ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
Wabunge Zitto Kabwe na Cecil Mwambe leo Alhamisi Juni 28, 2018 wamemuomba Spika Job Ndugai kuitaka Kamati ya Maadili, Kinga na Madaraka ya Bunge kumhoji na kumchukulia hatua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Adelardus Kilangi kwa madai kuwa amekipotosha chombo hicho cha Dola.
Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na Mwambe (Ndanda-Chadema) wametoa kauli hiyo leo bungeni mjini Dodoma wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018.
Mwambe alipingana na maelezo yaliyotolewa na AG siku mbili zilizopita kuwa fedha za ushuru wa mauzo ya korosho nje ni za umma na Serikali ndio yenye mamlaka ya kupanga matumizi yake, akisema kuwa fedha hizo ni za wakulima.
Mara baada Zitto kueleza hayo, Mwambe alimuunga mkono akitaka mwanasheria mkuu huyo wa Serikali achukuliwe hatua.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Wenzangu na Mimi mnaoangalia kwa ushabiki kama Mimi naombeni like zenu jamani!!!!
Mimi mnanitengaga sana bhana
Zitto kabwe ndio CHUMA CHA RELI SIO MCHUNGAJI FULANI.
You are the pride of KIGOMA, the Pride of the NATION.
Dah mh.Zitto Mungu akujalie maisha zaida,very logic kwa kla unachokiongea kiac kwmb ata speaker mwenyew kawa mpole
The charisma of Mwl.Nyerere,the courage of Amina Chifupa and the confidence of Zitto Kabwe.
Daaaaaaaaaah! Huyu jamaa namkubali Sana asee, Hongera yke. Mungu ampe maisha marefu na SIHA NJEMA
Bin Chipatu yaana zitto gudi
Usomi unaonekana kwa vitendo broda,,,gud sn kabwe,,hazna ya taifa
Mungu akusimamie ktk yote mhe Zitto kabwe upo vizuri sana
Daud Henry Yaani Rais angempa Wizara Zitto..yupo vizuri saana huyu jamaa
Nampenda sana Zitto yuko vzr sana! Big up to you
√
Sir Zitto Kabwe unawaonea wabunge wa ccm hata spika hawaelewi sheria wanazozitunga na hawana tabia ya kufanya rejea ya kisheria wavivu wa kusoma ata wanasheria wenyewe hawazijui... Hongera sana kaka unaona mbali sana
Zitto kweli umesoma na unajua unachokizungumza. Tunahitaji wabunge 100 kama Zitto kabwe. Live long brother
Mh.Zitto! You are very much bright and talented in reasoning! Well said Honourable!!!
Yaan leo nimefarijka kwa kusikiliza maelezo ya huyu jaama zito! Kweli selekar iangalie tena juu ya mpango wakuuwa upinzani, maana kuna vichwa ambavyo vikipotea kuvipata, cjui! 👏👏👏👏👏 Ahsant zito zuber kabwe
Zito ni mwanasiasa mzuri sana na tunakuunga mkono na ndo mwongozo wetu wa siasa kasoro mwaka 2015 ulikubali kuyumbiswa na siasa za bongo hicho kilikuharibia sana
Nchi hii imebarikiwa, Mungu akutunze kijana wetu, ni hazina na tu u kuwa kwa Taifa hili.
Kwelliiii
Eti namuona Joshua nasarri nar anapoga makofi...daaaaaah pole mwanangu...turu usariver kula hela za yatima
Mungu akuweke miaka mingi ishaAllah...wewe ni Hazina ya Taifa
Zito kibokooooo wallah,hongera sana muheshimiwa
What a fine legislative mind!! Kenyan MPs, please 'look and learn' ...the craft of building up an argument in a livid debate!
Zitto ni Genius👏👏👏 ila huu mjadala angekuwepo Lissu ungekuwa mtamu zaidi, hutoona baadhi ya wabunge wanaoongoza kwa kusema hovyo wakichangia kwenye hoja kama hizi za kutumia vifungu vingi vya sheria na akili nyingi
huo ndo ukweli hapo kibajaji,msukuma,kessy,na mlinga wamejificha hapo shule inafanya kaz yake
Fazeel Shomary 😂 hapa huwez kumuona MLINGA
Fazeel Shomary Lisu angekuwepo ingekuwa nzuri zaidi maana namjua Lisu kwa history na legal perspectives ni hatari
Fazeel Shomary hahahaaa
Uposawa
Huyo mama yukoje lakini? Zitto wewe ni kichwa sana Kamanda.
Spika akiona anapoint ya kujibu anaongeza muda,lakini akibanwa yeye utacikia muda wako umeisha,kama umegundua hilo gonga like tujuane
Mwenyekitiiiiiiiii.Hiko ni kichwa cha Mungu kw ajili ya wa Tz
Huyu Speaker wa Bunge, Yuko vizur I never seen before,
Lazima watu waelewe tu Akili kubwa sana hiyo Mh Zitto Kabwe thanks brother
Duuh..Zitto kabwe.. upo vizuri sana Broo
Jumbe mbili zinaweza kupatikana-moja ni kurejea makubaliano ya 65 35 kama alivyoeleza kwa umahiri kabisa Mh Zitto, ama Serikali inaweza kuona haja ya kuleta ushuru wa namna hiyo hiyo kwa yaho mazao mengine ya kuuza nje. Ila busara itumike- ni wazi kuwa utaratibu huu wa makusanyo ya kuboresha kilimo cha korosho- ingezeweza kusaidia kuendeleza mazaomengine ya kibiashara.
Zitto- shukrani kwa ufafanuzi
Zitto ww ni JEMBE, KICHWA, KIFAA.......naomba tuchukuwe wabunge wote kama zitto waunde bunge LA jamhuri ya Mungano wa tz, wabunge kama lusinde,mlinga na msukuma waunde bunge LA SHILAWADU tz. Vichwa vipo upinzani. Zitto Mungu akubaliki.
jeremiah kiberenge kweli aisee
Kichwa mashaallah
Sheria zinatungwa Kwa Lugha ya Kiingereza, zinajadiliwa Kwa Kiswahili. Kazi tunayo, Sheria zitungwe Kwa kiswahili na zijadiliwe Kwa kiswahili, sisi sio waingereza!!!!
yanga Vs biashara
Zitto alimuelimisha vzr sana zuzu letu hili li ndugai, yaani ni bogazi la htr swali lake lilijua hataweza kulijibu bwege kweli kweli yani livyobebwe na ccm linajua wote ni vilaza kama wao
Zitto mkuu nakufuatilia san nakinacho nifanya nikufatilie kuwa uwez ongea kitu kma ukijui kwakina big up san mkuuu
Zito + Lisu = na umbozi wa watanzania
Naaaam,spika Ndugai unapomlinda asikilizwe hapo unajinyakulia heshima kubwa!
akili ni Mali!!! Endelea mkuu haahhahaha!! mpka spika wa Bunge kamuuongezee muda!!! safi sana Zitto.
Huu ndio upinzani ninaoukubali like nyingi tafadhali
Zito nakukubari sana
Zitto huwa yuko vizuri sana, kama nchi ni kama tuna mmissuse
Kama hauja mkubali zito utapata tabu sana tena sana
Ww ovyoooo hauoni ukwell au hujasomaaa
Oya nimemkubaaliii zito kiboko.
Uyo jamaa yuko sahihi sana jamani duuu
mungu akuzidishie mshimiwa ZITO ambaye shule haijamsaidia hawezi kukuelewa.
Big up mwami👍
Kichwa kimoja sawa na wabunge hamsini wa fisiem!!!
Mh.kwa kuweka tofauti za vyama vyetu pembeni...Umejitahidi Sana kwa uwezo wako wote kujenga HOJA.HAKIKA WEWE NI MZALENDO.
Zitto upo vzr sana kijana mwezetu
Zitto is one hell of an intelligent character... afunguo chuo atufunze namna ya kujenga hoja na kupambanua vitu
Daah mwana yuko nondo yuko duki balaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 anatoa shule nzito yaan ni kama messi vile anavyo wapoteza mabeki 🙌
Wewe kijwa mheshimiwa Zitto Kabwe Kigoma oyeeeee
Pole Zito kwa kupambana kwa sababu ya Watanzania.
Tunakuombea urudi bungeni tena,
Zitto Zidane Zubeir Zizou Kabwe Fundiii..a.k.a THE TEACHER.
Mungu akubariki sana swahiba..sometimes najuta kwanini nilipoteza kura yangu 2015, majinga mengi ndani ya ccm
Ur smart brother very smart, they understand you, spika knows ur position what a smart guy bless saana
Brother ur so bright,hongera kwa kuwapigania watu watz bila kujali ukanda Wala ukabila
Amewasaidia Sana jamaa Huyu Zitto yupo vizuri sana
kweli zito hakurupuki jaman
President Magufuli mtu km huyu unakoseje kumuweka sehem mhimu serkalin? Tunamkubal sn sio kwa ushabiki ni kichwa na mtaalam duh Mh Zitto it' s dangerous
Kabi Sadu Ndugu yangu kwani hujui mpaka leo serikali ya ccm haikuchagui mpaka ufanye ubaya kwa wananchi ndio unapeiwa cheo kwa mfano Makonda,Ummy mwalimu, Nape, na wengine wengi tu
Ivi ndosaf mbunge aongelee Jambo kwa maslah ya nch pia na Jimbo lake ongera sana zito
Kabi Sadu hapana,,,abaki alipo ingewezkan Angelrejoin CHADEMA
Asante kwa kuwapa dalasa.100000%
Ezra Nairo zito kichwa
This Guy is very SMART!
mh. zito kabwa mungu akubariki sana naakulinde ili elimu yako iendee kutuelimisha hususani ss wanyonge.
Ndugai hapa watanzania ulitutendea haki na munguu atakubariki.
Zitto kabwe Ruyagwa 2022 still nipo na wewe🔥
Be blessed
Kama unaangalia 2019 like apa tujue.
Kweli shule ni muhimu jamani...duh zitto respect
saf zto kabwe nakubal umemalxa kla ktu ahsante na mungu akulinde
Zitto tu anatosha kusimama na wabunge wrote wa ccm
Zito uko vizuri sana yani unachambua mpaka nasikia raha
Mh. Zitto,pamoja na hoja zako nzuri na kugusa mawazo ya
sasa ni vizuri wabunge wote wawe na elimu ukipata wabunge kama hawa 100 abuluzwi mtu tena
Dah chadema always is back, napenda chadema in love
mimi kusema za kweli hua simuelewi uyo mama anaetoaga taarifa katikati ya mada muhimu
Tyson Deo hajawahi kuwa sawa msamehe bule
Tyson Deo yani hata mm namuona sana huyu mama atulii yani utakuta mada za maana utasikiya taarifa yeyety
Tyson Deo mapovu sasa ya nini shauri tu serikali itakuelewa
Tyson Deo ccm sunawajua?
xana
Zitto you are 1000 people person. Excellent excellent excellent excellent
Daaa kweli be blessed kamanda
Mh. Zitto tumup nchi jmn huy jamaa fundi
Zito you're so wise
Nionacho Mimi kuna watu vihiyo sana ktk serikali na wanaoangusha uchumi wa mtu mmojammoja na hata vyama vya ushirika,
kweli shule nzuri. Anawafundisha pamoja na mkuu wao na wengine inaonekana hayuko informed kabisaaaa
Vizuri sana Zito ,bila kusahau kumuombea Lisu apone haraka arejee wasaidizane mambo yakuwa poa
Duuh!! Huyu zitto msomi kwelikweli anavyo dadavua mambo mpaka sisi wenye elimu ndogo tunamuelewa vizuri kabisa namshangaa huyo mbunge mbumbu anashindwa kuelewa jambo lepesi kama hilo!! Alafu eti ana digrii? Atakuwa bashite huyu maana anatia hasira kweli
Mi niliipenda sana mbunge huyu Kwa hoja safi na maelezo safiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwa kweli ztto ni mtu makini sana
we ndo hero apa tanzania kwanza napenda unavyo ongea yani ii ni sign kuwa we ni msomi mzuri sana
Mbunge mwenye akili hii nchi ni wa upinzani tu kwa kweli
Huyu jamaa anajua bwana dah Mh ndugai anaona km muvi ya kihindi hadi raha
huwa nakukubali sana. ila hapa Tz watu werevu hawanaga nafasi na huwa wanaonekana wahuni.
Sitakuja kumshauri mwanangu kuwa hata na kadi ya ccm hata kama marehemu wangekuwa wanaongea!..
Mimi na we ni mapacha
Ndaro Gamba Hata mm aise atakuwa huru
Zitto ni kichwa kilichobarikiwa Aiseee
Kuna wabunge wa ccm wao kazi yao ni taarifa tu.hawatoi hoja yoyote ya maana. Huyu mama simwelewi kabisa.
Kwani kuna zambi gani kuwapa watu vichwa kama zito ,bashe, nasari nk uwazili au kuwa upinzani ndo hawapati vyeo
Jamani zito Mwaka 2020 njoo ugombee mtwara (v)
ZITO ANA UFAHAMU MKUBWA SANA NA AKILI YAKE IKO SMART
zito kichwa sana lazima wa2 wajipangeee sana
Kama bado unamfuatilia zitto mwaka 2020 like twende sawa😂😂👌👌👌
Nimependa mpk raha
Very smart kichwani zitto aiseee
Duh vizuri sana, wapi Mhagama leo na miongozo yake?.Inaelekea amekubali hizo nondo .Ndugai wengekuwa upo hivi kwa kila jambo wengepata heshima kubwa kwenye hili Taifa kuliko marehemu Sitta
Zitto pamoja na spika muko vinzuri mpk na mm nimeelewa asanten sana
zitto kweli Wewe ni mzito Kweli
Tunawataka wabunge kama hawa ongera zito mungu akusaidie
zitto namtabiria makubwa sana 💪
SMART POLITICIAN IN TANZANIA
Your so bright honourable zitto kabwe"""_
you have killed it....umeeleweka kwa shule iliyotoa
Lazima watanzania tusikitike kua bunge letu la awamu ya tano kukosa watu muhimu kama Hawa zitto, mbowe, sugu, nk maana ndio wasemaji pekee
Namkubali sana jmaa huyu
Tutawamiss sanaaa 2025 jamaniii
Kichwa hicho cha tz nice sana zito
Upo vizuri muheshi miwa