Mbona mnapotuzidishia bill tunawaoji Amina majibu hata Mimi ningeweza ningeiba mna tabia mbaya India Billi mlizoongeza zaidi ya malipo ya kawaida usa river
Lkn tatizo lenu hata mkimkatia mtu maji,akaja akalipa pamoja na faini bado mnachelewa kumrudishia maji!! Hata siku 2 na kuendelea!! Tofauti na Dar es Salaam, ukikatiwa maji, ukaenda kulipa, na kuna mazungumzo, kama ni asbh mpk jioni maji yamesharejeshwa,huenda wanajali afya za raia?
Acha muibiwe mmezidi kubandikia watu bili za uwongo unakuta mtu hana tenk,hana familia kubwa inayotumia maji,hauzi maji, hatumii choo cha maji, bili ikija elfu 50 hadi70 kwa mwezi huo nao ni wizi mnatuibia sana😏
Huyo hakujiunganishia niwafanyakazi wenu ndio wamefanya hizo ujinga . Sasa wameshakosa chakula wameamuakuchoma😂😂😂😂 kwahaliyakawida huwezi jua kua kunamchepushowamaji hapo anaezakuwajibu maji nanunua tokamlivyonikatia maji so kamamna ondoa bomba toeni. Lkn kwsababu mchongo hautoi kibunda mmeamua kumchomolea betri mazima, hakunaraia wakawaida anaiba maji au umeme kwenyenguzo, hakuna wafanyakazi ndio wana fanyagahizo michongo
Yaaani bongo hapa iposiku tutawapiga mawe na familia zenu zitalia na kusaga meno ...ninyi serikali nanyi munaiba kwa kuzidisha bili Mudamwingine maji sio ya uhakika kabisa
Nataman kujua iyo njia maana maisha nnmagumu afu watumish wa idara ya maji wanavimba sana ,na viongozi wengine wako bise na kampen za kutufanya wajinga kila kitu utasikia mama ,mara mitano ,,sijui nyoko ....ME MWENYEW NATAMAN KUIBA AYO MAJI NA UMEME sijapata tu ujuzi, maana serikali yenyewe imejaa wazi watupu
MAJI UMEME NI HITAJI LA MUHIMU NA SIO LA KUKOSA MWANAADAMU HATA AWE HANA HELA TATIZO NCHI YETU INAFANYA HIVVI VITU KAMA NI ANASA NDIO MAAANA HAYA YANATOKEA😢
Kwa iyo mnatuambia tuwasaidie Nini, mlikuja na kamera alipokuwa anavuta maji mara ya kwanza. Hebu mmalizane huku hizo kamera mmekuja nazo Ili iweje sasa.sifa tu
haha maigizo hayo kwa nini mmepost hilo tukio ,inamaanisha dawasco ni dhaifu kwa nini imetokea hivyo boss wq dawasco ni mtuhumiwa wa kwanza kuwajibishwa
Kwangu maji hayatoki bado bili mnaleta ya maji hamna kifungu ya kuwashtaki nyie?mnaniibia
Hawa ni wezi sana
Aliyemuunganishia maji huyo ni nani kama sio nyinyi wenyewe jamani😂😂😂
Eti aisee ! 😂😂😂 walikuwa wanakula chao ila saivi wamehofia kukamatwa wanakaona suluhisho ni kumchoma tu sasa
Ndio haohao@@bilid4128
Mbona mnapotuzidishia bill tunawaoji Amina majibu hata Mimi ningeweza ningeiba mna tabia mbaya India Billi mlizoongeza zaidi ya malipo ya kawaida usa river
Sio huko tu hawa wezi sana
Usikute mlikuwa mnajua tokea siku nyingi tu leo ndio mmeamua kumchoma
Lkn tatizo lenu hata mkimkatia mtu maji,akaja akalipa pamoja na faini bado mnachelewa kumrudishia maji!! Hata siku 2 na kuendelea!! Tofauti na Dar es Salaam, ukikatiwa maji, ukaenda kulipa, na kuna mazungumzo, kama ni asbh mpk jioni maji yamesharejeshwa,huenda
wanajali afya za raia?
Daah watu wahuni sana
Maji ya Mungu hayo mnatuuzia
We 😢😢😢😊
miezi 6!!! inaonesha wahusika mnakaa zaid ofisini kuliko kufanyakazi ndo maana mda wote huo hamjui kinachoendelea.
ni uzembe huo.
Kwanini umkatie mtu maji badala ya kuelewana naye alipe kidogo x2 . Ndio yawa yenu hiyo mnajidai kujibu wateja vibaya
Acha muibiwe mmezidi kubandikia watu bili za uwongo unakuta mtu hana tenk,hana familia kubwa inayotumia maji,hauzi maji, hatumii choo cha maji, bili ikija elfu 50 hadi70 kwa mwezi huo nao ni wizi mnatuibia sana😏
Kwangu bill ilikuja laki na sina familia wala hamna mtu anashinda nyumbn
Hawa ni wezi ingawa ni serikali
Mnabambika hili za maji na bei mnaweka kubwa. Huyo mtamfunga lakini ripoti ya CAG mtaitukuza.
Huyo hakujiunganishia niwafanyakazi wenu ndio wamefanya hizo ujinga . Sasa wameshakosa chakula wameamuakuchoma😂😂😂😂 kwahaliyakawida huwezi jua kua kunamchepushowamaji hapo anaezakuwajibu maji nanunua tokamlivyonikatia maji so kamamna ondoa bomba toeni. Lkn kwsababu mchongo hautoi kibunda mmeamua kumchomolea betri mazima, hakunaraia wakawaida anaiba maji au umeme kwenyenguzo, hakuna wafanyakazi ndio wana fanyagahizo michongo
Acha waibiwe tu maana wanazidishia sana watu bili maji yao hayana kiwango kwa afya za watu na ukatijaji wa maj mara kwa mara acha waibiwe
Kwani shida ikwapi mtu akiiba chake😅😅😅😅kumbe mnaumia nyiiee
Kwani kulikuwa na haja Gani ya kumdhalilisha uonevu huo. Ok na ninyi wakati mnatuzidishia bill mbona hatusikilizigi. Huo ni uonevu.
Wapo umo umo katka nyinyi..
Kutegesha mitego sawa,maji mkikata mwezi aaaaaah. Hata tupige cm vipi. Kuzidisha tu bili tu ndio mnachojua
Hawa wenyewe kuzidisha bili ndio balaa ila mjue hiyo tabia ya kuzidisha bili pia ni wizi aina mojawapo
Yaaani bongo hapa iposiku tutawapiga mawe na familia zenu zitalia na kusaga meno ...ninyi serikali nanyi munaiba kwa kuzidisha bili Mudamwingine maji sio ya uhakika kabisa
maji tuu af miez 6 jmn na ni gest hauzi maji wame mchongea tuu watu wanaiba mabilion huko
Nyie wenyewe wizi
Waafrika 😂😂😂😂kwa ubayaaa 😂😂😂yaniii. Hapo kuna w2 wanafurahia hadiii wahusika..wapo happy ilaa hapo mm naona panaitajika elim kuitoa kwa wanaichiii zaidiii na zaidiiii ilii wafahamu ukubwa watitizo kuliko bufurahia majangaa kwa mhusika..mAana unakuta alie mshaulii ndoo kamlipot..😂😂😂😂😂 koz. Tunarudishana nyuma Everyday😂😂😂
Nataman kujua iyo njia maana maisha nnmagumu afu watumish wa idara ya maji wanavimba sana ,na viongozi wengine wako bise na kampen za kutufanya wajinga kila kitu utasikia mama ,mara mitano ,,sijui nyoko ....ME MWENYEW NATAMAN KUIBA AYO MAJI NA UMEME sijapata tu ujuzi, maana serikali yenyewe imejaa wazi watupu
😂😂😂
Yani sawa na kumpiga dole mkuu wa jeshi unacheza na serikali 😢😢
Aliemuunganishia ni hao hao wenyewe.hawezi toka mtu pembeni afanye ivyo
Kwani yy ndio wakwanza au kuna namna nyuma ya pazia??¿
Mbona nyie mnaiba huko serekalini 😂
Tumia njia sahihi sio kualibu nyumba
Maji tu tafuteni wanao ua tembo
Ninyi wenyewe wezi wakubwa Billi kubwa maji kutoka aaaaaahaa
Hata me ningeweza ningeibaa mbaya mbaya haiwezekani ma bill ya wizi mnatutumia na hamjipeleki mahakaman😂😂😂
Mwenyekiti kama mtu vile 😅😅😅
Kumbe utopolo😂
MAJI UMEME NI HITAJI LA MUHIMU NA SIO LA KUKOSA MWANAADAMU HATA AWE HANA HELA
TATIZO NCHI YETU INAFANYA HIVVI VITU KAMA NI ANASA NDIO MAAANA HAYA YANATOKEA😢
Kwa iyo mnatuambia tuwasaidie Nini, mlikuja na kamera alipokuwa anavuta maji mara ya kwanza. Hebu mmalizane huku hizo kamera mmekuja nazo Ili iweje sasa.sifa tu
Sheria ikoje? Miundo mbinu ikoje,
Mmeharibu Mali yake Nani alitoa hukumu,
Siasa za Arusha hizo
Maisha magum
mbona wao wanaiba unit unasafir mwezi mzima haupo lkn unit unapewa kma unapiga tofali
Mbona kama kuna mtu amehojiwa hapo ila yuko mwingi mno😂😂. Mmemtoa mtu kwenye starehe zake
Wameenda na kingwendu
Wezi tuu ninyi
Atari sana
Maji hata mm ningeiba
Mbona taarifa za mikoa mingine huwa hamtoi ? Why always arusha
Naye mjinga 😂😂😂😂
mjinga wewe
Kitu kidogo kinamgarimu pakubwa
Yeye alivyofanya wizi sheria ikoje?
Na ukizingatia alieanza wizi ni yeye
haha maigizo hayo kwa nini mmepost hilo tukio ,inamaanisha dawasco ni dhaifu kwa nini imetokea hivyo boss wq dawasco ni mtuhumiwa wa kwanza kuwajibishwa
Hapo utasikia upelelezi bado
Yani bongo nyoso
Uchunguz bado unaendelea..😂
Mama wa mkombozi
Makubwa
Mbona kawaida bna.. nyie viongozi Mnaibia serikali shingapi 🤨
Watu wanaiba ma billion mtu @naiba maji tu ndio mnatuletea usenge