HOJA YA HAKI, KINGA NA MADARAKA YA BUNGE : Sikiliza hii kwa makini ujue kile kilichowatoa wabunge wa kambi rasmi ya upinzani katika ukumbi wa bunge mjini Dodoma.
nataman ifike siku wabunge wote watambue wapo bungeni kwa ajili ya wananchi wote wa Tanzania na sio kwa ajil ya vyama vyao wawe wamoja ktk mambo ya msingi kwa faida ya Taifa letu... lakn leo hii wanaangaliana usoni hoja kaleta nan badala kuangalia hoja ina faida gani... ama kweli siasa inaaribu nchi yetu na itaturudisha Nyuma... Rais alishasema siasa tusubiri 2020 sasa hv tuwe wamoja ktk kujenga nchi.. Tanzania kwanza vyama baadae..
Mkulima hana kinga; mbunge ana kinga, unaona hizi sheria za kipuuzi mnajitungia sheria za kujipendelea nyie," eti msikamatwe mpk SPK apewe taarifa sisi huku mbona tunakamatwa bila taarifa na hatulalamiki.
Kiukweli kuna ukiukwaji mkubwa sana Wa kanuni na taratibu ambazo sisi kama nchi tumejiwekea inaonekana hivi sasa viongozi wore Wa juuu wapo juu ya sheria kuna ukiukwaji mkubw sana Wa katiba ya jamhuri ya muungano ya mwaka 77 ila nikumwomba mwenyezi mungu inshallah awajaze wepesi viongozi we2
tinno mdete hata wangeonesha wewe ungefanyeje sasa, unashabikia upuuz tupu rafik yangu, fanya kazi kwa mafanikio yako siyo kukodolea TV ukiangalia bunge, mbona saiv umeyajua? let you run with Technology, wee ulifurahi lisu kumwita rais wa ajabu?
+Castory Nchilu na wewe ulifurahi rais kuwajibu waathirika wa tetemeko kagera kuwa hawezi kuwachangia kwa kuwa yeye hajaleta tetemeko na watu tuliwachangia waathirika
Kitu nilichogundua ni kwamba wapinzani wanaongelea vifungo badala ya kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi wake. Ndio maana wamepigwa chini
Mi nashauli wabunge wa upinzani ikifika 2020 wasigombee uraisi wala ubunge, diwani, waache chama kimoja tu, inatosha na tumesha choka ina maana upinzani ndiyo wana makosa kila siku?
kweli sasa hii nnchi sio yenyewe kama serikari inaogopa kukosolewa basi iseme moja tu hakuna vyama vingi katibu ibadilishwe Aaaaaa huu sasa ni udicteta na mii sasa nakubari
mi sion kosa LA naibu spka, hao wabunge wanakera hawana Sera zaid ya makelele na kuleta uvyama ndan ya bunge na hawajui kuwatetea wananchi waliowachagua
Hamna ubabe. hapo wala nini? kama kupinga kapinga kwa vifungu vya sheria,ni kawaida ya upinzani kulala kila jambo wakihisi kuonewa.Chadema yenyewe haijitambui inatembelea nyota ya Zitto bado
Burton Jorde umeongea ukweli lakini hao ukawa hawaelewi kwamba zito ni ccm b .kama kweli zito ni mtu mzur kwa ukawa mbona siku zote hakusema haya mpaka leo anasubiriwa na police ndio analiongelea it means yasingemkuta na yeye asingelizungumzia
hao wakamatwe tuu maana hawana Sera zaid ya kujifanya wanashombo chafu na matus, tumechoka kuskiliza kashfa zao Bungen, waongee Sera hao, mi sion kama ccm inawaonea hao, Bali matus yao na kashfa zao ndyo zinafanya wakamatwe na polis
Huyu tulia aliwahi kusema kwenye chombo kimoja cha habari kwamba yeye ni zaidi ya wabunge waliochaguliwa na wananchi kw sababu aliteuliwa na Rais mnategemea nini?
Waoh..!! am so proud of you Dr. Tulia, yani upo vizuri mno. Sheria unazijuwa, hoja unazo msimamo unao
hapo ww unaona kasimamia sheria
Nakukubali sana mheshimiwa Zito Zuberi Kabwe
You are the best MP.s Mr zito
Hapa tulikuwa na binge kweli kweli
Zitto Hakuna Anae kufikia
Tanzania mzima ww na lisu
Na mzee wenu malim seif
Hamadi Ali Hamad alafu kuna heche
Kwakweli tunakoelekea tunaenda kuchaniana mashati kwa visu
kwa Mara ya kwanza namuona mhaya mwenye upeo mdogo Wa kufikiri kamugisha
Ukimungalia moleli utajua kama atakuja kua msaliti
nataman ifike siku wabunge wote watambue wapo bungeni kwa ajili ya wananchi wote wa Tanzania na sio kwa ajil ya vyama vyao wawe wamoja ktk mambo ya msingi kwa faida ya Taifa letu... lakn leo hii wanaangaliana usoni hoja kaleta nan badala kuangalia hoja ina faida gani... ama kweli siasa inaaribu nchi yetu na itaturudisha Nyuma... Rais alishasema siasa tusubiri 2020 sasa hv tuwe wamoja ktk kujenga nchi.. Tanzania kwanza vyama baadae..
Magufuli mjanja sna bila kuwa n mtaalam w sheria pangeyumba xna
Zitto kwann haui mbuge wa jimbo lngu
Dr Tulia kweli katulia
Bunge limezalauliwa sana kwa serikali ya awamu ya 5 hakuna heshima ya bunge kabisa juu ya police
tunaelekea wapi, kwann hivyo jaman, we are need freedom
Mtu anazungumza bungeni amesubiriwa nje na police hii ni hatari.
Kigoma one of the best member of parlement 🙌🙌💯.
Mkulima hana kinga; mbunge ana kinga, unaona hizi sheria za kipuuzi mnajitungia sheria za kujipendelea nyie," eti msikamatwe mpk SPK apewe taarifa sisi huku mbona tunakamatwa bila taarifa na hatulalamiki.
Well said broo
Kweli kila mwambangima ngozi huvutia kwake
Sioni ni kwanini mbunge hawe na haki yakutenda maovu bila kushughulikiwa kisheria
Akajielewi ako ka naibu spika ka ccm
Daybre Limite
mwana siasa aliye komaa uyo zto kbwe
respect u!
tutaona mengi sana kwa hii Miaka mitano ya uongoz wa mheshimiwa wetu
huyu halima ana matatizo
Kabwe ww nichombomuhimu Sana katika nchi hihi nakuku balisana
Mtu ambaye namkubali katika siasa za Nchi yangu Zitto Kabwe
zito anajua ila anamtingisha tu naibu spika
usanii ni mwingi sana Tz
Daa kwel Democrasia n Afrika still n ndoto za mchana...... Mungu tusaidie wana wako tunapotea hiv hiv
Naftali Chacha
Kiukweli kuna ukiukwaji mkubwa sana Wa kanuni na taratibu ambazo sisi kama nchi tumejiwekea inaonekana hivi sasa viongozi wore Wa juuu wapo juu ya sheria kuna ukiukwaji mkubw sana Wa katiba ya jamhuri ya muungano ya mwaka 77 ila nikumwomba mwenyezi mungu inshallah awajaze wepesi viongozi we2
R
2
ndio maana hataki kuonyesha live bunge ili fanye yao komaeni kuhakikisha haki inachukua mkondondo wake
tinno mdete hata wangeonesha wewe ungefanyeje sasa, unashabikia upuuz tupu rafik yangu, fanya kazi kwa mafanikio yako siyo kukodolea TV ukiangalia bunge, mbona saiv umeyajua? let you run with Technology, wee ulifurahi lisu kumwita rais wa ajabu?
Castory Nchilu dunia nzima bunge linaonekana live wacheni kasumba zenu ukiyona mwenzio ananyolewa na wewe tiya maji
+Castory Nchilu na wewe ulifurahi rais kuwajibu waathirika wa tetemeko kagera kuwa hawezi kuwachangia kwa kuwa yeye hajaleta tetemeko na watu tuliwachangia waathirika
that is why nakukubali coz unaenda kwenye main point
huyu naibu spika namashaka na unaibu wake
wenzetu wanapambana kuleta maelendeleo sisi tunaoneshana ubabe wa vyama!! endeleeni tuone tunatafika wapi!!
Maendeleo gani akuna machine za kupumulia
Tunaelekea kuchaniana mashati kwa visu
Nchi hii tunahitaji wabunge aina ya zito
i respect you zitto kabwe
mbna spka hksema kma ana trfa hyo ya kkamatwa kwa lisu kama ni kakamatwa kw ksa la madai au nni kwhyo anafahmu au cjaelewa mm hpo jmn
ooh
Uishi milele
Zito anafaa kuongoza hii nchi,na huyu naibu spika ni poyoyo kabisa
kuliwa kigoma ni digree.
Siasa inaharibu Ubongo
is not true
hivi wabunge wa ccm hawana aibu uku wenzao wanatetea haki za bunge pamoja na wananchi kwa ujumla
Hii situation inayoendelea ya kamatakamata ni upuuzi kabsa
Natamani hata nimtukane huyu naibu spker
Kumbe ndio maana hawakurudi michango yao wala hawachangii kuulizia shida za wananchi waliochagua.
Wanaongelea kukamatwa na mahakama maana ndio stahili yao. Wanajijua tu kuwa ni wahalifu
huyo naibu speaker bhn ni shida
Kipindi hicho zitto akiwa na akili na hajawa chawa
tuna vyombo vya kipuuzi sana.... ila sishangai wengi wao ni wale waliofeli....
Hivi Tundulisu kwa ushenzi aloufanya anastahili kupiganuwa na serikali ipi? Acha akanyee ndoo. Si ndo alichokuwa anatafuta?
Kitu nilichogundua ni kwamba wapinzani wanaongelea vifungo badala ya kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi wake. Ndio maana wamepigwa chini
Huna unachokijua kuhusu mambo ya nchi
Duh
huyu malaya naye asema nini?naona anazunguka tu kamq pia
Tunamic xna Ila back to
safi bunge
Mi nashauli wabunge wa upinzani ikifika 2020 wasigombee uraisi wala ubunge, diwani, waache chama kimoja tu, inatosha na tumesha choka ina maana upinzani ndiyo wana makosa kila siku?
Tangu lini mnyonge akawa hakiiii
Mungu tuokoe
Respect for this madam
Saf mzee hujawai kuniangusha hotuba zako unastaill kuwa si tu kuwa mbunge unastail kuwa rais wa nchi hii sio hao vilaza wa ccm
kweli sasa hii nnchi sio yenyewe kama serikari inaogopa kukosolewa basi iseme moja tu hakuna vyama vingi katibu ibadilishwe Aaaaaa huu sasa ni udicteta na mii sasa nakubari
Fr
zitto point
mi sion kosa LA naibu spka, hao wabunge wanakera hawana Sera zaid ya makelele na kuleta uvyama ndan ya bunge na hawajui kuwatetea wananchi waliowachagua
Agnes Mgomba ww Ni msenge tu
FAIDA YA KIONGOZI WA SHUGHULI ZA BUNGE KUWA MWANASHERIA.
🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐
PhD
HALIMA APUNGUZI MAKALI
Huyo ndo zitto kabwe
Bonge la kichwa. Jamaa ana kipaji kikubwa Sana.
Xpka 2nakuhitaji mbeya tafadhariiiiiii
Richi jonas
I hate ccm too much
why
Balaza LA madiwan ileje
Hamna ubabe. hapo wala nini? kama kupinga kapinga kwa vifungu vya sheria,ni kawaida ya upinzani kulala kila jambo wakihisi kuonewa.Chadema yenyewe haijitambui inatembelea nyota ya Zitto bado
Burton Jorde ucwe kichaa inamaana nyumba ya JIRANI yako ikiungua usaidii kuzma kama ni hivyo ukiunguliwa ww ucsaidiwe?
Burton Jorde umeongea ukweli lakini hao ukawa hawaelewi kwamba zito ni ccm b .kama kweli zito ni mtu mzur kwa ukawa mbona siku zote hakusema haya mpaka leo anasubiriwa na police ndio analiongelea it means yasingemkuta na yeye asingelizungumzia
Duh!!"""""
Gabriel Albinus
kwanini mnamtukana rais wewe zitto ulijificha wiki 2 ulikuwa wapi? haya sasa lako hilo
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe huna akili ww
@@daybrelimite1856 gbn
Hahaha
O
bomboclact system where's equal rights and justice 👹👹👹👹
She talks too much
hao wakamatwe tuu maana hawana Sera zaid ya kujifanya wanashombo chafu na matus, tumechoka kuskiliza kashfa zao Bungen, waongee Sera hao, mi sion kama ccm inawaonea hao, Bali matus yao na kashfa zao ndyo zinafanya wakamatwe na polis
.
public comment
Huyu tulia aliwahi kusema kwenye chombo kimoja cha habari kwamba yeye ni zaidi ya wabunge waliochaguliwa na wananchi kw sababu aliteuliwa na Rais mnategemea nini?
Omary Mwigula ni kweli
nikweli kuna ukiukwaji wa kanuni hivyo lazma ulimbukeni wa madaraka
Kamata zitto kibaraka wa abeberu
i respect you zitto kabwe
Helo
huyo naibu speaker bhn ni shida