Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde hajapendezwa na baadhi ya wabunge kukosoa utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli pamoja na watendaji wake na kuamua kuyaongea haya
speech nzur na imeonyesha wap ni tatzo la kutokuwepo pesa mtaan maden yalipwe ya wawekezaj wa ndan hili ndo suluhisho zur ili pesa iweze zunguka mtaaan
Nimemsikiliza ila sijasikia point yoyote zaidi ya vijembe na mapambia,hapo unaweza sasa kufafanisha uchangiaji wa msomi na darasa la 7#hii ndio ssm HALISI
lusinde kama ww nimsafi rudisha m10 ulizopewa na majaliwa laasivyo mungu atakulaani maisha magumu mtaani nyinyi mnahongana pesa bungeni ila namshauli waziri mkuu awaite wandishi akanushe mbona yukokimya
Thanks lusinde guud sanaa mzee wakuwachana
speech nzur na imeonyesha wap ni tatzo la kutokuwepo pesa mtaan maden yalipwe ya wawekezaj wa ndan hili ndo suluhisho zur ili pesa iweze zunguka mtaaan
tell them the truth bro Jpm is doing a good job, hawa wapinzani wamekosa hoja kabisa
safi sana lusinde big up
Huyu jaaama kichwa Sana ! wapinzani kerere tuh
Nakukubali bajaji
Kamua baba mzee Lusinde wape makavu
👐👐👐 lusinde moma
Mungu angeluhusu kikao na wanadamu hadi leo kisingeisha ametisha sanaa
Hivi mnaosema nchi inaelekea kubaya mna hoja za msingi. Hebu tuambieni ni zipi hizo na sisi tuzione.
Hiyo ndiyo point kubwa,
una akili sana
Lusinde noma
Safi sana mh lusinde
Nchi hii!!!
HUO UKWELI MCHUNGU
sema baba dawa imewaingia
safisana
Kwakweli Mr Rusinde huwa unaniflahisha Sana ktk bunge usipo simama huwa nakosa Amani kabisa Kama dawa wapizani wanaipata kwa wakati muafaka
Tuiombeeni nchi yetu Tanzania.... Hali ni tete sana.... Mungu atusaidie....
NYALUKOLO UKO FITI
lusinde unatisha
yaani huyu jamaa ananikumbusha kasehemu Deo aisee ana akili sana
زهراhawawezi Diana kukushusha زهرا that's true his very smart
we need to change our ideology of thinking
kibajaji uyo
mhhh bro
Lusinde ww unafaa kuwa rais
Lusinde uwaziri hipati ww piga poyoyo tuuuuu weye
Nimemsikiliza ila sijasikia point yoyote zaidi ya vijembe na mapambia,hapo unaweza sasa kufafanisha uchangiaji wa msomi na darasa la 7#hii ndio ssm HALISI
lusinde kama ww nimsafi rudisha m10 ulizopewa na majaliwa laasivyo mungu atakulaani maisha magumu mtaani nyinyi mnahongana pesa bungeni ila namshauli waziri mkuu awaite wandishi akanushe mbona yukokimya
Anyoshe wapi watu wako wa mtrea wanashindwa hata kunywa chai maisha yalivyo magumu unaakili kwerli wewe
kiandee
Wap muwe na akiba ya maneno leo wametumbuliwa.
2020 sio mbali
Ndo nn sasa 2020 Mwehu?
Jamaa kiboko
akili ndogo
Yaani huyu mbunge hajielewi hata kidogo. Inawezekana haelewi nn maana na hawezi kuambiwa maana.
Anatafuta nafasi ya kuteuliwa (uwaziri) huyo tatizo shule ndo kikwazo.
tuombe sana coz cjui nchi yetu inaelekea wapi
Mhhhhhj
kaka lusinde una pumba balaa
mmmmmmh....nothing else
😂😂😂
Hatujui tunako toka wala tunako enda hao ndo wawakilishi wawananchi Tz, hasara tupu hawakumbuki kama watarudi 2020 kuomba kura.
hacha unafika bro siasa hazitokufikisha popote
anataka kiki kwa piki piki.
Tatizo nimetoka kapaaaaa
hili hapa tatizo
sisi huku tunashinda na njaa nyie mnagawana hela zote hizo? iyo kazi mmeifanyia wapi achen izo
Best unashinda nã njaa kwa ujinganani akuletee pesa,
hivi hakuna wakati Lusinde akawa na hoja ya msingi, muda wote ujinga ujinga tu
mpuuzi we mjinga ndo we ucyetaka kuambiwa ukweli!lusinde anaongea ukweli mtupu
ueleweki
Kwendrwaaaaaa fankrurooooo weweee
ana point uyo mzee
Huyu haeleweki labda shule ndo chanzo
pumbaaaaaaaaaaaaaaaa
Maisha mgumu Hakuna pesa. Kodi juu. Wateja hakuna. hali ni mbaya sana kwa hiyo nakushauri acha pumba zako
kibajaji huna lolote
Lusinde umezngua
we chiz
huna hoja za maana kazi kumsifia rais
mmmmmmh....nothing else