Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa Like zenu😥
Selemani Hamudu: Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,, SMS SENT.
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa TH-cam aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
Watanzania tumkumbuke mwalimu jk nyerere kwa mengi makubwa mazuri yenye manufaa, langu kubwa katulindia Mali ya asili ya Tanzania, leo mwaka 2020, tumekuta Mali ya asili ya Tanzania iliyolindwa kutokea miaka ya mingi Sana iliyopita tuseme Karne zilizopita🤲 mwalimu ametufundisha siasa inatupa hekma katika mataifa makubwa, hadi kufikia Leo hii tunapewa sifa na mataifa makubwa kwa siasa yetu. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa
Najivunia kusoma shule alyo soma baba wa taifa (Mwisenge) na dawati lake nilkalia, kiongozi bora wa wakati wote, Mungu n mwema kuptia Nyerere Tz ikapatkan, 6msahau Baba wa taifa.
Watanzania tumuenzi baba yetu mwalimu. Aliifanya tanzania moja.tanzania isiyo na matabaka.ubaguzi wa aina yoyote hiyo.leo hii nikiulizwa wewe nani ,kinachokuja kwanza ndani ya kinywa changu najiita mtanzania.Najifaharia na mengi kwa historia ya mzee wetu Mwalimu
Rip nyerere mie nilkua nalia sana na zile song za Johnkomba doh😭.ila babu yangu ,sasa ni marehem alnambia kipnd cha utawala wa nyerere kulkua na SHIDA SANA.lkn ni yy ndo aloleta UHURU.
Much Love From KENYAN'S 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 We love our Brothers Tanzania's 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Forever
Welcome brother 👊
Elfu tatu hadi milioni miatatu na hamsin kweli uchumi was kikoloni unakuwa
big up brother
Nakupenda sana mwalimu
🙏🙏❤️
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
I don't know why Tanzanians are always lucky to have visionary leaders. God bless TZ from Kenya 🇰🇪
Rule number 1: Put God first
@@freedriwa7050getting we
Sio bahati, ni kupiga Kura inavyofaa...
Asante! Mungu akubariki
@@mpendakiswahili3053 ulimpigia kura nyerere wew
Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
Story nzur sana pongezi kwako mleta story ALLAH akujalie uendelee na huo moyo
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kweli kabisa
Very true brother!😭😭😭
lL
Wasafi ipo juuuu na itakuwa juu milele
Huyo ndio JULIUS bana a.k.a the brain! The hero and icon number one in the history of our continent.
Kama kawaida big up mtiga kwa story kali, wasafi mpo juuu
I miss you magu mukapa and nyelele
Haya ndiyo yakujifunza Safi Sana wasafi mtiga na hiki ndicho kipaji chako ambacho MUNGU amekupa 💞
Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania
Wanao mkubali mtiga abdallah gonga like twende sawa
Mtiga abdalla ukosei story nakukubali sana from songea msamala
Karim Abdallah 👍👍👍🇹🇿
Dahhhhhh
Karim Abdallah vp mtig
Problum
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
Sasa wewe mmekomboka nini nawakati bado wakoroni wapo
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
Wasafii nawakubali sana
We kaka nakupendaga hatari😍😍😍😍
Napenda Story zenu nikisikia nakua muturivu
Asante kwa Hayati JK Nyerere!
Whenever I view The story book from 88.9, I become more interested,,Appreciated mtigga abdallah👏👏👏 kazi nzuri
Tutamkumbuka sana hatokei tena,pumzika kwa amani baba uliifanya kazi yako kwa ukamilifu miss you
Story Book.... Asante kwa Kutuletea Story Ya Mwl J K Nyerere....
Asante wasafi
Pw
Nani Anayetoaga Hii Hotuba Namkubali sana Nilisahau Kumwambia Gonga Like Kwa WASAFI TV
Niatali cn
Anaitwa mtigah abdalah
Ni mtiga abdallah
Ima BoyLTz r
Mtiga
Badala ya kutoa comment zenye maana mnaishia kuomba like.
How come???
R.I.P BABA WA TAIFA
R i p father see you Again
Wanapenda like cjui Zina Radha gani
@@felistambwale2687 🤣🤣 wakat haziwafkish kilelen😀
R. I. P Mwl nyerere
@@lucasmanyama2892 r l p baba wet
Ahsante MAMAANG kwa kunipeleka TAIFA kushuhudia mazishi ya LEGEND NYERERE BABU YETU 🙏
Nimekuj tena kuangalia baada ya kifo cha jembe letu maguful🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭
dah inaumiza sana mungu mpokee magufuli
Mungu ampe makazi yaliyomema
😭😭😭
Tuko wengi
2po wengi
Asante ndugu sauti makala na mood napata ya huzuni
MR DIAMOND tuna hutaji ELIAS MPAGAZE wa Fanye kazi nahuyu jamaha the story book ita noga kabisa!!!💪💪
Sauti nzuri katika mtindo wa documentary.
Sehemu ya simulizi ipo sawa.
Lakini inamapungufu mengi sana.
R I P comrade. J K Nyerere.
Kama yapi kaka
@@rashedabdalah1981 kuna clips nimeunganisha hapo angalia
Iliumiza xana hyo hutuba. Gonga like
R.I.P baba wa Taifa, R.I.P Sokoine, R.I.P Mkapa & R.I.P JPM.hakika nyinyi ni wazalendo wa taifa hili la Tanzania. Tutawakumbuka sana😪😭😭😭.
Amina!
Ameen
Amen
Mtetez wetu leo tunaringa kuw huru Tanzania yanguuuuuu Allah akulaze mahal pema pepo amina yarab allamina
Jamani leo nimekuwa wa kwanza kuisikiliza story book ya baba wa taifa rip mwl j.k. nyerere😭😭
mtiga elim yako kidato cha ngapi?
Simon Filbert subscribe @vanessamdee youtube chanel 🙏
aliyesubriya kwa hamu kama mm naomba like zetu tuztengee hapaa 😋😋😋
MTIGA UNAJUA SANA MWANANGU🔥🙌
MUNGU DIYE AJUAYE LEO NA KESHO .
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
Pole Sana mm nilikua bado hata sijazaliwa
@@keyakeya8911 🙏🙏
keya Keya kweli zote zilikuwa juhudi za mwenyenzi mungu kuitoa Tanzania kwa mabepari
Wacha uongo wew
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
All great thing come from wasafi media much appreciation 🔥🔥
Mtiga una jua uku burundi kwetu tuna kuku bali kinoma!!
Asante kwa ajili yahistoria MUNGU awawezeshe katika kutujuza mentioned...GOD BLESS YOU ALL
Uko good sound mtiga Abdallah 🙌🏻
Nakumbuka
Ule mwaka
Nikitaka kwenda jando
Wazee wangu
wakagailisha
year 1999
Amen
AVATA Ndo ikawa bas au !
🎉🎉🎉
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
Hemedi b abdallah wtghkgg
Jamani humu kila MTU yeya wa kwanza kusikilza mnaomba like imekuA chakula au pesa duuuh mnatia aibu
😁😁😁😁😁
Nimeisubirisana ya leo
Amepambania ya ile yate sema uyu mzeee niwachuga siyo butiama
Oyoooooo
One million
Ambae ameshuhudia pls gonga like
Jeremiah.majura
Wanao homba like washamba sana
Francis Komba:
Wantk KUFIRWA..hapa kinaelezewa ki2 cha mcngi sana wao wanaleta USENGEEE!!!!!?,.
Tunakukumbuka baba wa Taifa. Tunajivunia maisha yako na Tunamshukur Mungu Kwa zawadi hii🙏 endelea kupumzika Kwa amani
wasafi mko juu sana
Safi nipo ndani from nairobi hongera wasafi
Good afternoon😍🤩😂😅😃😎🤑👩🌾👩🎓👩💻🧚🧜👥🛀🏌️🏂⛷️🏇🚴🏍️🤹
Thanks
Napenda sana speach zako mzee baba Unaweza
Bibi baria anazidi kuwa mrembooo tu 😍😍😍
Good afternoon
🤩😍🤣😅😎
R. I. P 😢😢😢😢Baba Mwl Julius Kambarage Nyerere😭😭😭😭😭😭
R I P
Nomaaa aiseee.. Watu wanadai likes kama zinageuka pesa
Kwani ujui kama zinageuka pesa
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
Mdigo Khan 🤣🤣🤣🤣🤣
angalia hapo mm n ww nan frst
Mdigo Khan like zingekuwa msoso..!!!
😂
😂
R.i.p Nyerere and Magufuli living legend in my mind
He was the great man ever
Wan musoma gonga like twende sawa 💪💪💪
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
mwaka 1955 ML Nyerere from dar to Masasi ✌✌
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma
Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa
Like zenu😥
Mwalimu alitumwa na mungu aliyo yafanya hakuna atakae weza ķwani hakuwa na roho ya kibinadamu alikuwa na roho ya kimungu
sauti nzuri sana kama una mkubali gongà like
Jamaa anajitaid
Wasafi fm 🔥🔥
Lo
Naamini Mwalimu atatajwa kuwa Mtakatifu baada ya siku si nyingi.Eee Mungu tunakushukuru kwa ajili ya Mwal. Nyerer.
Mungu akubalik popote ulipo mzee na akufanyie wepes wa maisha ya mbingun
WE GONNA MISS YOU DADY SO PAIN
,,
Of course, It's so painful
Yes
Nyerere magufuli mkapa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 nothing to say
Mtiga mzee baba nakubali kazi nzuri kuna bia zako leo njoo tabata jion.
jaman mnaoombaga LIKE mnakera kwel lengo la comments ni kutoa maoni juu ya kipindi ili kizidi kuboreshwa
wabongp bwana...
like mnafanyiaga nn...?
Like ni za kutangaza bei
Masenge sana
Hii ndio bongo zozo,, hawana maoni kazi likes tu.. Akili hakuna
zinaogeza hamu yakuingia yutube
Selemani Hamudu:
Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,,
SMS SENT.
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa TH-cam aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
Bro kumbuka kuna uandaaji wa story
Mwl.Nyerere Lala Pema Peponi Daima Unakumbukwa Na Tunakuenzi .
Daaaaaahhhhh ipo vzriiiii kk mkubwa nice sanaaaaaa!!!!
Thanks love story book
Watanzania tumkumbuke mwalimu jk nyerere kwa mengi makubwa mazuri yenye manufaa, langu kubwa katulindia Mali ya asili ya Tanzania, leo mwaka 2020, tumekuta Mali ya asili ya Tanzania iliyolindwa kutokea miaka ya mingi Sana iliyopita tuseme Karne zilizopita🤲 mwalimu ametufundisha siasa inatupa hekma katika mataifa makubwa, hadi kufikia Leo hii tunapewa sifa na mataifa makubwa kwa siasa yetu. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa
Mazuri yapi 📺 angalie yeye tu
Wakongwe tuliohudhuria msiba wa JK NYERERE gonga like apa bado ya kwako tu R.I.P. the founder of our Nation###
R.i.p.baba wa taifa
walimu wetu mungu awalaze mahala pema peponi Amina Tanzania itawakumbuka daima
12 minutes naombeni like zangu
Msimulizi upo vizuri sana,hakika utafika mbali sana.
Talented presenter
Tanzania is really blessed from nyerere to magufuli
Benjamin William mkapa
Sjaanza ata darasa LA kwanza... duuuh busara nyingi na uwoga wa kufuja mali za nchi yake
Una maanisha nini kufuja mali?
Nani aliyefuja mali za nchi yake?
Utoe na uthibitishe
Nakumbuka nilikuwa chekechea..
Bado tunamkumbuka baba wa TAIFA. Siku zote kwa Wema, Haki na Utawala mzuri katika TAIFA LA TANZANIA. Rest in Peace.
mtiga Abdallah 😘😘😘😘😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😗😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘
Hongera sana Mtiga Abdallah kwa stori nzuri sana..!!
Napendagaa sana ongea yako piga like twendee pamoja
Nyerere still lives on
As his wishes towards Tanzania
Is about to be fulfilled by the current President
Hope he rests in peace
J.K WAKWANZA AKILI NYINGI SANA HUYU JAMAA, MIMI NAAMINI IVYO
Mh ujumbe mzurii kwakwer uishi ktk mioyo ya watanzania
Forever Mwl.Julius Kambarage Nyerere our icon..........he will live in our memories
Good Sana mtayarishaji wa story naomba utoye istoriya kuhusu ile fimbo ya mwalimu nyerere
YOUR THE LEGEND STAY FOR ME
JULIUS NYERERE RIP LEGEND HEROOOO
Nyie mnao omba like vipi tukishawa like mnafaidika Nini 😣
Nawashangaa
official Mao , ni wajinga tu
Me mwenyewe huwa nawashangaa cjui huwa wanafaidika nn
Hawajielewi
Yani we kaka nakupenda bure unasauti nzuri yakusismua nakutoa nyoka pangoni da
Daaah hamna ktu nachopenda kama hch kipindi naomba hata kwa weak kiwepo mara5 au 4
I love it
He is legendary 👍🏻
Musir Brain sawa mkuu
instablaster...
kama unamkubali mtiga naomba like 50 apo chin
Likes tumeshampa yeye mwenyewe
Najivunia kusoma shule alyo soma baba wa taifa (Mwisenge) na dawati lake nilkalia, kiongozi bora wa wakati wote, Mungu n mwema kuptia Nyerere Tz ikapatkan, 6msahau Baba wa taifa.
Kama unampenda baba Wa taifa gonga like
2019 nipo gonga like
Kama umemsikia komba ...
mwalim mwalim mwalimuuuuu R I P 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 naumia sana nikikumbuka msiba wako nililia sana aseee
Mm nililia jmn acheni na nikawaliza wengine
Watanzania tumuenzi baba yetu mwalimu. Aliifanya tanzania moja.tanzania isiyo na matabaka.ubaguzi wa aina yoyote hiyo.leo hii nikiulizwa wewe nani ,kinachokuja kwanza ndani ya kinywa changu najiita mtanzania.Najifaharia na mengi kwa historia ya mzee wetu Mwalimu
Rip nyerere mie nilkua nalia sana na zile song za Johnkomba doh😭.ila babu yangu ,sasa ni marehem alnambia kipnd cha utawala wa nyerere kulkua na SHIDA SANA.lkn ni yy ndo aloleta UHURU.
Mnajitaid sana, ukweli hiv ndio vitu tunapaswa kusimuliwa tuijue dunia yetu tuijue Africa yetu, tuijue Tanzania
Mungu ametoa na mungu ametwa jina LA bwana kihimidiwe amen.
Kuna v2 unasahau mzee ...unaruka v2 pitia vzr tata