Ali Kama ni Bwana mdogo sanaaa lakini Hana nidham kwenye kuongea na hajui kubagua au kuchanganja maneno mbele ya hadhara, yeye neno linalo Kuja tu ndio analoongea bila kulifanyia upembuzi yakinifu. Kumbuka hapo anazungumzia klabu ya Yanga na Yanga inawatu wazima, wasomi, weledi na wenye uzoefu mkubwa kwenye Tathnia ya Habari, hivyo huwezi kusema maneno kama hayo mbele ya hadhara au mbele za watu kumbuka anasema ni watu "WAPUUZI" na watu anaowaambia ni Kama wazazi wake au babu zake kabisa, na siku zote maneno husahaulika lakini huwa hayapotei kwenye akili za watu, hivyo basi ni bora angetumia lugha ambayo ni ya nidham na yenye kulinda professional yake hata wakati ujao ambao hatakuwa msemaji wa Yanga maana yeye ni mpitaji pale Yanga Kuna wakati utafika atatoka.
Ali Kama ni Bwana mdogo sanaaa lakini Hana nidham kwenye kuongea na hajui kubagua au kuchanganja maneno mbele ya hadhara, yeye neno linalo Kuja tu ndio analoongea bila kulifanyia upembuzi yakinifu. Kumbuka hapo anazungumzia klabu ya Yanga na Yanga inawatu wazima, wasomi, weledi na wenye uzoefu mkubwa kwenye Tathnia ya Habari, hivyo huwezi kusema maneno kama hayo mbele ya hadhara au mbele za watu kumbuka anasema ni watu "WAPUUZI" na watu anaowaambia ni Kama wazazi wake au babu zake kabisa, na siku zote maneno husahaulika lakini huwa hayapotei kwenye akili za watu, hivyo basi ni bora angetumia lugha ambayo ni ya nidham na yenye kulinda professional yake hata wakati ujao ambao hatakuwa msemaji wa Yanga maana yeye ni mpitaji pale Yanga Kuna wakati utafika atatoka.
Likapimwe hilo zee chawi tu atuachie rais wetu
Hapa Ali Kamwe kageuka kuwa mwanasheria 😂
Ali Kama ni Bwana mdogo sanaaa lakini Hana nidham kwenye kuongea na hajui kubagua au kuchanganja maneno mbele ya hadhara, yeye neno linalo Kuja tu ndio analoongea bila kulifanyia upembuzi yakinifu. Kumbuka hapo anazungumzia klabu ya Yanga na Yanga inawatu wazima, wasomi, weledi na wenye uzoefu mkubwa kwenye Tathnia ya Habari, hivyo huwezi kusema maneno kama hayo mbele ya hadhara au mbele za watu kumbuka anasema ni watu "WAPUUZI" na watu anaowaambia ni Kama wazazi wake au babu zake kabisa, na siku zote maneno husahaulika lakini huwa hayapotei kwenye akili za watu, hivyo basi ni bora angetumia lugha ambayo ni ya nidham na yenye kulinda professional yake hata wakati ujao ambao hatakuwa msemaji wa Yanga maana yeye ni mpitaji pale Yanga Kuna wakati utafika atatoka.
hukumu ya kifo ni ya kuuwa kwa kusdudia alie uwa kwa upanga na yeye kwa upanga vile vile
Wakwanza naombeni like zenu
Upuuzi tu,likes zinakusaidia nini
Mhuuu mungu atusaidie unawahi taarifa et unataka like,.
Sema semaji letu la taifa 😂😂😂😂
Yanga bingwa adi 230🇹🇿🤣🤣🤣
Ume ikuta yanga. Ww wa juz tu
Ubaya Ubwela😂😂
😂dogo njaa mbaya sana
Afutiwe uanachama
Kita mkuta kitu we mwache
Huna mnatuna kuita watu ni wa hovyo! Ni dharau hufai kuwa kiongozi
Wee mtt ww hicho cheo tu usi jione una ijuwa zaid yanga
Wew bishan na mahakama tukufunge
Nenda ukamwambie jaji hivyo porojo ya nn sasa😂
Mnachokifanya ni drama Kwak suala la kisheria! Nendeni mkajiteteeni mahakamani ili kubalilisha maamuzi soo kelele kwa media.
Muda huu wanaongea wanaume,wanawake mkapike!
Ally kamwe wahovyo
watu milion45 mmewatoa wapi hebu tuheshimu kabisa
Kamwe ageuka mbogo baada ya tishio la ajira yake
Njaa mbaya itawauwa baadhi ya wajinga wanaotaka kutibu njaa zao badala ya kuusaidia mpira
Ally we ni mtoto mdogo watakuuwa wazee hao usiwatukane
Ali anajua anacho kifanys
Wa kwanz naombeni like zenu
kwahiyo unapingana na wazee!!? ebu kuwa na eshima mwehuu ww
Ali Kama ni Bwana mdogo sanaaa lakini Hana nidham kwenye kuongea na hajui kubagua au kuchanganja maneno mbele ya hadhara, yeye neno linalo Kuja tu ndio analoongea bila kulifanyia upembuzi yakinifu. Kumbuka hapo anazungumzia klabu ya Yanga na Yanga inawatu wazima, wasomi, weledi na wenye uzoefu mkubwa kwenye Tathnia ya Habari, hivyo huwezi kusema maneno kama hayo mbele ya hadhara au mbele za watu kumbuka anasema ni watu "WAPUUZI" na watu anaowaambia ni Kama wazazi wake au babu zake kabisa, na siku zote maneno husahaulika lakini huwa hayapotei kwenye akili za watu, hivyo basi ni bora angetumia lugha ambayo ni ya nidham na yenye kulinda professional yake hata wakati ujao ambao hatakuwa msemaji wa Yanga maana yeye ni mpitaji pale Yanga Kuna wakati utafika atatoka.