SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ย. 2017
  • Subscribe / uwazi
    Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
    Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
    "Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
    Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

ความคิดเห็น • 335

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 ปีที่แล้ว +78

    MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 6 ปีที่แล้ว +1

      umeona eh. Yaani kihuni kihuni flani lakini full point mwanzo mwisho

    • @denisexpchannel3684
      @denisexpchannel3684 6 ปีที่แล้ว

      benson frank √√√√

  • @donboscolunguya2936
    @donboscolunguya2936 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu

  • @lastpage488
    @lastpage488 5 ปีที่แล้ว +11

    "Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele

  • @antarysuleiman5338
    @antarysuleiman5338 6 ปีที่แล้ว +24

    Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu446 6 ปีที่แล้ว +23

    mbeya city president
    much respect president

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 6 ปีที่แล้ว +26

    Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 6 ปีที่แล้ว +5

    Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles5818 6 ปีที่แล้ว +25

    waeleweshe maana wanajua c hatujui

  • @geraldstanslaus6471
    @geraldstanslaus6471 5 หลายเดือนก่อน +1

    2024 and still the best speech ever

  • @jumacostantine8003
    @jumacostantine8003 6 ปีที่แล้ว +7

    nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha

  • @chapamtukironge2375
    @chapamtukironge2375 6 ปีที่แล้ว +7

    yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!

  • @festomeshack8581
    @festomeshack8581 6 ปีที่แล้ว +1

    Massage delivered mh. Sugu

  • @vicentigiboregibore1007
    @vicentigiboregibore1007 5 ปีที่แล้ว +11

    chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo

  • @ramambongo4069
    @ramambongo4069 6 ปีที่แล้ว +3

    Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana

  • @danieljoseph6309
    @danieljoseph6309 6 ปีที่แล้ว +14

    This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂

  • @saidinalmsofethatsgoodwaya6454
    @saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah Brother you are real Genius

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 3 ปีที่แล้ว +3

    We miss this 😂😂

  • @scarletscarlet5363
    @scarletscarlet5363 6 ปีที่แล้ว +5

    Nimekukubali mbunge wangu I sarut you

    • @mfedeful
      @mfedeful 6 ปีที่แล้ว +1

      Salehe Yassin ni salute sio sarut...

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 4 ปีที่แล้ว

      @@mfedeful hahahahahaha

  • @aboubakarkaseko8670
    @aboubakarkaseko8670 6 ปีที่แล้ว +5

    Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.

  • @lucasabunuas4662
    @lucasabunuas4662 6 ปีที่แล้ว +5

    Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.

  • @SHPI156
    @SHPI156 6 ปีที่แล้ว +7

    "UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""

  • @bungapaul5221
    @bungapaul5221 4 ปีที่แล้ว +1

    Respect bro

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 6 ปีที่แล้ว +18

    Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 4 ปีที่แล้ว

    sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo6459 6 ปีที่แล้ว +3

    umekomaa vizuri mkuu

  • @samwellaizarsamwellaizar5839
    @samwellaizarsamwellaizar5839 4 ปีที่แล้ว

    Asantee baba.

  • @nasserkomba6231
    @nasserkomba6231 6 ปีที่แล้ว +1

    True say Mr Sugu.

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 6 ปีที่แล้ว +9

    kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana MP Sugu!

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 6 ปีที่แล้ว +8

    kweli sugu umeongea

  • @evanslugoya1232
    @evanslugoya1232 6 ปีที่แล้ว +46

    mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 6 ปีที่แล้ว +8

    Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n

  • @rosemarysempombe8559
    @rosemarysempombe8559 6 ปีที่แล้ว +7

    Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe

  • @mselematiku2318
    @mselematiku2318 6 ปีที่แล้ว +9

    safi sana sugu una akili sana

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 5 ปีที่แล้ว +2

    sugu we need you 2020 to be our president

  • @siwemaalphoncy2452
    @siwemaalphoncy2452 4 ปีที่แล้ว

    Salute sugu

  • @mbumbulicomedians3286
    @mbumbulicomedians3286 6 ปีที่แล้ว +1

    point

  • @marcusdonald1472
    @marcusdonald1472 6 ปีที่แล้ว

    Big up brother

  • @isackpaulo7946
    @isackpaulo7946 6 ปีที่แล้ว +1

    oooh my god

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato

  • @samwelimwinyi9327
    @samwelimwinyi9327 6 ปีที่แล้ว +1

    Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.

  • @christophersypriano7824
    @christophersypriano7824 6 ปีที่แล้ว

    big up sugu

  • @fauziaharuna6397
    @fauziaharuna6397 4 ปีที่แล้ว

    Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 6 ปีที่แล้ว

    nice ones

  • @godblesskyangala3785
    @godblesskyangala3785 6 ปีที่แล้ว +1

    Smart politician

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 4 หลายเดือนก่อน

    Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni

  • @husseinseif9856
    @husseinseif9856 6 ปีที่แล้ว +1

    Viva sugu

  • @amonsanga6209
    @amonsanga6209 6 ปีที่แล้ว +7

    dah ebwana nimeielewa sana hii speech

  • @johnnillan3990
    @johnnillan3990 4 ปีที่แล้ว

    Ongera xana sugu unapoint nzuri xana

  • @shabbymakapane3212
    @shabbymakapane3212 6 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa Dah

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 ปีที่แล้ว

    Mbunge wangu huyu nampenda sana,

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 2 ปีที่แล้ว

    Big up

  • @adsonjoseph8933
    @adsonjoseph8933 3 ปีที่แล้ว

    Mr ll 2 proud

  • @mbogomagembe6318
    @mbogomagembe6318 6 ปีที่แล้ว +5

    huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli

  • @victormaimu3748
    @victormaimu3748 4 ปีที่แล้ว +2

    2020 bado nacheki

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 5 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣 stand up comedian with sense in it..

  • @oscaromary7437
    @oscaromary7437 6 ปีที่แล้ว

    good

  • @mbarakaathumani3035
    @mbarakaathumani3035 ปีที่แล้ว

    Speach nzuri

  • @babytee4901
    @babytee4901 6 ปีที่แล้ว

    nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......

  • @bertineddyne610
    @bertineddyne610 6 ปีที่แล้ว +1

    You so funny!

  • @MWIHAVAGF
    @MWIHAVAGF 6 ปีที่แล้ว

    hahahaha @BIGup Mh.sugu

  • @elishamwaya4074
    @elishamwaya4074 6 ปีที่แล้ว +6

    Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,

    • @musocar408
      @musocar408 6 ปีที่แล้ว

      ELISHA MWAYA mmmmhhhh

  • @kundyarajabkundya9235
    @kundyarajabkundya9235 6 ปีที่แล้ว +19

    dont shoot not dont shut....be smart

    • @ericstephenm.844
      @ericstephenm.844 6 ปีที่แล้ว

      Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..

    • @princekasheku8741
      @princekasheku8741 6 ปีที่แล้ว

      Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣

    • @wingavangaga1778
      @wingavangaga1778 4 ปีที่แล้ว

      H

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 ปีที่แล้ว

      Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 6 ปีที่แล้ว +6

    Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??

  • @mselematiku2318
    @mselematiku2318 6 ปีที่แล้ว

    ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu

  • @henrygwalema8508
    @henrygwalema8508 6 ปีที่แล้ว +1

    Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @furahajonas839
    @furahajonas839 6 ปีที่แล้ว

    kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh

  • @lawrencebundala5769
    @lawrencebundala5769 6 ปีที่แล้ว +1

    Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.

  • @pauloalufayo6145
    @pauloalufayo6145 6 ปีที่แล้ว +1

    Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 4 ปีที่แล้ว

    Fact fact fact sugu

  • @notabenemwakamala7590
    @notabenemwakamala7590 6 ปีที่แล้ว

    Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyo ndio sugu moto chini!!

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba4123 6 ปีที่แล้ว

    APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 หลายเดือนก่อน

    👍✌️👊.

  • @danielmatya373
    @danielmatya373 ปีที่แล้ว

    Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma

  • @fadhilimgohamwelu1891
    @fadhilimgohamwelu1891 6 ปีที่แล้ว

    Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani

  • @hassanmakweto4012
    @hassanmakweto4012 4 ปีที่แล้ว +1

    ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 6 ปีที่แล้ว

    hahhahaahhhahaaahaaajjjjjaaajj eti mnaleta jangwaaa,, hahahahaha sugu Nouma

  • @georgembilinyi2824
    @georgembilinyi2824 4 ปีที่แล้ว

    Mbeya city......up

  • @joycejohn7754
    @joycejohn7754 6 ปีที่แล้ว +6

    Ujumbe umefika

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 6 ปีที่แล้ว +1

    Sugu umesema vizuri sans principal and organization this is what this government of ccm .

  • @paulmalula8714
    @paulmalula8714 6 ปีที่แล้ว +2

    hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu

  • @a.j9964
    @a.j9964 6 ปีที่แล้ว +7

    Shut????!ulieapload hii video ulipatat ngap english??nadhn ni shoot

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 6 ปีที่แล้ว

    Sugu si kwamba ana praise empty bowls...
    Sugu ana praise right because as the matter of fact Mh. Jakaya alipitia misukosuko saana lakini alikuwa humble....
    sijui kama you get me right.
    sijui!

  • @evodmagidanga7730
    @evodmagidanga7730 6 ปีที่แล้ว +5

    Duuuuuh jakaya kawa wa muhimu kwa wapizani hakika mtu huwezi jua umuhimu wake mpaka atoke

    • @twevebrown2206
      @twevebrown2206 6 ปีที่แล้ว +1

      EVOD MAGIDANGA . Rudi shule wewe elimu bure hatakuandika shida

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 6 ปีที่แล้ว

      EVOD MAGIDANGA Japo ndie alipeleka majeshi kupindua matokeo ya uchaguzi Zanzibar lakini alifanya mazuri yake

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 6 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa Mheshimiwa Sugu uko mkwe kabisa

    • @seadkolasnic6894
      @seadkolasnic6894 6 ปีที่แล้ว

      alikubali kukosolewa ndio maana kasema mwanadiplomasia mzuri

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 6 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahahahhahaha,karatasi nyingiiiii hahahahahahahah,maelezo meeengiiii

  • @HelakridiWella
    @HelakridiWella 2 หลายเดือนก่อน

    2024🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-qw5ft8xc1e
    @user-qw5ft8xc1e 7 หลายเดือนก่อน

    Sugu fundi sana jamaa

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface8319 4 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa family yake wanajifunia kuwa na mtu kama uyu yani nikichwa sana mungu amlinde sana

  • @ericgeorge7405
    @ericgeorge7405 6 ปีที่แล้ว

    🙌motto chini

  • @roggersmwangumbe5382
    @roggersmwangumbe5382 6 ปีที่แล้ว +1

    Mi naomba mpunguze bei ya wali maharage, iwe sahani mbili buku!!

  • @marychallo843
    @marychallo843 5 ปีที่แล้ว +1

    Ahaha karatas nying unaleta jangwa😀😀

  • @hamisbennjaphet400
    @hamisbennjaphet400 6 ปีที่แล้ว

    Waambie hao Mr ll

    • @isackmwaluko7564
      @isackmwaluko7564 6 ปีที่แล้ว

      kwa nini watanzania ni wepesi wa kuunga mkono wanasiasa wa mlengo wa kushoto hata kama ataongea visivyo..!!!!? wanunuzi wa kunde na mbaazi walikuwa brazil vs canada na kwasasa wanalima wenyewe tena kuzidi tz..hawanunui tena..sasa..anayepandisha bei ni nani!!!!abilia wote wakinunua magari ya kutembelea mabasi yanakosa wateja..mtaailaum serikali.??wabongo bwana!!!mtamuelewa tu jpm.

  • @daudhenry913
    @daudhenry913 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni Lecture

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 ปีที่แล้ว +1

    yalio funguliwa ni ya kikwete na kama kikwete alivyo kua anafungua miladi ya mkapa uwanja na vingine

  • @mwakinhosantos6307
    @mwakinhosantos6307 4 ปีที่แล้ว +1

    Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 6 ปีที่แล้ว +6

    Duh!!! leo Kikwete kakumbukwa??

  • @user-oy8de5jm2j
    @user-oy8de5jm2j 9 หลายเดือนก่อน

    Sungu.arudi
    Mbungen

  • @harunfamily3278
    @harunfamily3278 6 ปีที่แล้ว

    So please don't shut me"

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 6 ปีที่แล้ว

    "Please don't shoot "baba yake Sasha ni shidaaah