BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 919

  • @princenewton
    @princenewton 4 ปีที่แล้ว +77

    Much Love From KENYAN'S 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 We love our Brothers Tanzania's 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Forever

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 4 ปีที่แล้ว +7

    Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen

  • @professorchurchillms1439
    @professorchurchillms1439 3 ปีที่แล้ว +46

    I don't know why Tanzanians are always lucky to have visionary leaders. God bless TZ from Kenya 🇰🇪

    • @freedriwa7050
      @freedriwa7050 3 ปีที่แล้ว +4

      Rule number 1: Put God first

    • @aminasolisi6961
      @aminasolisi6961 2 ปีที่แล้ว

      @@freedriwa7050getting we

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +1

      Sio bahati, ni kupiga Kura inavyofaa...

    • @denisimweji4504
      @denisimweji4504 2 ปีที่แล้ว +2

      Asante! Mungu akubariki

    • @Godgrace67
      @Godgrace67 2 ปีที่แล้ว +1

      @@mpendakiswahili3053 ulimpigia kura nyerere wew

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 3 ปีที่แล้ว +15

    Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅

  • @khamissathumany8392
    @khamissathumany8392 4 ปีที่แล้ว +32

    Story nzur sana pongezi kwako mleta story ALLAH akujalie uendelee na huo moyo

  • @stephenmusyoka3938
    @stephenmusyoka3938 2 ปีที่แล้ว +13

    Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hancpoper3470
    @hancpoper3470 4 ปีที่แล้ว +26

    Wasafi ipo juuuu na itakuwa juu milele

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 4 ปีที่แล้ว +41

    Huyo ndio JULIUS bana a.k.a the brain! The hero and icon number one in the history of our continent.

  • @CHALTV
    @CHALTV 4 ปีที่แล้ว +51

    Kama kawaida big up mtiga kwa story kali, wasafi mpo juuu

  • @dinnahnyoni6301
    @dinnahnyoni6301 4 ปีที่แล้ว +6

    Haya ndiyo yakujifunza Safi Sana wasafi mtiga na hiki ndicho kipaji chako ambacho MUNGU amekupa 💞

  • @salumkanju1732
    @salumkanju1732 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania

  • @karimabdallah3296
    @karimabdallah3296 4 ปีที่แล้ว +347

    Wanao mkubali mtiga abdallah gonga like twende sawa

  • @joycefredrick2244
    @joycefredrick2244 4 ปีที่แล้ว +11

    R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 9 หลายเดือนก่อน

      Sasa wewe mmekomboka nini nawakati bado wakoroni wapo

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 ปีที่แล้ว +10

    Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana

  • @akikamurua3622
    @akikamurua3622 4 ปีที่แล้ว +21

    Wasafii nawakubali sana

  • @sarahismail2968
    @sarahismail2968 4 ปีที่แล้ว +10

    We kaka nakupendaga hatari😍😍😍😍

  • @diacynthedia6295
    @diacynthedia6295 4 ปีที่แล้ว +46

    Napenda Story zenu nikisikia nakua muturivu

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 4 ปีที่แล้ว +10

    Asante kwa Hayati JK Nyerere!

  • @nsimamkamaananias5977
    @nsimamkamaananias5977 4 ปีที่แล้ว +43

    Whenever I view The story book from 88.9, I become more interested,,Appreciated mtigga abdallah👏👏👏 kazi nzuri

  • @piligeorge8278
    @piligeorge8278 4 ปีที่แล้ว +5

    Tutamkumbuka sana hatokei tena,pumzika kwa amani baba uliifanya kazi yako kwa ukamilifu miss you

  • @elshaarawymuhabesh316
    @elshaarawymuhabesh316 4 ปีที่แล้ว +25

    Story Book.... Asante kwa Kutuletea Story Ya Mwl J K Nyerere....
    Asante wasafi

  • @chambotz9352
    @chambotz9352 4 ปีที่แล้ว +418

    Nani Anayetoaga Hii Hotuba Namkubali sana Nilisahau Kumwambia Gonga Like Kwa WASAFI TV

  • @likevery3498
    @likevery3498 4 ปีที่แล้ว +69

    Badala ya kutoa comment zenye maana mnaishia kuomba like.
    How come???
    R.I.P BABA WA TAIFA

  • @aggymathew7854
    @aggymathew7854 4 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante MAMAANG kwa kunipeleka TAIFA kushuhudia mazishi ya LEGEND NYERERE BABU YETU 🙏

  • @saadahamimu7596
    @saadahamimu7596 3 ปีที่แล้ว +57

    Nimekuj tena kuangalia baada ya kifo cha jembe letu maguful🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭

  • @yonamwakamele
    @yonamwakamele 4 ปีที่แล้ว +5

    Asante ndugu sauti makala na mood napata ya huzuni

  • @j...876
    @j...876 4 ปีที่แล้ว +4

    MR DIAMOND tuna hutaji ELIAS MPAGAZE wa Fanye kazi nahuyu jamaha the story book ita noga kabisa!!!💪💪

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 4 ปีที่แล้ว +8

    Sauti nzuri katika mtindo wa documentary.
    Sehemu ya simulizi ipo sawa.
    Lakini inamapungufu mengi sana.
    R I P comrade. J K Nyerere.

    • @rashedabdalah1981
      @rashedabdalah1981 4 ปีที่แล้ว

      Kama yapi kaka

    • @sk-wj9or
      @sk-wj9or 4 ปีที่แล้ว

      @@rashedabdalah1981 kuna clips nimeunganisha hapo angalia

  • @thomasclemence8636
    @thomasclemence8636 4 ปีที่แล้ว +15

    Iliumiza xana hyo hutuba. Gonga like

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 3 ปีที่แล้ว +7

    R.I.P baba wa Taifa, R.I.P Sokoine, R.I.P Mkapa & R.I.P JPM.hakika nyinyi ni wazalendo wa taifa hili la Tanzania. Tutawakumbuka sana😪😭😭😭.

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtetez wetu leo tunaringa kuw huru Tanzania yanguuuuuu Allah akulaze mahal pema pepo amina yarab allamina

  • @simonfilbert7008
    @simonfilbert7008 4 ปีที่แล้ว +42

    Jamani leo nimekuwa wa kwanza kuisikiliza story book ya baba wa taifa rip mwl j.k. nyerere😭😭

    • @mohamedimganga1481
      @mohamedimganga1481 4 ปีที่แล้ว

      mtiga elim yako kidato cha ngapi?

    • @creativetv989
      @creativetv989 4 ปีที่แล้ว

      Simon Filbert subscribe @vanessamdee youtube chanel 🙏

  • @augustmj4573
    @augustmj4573 4 ปีที่แล้ว +62

    aliyesubriya kwa hamu kama mm naomba like zetu tuztengee hapaa 😋😋😋

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 4 ปีที่แล้ว +29

    MTIGA UNAJUA SANA MWANANGU🔥🙌

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp 4 ปีที่แล้ว +67

    Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏

    • @keyakeya8911
      @keyakeya8911 4 ปีที่แล้ว +1

      Pole Sana mm nilikua bado hata sijazaliwa

    • @MyName-wd8cp
      @MyName-wd8cp 4 ปีที่แล้ว +1

      @@keyakeya8911 🙏🙏

    • @fatumachombo5450
      @fatumachombo5450 4 ปีที่แล้ว

      keya Keya kweli zote zilikuwa juhudi za mwenyenzi mungu kuitoa Tanzania kwa mabepari

    • @tonyjohn8419
      @tonyjohn8419 4 ปีที่แล้ว

      Wacha uongo wew

    • @gervasjustn2842
      @gervasjustn2842 4 ปีที่แล้ว +1

      Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.

  • @fancymixx1026
    @fancymixx1026 4 ปีที่แล้ว +12

    All great thing come from wasafi media much appreciation 🔥🔥

  • @haburamidousady6166
    @haburamidousady6166 4 ปีที่แล้ว +47

    Mtiga una jua uku burundi kwetu tuna kuku bali kinoma!!

  • @samsonjuma5618
    @samsonjuma5618 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa ajili yahistoria MUNGU awawezeshe katika kutujuza mentioned...GOD BLESS YOU ALL

  • @mudimaarifa9394
    @mudimaarifa9394 4 ปีที่แล้ว +11

    Uko good sound mtiga Abdallah 🙌🏻

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 ปีที่แล้ว +31

    Nakumbuka
    Ule mwaka
    Nikitaka kwenda jando
    Wazee wangu
    wakagailisha
    year 1999
    Amen

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 4 ปีที่แล้ว

      AVATA Ndo ikawa bas au !

    • @BiteBoyz
      @BiteBoyz 4 หลายเดือนก่อน

      🎉🎉🎉

  • @hemedibabdallah125
    @hemedibabdallah125 4 ปีที่แล้ว +41

    Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema

  • @foergivenessrupia7560
    @foergivenessrupia7560 4 ปีที่แล้ว +5

    Jamani humu kila MTU yeya wa kwanza kusikilza mnaomba like imekuA chakula au pesa duuuh mnatia aibu

  • @queenkikoti49
    @queenkikoti49 4 ปีที่แล้ว +46

    Nimeisubirisana ya leo

    • @godlistenmariwa2707
      @godlistenmariwa2707 4 ปีที่แล้ว

      Amepambania ya ile yate sema uyu mzeee niwachuga siyo butiama

  • @mawaidhatv8557
    @mawaidhatv8557 4 ปีที่แล้ว +11

    Oyoooooo
    One million
    Ambae ameshuhudia pls gonga like

  • @franciskomba8057
    @franciskomba8057 4 ปีที่แล้ว +15

    Wanao homba like washamba sana

    • @allykutenga2862
      @allykutenga2862 4 ปีที่แล้ว +1

      Francis Komba:
      Wantk KUFIRWA..hapa kinaelezewa ki2 cha mcngi sana wao wanaleta USENGEEE!!!!!?,.

  • @christinapeter810
    @christinapeter810 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tunakukumbuka baba wa Taifa. Tunajivunia maisha yako na Tunamshukur Mungu Kwa zawadi hii🙏 endelea kupumzika Kwa amani

  • @owenimerraly712
    @owenimerraly712 4 ปีที่แล้ว +11

    wasafi mko juu sana

  • @godwinchristian9646
    @godwinchristian9646 4 ปีที่แล้ว +27

    Safi nipo ndani from nairobi hongera wasafi

    • @saidamkekanule6251
      @saidamkekanule6251 4 ปีที่แล้ว +1

      Good afternoon😍🤩😂😅😃😎🤑👩‍🌾👩‍🎓👩‍💻🧚🧜👥🛀🏌️🏂⛷️🏇🚴🏍️🤹

    • @saidamkekanule6251
      @saidamkekanule6251 4 ปีที่แล้ว

      Thanks

  • @fednandnews2240
    @fednandnews2240 4 ปีที่แล้ว +3

    Napenda sana speach zako mzee baba Unaweza

  • @queen-vc6de
    @queen-vc6de 4 ปีที่แล้ว +7

    Bibi baria anazidi kuwa mrembooo tu 😍😍😍

  • @prettynana6580
    @prettynana6580 4 ปีที่แล้ว +17

    R. I. P 😢😢😢😢Baba Mwl Julius Kambarage Nyerere😭😭😭😭😭😭

  • @ismailismailmwaluseke2111
    @ismailismailmwaluseke2111 4 ปีที่แล้ว +26

    Nomaaa aiseee.. Watu wanadai likes kama zinageuka pesa

  • @mdigokhan8227
    @mdigokhan8227 4 ปีที่แล้ว +619

    NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI

  • @stefanontandu2041
    @stefanontandu2041 ปีที่แล้ว +11

    R.i.p Nyerere and Magufuli living legend in my mind

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau2527 4 ปีที่แล้ว +16

    He was the great man ever

  • @masigejose429
    @masigejose429 4 ปีที่แล้ว +85

    Wan musoma gonga like twende sawa 💪💪💪

    • @sultanmbogo701
      @sultanmbogo701 4 ปีที่แล้ว +1

      nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe

    • @sultanmbogo701
      @sultanmbogo701 4 ปีที่แล้ว

      angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema

  • @mzuluclassic5259
    @mzuluclassic5259 4 ปีที่แล้ว +8

    mwaka 1955 ML Nyerere from dar to Masasi ✌✌

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 3 ปีที่แล้ว +3

    Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma
    Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa
    Like zenu😥

  • @otegakamala645
    @otegakamala645 4 ปีที่แล้ว +4

    Mwalimu alitumwa na mungu aliyo yafanya hakuna atakae weza ķwani hakuwa na roho ya kibinadamu alikuwa na roho ya kimungu

  • @larrypeterkiwia2957
    @larrypeterkiwia2957 4 ปีที่แล้ว +18

    sauti nzuri sana kama una mkubali gongà like

  • @abdallahmgotto7865
    @abdallahmgotto7865 4 ปีที่แล้ว +21

    Wasafi fm 🔥🔥

  • @annemlay11
    @annemlay11 ปีที่แล้ว +2

    Naamini Mwalimu atatajwa kuwa Mtakatifu baada ya siku si nyingi.Eee Mungu tunakushukuru kwa ajili ya Mwal. Nyerer.

  • @matikumarwa5252
    @matikumarwa5252 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubalik popote ulipo mzee na akufanyie wepes wa maisha ya mbingun

  • @rammietv4907
    @rammietv4907 4 ปีที่แล้ว +41

    WE GONNA MISS YOU DADY SO PAIN

  • @dominicikuja7392
    @dominicikuja7392 2 ปีที่แล้ว +4

    Nyerere magufuli mkapa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 nothing to say

  • @hamzakondo6102
    @hamzakondo6102 4 ปีที่แล้ว

    Mtiga mzee baba nakubali kazi nzuri kuna bia zako leo njoo tabata jion.

  • @selemaniseja6328
    @selemaniseja6328 4 ปีที่แล้ว +107

    jaman mnaoombaga LIKE mnakera kwel lengo la comments ni kutoa maoni juu ya kipindi ili kizidi kuboreshwa
    wabongp bwana...
    like mnafanyiaga nn...?

    • @geraldpallangyo7726
      @geraldpallangyo7726 4 ปีที่แล้ว

      Like ni za kutangaza bei

    • @BrEgEdiA_254
      @BrEgEdiA_254 4 ปีที่แล้ว

      Masenge sana

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 ปีที่แล้ว +4

      Hii ndio bongo zozo,, hawana maoni kazi likes tu.. Akili hakuna

    • @tiktokreposted12
      @tiktokreposted12 4 ปีที่แล้ว

      zinaogeza hamu yakuingia yutube

    • @allykutenga2862
      @allykutenga2862 4 ปีที่แล้ว +1

      Selemani Hamudu:
      Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,,
      SMS SENT.

  • @maesryclassic456
    @maesryclassic456 4 ปีที่แล้ว +19

    Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa TH-cam aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪

    • @eddyboi8476
      @eddyboi8476 4 ปีที่แล้ว +1

      Bro kumbuka kuna uandaaji wa story

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwl.Nyerere Lala Pema Peponi Daima Unakumbukwa Na Tunakuenzi .

  • @abdkhalidi6625
    @abdkhalidi6625 4 ปีที่แล้ว +3

    Daaaaaahhhhh ipo vzriiiii kk mkubwa nice sanaaaaaa!!!!

  • @yuusufnuur5752
    @yuusufnuur5752 4 ปีที่แล้ว +5

    Thanks love story book

  • @thabitbakari6733
    @thabitbakari6733 3 ปีที่แล้ว +3

    Watanzania tumkumbuke mwalimu jk nyerere kwa mengi makubwa mazuri yenye manufaa, langu kubwa katulindia Mali ya asili ya Tanzania, leo mwaka 2020, tumekuta Mali ya asili ya Tanzania iliyolindwa kutokea miaka ya mingi Sana iliyopita tuseme Karne zilizopita🤲 mwalimu ametufundisha siasa inatupa hekma katika mataifa makubwa, hadi kufikia Leo hii tunapewa sifa na mataifa makubwa kwa siasa yetu. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 9 หลายเดือนก่อน

      Mazuri yapi 📺 angalie yeye tu

  • @gibemarco5875
    @gibemarco5875 4 ปีที่แล้ว +15

    Wakongwe tuliohudhuria msiba wa JK NYERERE gonga like apa bado ya kwako tu R.I.P. the founder of our Nation###

  • @user-yj6wr7fu5c
    @user-yj6wr7fu5c 3 หลายเดือนก่อน

    walimu wetu mungu awalaze mahala pema peponi Amina Tanzania itawakumbuka daima

  • @mbwambondimangwamichael6761
    @mbwambondimangwamichael6761 4 ปีที่แล้ว +29

    12 minutes naombeni like zangu

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 ปีที่แล้ว +10

    Msimulizi upo vizuri sana,hakika utafika mbali sana.

  • @kelvintz7684
    @kelvintz7684 4 ปีที่แล้ว +14

    Talented presenter

  • @khalidsimiyu8075
    @khalidsimiyu8075 2 ปีที่แล้ว +15

    Tanzania is really blessed from nyerere to magufuli

    • @shaqdizo7678
      @shaqdizo7678 ปีที่แล้ว +1

      Benjamin William mkapa

  • @eunicejoseph3870
    @eunicejoseph3870 4 ปีที่แล้ว +37

    Sjaanza ata darasa LA kwanza... duuuh busara nyingi na uwoga wa kufuja mali za nchi yake

    • @victormtani7170
      @victormtani7170 4 ปีที่แล้ว

      Una maanisha nini kufuja mali?
      Nani aliyefuja mali za nchi yake?
      Utoe na uthibitishe

    • @richiecharles2301
      @richiecharles2301 3 ปีที่แล้ว

      Nakumbuka nilikuwa chekechea..

  • @carlosbrayan5779
    @carlosbrayan5779 4 ปีที่แล้ว +15

    Bado tunamkumbuka baba wa TAIFA. Siku zote kwa Wema, Haki na Utawala mzuri katika TAIFA LA TANZANIA. Rest in Peace.

  • @joharhamisi9140
    @joharhamisi9140 4 ปีที่แล้ว +12

    mtiga Abdallah 😘😘😘😘😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😗😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @abdallahmniga4080
    @abdallahmniga4080 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Mtiga Abdallah kwa stori nzuri sana..!!

  • @boazmvellah6286
    @boazmvellah6286 4 ปีที่แล้ว +5

    Napendagaa sana ongea yako piga like twendee pamoja

  • @joelzaga2672
    @joelzaga2672 4 ปีที่แล้ว +37

    Nyerere still lives on
    As his wishes towards Tanzania
    Is about to be fulfilled by the current President
    Hope he rests in peace

  • @sumillohabdallah3259
    @sumillohabdallah3259 4 ปีที่แล้ว +14

    J.K WAKWANZA AKILI NYINGI SANA HUYU JAMAA, MIMI NAAMINI IVYO

    • @raymondnyami6815
      @raymondnyami6815 4 ปีที่แล้ว

      Mh ujumbe mzurii kwakwer uishi ktk mioyo ya watanzania

  • @braisonkyando8959
    @braisonkyando8959 2 ปีที่แล้ว +4

    Forever Mwl.Julius Kambarage Nyerere our icon..........he will live in our memories

  • @babajasleen3199
    @babajasleen3199 4 ปีที่แล้ว +1

    Good Sana mtayarishaji wa story naomba utoye istoriya kuhusu ile fimbo ya mwalimu nyerere

  • @daudkuyunga378
    @daudkuyunga378 3 ปีที่แล้ว +6

    YOUR THE LEGEND STAY FOR ME
    JULIUS NYERERE RIP LEGEND HEROOOO

  • @officialmao
    @officialmao 4 ปีที่แล้ว +73

    Nyie mnao omba like vipi tukishawa like mnafaidika Nini 😣

  • @hanswizzy2892
    @hanswizzy2892 4 ปีที่แล้ว +2

    Yani we kaka nakupenda bure unasauti nzuri yakusismua nakutoa nyoka pangoni da

  • @kassimluzwiro3368
    @kassimluzwiro3368 4 ปีที่แล้ว +26

    Daaah hamna ktu nachopenda kama hch kipindi naomba hata kwa weak kiwepo mara5 au 4

  • @tanzanianchef8647
    @tanzanianchef8647 4 ปีที่แล้ว +68

    He is legendary 👍🏻

  • @YUSUPHMWAINUNU
    @YUSUPHMWAINUNU 4 ปีที่แล้ว +56

    kama unamkubali mtiga naomba like 50 apo chin

  • @denispeter4221
    @denispeter4221 3 ปีที่แล้ว

    Najivunia kusoma shule alyo soma baba wa taifa (Mwisenge) na dawati lake nilkalia, kiongozi bora wa wakati wote, Mungu n mwema kuptia Nyerere Tz ikapatkan, 6msahau Baba wa taifa.

  • @mohammedkibombe7361
    @mohammedkibombe7361 4 ปีที่แล้ว +18

    Kama unampenda baba Wa taifa gonga like

  • @abdallahhamad4499
    @abdallahhamad4499 4 ปีที่แล้ว +21

    2019 nipo gonga like
    Kama umemsikia komba ...

  • @shabaniramadhani4109
    @shabaniramadhani4109 4 ปีที่แล้ว +55

    mwalim mwalim mwalimuuuuu R I P 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 naumia sana nikikumbuka msiba wako nililia sana aseee

  • @MrJediahmed
    @MrJediahmed 4 ปีที่แล้ว +2

    Watanzania tumuenzi baba yetu mwalimu. Aliifanya tanzania moja.tanzania isiyo na matabaka.ubaguzi wa aina yoyote hiyo.leo hii nikiulizwa wewe nani ,kinachokuja kwanza ndani ya kinywa changu najiita mtanzania.Najifaharia na mengi kwa historia ya mzee wetu Mwalimu

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 3 ปีที่แล้ว +2

    Rip nyerere mie nilkua nalia sana na zile song za Johnkomba doh😭.ila babu yangu ,sasa ni marehem alnambia kipnd cha utawala wa nyerere kulkua na SHIDA SANA.lkn ni yy ndo aloleta UHURU.

  • @fadhiliyango9749
    @fadhiliyango9749 4 ปีที่แล้ว +3

    Mnajitaid sana, ukweli hiv ndio vitu tunapaswa kusimuliwa tuijue dunia yetu tuijue Africa yetu, tuijue Tanzania

    • @clemencefrancis3708
      @clemencefrancis3708 4 ปีที่แล้ว

      Mungu ametoa na mungu ametwa jina LA bwana kihimidiwe amen.

    • @mkamamauma6994
      @mkamamauma6994 4 ปีที่แล้ว

      Kuna v2 unasahau mzee ...unaruka v2 pitia vzr tata