ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 เม.ย. 2018
- ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameambia serikali kuwa inapanaga kutekeleza miradi mikubwa ili hali haina pesa ya kutekeleza miradi hiyo ambayo ameielezea kuwa ni gharama kubwa.
Tupate taarifa kamili kutoka kwa Catherine Kahabi…..
Akichangia hotuba ya Bajeti ya ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Zitto amesema kuwa licha ya kujigamba kuwa serikali ina uwezo wa kujenga mradi huo lakini ukweli ni kwamba haina pesa ya kufanya miradi hiyo.
Awali akitolea ufafanuzi suala hilo waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi William Lukuvi amesema, suala la ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa stiglers linamanufaa makubwa kwa taifa.
iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
kweli huyu jamaa nomaa xana anaongea point kama jina lake zito
OMG! What is on Zitto's mind, he is so bright, #his brain is full of fact.
Zito kabwe ww nakukubali sana
Wapige nondo. Safi sanaaa
jama zitto mungu akulinde
daaaah 🙌🙌🙌🙌zitto we noma nimekuelewa
Asante kk nondo nimeziona!!!
daaaah kichwa kimoja cha ZITTO kabwe weka vichwa 200 vya wabunge wa fisiem .😂😂😂😂😂😂😂
Duuuh @zitto anabalaa ok
Duh
Tunakuombea mbunge wetu... We loves u!!!!
Pesa wanaiba wanayo 👏👏👏
Ahsante Zito,Akili kubwa vs akili ndogo! Nafasi walizokalia zinawapwaya na hawataki kuonekana vilaza!Wape shule master!
Amen Amen. Mzee Lukuvi nenda kijiji cha buiko uko korogwe tanga kasikilize kilio cha wananchi . asante. Mungu akupe hekima. Amen.
one love broo zito
Bro well grasped
Sawa ztto👏👍
Nmeipenda hoja ya Zito pamoja na aliemfatia amegusa vitu vya kisomi sana
Shabani Yunusi, Ni vigumu/ngumu sana kujenga na kutetea hoja na yule ambaye anatumia ushahidi tena wenye uthibitisho, halafu wewe ukatumia fikra tu, wakati jambo lenyewe linaenda kihistoria.
Daa mungu atusaidie
Hongera sana zito kwa hoja yako nzur ikiambatana na mifano hai.
Pamoja sana
Seen
nawakubalii sanaaa aitheeee
Zito apo big up lakn we mubeya. Sana kah
zitto ww ndo maana mm.nakukubaliii👏👏👏👏👏
Nasra Hussein kwa lipi sasa!! Zile unazoambiwa changanya na zako.
unamkubari? walio mtoroka kwenye chama ndo wanamjua wewe in zuzu hujuwi kilichoko nyuma ya pazia
Buga Byarugaba Ww uko na mtindio wa UBONGO ninda mirembe
Buga Byarugaba Wewe ni duwaziii Amkaaa
Nasra Hussein zito noma
Uko vizur kijan Mungu azid kukzixhia uzma n aman uzd kufany makubwa /gonga like hap kam unamkubl Zitto kw hoja n mambo yake
Respect
Big-up kamanda Zitto piga nondo.
nice
Ya Allah,,,,tujaalie nchi yetu ,,amani ,upendo na mshikamano ,,,tujaalie uwezo wa kutatua changamoto zetu,,,,,tujaalie umoja,,,,sote ni ndugu
kweli wapinzani wanafanya kazi ya. wananchi
🙋
I'm optimum.
Nakupenda sana zito
Yani ingekuwa possible ningewachukua serikali yote ya CCM niwaweke mahali halafu tuwape hawa so called mapinzani for only one year, ndio Watanzania wajue kelele nje ya uwanja ni rahisi
Really fact.
haki nyinyi wabunge mkicmama kama zito tutaona uelekeo wa nchi yetu. Mungu mlinde zito
Etiii hamnaaaa hawanaa helaaaaaa😂😂😂😂...
nan kasema ilo amenikosha kwel🙌🙌🙌
K
safi sana kaka angu
vizuri sana waziri wetu Lukuvi huyu Zitto hajui anachofanya
Hamna....hamna hela!!
Baba wa kigoma wew nirais wakigoma kwamwendo huu lzima kigoma iwe kisiwa tujitegemee,, mungu akulinde imara
Sema wachu sema wachu kigoma moja
#Wewe..Zit0..Mungu..Akujalia..Sana..Maisha..Marefu..
2020 zito kura yangu unayoo
zitto maaskofu walishaona kitambo wanaojifanya wazalendo ndio wezi Mungu amemuumba
Afazali kidogo zito mambo yakuadamana, namengine kama hayo umewaachia Mh, Lema , maaskof nawengine WW TUMEONA KUA UNAFANYA UPINZA ULIO KOMAA NA ULIO ENDELEA saf Mh zitto saaaf kabiza ,, tumeona madiwan wa ccm na saiv stigrag .. Saf
Heli Ernest Ndio upinzani unavyokuwa hawa wanajitahidi lile wengine jengine maandamano pia yana umuhimu wake kwa nchi zenye democrasia ya kweli Uingereza juzi waliandamana kupinga Serikali yao wasende vitani Syria hawakuguguswa hata na nzi askari hata silaha hawana ndio kwanza wanawaelekeza watu njia ya kupita kwanini kwetu yazuiliwe
Mandamano pembeni, magufuli kashatoa amri huyu akamatwe
Heli Ernest
Pole kaka keke za chura hazimzuii fisi kunywa maji zito na kelele zake ni bure tuu kamahakuna mabadiliko kwa wasioona shida za watu.
Eti tuwapige NONDO huh... Mhe. Zitto bhna
Huamini au ?.
Zitto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💜💜💜💜💜
Nani yupo tena hapa baada ya Bunge kumalizika leo tarehe 16/6/2020?
Nasari IMF hawajawahi kuwa marafiki ktk miradi mikubwa ya maendeleo,issue ni nini kifanyike kupata pesa ya huo mradi,ila pia tujitahidi sana na gas litumike vizuri at maximu capacity
Hata kama watu hawatoi comments angalieni like ziko ngapi hii itatoa majibu
Eti tulieni niwapige nondo! Zitto bhana, wapige nondo baba
Wewe mbulula inaonekana hujakulia kwa wastaarabu kwani matusi ndo dili?.
Sasahvi vipy , je pesa haipo au mradi haujengwi,, mwambieni zitto aseme Tena,
oyeeeee awana pesa
"MNAFANYA SIASA, ILA UKWELI MNAUJUA" Duh #ZITTO ANAJUA KUWAKABA KOO.. #CAG
Hawana hela hao siasa tu hizo.
fact should speak itself
ZITO KWELIIII
" Don't Denny facts"
Kwenye mambo ya maendeleo ya nchi vyama vingine kwa kutumia viongozi wao.
Woyooooo zitooooo
Mudaaaa mudaaaaa mudaaaaa😂😂😂😂😂
Waache wapigwe nondo
Dah ingekuwa chaguzi ziko huru huyu jamaa anatufaa sana
Mlipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere na la leo limejengwa
Hahahaaaa.eti wana pesa.maisha yamekuwa mkwamo mkubwa wastaafu hawapewi madai yao.
Pesa ipo .... Kusema pesa hakuna huo NI ukiki au ugonjwa wa maisha ..... serikali hii pesa sio kitu chakuuliza.....ipo . Chamsingi acha tuone mradi utasimama au utaanguka . Otherwise tunaenda ktk uchaguzi , wakuanza kuaga viti anzeni kuviaga mapema TU kiroho Safi maana Kama pesa za vikao Kama mlinywea ugimbi basi turudi kwenye udalali wa vyumba mitaani
Hahaha, gd life has not come like dream
Mazwazwa ndani ya bunge kazi yao taarifa tuu
Hii kauli ya bwn LUKUVI ni kinyume na ile iliyotolewa kipindi kile walivyotaka kuzalisha umeme kwenye mto malagalasi huko Kigoma Nakumbuka kuna wazir alisema pale kuna VYURA aina yake ambao ni kivutio cha watalii. Hadi Leo kule kwa akina zitto KIGOMA hawana umeme wa kujitosheleza...!!!
Pesa hamna ninyi, mnakopa kimya kimya.... Haahaah tell em Zitto
zito kiboko yao
yohana haule Hawa ndo wabunge mzee
yohana haule kwann viongoz kama hawawasipewe nafac katika taifa ili watuletee mandeleo
Et muda muda,yaan wabunge wa CCM sijui wamelogwa
zitto ukitulia sehemu moja ni mtu mzuri sana ila wakati mwingine sijuh huwa unawehuka na nn
Kwel
Ila hawa jamaa wanaakir sana naona mungu anamakusudi kuwaweka upinzan
Mh!
Ni kweli bomba linatumika kwa 6% tu?
ukiishiwa nondo nakuretea zingine chezea Zitto nondo
Hatariiiii upinzani sihami Leo wala keshoooo
tulia niwapige nondooooooooo nyinyi ccm hovyooooooooooo sana kazi kupiga makofiiiiii fyuuuuuuuuuuu
Kwa nn awa viongozi wanaogopa kusema ukweli na pia wanachukia kuambiwa ukweli kwa namna hii tutapona vipi jaman
Laiti Bunge lingekatazwa kuletaleta taarifa.
zito kichwa chako kina charenge sana yan wanapaswa walau kuku pongeza
Jamaani ukweli utabakiya kuwa ukweli
Hawana pesa blabla tu yan wabunge wa ccm zero brain tena kusud wanafanya wamfurahishe mwenye chama et tulieni niwapige NONDO Zito JIWE....
Nilijua utamsifia maana una mahaba naye.
Ila Sasa hivi mradi unajengwa, zitto now vipy,,
Hahahhaahha serikali bana yaaaan kila kiongozi anajitamba ana hela alafu badae analalamika pesa ya miradi jimboni kwake haikuja kabisa wengine zilikuja kidogooo
Zitto, Zitto! Hydro-power haitumii maji quantitatively. Hydro ni non-consumptive user wa maji. Hydro inachuma energy na kuacaha maji yaendelee. Jengeni argument zenye shule!
CL T uo uchunguz umefanya ww kweny uo mrad au unakariri kila ktu hujui athari... ushaambiwa maj yamepungua unadhan ukiondoa izo lita zote kueka kweny bwawa la umeme utaathir shughul ngap za kibinadam.... Suala sio umeme suala n kufanya uchunguz kipind hiki na sio kufanya vtu kwa uchunguz wa enz za mwalim
Maji ni limited resource au unlimited? Kwanza jibu hapo.
Halafu umeambiwa toka 1974 mpaka leo kuna asilimia 40% zimepotea... Sijui mm sijasikia
Halafu kwann mara gas, mara stigler ?
Wewe ni mhandisi wa wapi? Umekalili si ndio ya kwenye vitabu eeeh??
Hhhhhh huyu nae kanichekesh , ukaseme nin ww mbele ya Kabwe , ijue nafas yko mda mwengine hhhhhhhh
Zitto wewe na Mimi ndio hazina ya nchi hii ya Tanzania
Wapinzani Tutawakumbuka sana
Hawa jamaa sitawaamini hata kidogo, leo wanauliza pesa ziko wapi wanataka waletewe pesa bungeni waambiwe pesa hizi ili wabadilishe maneno!! Waliwahi kusema kuhusu mkataba wa muungano!! Mapovu yaliwatoka kweli kweli kila mtu akajua inawezekana kweli mkataba haupo, Kikwete alivyoupeleka bungeni, wakabadili maneno kwamba sahihi ya Karume imegushiwa sio hati yake!!leo wanasema pesa hakuna wakionyeshwa watabadili maneno ndio zao hizo, tangu siku ile nilipoteza imani nao kwa kila wanachoongea najua wanauza sura tu.
Zitto umewapatia sana hao maboya
Shikamooo zito
Miguna miguna wa Tanzania
Kama zipo hizo pesa ajira tafadhali tunahitaji.
Asante zitto
Zitto hauko objective issue ni mradi ukamilike au kutokuwa na pesa na kama pesa hakuna tufanyaje?
Umesema Jambo kwel awe specific afu aseme kwa umoja Mana SS wote watanzania habar za kusema wanabomba inamaana anajiexclude
hacheni ubaguzi mda wa nn
Safi zito unasema kweli wahusika wamemute hahaha
mamae.Hii ndo bongo
ivi wabunge wa Ccm niwazando kweli jaman??
Zitto siku zote hutaki maendeleo ya Tz. Bahati yetu wenye uchawi wao walikufa nao. Tungepata tabu sana.
hii ni tanzania yetu
Watoto wenu wanasoma kwenye hizo shule mnazo zijenga huko kwenye national received?pumbavu kumbe enheeee!!!!
Huku private sector usipofanya tathimini za adhari ya mazingira .....utaishia kulipa faini ...serikali yetu inatakiwa kuwa mfano kwanza
Huyu Zito Kabwe ni tatizo kubwa!!! Loh!!!!
Peter Bayo n kweli hao ccm ni watu wa kudanganyadanganya
Peter Bayo
Yeah, nitatizo maana anasemaj UKWELI? Angekausha tu!
Peter Bayo Tatizo nyie mnaokataa ukweli zito sio tobwe kama nyie mnojitia hamnazo na hilo zombie lenu Magufuri na Lukuvi na hivyo vyombo venu vya dola
Toka rini ccm wakasema kweli
Peter Bayo wewe ndio tatizo