SAKATA LA GHOROFA KARIAKOO LAFIKA MEZANI KWA RAIS/RAIS ATOA MAAGIZO KWA WAZIRI/ KAMISHNA AFUNGUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 214

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 หลายเดือนก่อน +22

    Asante sn Mama Samia, na Hongera sn Dada kwa kupambania haki yenu. Safi.❤

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx หลายเดือนก่อน +19

    Asante Sanaa mweshimiwaa raisii naa waazirii waa ardhii mungu awapee maishaa marefuu

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 หลายเดือนก่อน +3

    SubuhanaAllah, Allah atupe njoyo za kukinai. Maisha ya dunia tunapita tuu. Huyo aliyomiliki yupo wapi inalilah wainailah Rajiun. CC ní wapita hapa duniani.

  • @1961nungwi
    @1961nungwi หลายเดือนก่อน +16

    Kazi nzuri sana hongereni wote. Haki huinua taifa. Taifa hili litasimama.

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 หลายเดือนก่อน +1

      ALHAMDULILLAH,MWENYEENZI MUNGU UAMUA HAKI HALALI ,WASIOWAJUA NDIO WATASEMA UJINGA WAO, WATUULIZE SISI TUMEKUWA NAO HAWA WASICHANA WOTE,NA MIMI NIKIWA BEST FRIEND WA FAIZA BAHSHWAN NA WOTE HAO NAWAJUQ VIZURI NA SANA NA MAMA NA BABA WOTE SINCE WHEN WE WAS TEENAGER.URAFIKI WETU ULIKUWA NI NDUGU KABISA MPAKA HII LEO KUANZIA SISI MPAKA WAZAZI WETU WAMEKUWQ KAMA NDUGU KWENYE HIZI FAMILY SABABU NI FAIZA NA MIMI.ARAFAT ANATUSIKITISHA SANA SISI DADA ZAKE, SABABU HAKUNA ASIOJUA KUWA HILI GHOROFA NI MALI YA DADA ZAKE,HALAFU ARAFAT NI MDOGO SANA KWA WOTE HAO WHY AMEKUWA TAPELI KIASI HICHI.YAANI ANAMPA SHIDA SANA MAMA. AMBAE AMESHAKUWA MTU MZIMA SQNA KWA SASA ,ARAFAT KWANINI HUWEZI KUHESJIMU MAMA NA DADA ZAKO HAKIKA ANATUSIKITISHA SANA SISI WOTE TULIKUWA NJE YA NCHI. HASA KUMTESA MAMA NA DADA ZAKO AMBAO NI BABA MMOJA MAMA MMOJA ,HUMUOGOPI MWENYEENZI MUNGU WEWE MBINA NI MDOGO SANA KWENYE HAYA MAMBO YA UTAPELI? YAAN TUSIKITIKA SANA TENA SANA SISI TULIO KUWA PAMOJA .WHY USIFATE MFANO WA AKINA BUI? JINSI GANI ANAVYOWAPENDA DADA ZAKE? MBINA MOHAMED NA SAEED HAWAINGILII MALI YA DADA ZAO ,WHY YOU ARAFAT.UNATIA AIBU SANA ESPECIALLY KWENYE FAMILY ILIYOKUWA NA UPENDO NAMANA HII UNATAKA KUMUUMIZA MAMA ARAFAT.NASEMA KWA UCHUNGU SANAA BAADA YA KUSIKIA HII STORY FROM LONDON WATU WANANILETEA VIDEO ZA SABAH NA MAMA WANALALAMIKA KUHUSU DHULUMA UNAYOWAFANYIA.EMBUBRUDI KWA MOLA WAKO MDOGO WANGU UNATUSIKITISHA SANA SISI AMBAO TUNAOKUJUA TOKEA UNAZALIWA TUNAKUONA WHY ARAFAT.UNATAKA KUMUUA MAMAKO HUNA IMANI NA MAMAAKO? MFIKIRIE JAMILA NI MLEMAVU UNAMDHLUMU WAKATI UNAJUA FIKA ANA WATOTO WANAMTEGEMEA.ARAFAT UNATUSIKITUSHA SANA. SABAH JONGERA SANA MDOGO WANGU UNESIMAMA KAMA WEWE NDIO MKUBWA KWA AJILI YA DADA ZAKO MWENYEENZI MUNGU AZIDI KUKUSIMAMIA INSHA ALLAH.

    • @user-eu6ql9zl7n
      @user-eu6ql9zl7n หลายเดือนก่อน

      Amina

  • @shadyalardhi7854
    @shadyalardhi7854 หลายเดือนก่อน +14

    Sabaha hongera mungu akulinde tunampongeza mheshimiwa mama samia na slaa

  • @bongo39
    @bongo39 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana sabah kwa kusimamia haki ya ndugu zako huyu arafat hongera mama samia slaa na bwana kyando mungu atawalinda

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 หลายเดือนก่อน +14

    Arafat kweli Tapeli hata mama yake amemkataa kuwa Bi Nuru si mama yake. Huyo mkurugenzi afukuzwe atatoaje demolition order bila kuwapa notice wapangaji atleast miezi 6

    • @othmana2
      @othmana2 หลายเดือนก่อน +3

      Very sad

    • @shanibaniyas6308
      @shanibaniyas6308 28 วันที่ผ่านมา

      😢

    • @shanibaniyas6308
      @shanibaniyas6308 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@othmana2😢

    • @user-ey9qd8ph8r
      @user-ey9qd8ph8r 22 วันที่ผ่านมา

      Yaani mkurugenzi useless easy ananunuliwa brother

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 หลายเดือนก่อน +14

    Mkurugenzi anashirikiana na Matapeli.Hana maadili.

    • @JohnP-gl1ie
      @JohnP-gl1ie หลายเดือนก่อน +2

      FUTA kazi

    • @jamalahmed7057
      @jamalahmed7057 หลายเดือนก่อน +1

      Lakini mkurugezi hawamtaji kama amekiuka maadili alipaswa wamchukulie hatua

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 หลายเดือนก่อน +11

    Ndugu hao baba na mama mmoja,pesa mbaya sana,huyo Arafat ametumbua pesa aliopewa na baba yake, akamatwe na kupelekwa mahakamani, tapeli huyo ndugu.

  • @Farryunique
    @Farryunique หลายเดือนก่อน +2

    Well done maa, Allah akupe uzima afya njema kusimamia haki yako. ❤❤

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 หลายเดือนก่อน +6

    Mama uko vizuri

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 หลายเดือนก่อน +11

    😂😂😂😂 kijana mjinga atajua hajui baadhi ya vingoz ni mishenzi wanakula rushwa leo imefka mwisho

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 หลายเดือนก่อน +1

      Kila Mkoa zipo shida kama hizi

  • @wahiwaziri7363
    @wahiwaziri7363 หลายเดือนก่อน +4

    @jambotv hongereni sana kwa kazi nzuri, mmefanya jukumu mama kama chombo cha habari, online media zingine igeni mfano huu na sio kuripoti ujinga ujinga tu

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 หลายเดือนก่อน +1

    Wow big up Sana her excellent Samia suluhu Hassan, na waziri WA ardhi , na hongera Sana Dada Kwa kupambania haki yenu, tunaomba HAO mapolice uchwara walivokuwa wakisimamia uhalifu washughulikiwe na KAZI Yao isitishwe.🙏🙏🙏🙏

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mkurugenzi achukuliwe hatua anaichafua serikali za mama yetu Samia

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 หลายเดือนก่อน +6

    Huyo Arafat Kwa maelezo hayo ni tapeli mwizi anatakiwa ashitakiwa na kwenda jela miaka thalatha na arudishe kodi zote alizochukuwa

  • @tusekilemwakatobe7763
    @tusekilemwakatobe7763 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ndio serikali ya mama Samia haki itendeke hati tu inaeleweka kwa Nini mizunguko iwe mingi kiasi hicho nahamini serikali ya mama yetu Samia Hassan suruhu ni sikivu l love you mama ❤❤❤❤

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera Kamishna wa Ardhi Msaidizi Shukrani Kyando.

  • @wardalardhy8669
    @wardalardhy8669 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana dada ! Halali yako !

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n หลายเดือนก่อน +3

    Hao msimbaz hao Mungu anawaona!!

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n หลายเดือนก่อน +3

    Asante boss umemsaidia waziri.

  • @shmohd11
    @shmohd11 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana, Kazi Iendelee Mhe. Slaa

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 หลายเดือนก่อน +8

    Huyo mkurujenzi afukuzwe kaz anakula rushwa kuwanyanyasa watu na haki zao

    • @kavyashortsleon
      @kavyashortsleon หลายเดือนก่อน

      Kama kweli ndiyo hivi afutwe kazi kabisa siyo kuhamishwa

    • @user-ey9qd8ph8r
      @user-ey9qd8ph8r 22 วันที่ผ่านมา

      Wako Sana watu WA hivyoo Nina kaka yangu msomali nae matatizo sana

    • @user-ey9qd8ph8r
      @user-ey9qd8ph8r 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@kavyashortsleonafukuzwe

  • @RAMADHANCHANDE-cg9sy
    @RAMADHANCHANDE-cg9sy หลายเดือนก่อน +5

    Huwa nachukiwa sana kuona mwanaume mwenzangu kugombania urithi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana serikali kuwasaidia hawa wakina dada. Arafat weka ndani kabla hajawaumiza dada zake.

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 หลายเดือนก่อน +5

    Pole wadogo zangu huyo mdogo wenu jambazi

  • @knight6757
    @knight6757 หลายเดือนก่อน +6

    Pesa zimetembea !!

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani kuwa na ndugu wengine ni mtihani kwa kweli Arafat umekuwa mwiba kwa dada zako

  • @jomba6514
    @jomba6514 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteni sana serikali yetu kwa kutenda haki

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 14 วันที่ผ่านมา

    Mashallah Alhamdulillah

  • @husseinali-fc2xl
    @husseinali-fc2xl หลายเดือนก่อน +3

    Hongera jambo T.V.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 หลายเดือนก่อน +4

    Who is SAGARA. Fukuza arafata na sagara weka ndani. Acheni hao madada wapate haki yao, Naamini Wazir Silaa na mh Mama yangu Rais Samia , mtapata haki yenu

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq หลายเดือนก่อน +6

    Mkurugenzi alitaka kununua yeye kimeo fukuza KAZI huyo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist หลายเดือนก่อน +5

    Hii nchi haitaendelea. Uongozi dhaifu unaodhoofisha institutions kwa maslahi yao, ili wawe na madaraka zaidi; matokeo ni vijikesi vidogo vidogo hivi lazima viamuliwe na Mkuu wa Mkoa, Waziri na hata rais!

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 หลายเดือนก่อน

      Ndio Serekali ya Mama Samia inayetatua matatizo ya watu hivyo nyie mtateseka sana na anayoyayafanya Mh.Rais Samia

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo tatizo la kupewa kazi kwa kuangalia kadi ya chama tawala.

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be หลายเดือนก่อน +3

    Mungu anisamehe lain naona pia kama mheshimiwa ameonja kitu kidogo

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu wangu miaka kumi mungu atawapa hathabu ya mioyo yenu

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 หลายเดือนก่อน +3

    NILIONA NDUGU ZA MUME WANGU WAKIWEKA VIKAO VYA SIRI KUMDHULUMU NDUGU YAO ASIPATE KITU.MJITU MIZIMA KULISHWA NA WAZAZI AIBU

  • @2003hintay
    @2003hintay หลายเดือนก่อน +3

    Marhum namfaham maskini inasikitisha sana kusikia haya

  • @MwajumaSaidi-e1x
    @MwajumaSaidi-e1x หลายเดือนก่อน

    Inshallah mungu atawasimamia wa dada Hakii ya mtu haipotei huwainachelewa tu ...Ameen.
    Ahsante sana jambo tv kwa kufikisha habari hii mahala husika kwa wakati Mali za watu zilikuwa zinapotea bila sababu maalum.

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 หลายเดือนก่อน

    Hongera serikali kwa kupigania Haki

  • @ajoseph31
    @ajoseph31 หลายเดือนก่อน +1

    Ingekua uyu dada ajitambui, bila shaka wangerushwa hi mali

  • @TwalibKambangwa
    @TwalibKambangwa หลายเดือนก่อน +6

    Dadanakupamauwayako.🎉

  • @jessekigona4102
    @jessekigona4102 หลายเดือนก่อน

    kazi nzuri jambo tv

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u หลายเดือนก่อน +1

    safisana kaka Alhamdulilah mungumkubwa hakiyamtu gaypotey

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 หลายเดือนก่อน

    Tunamshukuru Dr slaa na kamishna na rais samiha kwa kuwa wasikivu

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 หลายเดือนก่อน +2

    Uko sahihi sana afisa

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wachache wenye ngozi mchanganyiko wanakuwa na kiburi cha kutoheshim mamlaka,huyo alieomba kibali cha kuvunja usiku wa manane lazima achukuliwe hatua! Na ili apunguziwe adhabu amtaje aliemtumia kuchomoa karatasi katika hilo faili ili na yeye awajibishwe! Mh Jerry silaa kazi Anza na Arafati"Akwambie kamuonga nani kuchomoa karatasi hakuna kulindana

  • @mwanahawanyambi9440
    @mwanahawanyambi9440 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde Rais Samia na watendaji wako haki zitendeke kote. ulinzi uimarike kwa Sabah kwa kupambania haki yake na nduguze Arafat Umtake Radhi mama yako .

  • @allykimbulaga8885
    @allykimbulaga8885 หลายเดือนก่อน

    Wateule wakishateuliwa wanachokijua KUWA wamepewa nafasi ya ULAJI sio kumsaidia Rais kutatua kero za wananchi

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm หลายเดือนก่อน

    Hongera sana dada yangu mungu yu pamoja nawe arafat taperi kuna watu wapo nyuma yapazia

  • @sleyumrashid7794
    @sleyumrashid7794 หลายเดือนก่อน +3

    Mkurugenzi mtu Wa Dili hafai kukaa ofisini

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 หลายเดือนก่อน

      😂😂ntu wa dill mkurugenzi

    • @salehemsumi615
      @salehemsumi615 หลายเดือนก่อน

      ​@@rosehaule6765Ntu wa dili Nkurugenzi,kataa!

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 หลายเดือนก่อน +2

    Kikubwa mkifanikisha tu mliuze ili muepukane na hilo tapering likaka lenu

  • @caesar7745
    @caesar7745 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie viongozi mnafanya kazi nzuri sana lakini tatizo moja tu. Watendaji wenu wananuka rushwa. Sasa kama mama kamtafuta mkurugenzi na yeye ndiyo kasababisha haya madudu na bado na kazi😅😅😅😅. Ifike pahala Rais awe anafukuza hawa watu. Siyo kuwahamisha. Sasa hata polisi nao rushwa tu. Mnampelekea defenda na hati mnaziona. Tena mwammnke. Pole mama

  • @jamalahmed7057
    @jamalahmed7057 หลายเดือนก่อน +1

    Bado kuna tatizo kwenye system serekalini mpaka Rais au waziri waingilie kati ndio jambo lipate ufumbuzi police wanahusika wazi kwenye kuchukua rushwa na manispaa lakini wao wapo salama ila arafati pekee yake ndio anayetajwa hapa

    • @user-eu6ql9zl7n
      @user-eu6ql9zl7n หลายเดือนก่อน +1

      Kweli mtoaji na mpokeaji wote hatiani

  • @iddykhamis4558
    @iddykhamis4558 25 วันที่ผ่านมา

    Pamoja na muheshimiwa kuingilia kati hili swala Kuna watu hapo chini wanatakiwa kuwajibishwa kwanini mpaka Rais aingilie kati wakati Jambo lipo wazi zulma ya wazi kabisa yaani muhalifu alikuwa anasikilizwa kuliko wenye Mali Kuna watu wakuwajibishwa kabisaaaa

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 หลายเดือนก่อน +1

    Arafati ulivyodhulumu inatosha tubu mungu atakusamehe jua kabisa haki ya mtu haipotei

  • @abcstudiostanzania
    @abcstudiostanzania หลายเดือนก่อน

    Kaka Kyando. Asante sana

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini hao wanawake wanateswa na huyo mdogo wao kwa nguvu za hao watu mabaunsa wa huyo Arafat, mpaka ifikie kuvunjwa na kuharibiwa kiasi hicho. Kweli mnamtwisha Mhe. Rais ambaye ana majukumu makubwa zaidi ya hayo. Hongera Rais lkn waangalie wahusika wakuu.

  • @dayuunassirnassir5854
    @dayuunassirnassir5854 หลายเดือนก่อน

    Hongera dadangu kwa kupambania haki yako

  • @allykimbulaga8885
    @allykimbulaga8885 หลายเดือนก่อน

    Hivi inakuaje kumfikia RAIS iwe rahisi KULIKO mkurugenzi aliyeteuliwa na RAIS amsaidie? Hii Nchi tunaipeleka wapi? Muheshimiwa RAIS ANA KAZI KUBWA KULIKO INAVYOONEKANA

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 หลายเดือนก่อน

    Arafat anafaa ashitakiwe kwa utapeli lughushi na kudanganya serikali

  • @tusekilemwakatobe7763
    @tusekilemwakatobe7763 หลายเดือนก่อน

    huyo arafaty ni tapeli kweli pesa mwana haramu😭😭😭😭

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq หลายเดือนก่อน

    Mzee kafanya vizuri sana kuwa risisha mabinti zake mapema❤❤❤

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 หลายเดือนก่อน +1

    Aliechomoa karatasi kwenye faili ni nani lazima mtu awajibishwe! Hiyo itakomesha watendaji wasio na maadili ya kazi zao" Jerry Silaa Mheshimiwa anzia na kwenye faili nani kazichomoa karatasi kwenye hilo faili"

  • @charlessentiyongo8484
    @charlessentiyongo8484 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kiongozi, watendee haki, hao wadada, hata huku Mbeya wapo wanaodhurumu haki za watu ,hasa ardhi na makazi, ingekuwa vizuri mje hata huku.

  • @alihussein4303
    @alihussein4303 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni Sisters, Big up yourself Stand up for ur right. Well done Jambo Tv

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 หลายเดือนก่อน +1

    ,zulma aliyofanyiwa mjane na yatima wake mama samia msaidie apate haki zake mafaili yapo kila wizara husika lipo lakini wanalifumbia macho mama wa wanyonge msaidie mjane

  • @bongo39
    @bongo39 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo arafat atafutwe na achukuliwe hatua za kisheria ni mwizi ni tapeli msanii mshenzi mkubwa

    • @MohamedIbrahim-bn1gz
      @MohamedIbrahim-bn1gz หลายเดือนก่อน +1

      Kwani msanii

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd หลายเดือนก่อน +1

      Msenge sana huyo dogo

    • @graceadam8390
      @graceadam8390 หลายเดือนก่อน

      ​@@AllyMaya-yj3xd
      Pp
      P
      P
      Pp
      P
      Pp
      P I
      P
      P
      P
      P

  • @wardalardhy8669
    @wardalardhy8669 หลายเดือนก่อน +2

    Na sisi huko kigamboni tungwi , mali ya marehemu baba yangu imetekwa na Fahad mwenye company ya RIO na mdogo wangu Mohamed akabampikwa kesi ya jinai , tumefika sector zote za serikali tunazungushwa tuu .

    • @1961nungwi
      @1961nungwi หลายเดือนก่อน

      @@wardalardhy8669 nendeni kwa Waziri Silaa. Imekwisha hiyo!

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 หลายเดือนก่อน +2

      It's vyombo vya habari ongea Na Jambo TV watakusaidia

    • @sheilalolila2233
      @sheilalolila2233 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani nenda Millard watakusadia pole

    • @MwanahamisHussein-dp2if
      @MwanahamisHussein-dp2if หลายเดือนก่อน +1

      Allah awafanyie wepesi

    • @wardalardhy8669
      @wardalardhy8669 หลายเดือนก่อน

      @@MwanahamisHussein-dp2if Ameen

  • @user-ey9qd8ph8r
    @user-ey9qd8ph8r 22 วันที่ผ่านมา

    Mkurugenzi bongo hatari

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @wahidaaidha544
    @wahidaaidha544 หลายเดือนก่อน +2

    Namna hiyo

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m หลายเดือนก่อน

    Msimbaz mama samia fukuza viongozi wote kwa vyeo vyao

  • @TwalibKambangwa
    @TwalibKambangwa หลายเดือนก่อน +3

    Tunamjua.arafat.nitaperi.sana

    • @user-tk4es1uw7e
      @user-tk4es1uw7e หลายเดือนก่อน

      bro huyo Arafat ni bonge bonyeye au huyo mwingine ana upara

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 หลายเดือนก่อน

    Good work 👏

  • @aqthamsalim6775
    @aqthamsalim6775 หลายเดือนก่อน

    Allah awasimamie juu ya hilo

  • @Farryunique
    @Farryunique หลายเดือนก่อน

    Well done Sabah 😊❤❤❤

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 หลายเดือนก่อน

    MKURUGENZI OUT..............YAANI MAMA SAMIA USIMUACHE

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 หลายเดือนก่อน

    pole

  • @saidmakombeni5155
    @saidmakombeni5155 หลายเดือนก่อน +7

    Katajwa Mkurugenzi pia polisi msimbazi mbona hawawajibishwi?

  • @Worldunite
    @Worldunite หลายเดือนก่อน +1

    Hawa matapeli na walioshirikiana nao ktk hii dhulma wakamatwe na washughulikiwe ipasavyo kisheria

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 หลายเดือนก่อน

    Bora at ufe hujaacha urithi bac wtt wataskilizana

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq หลายเดือนก่อน

    Huyo kaka yao ni mnyama asana anawadhulumu dada zake.
    Tunaiyomba serikali imchukulie hatua kali sana.
    Huyo ni hatari sana tapering mkubwa huyo mshenzi.
    😢😢😢

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf หลายเดือนก่อน

    Alhamdullillah

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 หลายเดือนก่อน

    Hata cjui watu wanashida gani sasa kuuza jengo kila mtu apate chake mmiliki alishakufa tatizo watu wanapenda vitu .

  • @twahambowe440
    @twahambowe440 หลายเดือนก่อน

    Vyombo vya usalama viwajibike kwa kumtafuta, maana huku ni kujipatia mali kinyume na sheria (utapeli)

  • @SophiaMsuya
    @SophiaMsuya หลายเดือนก่อน

    Tunatarajia watu wafukuzwe kazi, kuanzia police mpk watu wa manispaa

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u หลายเดือนก่อน +1

    polisini mbwakaziyawo rushwa wanamuharibiya mama washezi marawanatekawatu bakuwabambikiya kesi

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 TZ 🇹🇿 ofisi zote utapeli mtihani,

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi หลายเดือนก่อน

    Mama Samia angalia hili kwa jicho la taifa ikiwa Arafat kataka kuwadhulumu ndugu zake lkn kuna viongozi wa serekali wanaonesha wazi kuwa wanalidhumu taifa Arafat ataadhibiwa kiupande wke lkn na hw viongozi wawajibishe kwahisani yko mama

  • @abcstudiostanzania
    @abcstudiostanzania หลายเดือนก่อน

    Balton umenenepa sana Kaka. Fanya matizi Mashavu yataziba Macho

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 14 วันที่ผ่านมา

    Haki imetendeka

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 หลายเดือนก่อน

    Yaani yanaumiza yanaumiza hya mambo yafamiliya sana .Anatokea mtoto mmoja tu anahodhi mali zte kma zakwake,unahangaika mhkmn mpka unakataa tamaaa,Baadhi yaayendaji wamahkm sio waaminifu hawana huruma nafamiliya zawatu,wanatoa hki upande mmoja,hta upeleke ushaidi hawakuelewi.Watapindisha pindisha mpka kesi inakuwa ngumu

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola หลายเดือนก่อน

    Arafat ameyatimba.

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 หลายเดือนก่อน

    MAMA SAMIA NAKUPA HONGERA SANA MAMA KWA KUSAIDIA AWA MABINTI

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 หลายเดือนก่อน +1

    Urithi ni hatari sana

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e หลายเดือนก่อน +2

    Mkiwa ngazi ya chini mnakuwa wazalendo kbx na wawajibikaji ktk taifa. Lkn mkiteuliwa kuwa mawazri wa kitengo huska mnajisahau sana. Mfno upo kwa bashe kabla hajawa wazr alikuwa akichambua secta ya kilimo na kushauri mipango mizr kumbe ni tapeli mpga kelele tu

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 หลายเดือนก่อน

      Ya bashe sasa yameingiaje hapa?

    • @user-wj6zj1ly4e
      @user-wj6zj1ly4e หลายเดือนก่อน

      @@tazrywiser5126 hujui ww tu point yangu sna mda wa kukuelewesha. Km bashe umemjua akiwa wazr wa kilimo sawa

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 หลายเดือนก่อน

      @@user-wj6zj1ly4e hujanijibu swali langu clip inaelezea mambo ya ardhi na waziri wake ni dk slaa sasa ya hussein bashe yameingiaje tena? Sijakataa hoja yako ila uenda haikuwa mahala sahihi kuileta kutokana na clip inavyojieleza

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 14 วันที่ผ่านมา

    Wala wasiuze jengo lao

  • @trecygohy7847
    @trecygohy7847 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama yuko vizuri. Mume wake, mama yake na baba yake alipo wanajivunia kupata kichwa kwenye family yao

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 หลายเดือนก่อน

    Daaah mpaka raisi aingilie kati hi nchi ya ajabu kabisa