LISSU atua TZ anena KUTUMBULIWA kwa NAPE na MAKAMBA, MSIGWA kuhamia CCM na MGOGORO ndani ya CHADEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 301

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 2 หลายเดือนก่อน +60

    Wooooooooh muujiza unatembea amerudi Tanzanian we are so proud of you. Warmly welcome back. Na iringa tumeandaa kumpa kura mgombea urais na ubunge CHADEMA

    • @wazinzatv3152
      @wazinzatv3152 2 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 2 หลายเดือนก่อน

      Kweliii tubadilike

    • @bennylove6021
      @bennylove6021 2 หลายเดือนก่อน +1

      Umejiandaa au mmejiandaa?

    • @MALISELACHAGAVALYE
      @MALISELACHAGAVALYE 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@bennylove6021vyovyote muhimu kura Kwa CHADEMA.

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 2 หลายเดือนก่อน

      Uraisi hapana awezi mpinzani yoyote lkn lisu me namkubari akae bungeni tu apige nyundo lkn ccm watatawala mpk dunia itakwisha

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 2 หลายเดือนก่อน +2

    the man is so calm😊😊

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 2 หลายเดือนก่อน +31

    Mheshimiwa Lisu umeongea vizuri,karibu sana

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 2 หลายเดือนก่อน +7

    Kweli hapo makamba, nape na riziwani wanaishi kwa nguvu za baba zao lakini sio viongozi bora

  • @rajeshndola
    @rajeshndola 2 หลายเดือนก่อน +18

    Shukran kiongozi kwa uhakiki wa viwango vya juu Sana.

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 2 หลายเดือนก่อน +16

    Mungu akubariki saaaana

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 หลายเดือนก่อน +7

    Close mh lissu❤❤❤ tumekukumbuka sana well come again tz.

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 2 หลายเดือนก่อน +16

    Ohoooh wanaccm msiyempenda kaja...

    • @obaidothmanalbulushi9196
      @obaidothmanalbulushi9196 2 หลายเดือนก่อน +1

      Na wewe jiulize mbona ikitokea kitu anakimbia ubeligigi na wewe upo hapa hapa vipi huoni ni upuuzi

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Ubeligiji alikwenda matibabu. Acha uchawa​@@obaidothmanalbulushi9196

  • @Freedom_fighters898
    @Freedom_fighters898 2 หลายเดือนก่อน

    One of the best gift God has gave this land is Lissue

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wow, excellent

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 2 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu ndo mtu ambae akijib hoja hua naridhika nazo sana

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 2 หลายเดือนก่อน +16

    Mungu akubariki baba Lissu

    • @knight6757
      @knight6757 2 หลายเดือนก่อน +1

      🤲Amen!! Living miracle of God !

    • @amirinestory
      @amirinestory 2 หลายเดือนก่อน

      Kumbuka lissu anasapoti mashoga

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 2 หลายเดือนก่อน

      @@amirinestory Je ushawah kumuona rais wako akikemea ushoga? Hata ww ukiamua unaweze kuwa shoga wahuni wakakushona au umemuona Lissu akishikia watu bunduki wawe mashoga?

  • @venancenkoronko9250
    @venancenkoronko9250 2 หลายเดือนก่อน +4

    Karibu Sana lisu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 หลายเดือนก่อน +8

    Lissu karibu sana wewe ni Muujiza unaishi endelea kumuhofu Mungu aliyekulinda na maadui waliokuwa wanataka kukumaliza.

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 2 หลายเดือนก่อน +7

    Lissu big brain akili kubwa 👏👏

  • @mtanganyika-e2b
    @mtanganyika-e2b หลายเดือนก่อน

    Nakuheshimu ,kwa akili ulizo nazo Lissu

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 2 หลายเดือนก่อน +1

    Karibu

  • @HamisLeo
    @HamisLeo 2 หลายเดือนก่อน +13

    Chuma imerudi kutoka ubeligji, msigwa atalimia meno, hk chuma kiski cha mpingo

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 2 หลายเดือนก่อน +2

      Chuma au Tahira mkimbizi 🤣🤣🤣

    • @peterhelpeterluena9191
      @peterhelpeterluena9191 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sema ameingia nchini kutoka kwao. Ama kwa mwanaume wake. Sio mtanzania tena huyo.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@peterhelpeterluena9191😂😂😂

    • @JoshuaSabu-r2p
      @JoshuaSabu-r2p 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@halimamasai2234jibu kwa hoja onyesha utahila wake upo wapi

  • @JOELYKAMNDE
    @JOELYKAMNDE 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hizi ni mbinu za ccm kila uchaguzi chadema msipokee wabunge wa ccm

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa akiongea unasikia raha tu kumsikiliza

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 2 หลายเดือนก่อน

    Jembeeeeee umerudi Asante kwa Kurejea salama.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

      Jembe limekulima wapi?Acha kutamani wanaume wenzako wewe,huyu kashaolewa ubelgiji tafuta wa kwako

    • @MathiasHande
      @MathiasHande 2 หลายเดือนก่อน

      Hizo zote pumba

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤tunakupenda❤❤❤sahihi kabisa.

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx 2 หลายเดือนก่อน +3

    mnapoteza muda2 lisu mama ni mama 2na ndio tuna Iman kubwa mno na raisi wetu mama yetu mm samia tuna mpenda mnoooo❤❤❤❤

    • @Noelkitoi
      @Noelkitoi 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe uko nyuma ya wakati

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 2 หลายเดือนก่อน

      Samia oyeee 💪💪💪💪💪

    • @eliaslukumay2268
      @eliaslukumay2268 2 หลายเดือนก่อน

      Safiiiiii

  • @Aksa-yk1dp
    @Aksa-yk1dp 2 หลายเดือนก่อน +8

    Big up broo unaongea vzur had nashawishka kukupa kura yangu

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

      Unampa kura ipi kabla ya uchaguzi,au unataka kumpa......

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe hungemuweza magufuli hata kama asingepiga kampeni huweji lile lilikuwa jiwe angekuwepo Leo tungekuwa mbali sana watz usiguse hapo kaka wewe pambana na Hali yako

    • @abuumohamed7090
      @abuumohamed7090 2 หลายเดือนก่อน

      Peleka ujinga wako kulee

    • @Samweli-uu1fv
      @Samweli-uu1fv 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@abuumohamed7090We ni duwanzi kweli nani wakumfananisha magufuli hili taka taka lenu hili

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 2 หลายเดือนก่อน

      Hakunaga kama Lissu hapa tz. mwendazake alikua Dikteta mkubwa sana.

    • @Samweli-uu1fv
      @Samweli-uu1fv 2 หลายเดือนก่อน

      @@taifaramadhan8684 na ukikaa vibaya atakulamba mana ana asili ushoga Kwa namna unavomtetea

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa vile alishika Dola. Lkn kwa haki2 kama ingetendeka kulimjwa hakuna kitu.

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tuletee Dr. Slaa

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 หลายเดือนก่อน +14

    Wewew acha kumchezea magufuli

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 2 หลายเดือนก่อน

      @@gracemairusya2950 choko wewe

    • @zulfajumapil7664
      @zulfajumapil7664 2 หลายเดือนก่อน +2

      Bila magufuli haonag kama amezungumza huyu baba sjui yukoje?

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kumamako na huyo muuwaji wako

    • @khamisisongoro7442
      @khamisisongoro7442 2 หลายเดือนก่อน

      Huna hata adabu ​@@emmapaul1766

    • @fauluonlinetv
      @fauluonlinetv 2 หลายเดือนก่อน +3

      Asisemwe Magufuli yeye Mungu?

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia mi 5 tena 2025 @cha porojo mzee?

  • @emmanuelmwaipungu4915
    @emmanuelmwaipungu4915 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tuleteeni Dkt Slaa

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi 2 หลายเดือนก่อน +4

    Lisu karibu nyumbani mzee

  • @ShaqharMagram
    @ShaqharMagram 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tumelala Sana tunaongozwa na wasiotupenda alafu wakistaafu wanawaachia watotozao pia watuongoze lisu big up

  • @romamtalambuga7
    @romamtalambuga7 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwenye interview zake huyu kenge waga hamsahau JPM😅

    • @zulfajumapil7664
      @zulfajumapil7664 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alikipata Cha moto ndo maana hamsahau

    • @geofreykasinda1895
      @geofreykasinda1895 2 หลายเดือนก่อน

      Angekuwa baba Yako ungeongea hayo, acha ujinga

    • @seifhabib5987
      @seifhabib5987 2 หลายเดือนก่อน

      Lazima Amtaje mana alitaka kuuliwa katika Utawala wa Magufuli na Watu wasiojulikana

    • @HamzaMbasha-xs2ky
      @HamzaMbasha-xs2ky 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@zulfajumapil7664alituma watu wamuue kafa yeye mwenzake kabaki yeye kashakuwa mavumbi huko

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 หลายเดือนก่อน

      Magufuli alikuwa malaika kwani?

  • @GEORGEMALUMBO
    @GEORGEMALUMBO 2 หลายเดือนก่อน

    Always negative responses. Arrogant Intelligent attitude

  • @FrancisPanga-m9v
    @FrancisPanga-m9v 2 หลายเดือนก่อน

    hongera lisu

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 2 หลายเดือนก่อน

    Lisu na msigwa ni best

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 2 หลายเดือนก่อน +6

    MASIKINI LISSU KWISHA KAWA MZEE KAMA ANAMIYAKA 100 NILISEMA MIYAKA MIWILI ILIOPITA LISSU ATAKUWA KAMA JON MACEN WA REPAPLICI WA MAREKANI KAPEWA CHANSI NA CHAMA CHAKE MARA NEE 4 HAKUPATA MPAKA AMEFARIKI DUNIA ALIKUWA NAMDOMO KUSHINDA LISSU

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 2 หลายเดือนก่อน

      @@janiafaomaa5120 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @johnmapunda99
      @johnmapunda99 2 หลายเดือนก่อน

      Miyaka=??

  • @khamis9187
    @khamis9187 2 หลายเดือนก่อน

    Chadema mpo vzuri kwa kukosoa ccm, lakin nikwasababu hamjaingia ikulu tu, tusidanganyane watz tunafanana, we mwenyewe lisu kutwa ziara za ulaya, una mpango gani uko ulaya, hebu tuambie!!.

    • @Joppa555
      @Joppa555 2 หลายเดือนก่อน

      Anatibiwa huko kwa kunyunyiziwa risasi na haohao,eem breath out&in imagine ingekuwa wew umepitia hayo

  • @floraashery224
    @floraashery224 2 หลายเดือนก่อน

    I like what I hear❤

  • @JamesMjengwa
    @JamesMjengwa 2 หลายเดือนก่อน

    Asante lissu 7:37

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 2 หลายเดือนก่อน +3

    Magufuli. Hayupo. Wewe. Pambana. Na hali yako. Acha. Kumsema vibaya. Marehemu. Nakupenda. Ila. Ukisema. Yaliyopita. Unaketa.

    • @rashidissa5887
      @rashidissa5887 2 หลายเดือนก่อน

      Yeye anajua zaidi yaliyompata wakati wa Magufuli. Kama ingekuwa ni wewe bado ungemsifu Magu?

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 2 หลายเดือนก่อน

      Ww unamjua vizur magu kuliko huyu aliemuizwa??

  • @KijanawaYESU-w9x
    @KijanawaYESU-w9x 2 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu unajua kujibu maswali,na pia hukwepi swali

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mkimbizi karudi nadhani akili sasa ndo basi tena msema ovyoo 🤣🤣🤣

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Mkimbizi kiburi? Jiulize aliyemfanya akimbie2 leo2 yuko wapi?

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 2 หลายเดือนก่อน

      @@monicamwita7865 kwani na yeye hatakufa kila moja na siku yake we endelea kujiuliza lakini Magufuli alikua jembe siyo huyu msema ovyo wenu 🤣🤣

  • @peterswila3815
    @peterswila3815 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mwamba

  • @eliaslukumay2268
    @eliaslukumay2268 2 หลายเดือนก่อน +1

    😢Hamna kitu

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mweshimiwa nime via kofia wewe ni mtu mwadilifu sana katika nchi na chama chetu tume kupenda sana LISU... Kweli wewe unafaha kuwa kiongozi kwaku shirikiana na mwenyekiti Mbowe.

  • @JustinMkumbwa
    @JustinMkumbwa 2 หลายเดือนก่อน

    Kwann wahamiaji Hawa wa ccm wakijakwenu mnawapa uongoz? Hapo tu, ndipomnapo yumba chadema

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie mbwa mbona mnakata kata maneno lisu yenye point😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @ibba8082
    @ibba8082 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa UCHAFUNZI mnaweza

  • @KilonzoGodson
    @KilonzoGodson 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenye D 2 tu ndie akaemuelewa Lisu kwamba anakubaliana na Msigwa
    Anakuja na msimamo wa kutaka tuhuma za Msigwa zijibiwe kwa Evidence
    Hii ni kutokana na kwamba anajua mali hizo pesa nk huko kwa katibu wao na baraza la wadhamini havipo.
    Asieamini tuupe muda nafasi.

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie nanyi hamna issues, nyie wenyewe hamko pamoja mmekas kimichongo

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani CCM wako pamoja? Nako kuna2 makundi2 makubwa

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 2 หลายเดือนก่อน

      @@monicamwita7865haijalishi. Kila mtu ajiongelee sera zake mwenyewe bila kujali mwingine

  • @dicksonlucumay4551
    @dicksonlucumay4551 2 หลายเดือนก่อน

    Atupigi kura waweke izo za haramu za nape tu af wakimaliza wapige goti 😊

  • @khamis9187
    @khamis9187 2 หลายเดือนก่อน

    We lisu mimi nina mashaka na uzalendo wako, hujawa rais bado lakini mda mwingi upo ulaya, ivi tukikukabidhi nchi ikulu ya tz si itahamia ubelgiji!!?

  • @gitanokambarage8789
    @gitanokambarage8789 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa safari hii ccm wakitaka kumkalisha huyu kwenye uchaguzi 2025 ni kumweka makonda tuu, nje ya hapo chadema naiona juu

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 หลายเดือนก่อน

    ii inchi siku kiwake kwanza kama kenya..tueshimiane umu ndani

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bora Lisu awe Rais,maana tunapata shida kweli kweli

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo lissu na chadema imipoteza mvuto so hata wafuwasi hakuna tena kipindi chenu kilikuwa cha lowassa chance ndo ilikuwa Ile Ile

  • @georgefesto8455
    @georgefesto8455 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona vitisho sana!? Au kwa sababu una pa kukimbilia ndo maana unawaza ugomvi tu!?

  • @MALELEMBARIMO
    @MALELEMBARIMO 2 หลายเดือนก่อน

    Licentlii
    Lumas
    Laisi samia
    😂😂😂😂😂😂
    Waandishi wa habari wa TZ😂

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 2 หลายเดือนก่อน

      R vs L it's national problem Rafiki wengine wanaita lafiki

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 2 หลายเดือนก่อน

    Ukimsikiliza anachojibu kuhusu msigwa utagundua Yuko pamoja nae...

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 2 หลายเดือนก่อน

    Lisu kwa leo nimekuelewa

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuweni na tahadhari na wanao tumwa na CCM msiwape nafasi akina Nape

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 2 หลายเดือนก่อน

    Wana nguvu hao kiongozi kama hujui sikiliza kila ufisadi alioufanya ndio utajua ana nguvu au nguvu sio pesa mi naona ananguvu ndugu yangu

  • @omaryramadhani290
    @omaryramadhani290 2 หลายเดือนก่อน

    Karibu mkuu Nani ya nchi yako

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 2 หลายเดือนก่อน

    Well done

  • @mentor07
    @mentor07 2 หลายเดือนก่อน

    Lissu amethibitisha usomi wake. Hii ndio maana ya kiongozi msomi..

  • @pascalmgina
    @pascalmgina 2 หลายเดือนก่อน

    Genius

  • @visionstudios6804
    @visionstudios6804 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera waanfishi mmeuliza maswali yenye logic

  • @davidtupa6599
    @davidtupa6599 2 หลายเดือนก่อน

    Msingwa ni wakupuuzwa hata ndani na nje ya ccm na waTanzania wote kwani amehama baada ya kukosa uenyekiti.
    Na yeye anajua maadiko yeye analipa mabaya kwa mema basi mabaya hayatamuondokea

  • @NangaSaidi
    @NangaSaidi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani huyu jamaa anapenda maneno ya vitisho usitutishe machafuko wewe ndie utakae leta machafuko

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona CCM wanatishia sana

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 2 หลายเดือนก่อน

    Lisu gongakopa maana unamkubari samia kimoyomoyo brother

  • @jastonmwawalo3218
    @jastonmwawalo3218 2 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo ukitaka kugombea uwenyekiti wa chama tuu....tayari mvutano uanze kwenye chama?

  • @FrancisPanga-m9v
    @FrancisPanga-m9v 2 หลายเดือนก่อน

    ww ni rais mtarajiwa wa nchi yetu

  • @JovinRichard-x3u
    @JovinRichard-x3u 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe kichaa tuu hayo mambo unayajua wewe pambana na sera zako

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kuma la mamako kafilwe na maKuma wenzio huko ccm Kuma wewe

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@emmapaul1766duuu

    • @GoodluckGodfreyNgomuo
      @GoodluckGodfreyNgomuo 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hembu kuwa na adabu wewe mwehu nini

    • @GoodluckGodfreyNgomuo
      @GoodluckGodfreyNgomuo 2 หลายเดือนก่อน +1

      Safi Mr lisu

    • @PeterSaramba
      @PeterSaramba 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe kichaa na ndyo sababu unaona wengine kama vile ni kichaa kama Wewe. Ila wakati mwingine kama hauna majibu mazuri ya kujibu nyamaza kwani kunyamza mako ni jibu.

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana tunakuhitaj sana

  • @Paplick9
    @Paplick9 2 หลายเดือนก่อน

    Brain act 🙌🧠

  • @franciskarangwa6554
    @franciskarangwa6554 2 หลายเดือนก่อน +2

    In politics it's good to have opposition in politics >> but but but but >> this guy in Tanzania >> most likely he will never ever ever >get into any power in Tanzania >> MUDOMO TO!!

  • @saimonmollel4823
    @saimonmollel4823 2 หลายเดือนก่อน

    Acha waulize maswali lakini wao pia wajiulize maswali

  • @SaidiSelemani-l1n
    @SaidiSelemani-l1n 2 หลายเดือนก่อน

    Karibu bb

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama chadema sio chama cha mtu 1, na unathibitisha hadharani,, tuonyesheni hati ya chama, hadharani, ikiwa ni cha taifa kwa ujumla! Na sisi tulohama, tutarudi.

    • @FintanFelix-z6c
      @FintanFelix-z6c 2 หลายเดือนก่อน

      We endelea namafisadi walatukutaki

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 2 หลายเดือนก่อน

      Seriously? Unauliza hilo swali hapa?

  • @SaLUSIMOSI
    @SaLUSIMOSI 2 หลายเดือนก่อน

    Ok👍

  • @majaliwamgala7638
    @majaliwamgala7638 2 หลายเดือนก่อน

    Makamu umerudi lakini bado hoja za kujibu nyingi sana

  • @HamadFakh
    @HamadFakh 2 หลายเดือนก่อน +2

    Lissu we hufai hata kusikilizwa,mana ww unaunga mkono wapigwe miti,au huko ulaya ww unapigwa miti?

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 2 หลายเดือนก่อน

      @@HamadFakh unafilwa huko ccm

    • @SamwelMdamanyi
      @SamwelMdamanyi 2 หลายเดือนก่อน

      Masikio mengine ni kama mapambo

    • @AdamShaban-uu4en
      @AdamShaban-uu4en 2 หลายเดือนก่อน

      Hamsomi lisu hasimii watu kupigwa miti yeye amesomea Sheria mnatunga mambo yakijinga ndomana nchi imekuw a inatawaliwa na waongo mna piga makofi nchi hii itaja erevuka endapo wajinga na wavivu wa nchi hii kufariki wote

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Kwako hafai, wengine2 tunamuelewa sana. Umelazimishwa mumsikiza

  • @frednyangwechi774
    @frednyangwechi774 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwa uraisi mzee sioni kabisa

    • @happymushi4493
      @happymushi4493 2 หลายเดือนก่อน

      Kichaa tu ndio atakuwa haoni

  • @BensonMpete
    @BensonMpete 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂mtaalam huyo apa

  • @africanheroestz-acapella2458
    @africanheroestz-acapella2458 2 หลายเดือนก่อน

    Sijui ni uelewa wangu au ni nini nikama vile upinzani unaishiwa nguvu

  • @allymbondo111
    @allymbondo111 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asipomtaja magu haridhiki huyu mzee😂😂

    • @HamisLeo
      @HamisLeo 2 หลายเดือนก่อน +3

      Ata mm naunga lisu magufri alikiwa mbaya sana, tena sana ktk siasa bt iz god for things devlopment not people devlpment

    • @StevenNyanguye
      @StevenNyanguye 2 หลายเดือนก่อน

      Usipo mtaja mtu alietaka kutoka uhai wake,atakua hajasema

    • @AdamShaban-uu4en
      @AdamShaban-uu4en 2 หลายเดือนก่อน

      Asitajwe magu atajwe nani hitla bado anatajwa seize magu hafahamiki dunian acheni unafiki aliku bwanako

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Hata ungekuwa wewe, mtu aliyetaka kukumaliza lam utamsema

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 หลายเดือนก่อน

    Nioependa sana makba.maana.lile baba senge Barabara ya bumbuli imemshinda. Mbwa yule maadala angetengeneza Barabara kabla ya kutumbuliwa makamba mtu wa hovyo kabisa

  • @SaLUSIMOSI
    @SaLUSIMOSI 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi salu simosi niko Tabora kaliwa🎉

    • @amirinestory
      @amirinestory 2 หลายเดือนก่อน

      kwa hiyo😂

  • @frankluhu5322
    @frankluhu5322 2 หลายเดือนก่อน

    naona tayari ccm inazidu kua imara upinzani nao wale wale tu

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 2 หลายเดือนก่อน +2

    SASA HUYO SIAMETOKA KWA MABWANA ZAKE ANAHELLA HUYO HUYO NIKIBARAKA

    • @HamzaMbasha-xs2ky
      @HamzaMbasha-xs2ky 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo serekali yetu sio kibaraka wa wazungu..

    • @FintanFelix-z6c
      @FintanFelix-z6c 2 หลายเดือนก่อน

      Wanasemaga ET nawe shoga nikweli?

    • @msafiriamani1824
      @msafiriamani1824 2 หลายเดือนก่อน

      Wemwenye unabwana wako

  • @DamianoLeonard-pv2kx
    @DamianoLeonard-pv2kx 2 หลายเดือนก่อน

    Salut

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 หลายเดือนก่อน

    Hao waandishi hao ni wachawa tu wa CCM ili kuwachonganisha na CHADEMA na hicho chama chao.

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 2 หลายเดือนก่อน

    Hajawai kushindwa kujib swal na Wala haogop maswal

  • @maselejustine7236
    @maselejustine7236 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda Rais wangu,mingine ni midomo

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe shida ni uenyekiti?? Ni dongo kubwa saana

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 2 หลายเดือนก่อน

    Lisu mjanja sanaaaa

  • @HijaxZone
    @HijaxZone 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa anajua kueleza kabisa

  • @EzekielTipaa
    @EzekielTipaa 2 หลายเดือนก่อน

    DIWANI WA KATA KWEDIBOMA ANABAGUWA WAMASAI KUNYANGWANYA WAFUGAJI WA KWEDIGOLE ENEO YA MALISHO KWEDIGOLE NA KUWAUWA MIFUGO WETU KWA SUMU KWAHIYO TUNAOMBA CHADEMA ATUSEMEYE KUHUDHU DIWANI HUYU ANAOBAGUWA WSMASAI

  • @DivineWisdom-o8y
    @DivineWisdom-o8y 2 หลายเดือนก่อน

    Acha chuki na magufuli toa solutions sio lawama kila siku