Mwinyi: "JPM Aliushangaza Ulimwengu/Suala la Kuhamia Dodoma Amefanya kwa Miaka 2, Sisi Miaka 40

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 มี.ค. 2021
  • #CloudsDigital​ Imekuwekea speech kutoka Chato Nyumbani kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli #JohnPombeMagufuli​ #Chato​ #PumzikaBaba

ความคิดเห็น • 96

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 3 ปีที่แล้ว +10

    Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu

  • @pierreclaverhavyarimana8735
    @pierreclaverhavyarimana8735 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee mwinyi siyo mnafiki mungu ampe maisha marefu

  • @mohdndevu9910
    @mohdndevu9910 5 หลายเดือนก่อน +1

    Natuwe pole sana Kwa mzeewetu ambaye. Mwenye hikima nabusara Allah ampe peponchema yafiridausi

  • @believerswords579
    @believerswords579 3 ปีที่แล้ว +5

    Mpendwa wetu Babu Ali Hassan Mwinyi hata Sawa tunakupenda Sana pia. Tumefurahi kukuona.

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji2872 2 ปีที่แล้ว +4

    Viongozi wa Tanzania tujifunze mfano kutoka kwa mzee Mwinyi uadilifu na wema niakiba duniani na aghera

  • @sumaali873
    @sumaali873 3 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mlinzi anastahili sifa anajua kilakitu angalia anatoa ishara ss basi mzee hamudu tena big up sana mlinzi wa babuyetu

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 2 ปีที่แล้ว +4

    Mzee ruksa, uliwapenda sana watanzania na walipokusumbua uliwapa ruksa kufanya watakavyo. Hongera kwa wema wako. Mtoto akililia wembe mpe!

  • @michaelkimamule7979
    @michaelkimamule7979 3 ปีที่แล้ว +11

    Nifahari yetu watanzanzia tumuombee mwenyezi mungu aendelee kumlinda babu yetu kipenzi nafalijika sana wenzetu hawana

  • @jeremiamisholi1999
    @jeremiamisholi1999 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante mzee Mwinyi Kwa busara zako za kweli

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 ปีที่แล้ว +13

    Mbona nazidi kumpenda huyu mzee?

  • @eneamhama8311
    @eneamhama8311 3 ปีที่แล้ว +7

    Daa tuko mwisho wa dunia askofu kavaa barakoa waumini hawana Sasa hapo Nani anaimani na mungu zaidi

    • @sa3dasa3da87
      @sa3dasa3da87 3 ปีที่แล้ว

      Nami nimeona hata baadhi ya viongozi wameanza kuvaa wakati enzi za uhai wa jembe tulikua tunawaona wakiwa bila barakoa

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 3 ปีที่แล้ว +1

      Barakoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe kuchukua tahadhari kuna mtu anaona ni muhimu na kuna mtu anaona siyo muhimu hivyo yaani

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 3 ปีที่แล้ว +1

      Wee inakuhusu nini ?

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava 3 ปีที่แล้ว +6

    Mungu amuweke anasoma bila miwani na bado vitu havimpotei sana

  • @abcxyz3740
    @abcxyz3740 3 ปีที่แล้ว +11

    Naangalia hii clip kwa mara ya nne sichoki ngoja kwanza kijana wangu mheshimiwa rais usinichoke

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 ปีที่แล้ว +10

    Mzee yuko fiti mno💪💪 miaka 96 anasoma bila miwani👌👌👌👌

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 2 ปีที่แล้ว

    Mzee Mwinyi hongera Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi kweli maisha ni hadithi

  • @tumainimalkiori7142
    @tumainimalkiori7142 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante baba

  • @jeremiahburton8999
    @jeremiahburton8999 3 ปีที่แล้ว +2

    Great leader!!!...Mzee Mwinyi uzee mwema kwako... hakika uwepo wako ni faraja kwetu kama taifa.

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava 3 ปีที่แล้ว +3

    Mzee mwinyi anazeeka na kuzidi kupendwa na watu walitamani aendelee na hotba yake wapate kujifariji kwa kupunguza machungu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Mtu Mzee Mwinyi....Safi Sana... Huyu anajua tulipotokea....Tz

  • @bonifacemtei2207
    @bonifacemtei2207 3 ปีที่แล้ว +5

    Jamani mzee mwinyi ajengewe sanamu Kama mzee wa busara kamfanya Hadi mama Janet magufuli kusahau yupo msibani kumchekesha mfiwa sio kazi ndogo

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน

    MZEE MWENYE ROHO NYEUPE HUYOOO.❤❤ ❤. MUNGU AZIDI KUMPA NGUVU. HANA ROHO YA WIVU MZEE WA WATU. ROHO YAKE NYEUPEEE KWA KWELI. BABA LA BABAA.🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @godlydanny1511
    @godlydanny1511 3 ปีที่แล้ว +3

    Bodyguard wa Rais anacheka hadi anajishtukia 😅😅

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee mwinyi Allah Akuongoze

  • @casmirpeter1293
    @casmirpeter1293 3 ปีที่แล้ว +2

    Tunakupenda Sana babu yetu😍

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana rais mstaafu mwenye hekima kubwa sana nchini

  • @lucasalphonce7820
    @lucasalphonce7820 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe heri ya miaka mingi baba.

  • @letshikuku39
    @letshikuku39 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mzee ruksa anapendwa sn na Watanzania kwa sababu ya ucheshi wake. Yupo poa sn babu yetu. Mungu akuweke mzee Mwinyi.

    • @suleimansadalla5606
      @suleimansadalla5606 2 ปีที่แล้ว

      Big up Mzee wetu

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 2 ปีที่แล้ว

      alitukanwa Sana na mwalimu huyu kisa kutetea wananchi wanyonge wa nchi huyu ndiye alikuwa mtetezi wa kweli wananchi..!

  • @sadikingonyani315
    @sadikingonyani315 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyo ndio BABU wa TAIFA LETU

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana rais wetu mstaafu mkweli na mwaminifu.

  • @meshackmalele5386
    @meshackmalele5386 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha mzee yupo peace sana, kasahau alipo na jina la marehemu

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 2 ปีที่แล้ว

    Ujumbe mamaafrica Mungu akusadie

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 ปีที่แล้ว +1

    Pepo hiyoo mzee mwinyi.

  • @francisskapufi4972
    @francisskapufi4972 2 ปีที่แล้ว

    More Great Memory

  • @levistv838
    @levistv838 5 หลายเดือนก่อน

    inauma sana

  • @user-zm9ox5xu9p
    @user-zm9ox5xu9p 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @abcxyz3740
    @abcxyz3740 3 ปีที่แล้ว +4

    Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 ปีที่แล้ว

    Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are

  • @kanyamageorge7015
    @kanyamageorge7015 2 ปีที่แล้ว

    Ugonjwa hukutaarifawa
    baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 หลายเดือนก่อน

    Get well soon Rais Mwinyi

  • @ChristopherMillanzi
    @ChristopherMillanzi 5 หลายเดือนก่อน

    Uombe mungu atupe umri na hekima kubwa Kama huyu mzeeeere

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 ปีที่แล้ว

    Hazina ya tanzania ni mzee mwinyi.

  • @abdulijongo1355
    @abdulijongo1355 3 ปีที่แล้ว +1

    Hotuba Nzr Kabsa Na Yenye Mapenz Ya Kwel Kutoka Kwa Babu Yetu Mzee Mwinyi Tumekuelewa

  • @farajamwito7242
    @farajamwito7242 2 ปีที่แล้ว +2

    Kikwete je?

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 2 ปีที่แล้ว +1

    Leo machinga wanalia na kujuta kuzaliwa Tanzania,kama si nchi Yao tena

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 2 ปีที่แล้ว +1

    Maisha ya mwanadamu ni hadithi ifanye basi kuwa hadithi njema kwa kuishi maisha mema watakosimuliwa hadithi yako watabasamu kwa hadithi nzuri

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 2 ปีที่แล้ว

    miaka uliyonayo na bado unaona vyema kiasi cha kuweza kusoma Mungu akubariki sana.

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 4 หลายเดือนก่อน

    Wote nyie ndio mliokula bila kujali wana nchi mungu atawashughulikia tuu

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu ปีที่แล้ว

    Pliz current Samia suruhu (prezido) I kindly beg u to fullfil the late j p m plan Tanzania &Africa as large will pray for u allahuma amina

    • @ZediKangulumira-pk2uu
      @ZediKangulumira-pk2uu ปีที่แล้ว

      That's apoint mzee xprezido hassan mwinyi thx for your crutial speech long live mzee

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 6 หลายเดือนก่อน

    KWELI, MZEE NDO MAANA KILA MWEMYE HEKIMA ANAKUPENDA. MUNGU AKUZIDISHIE AFYA NJEMA.

  • @washingtonmbiti9348
    @washingtonmbiti9348 6 หลายเดือนก่อน

    Wapole hawa watanzania.Napenda mipangilio ya hotuba zao.Waadilifu wa maisha.

  • @bensonatumbwa745
    @bensonatumbwa745 ปีที่แล้ว

    Watanzania mungu amewabariki na ma rais wazuri tangu mpate uhuru .Kenya kwetu huku ni wakabila tu na matapeli

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 5 หลายเดือนก่อน

    Hahaha maisha bwana. Mzee ruksa amezeeka sana hajui anachoongea. Binadamu si kitu

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 ปีที่แล้ว

    Shikamoo Babu

  • @samahamed2418
    @samahamed2418 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee rukhsaa i 😀

  • @mohdndevu9910
    @mohdndevu9910 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤😂😂😂

  • @ramadhanmgaya1775
    @ramadhanmgaya1775 ปีที่แล้ว

    Rais Magufuli alifanya Yale ambayo viongozi wengi hawakuweza na hawaweezi fanya. Rip Jpm.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyo delila mbona kafirisi alivyotafuta.mwezake

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 2 ปีที่แล้ว

    Ningependa kwenye mazimisho ya mwaka Wa magufuli mgen rasmi away mstafu All Hasan mwiny

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +1

    Kisima cha busara na hekima

  • @safarisimukoko5089
    @safarisimukoko5089 2 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa Mheshimiwa natamani hutob yako iendelee

  • @nathaliaerasmi5562
    @nathaliaerasmi5562 3 ปีที่แล้ว +2

    Mama sitti hahaha

    • @biswalouniversal2586
      @biswalouniversal2586 2 ปีที่แล้ว

      Baby wa jamhuri ya Tz ishi zaid bado tunahitaj ushauri wako babu mwema usiye naupendeleo kwa wajukuu zako

  • @kanyamageorge7015
    @kanyamageorge7015 2 ปีที่แล้ว

    Shaka na Mso....Shughuli zimezidi...zipi?

  • @brevickkanai8627
    @brevickkanai8627 ปีที่แล้ว

    MUNGU akusidishie umri Tena Babu

  • @user-fe2ed5ej9f
    @user-fe2ed5ej9f 7 หลายเดือนก่อน

    Hekima ni ya uraisi

  • @williamdaudi5588
    @williamdaudi5588 2 ปีที่แล้ว

    Novena ya siku 54 na Padri Mbiku

  • @babulomitu140
    @babulomitu140 2 ปีที่แล้ว

    Wazee ni hazina

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu ปีที่แล้ว +4

    It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake

    • @ibrahimomari2458
      @ibrahimomari2458 4 หลายเดือนก่อน

      But you have a good president in your country(museven)...

  • @user-pg9lo3dz1f
    @user-pg9lo3dz1f 5 หลายเดือนก่อน

    Kmc yanga

  • @mickidadynhayo707
    @mickidadynhayo707 3 ปีที่แล้ว

    Mung mlaze mh: jpm mahali pema peponi amina

    • @chakubutaedmond6298
      @chakubutaedmond6298 ปีที่แล้ว

      Kwakweli tutakukumbuka daima hayati Rais Dr Magufuli, pia babu Rais mstaafu wa awamu ya pili Mungu azidi kukujalia miaka mingi zaidi. Amen

  • @makupeamri5659
    @makupeamri5659 2 ปีที่แล้ว

    Namwenyewe magufuri alisema atakuja raisi wamana zaidi yake najiuliza aliyemsema ni uyu ama

  • @dezasumailcostaricahamis5429
    @dezasumailcostaricahamis5429 2 ปีที่แล้ว

    Mkutano wotee huo sijaona mtu ambaye anauzuni sana kama mlinzi aliyosimama nyuma ya raisi mstafu mwinyi

    • @tusaangulile1400
      @tusaangulile1400 2 ปีที่แล้ว

      Wote wamejaa wamefulahi naumia mm myonge JPM ameumiza moto wangu

  • @haitumikitena4978
    @haitumikitena4978 3 ปีที่แล้ว +3

    Watanzania tunajivunia kuwa na wewe Babu yetu wa Taifa

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 2 ปีที่แล้ว +2

      Wewe Ndiyo unajivunia Siyo Watanzania wote

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 3 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mlinzi kama.ana hasira Sana kwn hajui Kama.huyu Ni mzee sna

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 ปีที่แล้ว

    Rais wa busara

  • @user-mt7cq4us3g
    @user-mt7cq4us3g 7 หลายเดือนก่อน

    M/mungu akujaalie Afya njema Mzee wetu