ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Acheni unafiki wacheni watanue tushaambiwa kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake na mlisema nchi ilikua na ubabe sana acheni ndio mlivyotaka simlisema nchi ilikua chini ya udikteta acha tuishi mtakavyo watu waupige mwingi .
😂😂😂shamba la mamaa acha wapige makachuuu hadi kizimkazii
Magufuli fufuka uje utumbue majipu majipu makubwa yameota wenzako wenzako wamegeuka chura viziwi Sasa wanakula na kuvimbewa
Lakini hawa hawakamatwi watapelekwa TAKUKURU sijui kuwa hii taasisi ni effective
Mnashangaa nini c waliambiwa wale kwa urefu wa kamba zao?
Wacha waibee tu mana uwongozii wa sas n dhaifuu mnoo na ndomana ya kazii iyendelee
Wacha wajipigie tu niwakati wao😂😂😂
Kisha muiba kuku anafungwa miaka
Hapo kakusanya miaka 3 ukigawa kwa siku 366*3 kila siku aliingiza ngapi tupige hesabu ndugu zangu
Miaka mitatu umejuaje sasa kwa tarifa yeny wizi mkubwa ulitokea enzi hizo sio sasa
@@fwc5552ni mwaka mmoja huu mama akichukua mikopo wao wanagawana
Sasa kama wizi ume rihusiwa mna shangaa nini kusema kweli nchi hii watu wezi sana
Madaktari, walimu hawana ajira kisa serikali Haina hela ya kulipa mishahara, watu wachache wanachezea pesa
Kamba ndefuuuuuu...
Ukipata nafasi itumie
Mama ana upiga mwingii
Ndio tafuthili yake iyo safi sana.
Walisema hoo mnyonyaji aya mara Tiagi Masaki kaone waachene tu wachote..
Daaah jamani
Hakuna mzalendo tz wote ni wapigaji
Acha wale Bata tu mafuta yanazidi kupaa/dizel 3/100 ya kula 5000per Lt huduma za afya ndo kitanzi
Mama anapiga mwingi
WANAZITOA WAPI NINA MISHAHARA AU?
Acha waupige mwingi na mama yao
😅😅
Halufu kuna shule hazina vyoo wala madarasa, na walimu wakutosha.
Mambo magumu Kwa wananchi
Hao wafilisiwe
Kwann sasa
Bible inasema nani alipewa nafasi ya kutenda zambi asitende?. mfumo wa wetu imewapa mwanya wa kujichukulia!
We itakua una ota nini hakuna watakacho fanywa hao wezi wana lindwa saahv
Acheni unafiki wacheni watanue tushaambiwa kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake na mlisema nchi ilikua na ubabe sana acheni ndio mlivyotaka simlisema nchi ilikua chini ya udikteta acha tuishi mtakavyo watu waupige mwingi .
😂😂😂shamba la mamaa acha wapige makachuuu hadi kizimkazii
Magufuli fufuka uje utumbue majipu majipu makubwa yameota wenzako wenzako wamegeuka chura viziwi Sasa wanakula na kuvimbewa
Lakini hawa hawakamatwi watapelekwa TAKUKURU sijui kuwa hii taasisi ni effective
Mnashangaa nini c waliambiwa wale kwa urefu wa kamba zao?
Wacha waibee tu mana uwongozii wa sas n dhaifuu mnoo na ndomana ya kazii iyendelee
Wacha wajipigie tu niwakati wao😂😂😂
Kisha muiba kuku anafungwa miaka
Hapo kakusanya miaka 3 ukigawa kwa siku 366*3 kila siku aliingiza ngapi tupige hesabu ndugu zangu
Miaka mitatu umejuaje sasa kwa tarifa yeny wizi mkubwa ulitokea enzi hizo sio sasa
@@fwc5552ni mwaka mmoja huu mama akichukua mikopo wao wanagawana
Sasa kama wizi ume rihusiwa mna shangaa nini kusema kweli nchi hii watu wezi sana
Madaktari, walimu hawana ajira kisa serikali Haina hela ya kulipa mishahara, watu wachache wanachezea pesa
Kamba ndefuuuuuu...
Ukipata nafasi itumie
Mama ana upiga mwingii
Ndio tafuthili yake iyo safi sana.
Walisema hoo mnyonyaji aya mara Tiagi Masaki kaone waachene tu wachote..
Daaah jamani
Hakuna mzalendo tz wote ni wapigaji
Acha wale Bata tu mafuta yanazidi kupaa/dizel 3/100 ya kula 5000per Lt huduma za afya ndo kitanzi
Mama anapiga mwingi
WANAZITOA WAPI NINA MISHAHARA AU?
Acha waupige mwingi na mama yao
😅😅
Halufu kuna shule hazina vyoo wala madarasa, na walimu wakutosha.
Mambo magumu Kwa wananchi
Hao wafilisiwe
Kwann sasa
Bible inasema nani alipewa nafasi ya kutenda zambi asitende?. mfumo wa wetu imewapa mwanya wa kujichukulia!
We itakua una ota nini hakuna watakacho fanywa hao wezi wana lindwa saahv