Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2018
- Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi hii leo alikuwa mmoja wa waalikwa kwenye Ikulu ya Rais Magufuli wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje sambamba na kuapishwa kwa mkuu wa Skauti nchini.
Mlezi wa Skauti nchini Alhaj Ali Hassan Mwinyi akapewa nafasi ya kutoa neno kwa rais Magufuli.
Msikilize
ALLAH azidi kukubariki Mzee wetu Alhaji ALI HASSAN MWINYI
#Maisha ni hadithi, basi kuwa hadithi nzuri kwa watakao simuliwa.
Hapo mzee mwinyi kwa fasaha hiyo ndio kasahau maneno ya kiswahili.Mola aurefushe umri wako mzee wetu.
Asante mzee wetu kwa maneno ya busara
Hekima ya Mheshimiwa Alhaji Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni ya viwango vya juu sana. Ni kipaji.
Mashallah mashallah ulimpenda sn jpm kutoka moyoni, Allah akusamehe makosa yako
Mzee Mwinyi kamzika Magufuli... Kesho ina siri kubwa
Mashallah mzee ruksa upo imara Allah akupe afya na furaha upo strong mashallah
Mungu akubariki sana Mzee mwinyi nakupenda sana Dad
❤Mungu akupumzishe mahali Pena peponi Amina
Nmpenda huyu mzee sana mola amwongeze maisha
Hakikq
Mzee mwinyi mzee ruksa ni.baba mwema maneno yake niya.hekima na busara
MUNGU aendelee kukulinda mzee mwinyi.
Big up mr jpm
Mzee mwenye hekima zake
Mashallah MZEE wetu
Admire
Raisi huyu alikua neema kwa watanzania,siku wepo mie enzi zake lkn naambiwa ilikua neema enzi zake
Kweli kabisa
Sana
Mstafu mzee mwinyi na mhusudu sana yeye na matamshi yake ni hazina ya nch na wananch tunamkubali kiongozi mzalendo Ruksa
Dahhhhh 😢 Rip
Hotuba ya raisi mwinyi
Wisdom
Rais mstaafu ALLI HASSAN MWINYI ni MDHAMINI wa SKAUTI na Si MLEZI wa SKAUTI,
MLEZI wa SKAUTI ni Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Sahihisheni nyie ni kituo kikubwa sana
Mzee mwinyi tutakukumbuka daima ktk utendaji wako wa urais.
Tha great
"Maisha ni hadithi" 11:05 - 12:05
Legends R.I.P
Hekima
Old and very wise
Wazee ni tunu
maneno matam sana
RIP
Hahh,
XD NJ
P
Mpuuzi Mnafiki tu,
muombe mungu radhi....kumuita mja wake hilo neno kumbuka alipo fika yeye wala hutakaa ukafika hapo
Familia yako ndio wapuuziii mbwa Koko wewe
Jitathmini...... Ndugu..... Hapa si pa kujiachia na matusi.
Mashallah mzee mwinyi,nilikuimbia wimbo nikiwa mwanafunzi.ali hasani mwinyi tkampigiyee kulaa,zote za ndiooooo.
siku ya Qiyama kuna kauli za kutisha sana huko