Ameongea broken kama kawaida yake... amesema "we can't tolerate THIS stupid things" Anaongea lugha ya kitoto sana(primary level) kama mtu ambaye hakwenda shule. Kiwe ni kiswahili au english...ana misamiati ya chekechea!! 😂😂😂😂😂😂😂
@@mrishogange4276 ahhaahahah PANYA.....ungejua nilipo na ninafanya nini na nimesoma kiasi gani NA NINAINGIZA KIASI GANI/HOUR...husingeweza hata kufungua domo lako linalotoa harufu kama ya mamba aliyekula mzoga!!! 🤣🤣🤣🤣🤣 Shut the fu*k off!!! 😂😂😂😂😂😏😏😏😏😏😏😏
Yani ukiwa unafanya kazi na pesa zakwako unakuwa nasauti kuliko za kukopa kwa mimi nasema ni uzembe wakatwe wapate akili wanazani JPM Kama kikwete uluma nyingi JPM ni Kama mjapani kauzu Kama MGerman tanzania oyeeeeeeeeee
“🤩 Magufuli ali takiwa awe Raisi wa Tanzania 🇹🇿 pindi tu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipo toka madarakani! MWENYEZI MUNGU mbariki Magufuli, MUNGU ibaraki Tanzania na Afrika 🌍; Amen 🇹🇿🦚🦒🌴🏝🏔🥀❤️🌍🙏🏽”
To be honest I had this thought yesterday, May be one day Africa will be ruled by Magufuli..And only 10 yrs of his leadership Africa will be like Europe as africa we have everything !😂😂
Mimi ni Mkongo lakin namkubali sana huyu Rais, nashanga kaann Watanzania wengine wanampinga.... Ila nadhan hy yote kwajil mmebobea katka Aman ndy maana... Nataman hao wanao ongea waje waish huku Kongo hapo ndipo wataona kuna Umuhimu wa kuwa na Rais kama Maguful.... Sisi Wakongo tunampenda sana huyo Rais.... Nafikiri huyo ndye Simba wa Afrika kwa sasa....! Wenye msimamo kama wake mm nadhan hakuna na kama wapo basi wanaogopa kuuonyesha huo msimamo...
@@pericykiko6198 nakumbuka Kuna kipindi tulikua hatufatilii hata nyimbo mpya Ila tulikua tunamfatilia Magu leo yupo wapi kaongea nn yaan kipind iko daa tulikua tunaringa jaman kua na Shujaa la Tanzania na Africa Magufuli daa kweli heartbroken jaman
Magufuli Kama huwa unapitia comment naomba mtaala wa elimu ya Tanzania ubadilishwe,Tusitumie mtaala wa mkoloni, unaosema tusome ili tuajiriwe),pamoja na lugha, Tutumie lugha ya kiswahili mpaka chuo kikuu. Aheante
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
That is my beloved daddy 💕🌹🙏🙏🙏 Proudly TANZANIAN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏 I’m crying jamani siwezi kupiga kura nipo huku kwenye corona but I LOVE YOU DADDY Jamani waTZ wenzangu mchagueni babaetu tena he is the best President we have blessed from God jamani. Viva MAGUFULI
tunataka nchi yetu isonge mbele na sio mtu anakuja hapa kutuletea porojo za kiboya then matahira wenzake wanamshangilia...akaanze kuuza nchi ya ubeligiji then ndo aje auze yetu ili tuamin ana uzoefu wa kuuza nchi mamae...JPM vs TZ oyeeee
Nchi yoyote dunian iliyo chini kimaendeleo ili ipige atua inahitaji iwe na rais km huyu,na hata walio wavivu kutafuta hela ni lazima watajifunza kutafuta tu,Na 2020 awe huyu huyu tu ili tujiunze zaid
@@malikkb6444 for the time being tunasherehekea huyo ngedere wenu kufa... pamoja na kujiona mungu-mtu amekufa kama mbwa koko. Mtam-miss sana...pumbavu zenu!. 🤣🤣
Yn Rais wetu ww cjui hata nikuambie nn mpka ukanielewa......But Allah azidi kukupa nguvu ili uzidi kuliongoza Taifa letu la Tanzania na Africa kwa ujumla🙏🙏🙏🙏
Sijui unatafsiri vipi uchumi maana magufuli anagusa uchumi katika utendaji wake kila siku. Mfano hapo ameuliza kama mradi ungejamilika mwezi wa 7 watu wangeanza biashara na kujiingizia fedha sasa kwa kuwa wamepitiliza hizo fedha zitalipwa na nani? Pili alikataa kugunga nchi kipindi cha korona ili uchumi wetu usife na alituhimiza kuchapa kazi kwelikweli. Tatu upanuzi wa barabara na ujenzi wa flyovers ni mkakati wa kukuza uchumi maana magari yatapunguza muda wa kukaa kwenye foleni na watu watawahi makazini sasa cjui mwenzangu wewe umetafsiri vipi ila mpe kura JPM ni rais bora sana kwa taifa letu.
@@kelvinjohn6851 we unaongelea uongozi hapo namkubali kwa %100 Naposema uchumi namaanisha ni kuibana Private sector.... Kuhus swala la kura hilo halina tTizl.lkn kulosoana ni muhimu kwa kila mtu na mtazamo wake
RAIS MAGUFULI I DESERVE TO SAY THAT YOU HAVE TRAPPED ME TO VOTE FOR THE FIRST TIME IN GENERAL ELECTION. Sikuona Rais mwenye msimamo kwa ajili ya nchi yangu. Wote niliwaona ni wapiga dili tu kazi kutupaka uji mdomoni eti wanatangaza tumekunywa. Naomba mwenyezi Mungu anipe uzima na uwezo wa kufika kwenye kituo cha kupigia kura hiyo 28th October nifanye maamuzi sahihi juu yako maana sina namna nyingine ya kukushukuru zaidi ya KURA YANGU. Kuhusu huyu mgombea ubunge hapa mjini mie simuelewi kabisa. Sipigi kura kwa kuangalia chama bali utendaji mzuri ndio ulimbo wa kuninasa nimpigie kura kiongozi maana mie SIO MWANACHAMA KWAMBA NINA MASLAHI NYUMA YA PAZIA. Naweka mtu anayechapa kazi kama wewe. 🙏🙏🙏🙏nakuombea ushindi wa kishindo usio na mashaka maana mamilioni ya Watanzania wana imani na wewe.
Ndg yangu Leo hii nimesoma comment yako had machozi yamenitoka yaan,na mm ni miongoni mwa heartbroken after Magufuli kupass away,Rest in peace our hero
Mama samia!!!!!!! Why don't you see this to your colleague, kama nikupoteza basi hapa tumepoteza tena saana .. yaaan only thing you do is to let him down aonekane he is nonsense president? Sometimes we comeback here to review this clip to be honest inauma saana , tulijua upo nayeye pamoja kumbe u was there for your benefit. Alipo semaga we here for the benefit of poor people and we have to save poor people alimaanisha. At least ungefanya hii miaka iliyo baki kama mlivo panga then bada ya election ufanye branda unazofanya. To be honest mama unatuumiza saana hasa unapo fanya mambo tofauti na aliyo/mliyo panga na mh raisi JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. Machozi ya wanyonge hayaendagi bule fanya kazi ukijua hyo ni dhamana umepewa na sio vinginevyo RIP jpm
Oh Africa, how you will miss this great son and statesman. God thank you giving Africa this great son, now that you have called him, please anoint others several times more to restore Africa and cover the long years of shame and reproach, in Jesus name!
Mwanaume huyooooo kama unamsikiliza leo gonga like
Hiiiiiiiii😂😂😂😂😂nzur sana on oct 28 mapema saa 12 asbh nipo kituon kukuongezea kura 1 yangu
Nakupenda baba angu kwenye ukweli unapasua
😭😭😭😭
Pamoja na mazuri yote unayofanya bado watu wanakuponda dhuuu, Mungu aendelee kukutetea raisi wetu mzuri, tunakuombea sana.
Ni wachache saana ndio maana wanaonekana isikutishe ubaya ndio huwa unaonekana kuliko wema subirini 28 utashangaa
@@mossymtwana6422 maneno kuntu
@@mossymtwana6422 pamoja sana
Irene my sister if you wanna please all you will please none
Kabisa
We can't tolerate stupid things ... Kama umesikia gonga like apa
Bashange Google yes bro akeee, mi pia nimeskia aisee. Miss u my kaka.
Na we unazurula hadi huku hahahahahaha lol!
Nimeskia kabisa, mimi ni mkenya na kweli huyu ni the best president in africa
Ameongea broken kama kawaida yake... amesema "we can't tolerate THIS stupid things"
Anaongea lugha ya kitoto sana(primary level) kama mtu ambaye hakwenda shule.
Kiwe ni kiswahili au english...ana misamiati ya chekechea!!
😂😂😂😂😂😂😂
@@pcazzo22 we mkundu kwel,wew kingereza chako kilchonyooka kmekufksha wap
@@mrishogange4276 ahhaahahah PANYA.....ungejua nilipo na ninafanya nini na nimesoma kiasi gani NA NINAINGIZA KIASI GANI/HOUR...husingeweza hata kufungua domo lako linalotoa harufu kama ya mamba aliyekula mzoga!!!
🤣🤣🤣🤣🤣
Shut the fu*k off!!!
😂😂😂😂😂😏😏😏😏😏😏😏
We no Raisi yani mpaka tundu lissu kakubali kazi zako
Tundu Lissu ndio nani tena? Yule Msaliti na wala hatumtaki abakie tu nje aropoke zaidi
Huyu jamaaa msimchukulie poa miaka 100 mbele hata tokea kiongoz kama huyu
Nakukumbuka sana rais wangu moyo wangu unauma machozi yananitoka
No opposition leader can hold a candle to JPM simply because the man is in a league of his own. That's the best way to describe him
I agree broo
Yani ukiwa unafanya kazi na pesa zakwako unakuwa nasauti kuliko za kukopa kwa mimi nasema ni uzembe wakatwe wapate akili wanazani JPM Kama kikwete uluma nyingi JPM ni Kama mjapani kauzu Kama MGerman tanzania oyeeeeeeeeee
Atakaechagua raisi tofauti na magufuli atakuwa na hitilafu kwenye ubongo wake huyu ni jembe
Kabisaaaaa👍👍👍👍
Ww na mama ako ndo muna hitilafu
Haswa mimi
Atakua ana mtindio wa ubongo au anahamu ya kua shoga
JPM ANATOSHA
Huyu ndiye Raisi wangu nimjuae mimi. Love u JPM
Maghufuli wafaa uwe raisi wa east africa😍😍😍😍
Rais
Tz🇹🇿🇹🇿 love you jp
Kweli
Raisi unanikosha mno
Nilikua naichukia CCM ila huyu baba kanifanya niwe ccm , nampenda huyu baba Bureeeee
Ongera sanaa,wambie na wenzako kuwa CCM kumenoga warudi.
Na mi pia hata kama siko mutanzania ila naunga mkono ccm 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dear Lord help my beloved country Kenya to have such a wise, fair and kind national leader like Magufuli,, May the Lord rest his soul in peace
Magufuli alikuwa WISE?
Magufuli alikuwa FAIR??
MARA YA MWISHO ni lini walikupima akili??
Wewe umedata ni nouma!!!
🤣🤣🤣🤣
@@pcazzo22 eexx
@@pcazzo22 we funga mdomo ya matope!!
Kenya mmepewa Ruto..mtunzeni
@@pcazzo22Pole sana.. unachojua sicho anachojua yule. Ko unachojua chaweza kuwa sahihi au sio sahihi
Daah! Pesa zikiwa za kwetu raha sana yaanii......viva JPM
Ndomaama wanapenda kutupa misaada ili tusijiamini🤣🤣🤣
Sanaaa
@@kelvinjohn6851 ndomana alikataa misahada
Kaka umenikosha😂😂😂!!!
@@josephatmakaranga7043 kwann
Tunapompongeza tukumbuke na kumuombea pia sabab uko nnje hawampendi
Kabisa ila
Kabisa anapigwa vita ya kimya kimya lakn 28 ndyo tutawaonyesha hao mafilauni mabeberu wasiotaka tuendelee
Upovizuri baba fanyayako tupokwaajiliyako wewendio raisi
Kiukwel nimebadili,bora nikupe kura yangu.....
“🤩 Magufuli ali takiwa awe Raisi wa Tanzania 🇹🇿 pindi tu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipo toka madarakani! MWENYEZI MUNGU mbariki Magufuli, MUNGU ibaraki Tanzania na Afrika 🌍;
Amen 🇹🇿🦚🦒🌴🏝🏔🥀❤️🌍🙏🏽”
Amen
Nani Kama magufuri mimi sijui
Hakuna mwingine kama JPM!!! Huyu ndiye mkombozi wa wanyonge. Tanzania hoyeeeeeee.
Hakuna wa kufanana naye.
Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee MUNGU ibariki Tanzania 🙏🙏
@@neemamasimba2981 kabisa
@@kelvinmtavangu8299 omeoneee
TANGU UHURU TUNGEKUWA NA JPM TZ INGEKUWA MIONGONI MWA G20
Nmepitia Comment zote ila hakuna anaepingana na JPM viva watanzania tumemuelewa raisi kwa ujumla
Mlimuelewa sana...🤣🤣🤣🤣🤣
@@pcazzo22 tena Sana tu si alikua mtu mzuri hakua fisad sa kwnn tusimuelewe
Baba wa Watanzania wengine wapiga dili.
RIP shujaa wa Africa,,this was an historic speech full of wisdom poleni Sana wa Tanzania na Africa
The one true son of AFRICA
King of East Africa
Long live the king
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Gone too soon
😭😭😭😭😭😭
😭😭😭
@@paulke5362 gone too late!!
🤣🤣🤣
Safi sana my president!M/Mungu akupe moyo zaidi wa upendo na akujaze baraka afya njema,akupe na maisha marefu yenye afya Tele,aamiiin
Amina
Hapa kazi tu hakuna kulala Safi sana mheshimiwa
@@mwazanimnyamani8493 huyu mh ananifurahisha sana ana uchungu na nchi
@@mwazanimnyamani8493 v
Mr president Magufuli can you rule all African..we need someone like you.
Why don't we join the movement to convince him.
We want to bring out the westerns
To be honest I had this thought yesterday, May be one day Africa will be ruled by Magufuli..And only 10 yrs of his leadership Africa will be like Europe as africa we have everything !😂😂
Thanks for appreciation.
Wher are you from?
🙏🙏 my sister well come in TZ
Welcome in Tanzania🇹🇿.
But in which Country are you from?
MAGUFULIFICATION OF AFRICA!!! PIGA KAZ BABA WASIPOKUELEWA LEO VITABU VITAWAELEWESHA BAADAYE.
Natamani upate kura 10100 kutoka kwangu tuu ...Anyway ntakupa hiyo 1 alafu ZITAJAZWA TUU My President MY JEMBE
Endelea kumuombea yote yawezekana ,Kama ikiwezekana kwa korona hata hili linawezekana
Ingekuwa toka Uhuru mpaka sasa yani tungekuwa mbali hongera our President
The Magufuli legacy,the son of the soil who does not take anything for a mediocre...#tz mumebarikiwa kua na Magufuli
Great
It's so sad 😭😭😭
He is gone
Yeah hakuna kukwepesha pamoja mjomba rais wetu
Watanyooka Mwaka huu.....Tanzania Mpya sio yakuchezewachezewa.hapa kazi tu.
Mimi ni Mkongo lakin namkubali sana huyu Rais, nashanga kaann Watanzania wengine wanampinga.... Ila nadhan hy yote kwajil mmebobea katka Aman ndy maana... Nataman hao wanao ongea waje waish huku Kongo hapo ndipo wataona kuna Umuhimu wa kuwa na Rais kama Maguful.... Sisi Wakongo tunampenda sana huyo Rais.... Nafikiri huyo ndye Simba wa Afrika kwa sasa....! Wenye msimamo kama wake mm nadhan hakuna na kama wapo basi wanaogopa kuuonyesha huo msimamo...
Kbx yaan ubarikiwe Kwa kuliona hilo
2020mpk2025zoteee zako
sifanyi kosa kura yang makufuli oyeeeeeee
oyeeeeee
Ahsante
Safi sana. Tumpe tena
#Magufuli the only one President in Africa🇧🇮
Great president for Tanzania
Bt ww
Mungu akulaze pema jpm ,umetuacha wakati bado tunakuhitaji.
Hapa kazi tu
Simba anaunguruma😄😄😃🤣🤣
Simba anaunguruma nyikaani🤣
That's my president.
Kura yangu umeipata bila ubishi.
Magufuli miaka 25 tena.. Jumla iwe 30 tutakya level za 1st world countries.Sio blablaaa za yule mashavuuuu
Ilikuwachukua miaka mingapi kuijenga Ujerumani hata wewe utumie 30 tu... Asubutu!
Kabisa bro tutakuwa tumefika mbali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mm mpaka afie madarakani
@@geoffreymbotwa4631 habari ndio hyo,katiba sio biblia wala msaafu! Jpm tosha
Kimenuka tenaaa😂😂😂...ilasafisana umenikosha JPM.
Hivi ndivyo inavyopaswa kuendeshwa nchi,mtanzania bila kumpeleka mchaka mchaka haendi
JPM oyeee, you need to be President of Africa
Mwanzoni, sikumuelewaga Huyu baba ila kwa sasa, ihiiiiii🤣🤣🤣viva baba viiivaaaaaa
Kura yangu ni kwamagufuli
Pamoja Sana ,hongera kwa umakini wako.
Looooooh,
Tunataka rais mwenye msimamo mkali namna hii. Ni Anko Magu pekee the Iron man.
Hakuna porojo hapo. Big up Mr Prezida!!!!!?
Nimepitia comment zote ata siwaoni wavimba macho JPM. 💯% Rais mpaka 2035
Habari ndio hyo, wanach tuandamane katiba sio biblia wala msaafu,magufuli adi 2035 safi
Kabisa yan anaebisha huyo atakua hajielew
Namkubali ila bado mitano tu hatuendeshi kiuganda hapo
🤣🤣🤣🤣🤣
Akae mpaka achoke mwenyewe yuko sawa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wamemuua Rais wetu kizembe zembe tuuu
Nashangaa mpaka sasa kwanini kuna watu haqajafungwa!!
Mungu akubariki tupo nyuma yako kwa sala/swala na dua dhidi ya maadui wako hasa wasiowatakia mema Africa na waafrika,Mungu ibariki Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪
Mechiyatalfa
Kwa kweli unanifurahisha sana katika usimamiz had najiskia raha nikiskiliza speech zako
Kuna Wakati watu waliacha kuchabikia mpira na kufuatilia misafara ya Rais Magu hasa alivyokua akisimamishwa njiani
Yaan raha sana
@@pericykiko6198 nakumbuka Kuna kipindi tulikua hatufatilii hata nyimbo mpya Ila tulikua tunamfatilia Magu leo yupo wapi kaongea nn yaan kipind iko daa tulikua tunaringa jaman kua na Shujaa la Tanzania na Africa Magufuli daa kweli heartbroken jaman
Magufuli Kama huwa unapitia comment naomba mtaala wa elimu ya Tanzania ubadilishwe,Tusitumie mtaala wa mkoloni, unaosema tusome ili tuajiriwe),pamoja na lugha, Tutumie lugha ya kiswahili mpaka chuo kikuu.
Aheante
The heavy weight president in Africa. Now feel someone is working for us. Time won't be prolonged for idiots.
You mean the RWANDAN PRESIDENT
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Ww ni mpumbavu
Kk
I'm with you my friend keep on
When you see my SMS I beg your mobile phone
Reply
Natamani ningekua magufuli
Ili waribu Tanzania
Wewe ndie Rais tunaekutaka, Mungu akulinde JPM wetu😍😘
hudio ungozi tunoa taka sisi. Wakenya
Fact bro. Sisi maden itatuua
@@elvismasiga9272 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 welcome to Tanzania the blessed land ...
@@yusufumbwene6845 acha n vumilie kenya tu ..but your currency imeshuka sana .better kenya..
@@elvismasiga9272 itapanda tu ndio tunapambana vita kaa sawa siku moja
@@jackmichael1953 sa currency ikilose value itarudi vipi na wewe..
Asante mkuu hapakazitu
Great hero who can't tolerate nonsense Africa will miss you
That is my beloved daddy 💕🌹🙏🙏🙏 Proudly TANZANIAN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏 I’m crying jamani siwezi kupiga kura nipo huku kwenye corona but I LOVE YOU DADDY Jamani waTZ wenzangu mchagueni babaetu tena he is the best President we have blessed from God jamani. Viva MAGUFULI
Upo wapi cha urembo?
kwan uko nchi gani ndugu
Wow this president kabz ...I wish ningekuwa tz or God kuongezea muda tenah maghufuli jameni ...MTU mkweli kabz hongera kwa kazi yako ...continued rip
tunataka nchi yetu isonge mbele na sio mtu anakuja hapa kutuletea porojo za kiboya then matahira wenzake wanamshangilia...akaanze kuuza nchi ya ubeligiji then ndo aje auze yetu ili tuamin ana uzoefu wa kuuza nchi mamae...JPM vs TZ oyeeee
Can I BE AROUND To VOTE IN TANZANIA I WILL VOTE JPM 100%
Saf hamna kutetemekea ngoz nyeupee bana
Hakuna kuwatetemeke , inabidi waanze kutetemeka wao
Kula yangu umepata
Sawaa mzeee tumeelewaa
Magufuli anatosha
Tutampata wapi raisi mzuri Kama huyu jamani akuna
Tunakuomba uendelee kutuongoza mpaka tutakapo sema yatosha,wewe ni raisi wa kipekee
Nchi yoyote dunian iliyo chini kimaendeleo ili ipige atua inahitaji iwe na rais km huyu,na hata walio wavivu kutafuta hela ni lazima watajifunza kutafuta tu,Na 2020 awe huyu huyu tu ili tujiunze zaid
Uko wapi nikununulie soda??? Maana Kuna watu wasioelewa kabisaa
@@neemamasimba2981😂😂😂😂 wabongo wenye uwanja mpana wa mawazo vichwani mwao ni wachache sanaaaaaa,wengi wao ni weu 2 wafuata bendera
Chaguo langu ni wewe jpm.
Tareh 28 sifanyi makosa mheshimiwa maguful
👏👏👏👏👏👏👏👌
Anatumbua mpk machina hy Commando.
Wapinzani acheni unafiki inamaana hamjaona Millard kapost au mmepita kama upepo?haaahaaahaaa na badoooo
Corona sio ya watanzania . MUNGU ALISHATUHURUMIA NA KUTULINDA
Korona ni kwa ajili ya mashoga ya Ubelgiji viva JPM
Dr John Pombe Magufuli was a prophet. A spiritual and political's rare breed. Ukizingatia mambo yote, hakuwa Rais wa kawaida.
Wataisoma naba baba hapa kaz 2🤣🤣
Kwel naba zitasomwa
Kura zote kwa raisi wa wanyonge
I envy you Tanzania. Kenya ni bure tu
Rais Kama Huyu, Hatuto mpataga Tena, Mungu Amlinde na kumpa ujasiri wa kuijenga Tz Adi igeuke USA🙏
Tulikua tunamhitaji angalau kwa miaka 20 tu.Hakika tungekua mbali.
@@mweyoms5548 tutampata mbeleni inshallah mbele ya safar baada yake2030
God is great
Kiukweli sina lakuongea juu yako ww ndo rais tunayekuhitaji piga kazi baba naomba ubaki miaka mia
I miss JPM.. Still in our hearts
Mtam-miss sana huyo mbwa koko!!
Sisi yaani tunazidi kufurahia yaani hadi raha 🤸🏿♂️🤸🏿♂️🤸🏿♂️🤸🏿♂️
Ata wewe mbwa wa kizungu utakufa na watasheherekea wengi.
@@malikkb6444 🤣🤣🤣🤣 for the time being we're just enjoying the demise of your baboon.
🤣🤣🤣
@@malikkb6444 for the time being tunasherehekea huyo ngedere wenu kufa... pamoja na kujiona mungu-mtu amekufa kama mbwa koko.
Mtam-miss sana...pumbavu zenu!.
🤣🤣
Yn Rais wetu ww cjui hata nikuambie nn mpka ukanielewa......But Allah azidi kukupa nguvu ili uzidi kuliongoza Taifa letu la Tanzania na Africa kwa ujumla🙏🙏🙏🙏
Unasitaili kuwa raisi wetu miaka 20
Am Kenyan n this is my president ....salute ✋🏿 Mr.president...
In Africa if we get 10 presidents like MAGUFULI i think we can go far
I thank you On behalf ov my President🇹🇿🙏
I'm proud of my president.
We can not tolerate that stupid thing,hakuna extension,umeme upo maji yapo pesa zipo ....hiiiiiiiiiiiii👏👏👏👏👏 like za JPM
Uchaguzi lini kwan huyu ndo magufuri bwana
Siyo magufuri ni magufuli
October 28
nakubali xana kwa kazi magufuli jembe mitano tena
Raisi wetu kipenzi wa Kenyaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakukubali saana Mh Rais we2🙏🙏
Kwa Administration 🙏wewe ni kiboko lkn kwenye uchumi ni Poor🙏
Sijui unatafsiri vipi uchumi maana magufuli anagusa uchumi katika utendaji wake kila siku. Mfano hapo ameuliza kama mradi ungejamilika mwezi wa 7 watu wangeanza biashara na kujiingizia fedha sasa kwa kuwa wamepitiliza hizo fedha zitalipwa na nani? Pili alikataa kugunga nchi kipindi cha korona ili uchumi wetu usife na alituhimiza kuchapa kazi kwelikweli. Tatu upanuzi wa barabara na ujenzi wa flyovers ni mkakati wa kukuza uchumi maana magari yatapunguza muda wa kukaa kwenye foleni na watu watawahi makazini sasa cjui mwenzangu wewe umetafsiri vipi ila mpe kura JPM ni rais bora sana kwa taifa letu.
@@kelvinjohn6851 we unaongelea uongozi hapo namkubali kwa %100
Naposema uchumi namaanisha ni kuibana Private sector....
Kuhus swala la kura hilo halina tTizl.lkn kulosoana ni muhimu kwa kila mtu na mtazamo wake
RAIS MAGUFULI I DESERVE TO SAY THAT YOU HAVE TRAPPED ME TO VOTE FOR THE FIRST TIME IN GENERAL ELECTION. Sikuona Rais mwenye msimamo kwa ajili ya nchi yangu. Wote niliwaona ni wapiga dili tu kazi kutupaka uji mdomoni eti wanatangaza tumekunywa. Naomba mwenyezi Mungu anipe uzima na uwezo wa kufika kwenye kituo cha kupigia kura hiyo 28th October nifanye maamuzi sahihi juu yako maana sina namna nyingine ya kukushukuru zaidi ya KURA YANGU.
Kuhusu huyu mgombea ubunge hapa mjini mie simuelewi kabisa. Sipigi kura kwa kuangalia chama bali utendaji mzuri ndio ulimbo wa kuninasa nimpigie kura kiongozi maana mie SIO MWANACHAMA KWAMBA NINA MASLAHI NYUMA YA PAZIA. Naweka mtu anayechapa kazi kama wewe. 🙏🙏🙏🙏nakuombea ushindi wa kishindo usio na mashaka maana mamilioni ya Watanzania wana imani na wewe.
Ndg yangu Leo hii nimesoma comment yako had machozi yamenitoka yaan,na mm ni miongoni mwa heartbroken after Magufuli kupass away,Rest in peace our hero
Jaman kuna mpinzan anakigeugeu aty kamsifia raisa 😀
🤣
🤣🤣🤣🤣🤣ni shidaaas
🤣🤣🤣
mtaje tumjue 😀😀😀
@@dinho6292 tutajie tumjue bhana ???
Huyu ndo Rais Rais narudia Rais Watanzania mnakwama wap?
Verry intelligent, we appriciate you Mr. President we love 😍
allah bless you mr president
Kwa mwendo Huu baba
Kura yangu we chukuwa
Mama samia!!!!!!!
Why don't you see this to your colleague, kama nikupoteza basi hapa tumepoteza tena saana .. yaaan only thing you do is to let him down aonekane he is nonsense president?
Sometimes we comeback here to review this clip to be honest inauma saana , tulijua upo nayeye pamoja kumbe u was there for your benefit.
Alipo semaga we here for the benefit of poor people and we have to save poor people alimaanisha.
At least ungefanya hii miaka iliyo baki kama mlivo panga then bada ya election ufanye branda unazofanya.
To be honest mama unatuumiza saana hasa unapo fanya mambo tofauti na aliyo/mliyo panga na mh raisi JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Machozi ya wanyonge hayaendagi bule fanya kazi ukijua hyo ni dhamana umepewa na sio vinginevyo
RIP jpm
Daaaaaaah!!!!!!😭😭😭😭😭
This man is not a dictator as it has been said all over
This is what he should do to get things done.i like the quality in him
Thanks bro.. atleast i av a friend thinking wat av always thought. People confuse being strict ad straight with dictatorship.
I love you my present
Oh Africa, how you will miss this great son and statesman. God thank you giving Africa this great son, now that you have called him, please anoint others several times more to restore Africa and cover the long years of shame and reproach, in Jesus name!
MIMI binafsi sitakusahau milele
MY dear dady😭😭😭😭😭😭😭
I really feel him..fedha za maskini hope uhuru should follow his steps too😭😭😭r.i.p maghufuli
Kiukwel maguful ni rais wa wote mwenyez mungu azid kutujalia marais wafatao wawe kama magufuri.
Safiii sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM
Chezea raid magufuli ww utakoma kujisahau
@@aliabmugh2362 9
Rais aliyeteuliwa na Mungu