“Mtakuja kunikumbuka, Zitto Kabwe ni mpinzani mzalendo” -Lusinde
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 เม.ย. 2018
- Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde amelieleza Bunge kuwa miongoni mwa Wabunge wa Upinzani wenye uzalendo mkubw ani pamoja na Mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe
Jamaa yuko vizuri, to a boliti kwenye hicho lako kabla hujaangalia la mwenzako!
like apa chini km umemuelewa!
💯📩❗❗👏👏👏
Katika mbunge chizi na mjinga ni huyu Lusinde. Unapokuwa kiongozi sio lazima usimame mara kwa mara kudhalilisha wenzako hata kama mtu amekosea. Sijasikia hata siku moja mbunge wa CCM akikosoa chama chake na kina mapungufu makubwa sana. Manunuzi ya ndege na matumizi mpaka leo hatujui ni shillingi ngapi. CHADEMA wako safi sana ila kwa kuwa kimekuwa ni chama mbadala CCM lazima wawabane sana. Hakuna chama chenye kugawa Watanzania kama CCM. Serekali nzima ya Magufuli imejaa WASU - KUMA. Kuma nyie.
Jins madn yalivyoshkwa kenya
Jns madn yavy
Shkwa kenya
Gud saana Mkuu lisinde... Gud jpm
Sio Gud, ni good
ahsante comrade Lusinde
lusinde braza we nomaaaaa!! dawa chungu hiyo kwa nyumbu
Hii ndio tanzania yetu
Asanteee... L. Lusinde.
Huo ndio utofauti kati ya msomi na mpiga kelele, Msomi anatumia maandishi kama mifano na mpiga kelele anatumia maneno ya dharau, kejeli, matusi na mifano ya kutunga, Hongera mzee wangu.
Mwenyekiti wa kudumu
Kwa kua ni CAG kasema naomba CHADEMA wajitathimini na kutafakari sana,Maneno ya Lusinde sio ya kuyadharau kwani kuna wakati hata saa mbovu huwa inaongea ukweli,Hili la Democrasia ndani ya chama pia ni la muhimu...Mulika nyoka mguuni pako kwanza.
Wakisemwa CHADEMA mnashangilia, wakisemwa CCM mnanuna. Mafisadi walioko CCM na mali walizoiba hazihesabiki. Kibajaji mbwa tu. Watu wa mtera hawajasoma na ndio maana kila kukicha Mbunge ni Lusinde. Mipasho kama mwanamke.
Anaitwa ROMÃ, nani wakumnyamazishaaaaahh, akifa kaacha urithi tuimbe tulikomboe Taifa..! Lusinde kaa chini huna jipya
asante sana baba umewaeeleza ukweli Chadema hongera sana sana
Kibajaji wapeleke haomajizi hao tuliwaambia ikulu wataiona kwenye Tv
msukuma and lusinde big up
Safi sanaaa wape wape hao.
Muulize mbowe. Hela zote kala yeye.
Huyu Lusinde ni nomaa, huyu jamaa ana fact hatare
Chadema toeni ufafanuzi kuhusu taarifa zenu za CAG, maana inaleta sintofaham kwa wananchi.
Ndiomaana nakupenda sana mweshimiwa lusinde
Lusinde wewe ni kiboko ya CHADEMA!
Safi waambie hao waelewe, Ukweli hata mimi zitto ni big up
safi Lusinde uko vzr
Ni kweli
SAFII UMEONGEA POINT SANA MAANA WANAKAZANIA MAANDAMANO TU PUMBAVU
😲😲😲😲😲😲😲😲
Fredy John Waifakara Tz wew nikuma
Huyu Lusinde Aisee ni Noma sana nimtu hatariiiii sana
hongera Lusinde
Hongera lusinde
big chama CCM waache waandamane waisome namba
Uko. vizuri. Mheshimiwa.
Kweli watanzania hawapendi ukweli
Zitto ni 🔥
By King Ally from mahembe kigoma.
NAKUPENDA KWA KUWA WEWE NI MZEE WA MIJIWE WAPE WAPE HAO
NYALU WEWE NOMA
Jimbo lake msomi ni yeye tu na ndio maana kila uchaguzi mshindi ni yeye. Mtera hakuna wasomi ndio maana wanatuma mtu wa mipasho.
Serekali mkae makini na hawa wapinzani kwakweli wataipeleka nch pabaya
Safi sana kaka
Yanaitwa mawe hayo huyakwepi
Kheri James M/kiti Uvccm taifa hoyeeee
Lusinde uko sawa
Nakukubal rusinde
Point POINT POINT POINT
Umeongea ukweli Mh. Lusinde wape wape baba! Taifa limepata hasara kusomesha watu kama akina zirto kabwe hawana faida kwa vijana wala akina mama! Zitto saidia vijana wenzako outoka kimaisha sio kila siku lawama kwa serikali!
Edward Edward we ni zaidi ya mbwa..
kichwan mwako 0
Edward Edward ukweli Gani majizi yako ccm yeye anatetea tumbo lake
Edward Edward ila atakapokuwa ssm atakuwa na faida
Acha ujnga unataka akusomeshe au aujui mana ya maendeleo ww mandaz kwel
Chagadema Haooo Pumbavu zao
Nwewe hujitambui unaweza ukawa mjinga
Upinzani ni majizi makubwa, Wape mapande yao.
Upo vzr
Kama cag kasema kwakweli chadema wajitathimin na kujibu kama kweli ama hujuma. ..maana ccm always hawawatakii mema ndugu zao hawa
Point 100%
Chagadema Chagadema Chagadema..... Mbowe & Mtei Saccos Ltd
Point Sanaa,km haya ya kweli basi hawana hski ya kuhoji hao
Lusinde kichwa sana
safi
Ndugu Lusinde nilipenda ulivyonukuu kuhusu Kobani na kijiti kwenye jicho kiukweli jicho halina starehe likiingiliwa na kijiti au kibanzi vyote ni adui wa jicho. Tumesikia kibanzi cha Chadema lakini kijiti cha CCM hakikutajwa VIPI???
Asante mh lusinde waambie tu
Safi
Nilikua cjui kumbe chadema imeoza hivi ...daah
ukweli mchungu
WAJIGA NDIO WALIWAO
WACHANE BROTHER MAANA WAO KUHANDAMANA
safi kibajajii
Daaaah hivi kumbe chadema hapo haya
hahahahaha,,Lusinde we nikiboko yao mzee,,daah
Hahahahahaaaaa mwenyeki wa kudumu nimeipenda hiyo. Kweli hawa chaga boy hawaachi hata cent
Kweli kazi ipo chezea mchaga weye
Hongera
Kweli itaishi milele
WAPI? NZANIIIIIIIIIIIIIII! SIJI KWENUUUUUUUUUUUUUUU
MNA
NIFANYA
NISHINDWE
KUWAAMINI
KWAKILA
POINT MUISEMAYO
HATAKAMA INAMASHIKO
KWETU MWIZI AKIONGEA UKWELTUNASEMAGA NIMUUONGO
TU.
mmh Leo umeongea vizuri
Mzeeeee wa mawe , ameamua kuyaachia bungeni
safi sana
Hajui kazi ya upinzani,pia hajui wajibu wake kama Mbunge
😂😂😂 hatari sana
sawa sawa sawa Mkubwa
Wape Wape kaka.
Wambie tatizo lao hawaelewi .
Huyu ni mbunge wa mkoa gan inaelekea wananchi wake wanapata shida kweli
Nilikuwa najiuliza kibajaji lusinde yuko wapi wape nondo vimtu kazi ni matusi kukashifu vitawaza sangapi mambo mazuri,at ukifanya mazuri vinakutusi,kasilika sasa huu upinzani wahuni kama Roma mpiga mziki
Kibajaji Anatisha
Eeee ni kidume
leo umejitaid
wabie tu ukweli
Mmh! Utabiri haukuwa sahihi mheshimiwa lusinde!
Acheni kuzingua mafisiem
zitoo namkubali sana
😂😂😂nimecheka kweli kweli mpaka naiogopa Siasa
Ikulu wataiona kweny tv
afu kama limelewa vile ivi anae waibia wana nchi ni chama tawala au chama pinzani
hasimtoshi vzr
Sitaki kuongeza kitu Lusinde na Msukuna ni hatari
mh!!! kweli hujaongea kitu,
Lusinde Na Msukuma ni Sheedah.!
CHADEMA IMEZAA SAU NA ACT, HUJUI KAMA HIVYO VYAMA VYOTE VIMEZALISHWA NA CCM, @#ZeroBrain
😂😂"WAJINGA NDO WALIOWAWO"..... MMENG'ANG'ANIA MAANDAMANO MAANDAMANO, MMEWAACHA WENZENU WANAPIGA HELA.....😂😂😂😂😂 .... Lusinde bana, inabidi nikupende tu kwa kweli...
Kwa akili yako kikinuka Lusinde c atajificha, ukoo wake jé atauficha nani? Tatizo anajiwaza yeye badala ya wanaomzunguka. Kwa mfano Kiongozi akisumbua una-deal na family yake tu yeye c anajiona analindwa
Majizi hayo ndio yashike dola yatakaa sana 2020 Sacoss yao ya Chagga Devlopment Mannfesto CHADEMA kiko(ICU) kinapumulia mashine kurudi mjengoni sawa na ZZK auTAL kuingia Ikulu
UKO VIZURI SANA. WAMEKAZANA KUKOSOA TU HARAFU WAMESAHAU KUWA NAO NI WABOVU TENA MARA MIA ZAIDI.
ukovizuri sana
Ukweli ni huo tu mh, uko saws kbs ubalikiwe
WATU WA MTERA MNAMPENDEA NINI HUYU MBUNGE WA MIPASHO. CHADEMA CHUKUENI JIMBO.
Comrade lusinde 😍😍😍😍😍
Museveni aliwai sema jogoo mkubwa ndie alimfundsha mdogo kunya kwenye kichanja chedema ni mdogo sanaaaa kwa zinazo pigwa upande wa pili ni sawa na dimbwi na Baali.
Kwahiyo unakiri kuwa chadema ni wapigaji????
Wejamaa nikiboko coz unafata nyayo zamusiba
Hatujawatuma Bungeni kupeana mipasho tunataka mumsaidie Rais kutupatia maendeleo. Tunataka makusanyo yasimamiwe vizuru kupunguza ukosefu wa ajira. Hivi nani mkaguzi wa Mahesabu ya Serekali Lusunde au CAG.
Majizi hayoooooo
Wasomeshe hawaelewi
Ukitaka kumulika nyoka anzia miguuni mwako.
assnte lusinde kwakua mzalendo
Mzalendo wa wapi?
Sihasa/ siasa.
chadema wanapenda kukaza ubongo
VP Ccm wamezidi chadema bil 2 Ila ccm til1.5 ni ndogo kwa bil 2?
Unajipya ww na hilo jimbo utalikosa 2020
Kwani chadema inakusanya Kodi zetu inauza lasilimali za nchi hachakupotosha
Wanamsahau mbowe na lema
Haaaaa