACHA KUONYESHA MIRADI UNAONGEA UPUMBAVU MTUPU

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 2 ปีที่แล้ว +3

    Toka huko 🤣🤣... Mbona utaki kukosoa

  • @simplissamba1943
    @simplissamba1943 2 ปีที่แล้ว +1

    masanja kumsifia uongo huyo mam nimejiskia vby sn

    • @lemausontz3513
      @lemausontz3513 2 ปีที่แล้ว +1

      Sio yeye shida Iko miguun angalia viatu kwanza😂😂😂

  • @amazingflowereducationcent8572
    @amazingflowereducationcent8572 2 ปีที่แล้ว

    hii inaleta maana gani kwetu masanja kavuruga sana kuwepo hapo maneno yake ni shombo tu hio ni sehemu ambayo pana viongozi wote wa nchi wamekusanyika na wengine kutoka sehemu mbali mbali za nje ya nchi tunawaonesha nini mi nahisi jambo hili pia linaashiria kua hatupo sirias kila mtu kazi yake ni kusifu tuh.

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 2 ปีที่แล้ว +1

    SAFI

  • @yohanamkaga5230
    @yohanamkaga5230 ปีที่แล้ว

    Eti ongea na Kagame tutest vyombo,🤣🤣🤣Tumbafu kwelikweli

  • @edwardrichard5071
    @edwardrichard5071 2 ปีที่แล้ว +1

    Ugari unatafutwa sana du

  • @aminially4456
    @aminially4456 2 ปีที่แล้ว +1

    Yani muungu anatuheshim sis i co weweeee

  • @cleverboy3812
    @cleverboy3812 2 ปีที่แล้ว +10

    Nimechukia sana hayo mabarakoa tunayovaa.. Tumekuwa watumwa wa wazungu sana.. Walioleta ayo mabarakoa sasa hivi hata hawayavai.. Kama unafuatilia mpira ligi za ulaya utaona mashabiki jinsi wanavyojaa uwanjani na hawana hata ayo mabarakoa...

    • @edigajoh5669
      @edigajoh5669 2 ปีที่แล้ว +1

      Wamechanjwa ndiyo maanahawavai

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwan samia hajachanja?hao wasaidzi wake hawajachanja?mbona full barakowa.

    • @edigajoh5669
      @edigajoh5669 2 ปีที่แล้ว +1

      @@eliaslazaro2809 nyie mnao enda hamja chanja Anaona Kama mtamuambukiza🤣🤣

    • @omaryshafii1284
      @omaryshafii1284 2 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli kabisa ndugu yangu yani ni utumwa wa kiwango cha lami

    • @mavoketv
      @mavoketv 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa sababuw mameshapata chanjo

  • @rutakihama3523
    @rutakihama3523 2 ปีที่แล้ว +3

    Hahahahahaha kupasha kidogo na kagame

  • @sanayamadaynah2427
    @sanayamadaynah2427 2 ปีที่แล้ว +2

    Woooow

  • @lydiathomas9689
    @lydiathomas9689 2 ปีที่แล้ว +2

    Unafki ni dhambi jamani

  • @paulosayale868
    @paulosayale868 2 ปีที่แล้ว

    safina charchr

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 ปีที่แล้ว +1

    mbona picha mchecheto 😆😆😆

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 2 ปีที่แล้ว +1

    mmmh uhuru wa Tanzania tena apo munatiwa changa tuu na ule Uhuru wa Tanganyika umeenda wapi wacheni kupotosha wa2 hakuna cha 60 wa nini maendeleo ovyo ovyo kabisa

  • @ramadhanseif703
    @ramadhanseif703 2 ปีที่แล้ว +2

    Video ipo hvyoo kinoma

  • @alphoncinaanatory4215
    @alphoncinaanatory4215 2 ปีที่แล้ว +1

    MASANJA acha unafki ckutegemea kama ungeongea hivo hamna point WORST WORST SPEECH

  • @graceakoako8748
    @graceakoako8748 2 ปีที่แล้ว

    Good sana

  • @sethwilson4346
    @sethwilson4346 2 ปีที่แล้ว

    Mungu anatuheshim? is this true

  • @benjaminsimon1496
    @benjaminsimon1496 2 ปีที่แล้ว

    Big up

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 2 ปีที่แล้ว +2

    Masanja ww unashida unataka tutest vyombo

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 2 ปีที่แล้ว

    Masanja we nj mtumishi wa Mungu ila kwa hili dah imenidisapoint sana

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 2 ปีที่แล้ว +4

    Hahaaaaaaaa tabia ya mtu haijifichi ukijifanya kuwa wewe ni wa kweli na sio utaumbuka, nahii ndio maana ya moyo kuwa mdanganyifu.

  • @festolucastv9701
    @festolucastv9701 2 ปีที่แล้ว +1

    tatizo ni kushek kwa vidio
    festooooos

  • @mutumankonge7555
    @mutumankonge7555 2 ปีที่แล้ว

    🇰🇪 with neighbors like 🇹🇿 do we need enemies 🤣😂

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha3042 2 ปีที่แล้ว +1

    Wamebugi sana wanochochea vitu vya ajabu

  • @annamduma4009
    @annamduma4009 2 ปีที่แล้ว +1

    Basi hapo soon utaskia anagombea ubunge na anapita

  • @phalesjoseph6604
    @phalesjoseph6604 2 ปีที่แล้ว +9

    Hamna ktu hapo masanja,, Najua unampamba mh.samia ila kiukwel mama samia toka ushike madaraka hakuna ulchofanya

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ndio huoni sisi ndio tuna ona mama anapiga kazi ndani ya miezi Minane wee baki na chuki zako hazitokusaidia

    • @amirlehao8945
      @amirlehao8945 2 ปีที่แล้ว

      @@jovovichmedia9424 kafanya nini kwenye hiyo miaka mzee

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j 2 ปีที่แล้ว

      @@jovovichmedia9424 vyote nivyamagufuli anamalizia 25 ndio aanze vyake sasa

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 2 ปีที่แล้ว

      @@user-po8hz7xw9j sio vya kikwete

    • @neemaruben5427
      @neemaruben5427 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 ปีที่แล้ว +4

    Masanja Mkandamizaji....kwa Kazi Nzuri unayoifanya Katika kuinua kwa Vipawa vya Wengine.

    • @osbrotherosbrother6891
      @osbrotherosbrother6891 2 ปีที่แล้ว

      kuna chawa hila huyu masanja chawa vip sana yani anataka kuwa chawa wa rais

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 ปีที่แล้ว

    Oscar Nyerere katisha aisee🙌eeh hiki kipaji

  • @EmanuelKiroshi
    @EmanuelKiroshi ปีที่แล้ว

    Amen amen

  • @angelinajohn7303
    @angelinajohn7303 2 ปีที่แล้ว

    Nimefurahi sana

  • @jenifersiwale8030
    @jenifersiwale8030 2 ปีที่แล้ว

    Masanja chawa mnafik mmoja wew shame on u🚶🚶🚶😏

  • @hdggu6792
    @hdggu6792 2 ปีที่แล้ว +3

    Masanja mungu anakuonaaaaa

  • @kibasiwakibasi5070
    @kibasiwakibasi5070 ปีที่แล้ว

    Aaaaaaaaaah masanjaaaaaa nawewe kakaa kweliii

  • @miaerny6609
    @miaerny6609 ปีที่แล้ว

    Kweliii huwezi kutumikia mabwana wawili

  • @aloimaray1769
    @aloimaray1769 2 ปีที่แล้ว +2

    Masanja chunga sifa zisi pite kiasi

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahha aongee nn na kagame??😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @debramacha2747
    @debramacha2747 2 ปีที่แล้ว +8

    Sijui nimesikia vizurii, kuwa Mungu anatuheshimu!! Mungu akusamehe, kwani hizo nchi nyingine Mungu hazipendi!! Ni neema tuu, usilewe sifa hadi kuongea upuuzi

    • @alimakame9215
      @alimakame9215 2 ปีที่แล้ว

      Nikweli kabisa kateleza

    • @abaspaundy8081
      @abaspaundy8081 2 ปีที่แล้ว

      True amekosea 😭

    • @edsonimkwama8745
      @edsonimkwama8745 2 ปีที่แล้ว

      Kuna kifungu kwenye biblia nilisoma kinasema ukimpenda MUNGU nakumuheshim ATAKUHESHIM SANA
      Hivyo sijajua nia ya masanja lkn yupo sawa kama alimaanisha hivyo

    • @rahabumwakajoka6721
      @rahabumwakajoka6721 2 ปีที่แล้ว

      Kwanza tutambuye ya kwamba huyo ni comedy ,tuache kuchukulia kila kitu silias,kaweka hapo ili achekeshe so no vema mno kuwasubiria viongozi wakiongea vya silias

    • @edsonimkwama8745
      @edsonimkwama8745 2 ปีที่แล้ว

      1samweli 2:30 Mungu anaheshim mtu anaye muheshim hajakosea kauli yake labda sijajua dhamila ya masanja

  • @MrLionVictor
    @MrLionVictor 2 ปีที่แล้ว +2

    So Hopeless masanja! I didn't expect this from you

  • @killylevenson1359
    @killylevenson1359 2 ปีที่แล้ว

    Halafu nae anajiita Mchungaji na anaamuita binadamu mwenzake kajitu🤣🤣🤣🤣

  • @hassannadhir3464
    @hassannadhir3464 2 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂 wajane wataendaaa