Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 มิ.ย. 2019
- Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
Rais Dk John Magufuli amelitaka shirika la umeme nchini TANESCO kuwasaidia wabunifu na wazalishaji ili waweze kuzalisha umeme mwingi zaidi.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokutana na John Mwafute pamoja na Gairos Ngairo ambao ni wakazi wa Mkoa wa Njombe wanaojishughulisha na uzalishaji umeme kwa njia ya maji na kusambaza kwa wakazi katika maeneo yao, Ikulu jijini Dar es salaam ambapo wazalishaji hao wamepewa jumla ya shilingi millioni 55 kwa ajili ya kuendeleza kazi zao, ambapo Rais amewachangia milioni tano,
Aidha katika hatua nyingine Rais Magufuli ametoa maagizo wabunifu hao kupewa cheti cha kutambua mchango wao katika maendeleo ya Taifa, na kuongeza kuwa kwakuwa wao hawana elimu yoyote juu ya umeme CHETI hicho ndicho kitakuwa utambulisho wao.
#IKULU
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Wangapi tunaangalia 2024 tunatamani siku ziludi nyuma tuwe na raisi wetu MGFL leo umeme umekua dhahabu 😢😢😢😢😢
Dah inauma sana
hamna tumlaumu tu si alikua dikteta? haya sasa na tujionee..... @@sixberthcostantini9290
Nipo naangalia baada ya shida ya umeme kutokea 2024
KAMA UNAAMINI MAGUFULI ATALUDI NGONGA LIKE HPA
Huyu ndie kiongozi tunae mhitaji Tanzania. Na atakae kuja ajipange tunataka awe zaidi ya huyu "Tudhamini Vyetu kwanza".🇹🇿 kama tupo pamoja gonga like!
Jamaa anatisha,, kweli hujui faida ya kitu mpaka kikutokee 😢😢
This man was something else... May his soul find eternal peace
Huyu ni OUR HISTORY PRESIDENT KATIKA NCHI YETU,JAMANI SIJAWAHI KUPIGA KURA MAISHA YANGU,TO BE HONESTY KURA YANGU NA YA RAIS WANGU TU JPM,ni kuomba uzima tu INSHAALLAH tuombe uhai🙏🏻
Hapo umeanza kuzungumza
Kama umesikia gonga like apa
Mh. Rais hongera sana kwa kuwaona wabunifu wetu wa ndani. Hao watu wapewe kibali mh. Rais wauze umeme na wapewe makadirio wachangie kodi serikalini. MUNGU AKUBARIKI SANA
Mh Rais wewe ni wamfano Duniani, Mwenyezi mungu akupe Afya njema ili ulitumikiye Taifa hili la Tanzania. Mh, Rais kwa uchapakazi ulionao wewe, miaka kumi ya kikatiba haitoshi , Mwenyezi mungu ametuchaguliya kiongozi sahihi, kwa maoni yangu, utuongoze miaka kumi na Tano, Inchi yetu itakuwa ya mfano wa kuigwa Duniani.
Raisi mwambie akujibu uyoo
Really if we go in this way really we are going to fly soon and reach to Canan, congraturations our beloved president
Lugano imon
Mheshimiwa raisi, sisi wote tunakukubali.Kwa kweli ni hodari ktk. kila sekta, hudanganyiki. Tunakukubali ,hongera sana.
jembe LA tz imulike manyara kiteto Sunya utaona mapungufu makubwa sana tena sana
Yani mpaka namuonea imani huyo Baba wa Tanzania 🇹🇿 badilikeni jamani tu m support Rais wetu haya maendeleo ni ya kwetu sio yake acheni ubinafsi watu mko kwa matumbo yenu tu
KAMA UMESIKIA MKURUGENZI AKIMWITA RAIS MH. WAZIRI GONGA
😂😂😂 keshafurugwa yule
Just tell me, to defend your job, Kama umesikia hiyo gonga like hapa..
Hapana mchezo na JPM subutuu utumbuliwe...
Duh kweli ww ndio raisi
Hili jamaa lina akili sana mpaka basi, a kind of genius president Tanzania ever had including Nyerere and Mkapa, big up JPM, karibia kila field anajua, engineering and Chemistry so far!.
Mr President Dr Magufuli aka Ability nyingi.
hili jamaa ni noma la manoma
Asante hiyo point ya vyura,fuvu la mtu wa kale lipo karibu kuibiwa tanzania hii,hawamsaidii raisi
So proud of this president. God Bless 🇹🇿
Kunawakati mguu , useme utetee kazi
And you will never see these type of people - kwasababu hamna 10% - hapa.
We miss you JPM,Itatuchukua miaka mingi sana kupata kichwa kama hiki
Hatutampata
Rais miaka 10 hajanitosha Kwa maoni yang uendelee mpaka 2030 itakuwa powa Sana saluti kwako siyo Kwa ccm
Mimi kwa miaka 2030 ajatosha kwa maoni yangu awe wa maisha kwangu ndio safiii iiiii
Yaani mpaka awe anashikiliwa na watu ndio tutamuondoa
Kwer
sio 2030 awe kama wale u.a.e ingekuwa poa Sana my opinion
Duuu kufanya kazi na Magufuli inabidi uwe na akili nyingi sana. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
Dah. Namkubali sana mkuu wa majeshi yetu. Hakuna keshe, mi ningejibu naenda sasa hivi mzee.
I'm proud of you my president! This country needs you more! May God bless you.
Najisikia kulia ninapoona Rais wangu anaumia kiasi hiki!!!
Tubadilike jamani!!
Nashindwa niseme nini kumpoteza uyu baba mungu ndo anae jua.nitalia mpaka na Mimi nitakapo mfata uko aliko baba angu magufuri😭😭😭
Baba Nkulu Wiswe Magufuli Olame Welelo..Nakupongeza nakupenda raisi wangu!!Mungu NDIYE aliyekuleta Tanzani.Wabunifu tuko wengi tumsaidie baba.
Want the full video.
Rest in power Dr JPM 🎉 🙏
Forever in our hearts 💕
A true son of Africa.
In our eyes, you will always be a hero ❤️
kwel iv ndo kiongoz anatakiwa kuwa..,Dr.JPM I real appreciate this man.
mungu wangu akuongezee hekima zaidi ktk haya
Who is watching this after this big mess of Tanesco & Dawasco Nov 2021
Rais Wangu. Mungu akutunze, akupe Maisha Marefu. Unahitajika sana. Mambo ni mengi inasikitisha sana. Mungu akutie Nguvu una kazi Ngumu sana.
Magufuli has to be given more time to fix the country. Tanzanian should stand up and add more time for him
Muheshimiwa Rais ww safi nakukubali sana 100% president ww geneus
Zaid ya genous
Tanesko wamejiumauma sana wanajifanya hawawajui hao wazee wkt wanawajua😂😂😂 Hao wazee wapo kitambo sana mitaa hiyo na habari zao zinafahamika sana
Raisi Mugufuli you are God sent. Mungu akulinde, akupe afya, na nguvu undelee na kazi njema unayofanya.
Our president Magufuli sina neno kwako, nakukubali haijawahi kutokea.
Big up Mr President JPM yaani tulizoe maneno meeengi upigaji mwiingi lakini utendaji ulikuwa zero... Sasa Umeingia JPM maneno kidogo vitendo super.. Good.. I admire you so much...
Walijua kutuibia kwa maneno wakishasema habari za tathimini na research basi tunaishia apo na ndio inakuwa imeisha
Rais ww wazir ww hii noma
Kweli rais wetu Magufuli una utu ndani yako, Mwenyezi Mungu akujalie hekima, busara na uzalendo ambao unaendelea kuionyesha.
Tunakuombea sana, we ni wetu
Everlasting love and respect kwako uncle magufuli wewe kweli ni kocha mchezaji
Aloooo MZEE BABA nakukubali , muda sio mrefu tutasonga mbele ka mishale, bravo Mr President JPM
Darasa la saba tupo apa niite mimi siku unipe kitengo chochote niongoze awo wasomi nakumbuka bibi zetu awakusoma kama hao lakin utendaji wa kazi ni zaid ata ya hao wasomi
Pamoja sana
Mimi ni mkenya lakini nafwatilia sana Raisi bombe magufuli wa Tanzania. Ni Raisi wa kumwenzi sana,nampa heko kwa Kazi nzuri anayo fanya.
Hahahaaa. Kuna mjeshi kajibu naondoka nao. Safi sana, hapa kazi tu. Lazima tufike tu hata kwa bakora. Hakuna wiki tatu hapa. La saba yulee, kapata uboss juu. 😆😆😆Nani mwingine anataka kuongea. 😆😆😆
Lovely president its only God can provide a person like u
Tatizo la Africa. Tunathamini technologia ya nje
Uo ndio ukweli tunataka umoja wa mataifa pamoja na marekani waseme ndio tuone ni kweli au haki
Njombe kuna maporomoko mengi. Kuna opportunity ya kuzalisha umeme kwa bei rahisi
Kusema kweli Tanzania 🇹🇿 imepoteza kiongozi, Africa tunahitaji kiongozi kama huyu, Mungu mrehemu msamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi Amen.
Viongozi hawamsaidii Rais, plain and simple.
Jpm ni kiongozi making na anatosha
Raisi wangu mm nakupenda sana Mungu akurinde skuzote na udumu miaka mingi ktk uongozi wako
Mungu akulinde mpaka tuonane, Watu wema maisha yao mafupi"Tungekuwa mbali Magufuli! Kama kulipita njama ya kuutoa uhai wako,Mungu atawaumbua mchana kweupe ' wameshaanza kuropoka hadharani"
Aisee Global TV online,, fatilia hii kitu hadi mwisho jamanii, .!!
Aiseee Tanzania tumepata Rais, huyu ndio kiongozi bora kwangu.Viongozi wengine tujifunze kwa huyu.
pongezi kwako Mh Raisi asee kwakweli una uchungu na hii nchi
I cant see a president like you GOD bless
Magu baba tunakukumbuka naendelea kujifunza kupitia kumbukizi zako #25/04/2021
Na Global Tv. Tunahitaji Feedback za hawa Genious wa Tanzania... Please!!!!
Baba ni baba ...ila mama hapa kwa tanesco kapoa sana ..
Mguu pande mguu sawa ni mwendo wa KIJESHI tu no kubembelezana
Limenishtua sana hilo tangazo nilijua ndo uchambuzi waDAMPO LEVO unakuja kwa kishindo. Dah.. Live longer than the long itself Mr. JPM 5
Mkawe vibaruwa wa hawa huyu mzee noma sana 😅😅
10:40 Heart touching
HApo kazi TUUU MH Rais MAGUFUli utendaji bola
Hongera sana raisi wetu kwa kuongoza nchi kwa ufasaha na kuomba utukumbuke huku tanga lushoto baba asante
Tutampata lini mtu kama magufuli? Ana akili, anambinu, mbinifu, anaamuzi. Haogopi hata kama lingeonikana gum kiasi gani
Mungu aendelee kutupa viongozi kama hawa... kiongozi mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yake.
whose here after the pass on of our beloved President John Magufuli?
Hiyo ndo rais viongozi wengi mbubu hawajui tunataka nini?
I envy the angels in heaven coz they have gain a soul we have lost 😭😭😭😭😭
Viongozi wengi rais ni mbumbu wamesoma siyo wabunifu
Yani raisi unamuita mbumbu ubarikiwe sana
@@emmapoulo3651 ww sio muelewa rudia tena kusoma comment yake
8:10 mungu turudishie john wetu japo nikama ninakukufuru ira tuurumie😢😢❤
Watu wanjombe Wana akili Sana. Pongezi kwa watu wanjombe🤸🤸👏👏
2024 bado tunakuona upo hai Baba
Jamani ongeeni daaaah watu wanaogopa uyu mtu alikua kichwa sana
Mungu akupe maisha marefu
Dharau za hao wasomi ndio maana hatupush technology ya kwetu, Hapo Costech walitakiwa kubanwa pia Na watumbue
Big up sana
Namkubali sana Rais wangu mungu mkubwa
Nakupongeza sana Raisi wangu na ninakupenda sana tangia umeingia madarakani hata mimi nimepiga hatua kubwa sana katika maisha yangu.. hakika Mungu azidi kukupa pumzi zaidi ili watanzania tuzidi kunufaika
Mungu akubaliki Baba
🙏🙏🙏
Hii ndio kasi ya aliyekuwa rahisi wetu, hakika umetutoka na umetupigania sana wallah, MUNGU akulipe heri uko ulipo.
Mheshimiwa rais yan wewe huna mpinzani mpka utakapoamua kustaafu.
Mungu akulinde sana
Hahahaha Magufuri anaendeshaa nchi kama Baba nimependaaaa sanaaaa Nakupendaa rafisi wangu mzazi wa nchi Tanzania
Huyu mzee alikuwa ni Kama mzazi kwakweli 😁😂
Akili nyingi mpaka zinamwagika,pumzika kwa amani baba Magufuli❤❤❤❤
Mzee anafata nyao za marais wakubwa walioleta maendeleo ya kudumu Hadi
Italy-Benito Mussolini
German-Adolf Hitlaa
China-mao the dong
Us -Ibrahim linkon
Among others
This the steps are same but the took long time of power
A really leader is you magufuli unafaa
Ningekuwa ni mimi ningesema Mh. Rais ukitoka hapa mimi ninaenda nao hawa Mashujaa wa Utafiti na ugunduzi wao. Mh. Rais Sikupoteza kura yangu. Km ningekuwa ni mimi ndio Mtz pekee mwenye maamuzi ningekupa ongoza nchi hii hadi wenye kutudharau walio ishia darasa la saba eti hawajasoma na kumbe kwenda secondary ama college siyo sababu. Wengine tulikosa shule kutokana na upungufu wa shule zilizokuwepo. Hongera sana TBC endeleeni kuwavumbua wenye vipaji tuko wengi Tz. Na mkiwavumbua wengine watumbuliwe wazembe na washenzi hao hasa Tanesco. Huyo wa miwani hafai kabisa
Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli kutuonyesha mapambano ya kila siku kuwafungua macho viongozi na raia
Jamani mimi nampenda sana Mh. Rais wangu kwakweli maamuzi yake hayahitaji kuunda tume au kusubiri siku kadhaa yeye akiuliza majibu hapo hapo safi sana Mh. Dk.Magufuri
Mkurugenzi TBC unaulizwa unataserikali ifanyaje juu ya changamoto hiz mnazoibua?! Naona hujajibu swali vizur mkuu!! Mapendekezo pindi mnapoibua changamoto za namna hii jitahidini muwe na mapendekezo ( mapendekezo hayo yanaweza kutoka kwa wahusika au kwenu wenyewe)
Clip imekatwa ili iende direct katka issue ya tanesco
Huyu ndio mzalendo halisi wa Tanzania Rais J P M
Mungu utupe mwingine kama huyu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakukubali rais wangu kwenye utendaji
I miss you my lovely president
Mhe Rais nakupenda mno kwa utendaji wa hali ya juu.Hongera sana my president.
Duuuuu Raisi wetu geneus kweli
Chacha Magoti umeona yuko good uyu father
Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio msahafu ibadilishwe!!!!!
Very really.. Is sure...!! God bless our president.... The work you are doing..is much better than actual...wAkat mwingne tunapaswA kuwa makini ...watendaji wanapaswa kuwa wabunifu
Huko huko kusini kunamtu ameunda ndege lakini amezuiliwa kuilusha mkuu sasa huyo jamaa afanyeje sasa? Vipaji vingi sana watanzania wakifa wanaondoka navyo hatuna msaada kabisa mkuu.
Dah😢 inauma sana watamzania tulikuwa kwenye mwanga nakujikwamua kwenye umaskin
Kwa mtu mahir na jasiri
Daah tunaumia sana watanzania
Hatuna jins tofaut nakumuombea Mungu
R.i.p mwamba.tutakukumbuka daima😢
Mungu unisameh!!🥹Naomba mrudishe Magufuli pls👏🏾🙏🏾
Dah pumzika kwa amani Baba Magufuri hakika sichoki kukusikiliza hakika
Mzee pwagu sema ukweli usiogope
Ndio rais
Baba asante sana wanatuzarau sana hao walio someshwa na pesa zetu, elimu inawapakiburi