Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu
Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.
Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana
Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are
Ugonjwa hukutaarifawa baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza
It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake
Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu
Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.
Mzee mwinyi siyo mnafiki mungu ampe maisha marefu
Natuwe pole sana Kwa mzeewetu ambaye. Mwenye hikima nabusara Allah ampe peponchema yafiridausi
Mpendwa wetu Babu Ali Hassan Mwinyi hata Sawa tunakupenda Sana pia. Tumefurahi kukuona.
Viongozi wa Tanzania tujifunze mfano kutoka kwa mzee Mwinyi uadilifu na wema niakiba duniani na aghera
Huyu mlinzi anastahili sifa anajua kilakitu angalia anatoa ishara ss basi mzee hamudu tena big up sana mlinzi wa babuyetu
Mzee ruksa, uliwapenda sana watanzania na walipokusumbua uliwapa ruksa kufanya watakavyo. Hongera kwa wema wako. Mtoto akililia wembe mpe!
Nifahari yetu watanzanzia tumuombee mwenyezi mungu aendelee kumlinda babu yetu kipenzi nafalijika sana wenzetu hawana
Jamani Mzee Mwinyi
Asante mzee Mwinyi Kwa busara zako za kweli
Mbona nazidi kumpenda huyu mzee?
Daa tuko mwisho wa dunia askofu kavaa barakoa waumini hawana Sasa hapo Nani anaimani na mungu zaidi
Nami nimeona hata baadhi ya viongozi wameanza kuvaa wakati enzi za uhai wa jembe tulikua tunawaona wakiwa bila barakoa
Barakoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe kuchukua tahadhari kuna mtu anaona ni muhimu na kuna mtu anaona siyo muhimu hivyo yaani
Wee inakuhusu nini ?
Mungu amuweke anasoma bila miwani na bado vitu havimpotei sana
Naangalia hii clip kwa mara ya nne sichoki ngoja kwanza kijana wangu mheshimiwa rais usinichoke
Mm huangalia daily sichoki🙈
Mzee yuko fiti mno💪💪 miaka 96 anasoma bila miwani👌👌👌👌
Mzee Mwinyi hongera Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi kweli maisha ni hadithi
Asante baba
Great leader!!!...Mzee Mwinyi uzee mwema kwako... hakika uwepo wako ni faraja kwetu kama taifa.
Mzee mwinyi anazeeka na kuzidi kupendwa na watu walitamani aendelee na hotba yake wapate kujifariji kwa kupunguza machungu
Huyu Mtu Mzee Mwinyi....Safi Sana... Huyu anajua tulipotokea....Tz
Jamani mzee mwinyi ajengewe sanamu Kama mzee wa busara kamfanya Hadi mama Janet magufuli kusahau yupo msibani kumchekesha mfiwa sio kazi ndogo
MZEE MWENYE ROHO NYEUPE HUYOOO.❤❤ ❤. MUNGU AZIDI KUMPA NGUVU. HANA ROHO YA WIVU MZEE WA WATU. ROHO YAKE NYEUPEEE KWA KWELI. BABA LA BABAA.🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Bodyguard wa Rais anacheka hadi anajishtukia 😅😅
Mzee mwinyi Allah Akuongoze
Tunakupenda Sana babu yetu😍
Safi sana rais mstaafu mwenye hekima kubwa sana nchini
Mungu akupe heri ya miaka mingi baba.
Huyu mzee ruksa anapendwa sn na Watanzania kwa sababu ya ucheshi wake. Yupo poa sn babu yetu. Mungu akuweke mzee Mwinyi.
Big up Mzee wetu
alitukanwa Sana na mwalimu huyu kisa kutetea wananchi wanyonge wa nchi huyu ndiye alikuwa mtetezi wa kweli wananchi..!
Huyo ndio BABU wa TAIFA LETU
Safi sana rais wetu mstaafu mkweli na mwaminifu.
Hahaha mzee yupo peace sana, kasahau alipo na jina la marehemu
Ujumbe mamaafrica Mungu akusadie
Pepo hiyoo mzee mwinyi.
More Great Memory
inauma sana
❤❤
Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana
Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are
Ugonjwa hukutaarifawa
baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza
Get well soon Rais Mwinyi
Uombe mungu atupe umri na hekima kubwa Kama huyu mzeeeere
Hazina ya tanzania ni mzee mwinyi.
Hotuba Nzr Kabsa Na Yenye Mapenz Ya Kwel Kutoka Kwa Babu Yetu Mzee Mwinyi Tumekuelewa
Kikwete je?
Leo machinga wanalia na kujuta kuzaliwa Tanzania,kama si nchi Yao tena
Maisha ya mwanadamu ni hadithi ifanye basi kuwa hadithi njema kwa kuishi maisha mema watakosimuliwa hadithi yako watabasamu kwa hadithi nzuri
miaka uliyonayo na bado unaona vyema kiasi cha kuweza kusoma Mungu akubariki sana.
Wote nyie ndio mliokula bila kujali wana nchi mungu atawashughulikia tuu
Pliz current Samia suruhu (prezido) I kindly beg u to fullfil the late j p m plan Tanzania &Africa as large will pray for u allahuma amina
That's apoint mzee xprezido hassan mwinyi thx for your crutial speech long live mzee
KWELI, MZEE NDO MAANA KILA MWEMYE HEKIMA ANAKUPENDA. MUNGU AKUZIDISHIE AFYA NJEMA.
Wapole hawa watanzania.Napenda mipangilio ya hotuba zao.Waadilifu wa maisha.
Watanzania mungu amewabariki na ma rais wazuri tangu mpate uhuru .Kenya kwetu huku ni wakabila tu na matapeli
Hahaha maisha bwana. Mzee ruksa amezeeka sana hajui anachoongea. Binadamu si kitu
Shikamoo Babu
Mzee rukhsaa i 😀
❤❤❤😂😂😂
Rais Magufuli alifanya Yale ambayo viongozi wengi hawakuweza na hawaweezi fanya. Rip Jpm.
Sasa huyo delila mbona kafirisi alivyotafuta.mwezake
Ningependa kwenye mazimisho ya mwaka Wa magufuli mgen rasmi away mstafu All Hasan mwiny
Kisima cha busara na hekima
Kweli kabisa Mheshimiwa natamani hutob yako iendelee
Mama sitti hahaha
Baby wa jamhuri ya Tz ishi zaid bado tunahitaj ushauri wako babu mwema usiye naupendeleo kwa wajukuu zako
Shaka na Mso....Shughuli zimezidi...zipi?
MUNGU akusidishie umri Tena Babu
Hekima ni ya uraisi
Novena ya siku 54 na Padri Mbiku
Wazee ni hazina
It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake
But you have a good president in your country(museven)...
Kmc yanga
Mung mlaze mh: jpm mahali pema peponi amina
Kwakweli tutakukumbuka daima hayati Rais Dr Magufuli, pia babu Rais mstaafu wa awamu ya pili Mungu azidi kukujalia miaka mingi zaidi. Amen
Namwenyewe magufuri alisema atakuja raisi wamana zaidi yake najiuliza aliyemsema ni uyu ama
Mkutano wotee huo sijaona mtu ambaye anauzuni sana kama mlinzi aliyosimama nyuma ya raisi mstafu mwinyi
Wote wamejaa wamefulahi naumia mm myonge JPM ameumiza moto wangu
Watanzania tunajivunia kuwa na wewe Babu yetu wa Taifa
Wewe Ndiyo unajivunia Siyo Watanzania wote
Huyu mlinzi kama.ana hasira Sana kwn hajui Kama.huyu Ni mzee sna
Yuko kazini. Ni kawaida
Akicheka hapati mshahara
Hajanuna ndo alivo commando sura ya kazi
Oooh
Hata Mimi cmuelewi
Rais wa busara
M/mungu akujaalie Afya njema Mzee wetu