Wooooooooh muujiza unatembea amerudi Tanzanian we are so proud of you. Warmly welcome back. Na iringa tumeandaa kumpa kura mgombea urais na ubunge CHADEMA
@@amirinestory Je ushawah kumuona rais wako akikemea ushoga? Hata ww ukiamua unaweze kuwa shoga wahuni wakakushona au umemuona Lissu akishikia watu bunduki wawe mashoga?
Wewe hungemuweza magufuli hata kama asingepiga kampeni huweji lile lilikuwa jiwe angekuwepo Leo tungekuwa mbali sana watz usiguse hapo kaka wewe pambana na Hali yako
MASIKINI LISSU KWISHA KAWA MZEE KAMA ANAMIYAKA 100 NILISEMA MIYAKA MIWILI ILIOPITA LISSU ATAKUWA KAMA JON MACEN WA REPAPLICI WA MAREKANI KAPEWA CHANSI NA CHAMA CHAKE MARA NEE 4 HAKUPATA MPAKA AMEFARIKI DUNIA ALIKUWA NAMDOMO KUSHINDA LISSU
Chadema mpo vzuri kwa kukosoa ccm, lakin nikwasababu hamjaingia ikulu tu, tusidanganyane watz tunafanana, we mwenyewe lisu kutwa ziara za ulaya, una mpango gani uko ulaya, hebu tuambie!!.
Mweshimiwa nime via kofia wewe ni mtu mwadilifu sana katika nchi na chama chetu tume kupenda sana LISU... Kweli wewe unafaha kuwa kiongozi kwaku shirikiana na mwenyekiti Mbowe.
Mwenye D 2 tu ndie akaemuelewa Lisu kwamba anakubaliana na Msigwa Anakuja na msimamo wa kutaka tuhuma za Msigwa zijibiwe kwa Evidence Hii ni kutokana na kwamba anajua mali hizo pesa nk huko kwa katibu wao na baraza la wadhamini havipo. Asieamini tuupe muda nafasi.
Msingwa ni wakupuuzwa hata ndani na nje ya ccm na waTanzania wote kwani amehama baada ya kukosa uenyekiti. Na yeye anajua maadiko yeye analipa mabaya kwa mema basi mabaya hayatamuondokea
Wewe kichaa na ndyo sababu unaona wengine kama vile ni kichaa kama Wewe. Ila wakati mwingine kama hauna majibu mazuri ya kujibu nyamaza kwani kunyamza mako ni jibu.
In politics it's good to have opposition in politics >> but but but but >> this guy in Tanzania >> most likely he will never ever ever >get into any power in Tanzania >> MUDOMO TO!!
Kama chadema sio chama cha mtu 1, na unathibitisha hadharani,, tuonyesheni hati ya chama, hadharani, ikiwa ni cha taifa kwa ujumla! Na sisi tulohama, tutarudi.
Hamsomi lisu hasimii watu kupigwa miti yeye amesomea Sheria mnatunga mambo yakijinga ndomana nchi imekuw a inatawaliwa na waongo mna piga makofi nchi hii itaja erevuka endapo wajinga na wavivu wa nchi hii kufariki wote
Nioependa sana makba.maana.lile baba senge Barabara ya bumbuli imemshinda. Mbwa yule maadala angetengeneza Barabara kabla ya kutumbuliwa makamba mtu wa hovyo kabisa
DIWANI WA KATA KWEDIBOMA ANABAGUWA WAMASAI KUNYANGWANYA WAFUGAJI WA KWEDIGOLE ENEO YA MALISHO KWEDIGOLE NA KUWAUWA MIFUGO WETU KWA SUMU KWAHIYO TUNAOMBA CHADEMA ATUSEMEYE KUHUDHU DIWANI HUYU ANAOBAGUWA WSMASAI
Wooooooooh muujiza unatembea amerudi Tanzanian we are so proud of you. Warmly welcome back. Na iringa tumeandaa kumpa kura mgombea urais na ubunge CHADEMA
😂😂
Kweliii tubadilike
Umejiandaa au mmejiandaa?
@@bennylove6021vyovyote muhimu kura Kwa CHADEMA.
Uraisi hapana awezi mpinzani yoyote lkn lisu me namkubari akae bungeni tu apige nyundo lkn ccm watatawala mpk dunia itakwisha
the man is so calm😊😊
Mheshimiwa Lisu umeongea vizuri,karibu sana
Kweli hapo makamba, nape na riziwani wanaishi kwa nguvu za baba zao lakini sio viongozi bora
Shukran kiongozi kwa uhakiki wa viwango vya juu Sana.
Salute xnaaa,,,,
Mungu akubariki saaaana
Close mh lissu❤❤❤ tumekukumbuka sana well come again tz.
Ohoooh wanaccm msiyempenda kaja...
Na wewe jiulize mbona ikitokea kitu anakimbia ubeligigi na wewe upo hapa hapa vipi huoni ni upuuzi
Ubeligiji alikwenda matibabu. Acha uchawa@@obaidothmanalbulushi9196
One of the best gift God has gave this land is Lissue
Wow, excellent
Huyu ndo mtu ambae akijib hoja hua naridhika nazo sana
Mungu akubariki baba Lissu
🤲Amen!! Living miracle of God !
Kumbuka lissu anasapoti mashoga
@@amirinestory Je ushawah kumuona rais wako akikemea ushoga? Hata ww ukiamua unaweze kuwa shoga wahuni wakakushona au umemuona Lissu akishikia watu bunduki wawe mashoga?
Karibu Sana lisu
Lissu karibu sana wewe ni Muujiza unaishi endelea kumuhofu Mungu aliyekulinda na maadui waliokuwa wanataka kukumaliza.
Lissu big brain akili kubwa 👏👏
Nakuheshimu ,kwa akili ulizo nazo Lissu
Karibu
Chuma imerudi kutoka ubeligji, msigwa atalimia meno, hk chuma kiski cha mpingo
Chuma au Tahira mkimbizi 🤣🤣🤣
Sema ameingia nchini kutoka kwao. Ama kwa mwanaume wake. Sio mtanzania tena huyo.
@@peterhelpeterluena9191😂😂😂
@@halimamasai2234jibu kwa hoja onyesha utahila wake upo wapi
Hizi ni mbinu za ccm kila uchaguzi chadema msipokee wabunge wa ccm
Huyu jamaa akiongea unasikia raha tu kumsikiliza
Jembeeeeee umerudi Asante kwa Kurejea salama.
Jembe limekulima wapi?Acha kutamani wanaume wenzako wewe,huyu kashaolewa ubelgiji tafuta wa kwako
Hizo zote pumba
❤❤❤tunakupenda❤❤❤sahihi kabisa.
mnapoteza muda2 lisu mama ni mama 2na ndio tuna Iman kubwa mno na raisi wetu mama yetu mm samia tuna mpenda mnoooo❤❤❤❤
Wewe uko nyuma ya wakati
Samia oyeee 💪💪💪💪💪
Safiiiiii
Big up broo unaongea vzur had nashawishka kukupa kura yangu
Unampa kura ipi kabla ya uchaguzi,au unataka kumpa......
Wewe hungemuweza magufuli hata kama asingepiga kampeni huweji lile lilikuwa jiwe angekuwepo Leo tungekuwa mbali sana watz usiguse hapo kaka wewe pambana na Hali yako
Peleka ujinga wako kulee
@@abuumohamed7090We ni duwanzi kweli nani wakumfananisha magufuli hili taka taka lenu hili
Hakunaga kama Lissu hapa tz. mwendazake alikua Dikteta mkubwa sana.
@@taifaramadhan8684 na ukikaa vibaya atakulamba mana ana asili ushoga Kwa namna unavomtetea
Kwa vile alishika Dola. Lkn kwa haki2 kama ingetendeka kulimjwa hakuna kitu.
Tuletee Dr. Slaa
Wewew acha kumchezea magufuli
@@gracemairusya2950 choko wewe
Bila magufuli haonag kama amezungumza huyu baba sjui yukoje?
Kumamako na huyo muuwaji wako
Huna hata adabu @@emmapaul1766
Asisemwe Magufuli yeye Mungu?
Mama samia mi 5 tena 2025 @cha porojo mzee?
Tuleteeni Dkt Slaa
Lisu karibu nyumbani mzee
Watanzania tumelala Sana tunaongozwa na wasiotupenda alafu wakistaafu wanawaachia watotozao pia watuongoze lisu big up
Kwenye interview zake huyu kenge waga hamsahau JPM😅
Alikipata Cha moto ndo maana hamsahau
Angekuwa baba Yako ungeongea hayo, acha ujinga
Lazima Amtaje mana alitaka kuuliwa katika Utawala wa Magufuli na Watu wasiojulikana
@@zulfajumapil7664alituma watu wamuue kafa yeye mwenzake kabaki yeye kashakuwa mavumbi huko
Magufuli alikuwa malaika kwani?
Always negative responses. Arrogant Intelligent attitude
hongera lisu
Lisu na msigwa ni best
MASIKINI LISSU KWISHA KAWA MZEE KAMA ANAMIYAKA 100 NILISEMA MIYAKA MIWILI ILIOPITA LISSU ATAKUWA KAMA JON MACEN WA REPAPLICI WA MAREKANI KAPEWA CHANSI NA CHAMA CHAKE MARA NEE 4 HAKUPATA MPAKA AMEFARIKI DUNIA ALIKUWA NAMDOMO KUSHINDA LISSU
@@janiafaomaa5120 🤣🤣🤣🤣🤣
Miyaka=??
Chadema mpo vzuri kwa kukosoa ccm, lakin nikwasababu hamjaingia ikulu tu, tusidanganyane watz tunafanana, we mwenyewe lisu kutwa ziara za ulaya, una mpango gani uko ulaya, hebu tuambie!!.
Anatibiwa huko kwa kunyunyiziwa risasi na haohao,eem breath out&in imagine ingekuwa wew umepitia hayo
I like what I hear❤
Asante lissu 7:37
Magufuli. Hayupo. Wewe. Pambana. Na hali yako. Acha. Kumsema vibaya. Marehemu. Nakupenda. Ila. Ukisema. Yaliyopita. Unaketa.
Yeye anajua zaidi yaliyompata wakati wa Magufuli. Kama ingekuwa ni wewe bado ungemsifu Magu?
Ww unamjua vizur magu kuliko huyu aliemuizwa??
Uko vizuri
Lisu unajua kujibu maswali,na pia hukwepi swali
Mkimbizi karudi nadhani akili sasa ndo basi tena msema ovyoo 🤣🤣🤣
Mkimbizi kiburi? Jiulize aliyemfanya akimbie2 leo2 yuko wapi?
@@monicamwita7865 kwani na yeye hatakufa kila moja na siku yake we endelea kujiuliza lakini Magufuli alikua jembe siyo huyu msema ovyo wenu 🤣🤣
Safi sana mwamba
😢Hamna kitu
Mweshimiwa nime via kofia wewe ni mtu mwadilifu sana katika nchi na chama chetu tume kupenda sana LISU... Kweli wewe unafaha kuwa kiongozi kwaku shirikiana na mwenyekiti Mbowe.
Ovyooooo huh uh
Kwann wahamiaji Hawa wa ccm wakijakwenu mnawapa uongoz? Hapo tu, ndipomnapo yumba chadema
Nyie mbwa mbona mnakata kata maneno lisu yenye point😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kwa UCHAFUNZI mnaweza
Mwenye D 2 tu ndie akaemuelewa Lisu kwamba anakubaliana na Msigwa
Anakuja na msimamo wa kutaka tuhuma za Msigwa zijibiwe kwa Evidence
Hii ni kutokana na kwamba anajua mali hizo pesa nk huko kwa katibu wao na baraza la wadhamini havipo.
Asieamini tuupe muda nafasi.
Nyie nanyi hamna issues, nyie wenyewe hamko pamoja mmekas kimichongo
Kwani CCM wako pamoja? Nako kuna2 makundi2 makubwa
@@monicamwita7865haijalishi. Kila mtu ajiongelee sera zake mwenyewe bila kujali mwingine
Atupigi kura waweke izo za haramu za nape tu af wakimaliza wapige goti 😊
We lisu mimi nina mashaka na uzalendo wako, hujawa rais bado lakini mda mwingi upo ulaya, ivi tukikukabidhi nchi ikulu ya tz si itahamia ubelgiji!!?
Kwa safari hii ccm wakitaka kumkalisha huyu kwenye uchaguzi 2025 ni kumweka makonda tuu, nje ya hapo chadema naiona juu
ii inchi siku kiwake kwanza kama kenya..tueshimiane umu ndani
Bora Lisu awe Rais,maana tunapata shida kweli kweli
Tatizo lissu na chadema imipoteza mvuto so hata wafuwasi hakuna tena kipindi chenu kilikuwa cha lowassa chance ndo ilikuwa Ile Ile
Mujinga wewe
Mbona vitisho sana!? Au kwa sababu una pa kukimbilia ndo maana unawaza ugomvi tu!?
Licentlii
Lumas
Laisi samia
😂😂😂😂😂😂
Waandishi wa habari wa TZ😂
R vs L it's national problem Rafiki wengine wanaita lafiki
Ukimsikiliza anachojibu kuhusu msigwa utagundua Yuko pamoja nae...
Lisu kwa leo nimekuelewa
Kuweni na tahadhari na wanao tumwa na CCM msiwape nafasi akina Nape
Uko2 sahibi5
Wana nguvu hao kiongozi kama hujui sikiliza kila ufisadi alioufanya ndio utajua ana nguvu au nguvu sio pesa mi naona ananguvu ndugu yangu
Karibu mkuu Nani ya nchi yako
Well done
Lissu amethibitisha usomi wake. Hii ndio maana ya kiongozi msomi..
Genius
Hongera waanfishi mmeuliza maswali yenye logic
Msingwa ni wakupuuzwa hata ndani na nje ya ccm na waTanzania wote kwani amehama baada ya kukosa uenyekiti.
Na yeye anajua maadiko yeye analipa mabaya kwa mema basi mabaya hayatamuondokea
Kwani huyu jamaa anapenda maneno ya vitisho usitutishe machafuko wewe ndie utakae leta machafuko
Mbona CCM wanatishia sana
Lisu gongakopa maana unamkubari samia kimoyomoyo brother
Kwahyo ukitaka kugombea uwenyekiti wa chama tuu....tayari mvutano uanze kwenye chama?
ww ni rais mtarajiwa wa nchi yetu
Wewe kichaa tuu hayo mambo unayajua wewe pambana na sera zako
Kuma la mamako kafilwe na maKuma wenzio huko ccm Kuma wewe
@@emmapaul1766duuu
Hembu kuwa na adabu wewe mwehu nini
Safi Mr lisu
Wewe kichaa na ndyo sababu unaona wengine kama vile ni kichaa kama Wewe. Ila wakati mwingine kama hauna majibu mazuri ya kujibu nyamaza kwani kunyamza mako ni jibu.
Safi sana tunakuhitaj sana
Unamuhitaji wewe
Brain act 🙌🧠
In politics it's good to have opposition in politics >> but but but but >> this guy in Tanzania >> most likely he will never ever ever >get into any power in Tanzania >> MUDOMO TO!!
💯 Percent
Acha waulize maswali lakini wao pia wajiulize maswali
Karibu bb
Kama chadema sio chama cha mtu 1, na unathibitisha hadharani,, tuonyesheni hati ya chama, hadharani, ikiwa ni cha taifa kwa ujumla! Na sisi tulohama, tutarudi.
We endelea namafisadi walatukutaki
Seriously? Unauliza hilo swali hapa?
Ok👍
Makamu umerudi lakini bado hoja za kujibu nyingi sana
Lissu we hufai hata kusikilizwa,mana ww unaunga mkono wapigwe miti,au huko ulaya ww unapigwa miti?
@@HamadFakh unafilwa huko ccm
Masikio mengine ni kama mapambo
Hamsomi lisu hasimii watu kupigwa miti yeye amesomea Sheria mnatunga mambo yakijinga ndomana nchi imekuw a inatawaliwa na waongo mna piga makofi nchi hii itaja erevuka endapo wajinga na wavivu wa nchi hii kufariki wote
Kwako hafai, wengine2 tunamuelewa sana. Umelazimishwa mumsikiza
Hapo kwa uraisi mzee sioni kabisa
Kichaa tu ndio atakuwa haoni
😂😂😂mtaalam huyo apa
Sijui ni uelewa wangu au ni nini nikama vile upinzani unaishiwa nguvu
Asipomtaja magu haridhiki huyu mzee😂😂
Ata mm naunga lisu magufri alikiwa mbaya sana, tena sana ktk siasa bt iz god for things devlopment not people devlpment
Usipo mtaja mtu alietaka kutoka uhai wake,atakua hajasema
Asitajwe magu atajwe nani hitla bado anatajwa seize magu hafahamiki dunian acheni unafiki aliku bwanako
Hata ungekuwa wewe, mtu aliyetaka kukumaliza lam utamsema
Nioependa sana makba.maana.lile baba senge Barabara ya bumbuli imemshinda. Mbwa yule maadala angetengeneza Barabara kabla ya kutumbuliwa makamba mtu wa hovyo kabisa
Mimi salu simosi niko Tabora kaliwa🎉
kwa hiyo😂
naona tayari ccm inazidu kua imara upinzani nao wale wale tu
SASA HUYO SIAMETOKA KWA MABWANA ZAKE ANAHELLA HUYO HUYO NIKIBARAKA
Kwa hiyo serekali yetu sio kibaraka wa wazungu..
Wanasemaga ET nawe shoga nikweli?
Wemwenye unabwana wako
Salut
Hao waandishi hao ni wachawa tu wa CCM ili kuwachonganisha na CHADEMA na hicho chama chao.
Hajawai kushindwa kujib swal na Wala haogop maswal
Nampenda Rais wangu,mingine ni midomo
Kumbe shida ni uenyekiti?? Ni dongo kubwa saana
Lisu mjanja sanaaaa
Jamaa anajua kueleza kabisa
DIWANI WA KATA KWEDIBOMA ANABAGUWA WAMASAI KUNYANGWANYA WAFUGAJI WA KWEDIGOLE ENEO YA MALISHO KWEDIGOLE NA KUWAUWA MIFUGO WETU KWA SUMU KWAHIYO TUNAOMBA CHADEMA ATUSEMEYE KUHUDHU DIWANI HUYU ANAOBAGUWA WSMASAI
Acha chuki na magufuli toa solutions sio lawama kila siku