SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ย. 2017
- Subscribe / uwazi
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
"Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.
umeona eh. Yaani kihuni kihuni flani lakini full point mwanzo mwisho
benson frank √√√√
Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu
"Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele
Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA
mbeya city president
much respect president
respect sugu
Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu
Dah!We haumo bwana!
Sugu hivohivo wakuelewa atakuelewa mbona musukuma walasaba na anaeleweka
joji georige kwa kweli huynoma
joji georige true
Twende kazi sugu
Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver
waeleweshe maana wanajua c hatujui
2024 and still the best speech ever
nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha
Juma Costantine
yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!
Massage delivered mh. Sugu
chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo
Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana
This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂
daneil joseph yeah
Barable of seed1🤣🤣
Dah Brother you are real Genius
We miss this 😂😂
Nimekukubali mbunge wangu I sarut you
Salehe Yassin ni salute sio sarut...
@@mfedeful hahahahahaha
Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.
Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.
"UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""
Respect bro
Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete
Big up broo
sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania
umekomaa vizuri mkuu
Asantee baba.
True say Mr Sugu.
kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya
BP sana mh.sugu tuchape kazi
Safi sana MP Sugu!
kweli sugu umeongea
mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa
Evans Lugoya kabisaaaa
Evans Lugoya ..umeonaeeee..
Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n
Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe
safi sana sugu una akili sana
nimekubali sungu
sugu we need you 2020 to be our president
Salute sugu
point
Big up brother
oooh my god
Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato
Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.
big up sugu
Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde
nice ones
Smart politician
Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni
Viva sugu
dah ebwana nimeielewa sana hii speech
Ongera xana sugu unapoint nzuri xana
Huyu jamaa Dah
Mbunge wangu huyu nampenda sana,
Big up
Mr ll 2 proud
huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli
Suguuuu
2020 bado nacheki
🤣🤣 stand up comedian with sense in it..
good
Speach nzuri
nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......
You so funny!
hahahaha @BIGup Mh.sugu
Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,
ELISHA MWAYA mmmmhhhh
dont shoot not dont shut....be smart
Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..
Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣
H
Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.
Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??
ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu
Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh
Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.
Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli
Fact fact fact sugu
Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote
Huyo ndio sugu moto chini!!
APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU
👍✌️👊.
Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma
Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani
ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hahhahaahhhahaaahaaajjjjjaaajj eti mnaleta jangwaaa,, hahahahaha sugu Nouma
Mbeya city......up
Ujumbe umefika
Sugu umesema vizuri sans principal and organization this is what this government of ccm .
hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu
Shut????!ulieapload hii video ulipatat ngap english??nadhn ni shoot
Sugu si kwamba ana praise empty bowls...
Sugu ana praise right because as the matter of fact Mh. Jakaya alipitia misukosuko saana lakini alikuwa humble....
sijui kama you get me right.
sijui!
Duuuuuh jakaya kawa wa muhimu kwa wapizani hakika mtu huwezi jua umuhimu wake mpaka atoke
EVOD MAGIDANGA . Rudi shule wewe elimu bure hatakuandika shida
EVOD MAGIDANGA Japo ndie alipeleka majeshi kupindua matokeo ya uchaguzi Zanzibar lakini alifanya mazuri yake
Kweli kabisa Mheshimiwa Sugu uko mkwe kabisa
alikubali kukosolewa ndio maana kasema mwanadiplomasia mzuri
Hahahahahahhahaha,karatasi nyingiiiii hahahahahahahah,maelezo meeengiiii
2024🎉🎉🎉🎉🎉
Sugu fundi sana jamaa
Uyu jamaa family yake wanajifunia kuwa na mtu kama uyu yani nikichwa sana mungu amlinde sana
🙌motto chini
Mi naomba mpunguze bei ya wali maharage, iwe sahani mbili buku!!
Ahaha karatas nying unaleta jangwa😀😀
Waambie hao Mr ll
kwa nini watanzania ni wepesi wa kuunga mkono wanasiasa wa mlengo wa kushoto hata kama ataongea visivyo..!!!!? wanunuzi wa kunde na mbaazi walikuwa brazil vs canada na kwasasa wanalima wenyewe tena kuzidi tz..hawanunui tena..sasa..anayepandisha bei ni nani!!!!abilia wote wakinunua magari ya kutembelea mabasi yanakosa wateja..mtaailaum serikali.??wabongo bwana!!!mtamuelewa tu jpm.
Huyu ni Lecture
yalio funguliwa ni ya kikwete na kama kikwete alivyo kua anafungua miladi ya mkapa uwanja na vingine
Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa
Duh!!! leo Kikwete kakumbukwa??
Sungu.arudi
Mbungen
So please don't shut me"
"Please don't shoot "baba yake Sasha ni shidaaah