LEMA BALAA! AMUWASHIA MOTO MAKONDA NA MBUNGE WA ARUSHA MJINI | MWAMPOSA | "POLISI NJOONI MNIKAMATE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 349

  • @MelkizedekAklei
    @MelkizedekAklei 3 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu mwamba ndio anaijua Arusha na ndio anapaswa kuiongoza Arusha sio yule mswahili gambo hajui Wala hajali chochote kuhusu Arusha

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 6 หลายเดือนก่อน +7

    Sasa chadema sera zenu ni nini jamani? Maana mnaishia kutukana tu, acheni ujinga mafala nyinyi

  • @HamisiNguche
    @HamisiNguche 6 หลายเดือนก่อน +1

    BIG UP LEMA.

  • @BorySaronge
    @BorySaronge 6 หลายเดือนก่อน +4

    Vijana wa Arusha angalieni maslahi ya wanawaarusha sio maneno ya huyo mpumbavu asiyejua lolote na mjinga kupindukia atawatia umaskini kuliko anavyosema kama hakuna faida unasimama hapo kufanya Nini acha ujinga

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 6 หลายเดือนก่อน +7

    Mm ni chadema lkn makonda namkubali apo lema mm ujanishawishi chochote

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 6 หลายเดือนก่อน +2

    Lemaaaaa! Duhh kisiasa pumzika kwa amani!

  • @joseygaudence4922
    @joseygaudence4922 6 หลายเดือนก่อน +2

    lema anatukana tukana tu hana habari mpya sera hamna anaongea nn sijui😂😂

  • @DanielMdota-gl4ru
    @DanielMdota-gl4ru 6 หลายเดือนก่อน +1

    Fact , but we need action, bro... 👊👊

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe kaa kimya huna jipya acha Makonda amalize shida za wananchi

  • @ChugaKazi
    @ChugaKazi 6 หลายเดือนก่อน

    Mbunge Kama mbunge ❤❤❤

  • @SteveAriba
    @SteveAriba 6 หลายเดือนก่อน +6

    Wewe una sera na matusi yako nan akupe kura achana na Makonda kawasaidia sana tena sana tena muombe radhi paulo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 6 หลายเดือนก่อน

      Makonda anafanya maigizo tu,utashindwAje kwelewa Mfumo huu niccm sheriambovu wamezitunga wao iliwajinufaishe,wenyewe Leo kiinamacho unachanaganikiw

  • @JosephLukumay-wh8sc
    @JosephLukumay-wh8sc 6 หลายเดือนก่อน +8

    Hapa dalili inaonesha tutarudi tena nyuma kuanza maandamano badala ya kufanya KAZI tupate chakula na maendeleo huyu pakuna hapa Tanzania anakimbilia Canada sisi tutaenda wapi hata Kenya hatujawahi kufika uuuwwwiiii Mungu atusaidie.

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 6 หลายเดือนก่อน +1

      Bora turudi maandamano ili tujipange,tujiongoze badala ya maneno matupu ya CCM

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 6 หลายเดือนก่อน

      Ukapimwe akili wewe​@@mataypanga5262

  • @gracemadangi-j7u
    @gracemadangi-j7u หลายเดือนก่อน

    Lema wewe huna jema kila mtu mbaya tafuta sera angalia kile kizuri mwenzako anachofanya sio kumtukana na kumfokea mbn kazi yako ni kuwatukana watu

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y 6 หลายเดือนก่อน

    huna sela sisi tunamwombeaMakonda Mungu amjaliye kama anaumwa au yuko likizo ulijee salama shujaa wetu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 6 หลายเดือนก่อน +4

    Toa hoja sio maneno makali kaka

  • @SofiaS-i5r
    @SofiaS-i5r 6 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda oyeee

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mhhh tuu mwacheni makonda wetu

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee1848 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa sindano za makonda zinawaingia na bado mpaka mtasema.

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj 6 หลายเดือนก่อน

      @@nahlaaasidee1848 kama lema imempata, kajikuta si kitu.
      Nashangaa lema kulalamikia ubunifu wa Makonda mpaka anashuka jukwaa hajaeleza mkakati mbadala duh!

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 6 หลายเดือนก่อน +9

    Bila kuwa na connection inchi hii ni tabu

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 6 หลายเดือนก่อน +5

    Siasa za Lema bwana watu wanakuona komediani 😂😂😂😂

    • @HassanAthuman
      @HassanAthuman 6 หลายเดือนก่อน

      Huyo ni mchekeshaji

    • @HassanAthuman
      @HassanAthuman 6 หลายเดือนก่อน

      Si uwape chakula

    • @MarthaWambura-kz5xb
      @MarthaWambura-kz5xb 6 หลายเดือนก่อน

      Dogo chengaa Sanaa was INTERESTING 😅😅

  • @deomushy2594
    @deomushy2594 6 หลายเดือนก่อน

    Una mwonea makonda wivu kwa kaz njema Mungu atazid kujidhirisha ndan ya makonda

  • @NuruBene
    @NuruBene 6 หลายเดือนก่อน +26

    Ukiona mtu anatuka bila sababu yamsingi ujuwe ameishiwa selaa Tena anamtukana makonda mtetezi wa wanyonge wakati macho ya watanzania wanaona kazi za makonda,kweli Lema amefilisika kisela ?

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 6 หลายเดือนก่อน +1

      makonda hafai ata kulinda choo

    • @maimunaabdullabi
      @maimunaabdullabi 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ajira zote wamewapa watoto wawo shule wanasomeshwa ulaya kwa pesa ya watanzania

    • @AmisseMwenetombwe
      @AmisseMwenetombwe 6 หลายเดือนก่อน

      Lazma aseme hivyo. Ataishije!?? Ww unaensikiliza tu ,ndo uwe na Busara kwakumuelewa na kutambua KWAMBA amekosa kazi.

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 6 หลายเดือนก่อน

      Hana jipya ameishiwa sera huyooooooo,wewe kwenye viatu vya makonda huingii hata robo piga kelele ukalale.

    • @ramadhanrashidmthailand9553
      @ramadhanrashidmthailand9553 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@donaldmaziku7915wewe unaefaa unamsaada Gani hata kwenye familia yako!

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna aina ya kufikisha ujumbe kwa raia ila lema wewe ni genius be blessed okoa wasio jitambua machawa

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb 6 หลายเดือนก่อน

    Toooo interesting 😅😅 DOGO ANA WENGEEE ....
    acha ujinga LEMA MAKONDA HE IS ANOTHER MAN 👊👊👊👊

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lema UtakuaUmecjanganyikiwa wew

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu 6 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wa Arusha ni wajanja midomo tu lakini Hakuna Cha wadudu mnatawaliwa na watu kutoka nje mnadanganywa na kina makonda Ina maana Hakuna mtu wa Arusha akawa mbunge

  • @KelvinJulius-m4n
    @KelvinJulius-m4n 6 หลายเดือนก่อน +3

    KIPI NI KIPI MKUU...MBONA HATUKUELEWI .......

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 5 หลายเดือนก่อน

    Arusha wanaongoza kwa MAIGIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA😢😢😢😢

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 2 หลายเดือนก่อน

    Mwana siasa mzuri hatukani wabasiasa wenzake jukwaani..zungumzia sera za maendeleo. Lakini unatukana mpaka wake zetu..hii Ni siasa kweli? Susan za matusi Ni kuishiwa Nampa pole Lena.

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 5 หลายเดือนก่อน

    Yani wew nimsenge sana ukikalibia uchanguzi mnaaza kukashifu seriksli maneno Gani unayo ongea mbwa wew makonda kakufanyann makonda anapingamia haki za wanaichi wew wa na chama chako kipi mlicho Fanya wanaichi

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 6 หลายเดือนก่อน

    Lema asiwadanganye huyoo..kaenda Canada alizani atakula bure kule , alivyoona kaambiwa hakuna pesa bila kazi kama tanzania, karudu mwenyewe bila kupenda.

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa kamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @janethrwambali2782
    @janethrwambali2782 6 หลายเดือนก่อน

    LEMA HATUKUPENDI RUDI CANADA. ACHANA NA MAKONDA KIPENZIIIII CHETU❤

  • @MarryKiula
    @MarryKiula 6 หลายเดือนก่อน

    Lema Wewe hunaga Jema kila mtu Mbaya tafuta Sera angalia kile kizuri anachofanya Mwenzako umtie Moyo siyo kumkosoa tuu Makonda anapambana Sana halafu anaye hofu ya MUNGU

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko 6 หลายเดือนก่อน +4

    Wajanja wanashindana kwa hoja si kwa matusi,chadema mko vizuri ,ila matusi ndo yanakiangusha chama,(badirikeni

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel 6 หลายเดือนก่อน

      Makelele tu hakuna cha maana

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@Stevenmollelnakushangaa ebufanya tadhumini zauchaguzi ndipo utajuwa CCM haipokabisa isipokuwa mapolisi bebabeba tu,

  • @Golanh4786
    @Golanh4786 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa sera hizi amachemka

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 6 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu watoto wake wako canada nä mimi niko sweden usituaribie tanzania yetu vita inaanza wenyekuumia niwale wako Ndani ya nchi wewe Na slaaa nä mbowe watoto Wenu hawako tz nä usiongelee juu makonda makonda ni dume

  • @LijueNeno
    @LijueNeno 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe unatoa sifa, unaongelea usela Lakini hauna msaada kwa wananchi.. muda mwingine tafuta jinsi ya kuwasaidia watu wala siyo maneno

  • @GoldfreeHagai3
    @GoldfreeHagai3 6 หลายเดือนก่อน +1

    Angekuwepo makonda usingeweza kuongea na kuvimba hivyo

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee wakomedi😂😂

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 6 หลายเดือนก่อน +3

    Toa sera sio vijembe wewe ndye unageuke kuwa boya

  • @DeboraCalton
    @DeboraCalton 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe kwenye utawala wako ulifanya nini

  • @Shaabanhmakiya
    @Shaabanhmakiya 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe kima mdogo huna jipya😮😮😮😮

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m 6 หลายเดือนก่อน +4

    Acha ujinga lema boda boda wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani hamuzioni acha ufala hata wew tukikupa hii tanzania huwezi kumfanya kila mtanzania awe tajili

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 6 หลายเดือนก่อน +1

    Big brain 🧠 lema akilikubwa

  • @assasimba3228
    @assasimba3228 6 หลายเดือนก่อน

    Unaona mama amefanya ndiyo unapata wazo kabla ya hapo hukuwa na wazo la Ronado zuri lako linakuja baada ya watu kuanza pole 🎉

  • @joycealex8652
    @joycealex8652 6 หลายเดือนก่อน

    Hivi mna muelewa huyu anaongea nini eti😂😂😂😂we mwache makonda mwache makoda hangaika na yako Makonda wetu mtue kabisaa usimguse

  • @LucyIsrael-h2w
    @LucyIsrael-h2w 6 หลายเดือนก่อน

    Lema yupo saw sana achana na vicha wa Arusha wamechalogwa na makonda

    • @sarahyesaya6265
      @sarahyesaya6265 6 หลายเดือนก่อน

      Mmmh! Kazi ya Makonda wewe usingeweza hata robo

  • @PendoMlowosa
    @PendoMlowosa 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe nae kakae hko

  • @bahatigewa4163
    @bahatigewa4163 6 หลายเดือนก่อน +8

    Ebu achana na makonda kwanza, maana ni kipenzi chetu watanzania wote.

    • @dedankalinga6291
      @dedankalinga6291 6 หลายเดือนก่อน +2

      Wote au ww na wajinga wenzio

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 6 หลายเดือนก่อน

      Kutojitambua pia ni ujinga, jitafakari halafu ukimaliza kitafakari uyambue kila mtu ana haki ya kuchagua anachoona kinafaa.​@@dedankalinga6291

    • @ShifaSinani-ed6po
      @ShifaSinani-ed6po 6 หลายเดือนก่อน

      Uongo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 6 หลายเดือนก่อน

      Kumbe duniani kunawatu wanapenda uharifu yaani Makonda nimuuaji tenakatili

  • @AbdallahIssa-d7r
    @AbdallahIssa-d7r 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa dunia ya leo ya utandawaz na kila mtu anaona kinachofanyw na Mh: Makonda wap wat walikuw wameshapoteza mal zao lkn kupitia Makonda baadh yao wameokoa mal zao MZEE piga sera zak tu usimguse MAKONDA ata kwa sekumde moja kwan ukiendelea kumsema MAKONDA kwa ubaya utafany ata anaekusikiliza asikusikilize MAKONDA FOR LIFE.

  • @vicentntamausu-gm3og
    @vicentntamausu-gm3og 6 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda kamanda, mungu akulinde, hatuna chakusema zaidi ya kukuombea

  • @VictoriaKetegwe-i5v
    @VictoriaKetegwe-i5v 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu hapendi matusi..toa hotuba bila kumtusi mtu,Wala chama nadhan utabarikiwa kuliko kutoka matusi na kutukn watu.ni ushaur tu

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 6 หลายเดือนก่อน +7

    Lema umefiriska kifikra , lililo jema pongeza , siyo kupinga kila jambo, Arusha watu wametibiwa bule kwa ushawishi wa Makonda, na wengine kupewa haki yao nk

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel 6 หลายเดือนก่อน

      Bado hajaona yote ayo kwanz ajiulize aliongoza miaka mingp alifanya nn kwa ajir ya wananchi

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 6 หลายเดือนก่อน

      Duuuu hatuna upinzani Nchii hii,wanasiasa tuliowategemea sana wameishiwa hoja zenye nguvu, umebaki uwana harakati tu na matusi.

  • @marymalema258
    @marymalema258 6 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda Mungu akupe maisha marefu kipenzi chetu

  • @LambertJames
    @LambertJames 6 หลายเดือนก่อน

    Huna point mbona brother kweli chadema nichama Cha mafara , unaongelea chama ? Au unamuongelea makonda ? Yaani nidhahiri we mhuni

  • @lemakhalfan8564
    @lemakhalfan8564 6 หลายเดือนก่อน

    Lema umeisha wewe ndio unaiuwa cdm Arusha ila kufa mfe tu ccm ndio chama na makonda safiiiiiiii

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ukitaka kuamnini makonda yupo juuu ya hawa kunguni...waweke..mdahalo na kila mtu aelezeee chama chake..huyu..atasepa bila mtu kuku huyuuuuuu..hajui siasa....siasa ni sera sio matusi na porojo porojo..watu wanataka udeal na kero zao ..sio tatalinta

  • @gracemadangi-j7u
    @gracemadangi-j7u หลายเดือนก่อน

    Usipende kumchafua makonda maan anatenda haki za wananchi, basi kama ww unaona wananch wanaonewa wasaidie ww, tena ufunge mdomo ww ndio boya mpumbavu

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 6 หลายเดือนก่อน

    we lema unapata chakula serikalini? Basi wasmbie unapata wapi chakula. Halafu mbina hugawii chakula,huwajengei hospitali wala shule. Sema jinsi utakavyoisaidia jamii.

  • @HezronKilongo
    @HezronKilongo 6 หลายเดือนก่อน

    Mm nikisikia mtu anatokea Arusha najua ni mshamba too. Maana wengi wanajifanya wasela,wahuni,wadudu,sijui, lakini kiufup ni ushamba too njoon tunduma kama hamjaonekana washamba.

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk 6 หลายเดือนก่อน

    Nchihii ingekua anawaona Watu kama lema niwatu wema na wanahuruma kwa Taifa, wangesimama hadharani nakuwapongeza kwa Mawazo naushauri Mzuri wanaotoa.

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 6 หลายเดือนก่อน +2

    Lema tafuta AMANI kwenye haya maisha , Muache makonda kabisaaa,Kwanza ni Mtmish wamungu Muache Muache 🙌🙌🙏

    • @dicksonlusinde2830
      @dicksonlusinde2830 6 หลายเดือนก่อน

      Peleka huko nywumbie ww mtumishi wa mungu unamjuwa ww acha uboya

    • @AlfaniMajidi-g4h
      @AlfaniMajidi-g4h 2 หลายเดือนก่อน

      Makonnda muache kabisa tuliya wewe

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 6 หลายเดือนก่อน +1

    uko sahihi

  • @MWANAHAMISIOMARY-z3j
    @MWANAHAMISIOMARY-z3j 6 หลายเดือนก่อน +2

    Muda ufike tu huyo mbunge wao aondoke

  • @LilianMakyao-g8d
    @LilianMakyao-g8d 6 หลายเดือนก่อน

    No one is perfect aongelee maendeleo hana issue

  • @RobbinWalt
    @RobbinWalt 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo Lema ashapoteza dila bangi tupu Hana jipya

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 6 หลายเดือนก่อน +3

    Lema Hana kitu badala ya kuongea Sera na kuikosoa serikali pale ambapo inakosea mnakaa kutukana watu ovyoo sana

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 29 วันที่ผ่านมา

    Wanaoshabikia Mambo ya bashite nao akili zao zipo Kama bashite hawajitambui

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 6 หลายเดือนก่อน +2

    We lifisiemu tuache tusikilize lema akili kubwa

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mwenye Arusha yake vivaaaaaa mheshimiwa Lema Makonda anapumbaza watu wako huko mtoe mitaaaaaa

  • @EliasAbel-qr8pz
    @EliasAbel-qr8pz 6 หลายเดือนก่อน

    Acha kuchongani sha Sana nch😊

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 6 หลายเดือนก่อน

    Lema mjinga sana bila kutukana viongozi ili akamatwe apate umaalufu jinga sana

  • @HawaMohamed-g7c
    @HawaMohamed-g7c 6 หลายเดือนก่อน

    Bora makondaa Mara Mia kuliko lemaa

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 4 หลายเดือนก่อน

    Lema ongeaga point basi,acha kutukana

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310 6 หลายเดือนก่อน

    Lema mm naipenda chadema lkn ukitaka tukosane endelea kumtaja Makonda

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 6 หลายเดือนก่อน +4

    Lema na wewe umechema sana mwaposa unamuwekaje tena kwenye aiese

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 6 หลายเดือนก่อน

    Kunasiku kamoigia mama samia simu kwenye mkutano kamwambia mama tunandege yakubeba wagonjwa mama akauliza mafuta nani anaweka

  • @mohamedbakari2874
    @mohamedbakari2874 6 หลายเดือนก่อน

    Hizi siasa za lema ndio anasema Arusha wajanja Kwa uhuni Kwa sera za upinzani kama ndio hizi Mimi acha niendelee kufunga mkono chama Cha mapinduzi

  • @mirajimtoi8511
    @mirajimtoi8511 6 หลายเดือนก่อน

    Ila Lema alikua mwizi basi sema ilikua njaa sawa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nape nauye is not a politician has got no capacity of been politician makonda kwa god bless lema naona pazito maybe makonda use police force can challenge God bless lema without that makonda will face big challenge from God bless lema chadema on my research l have seen that

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 5 หลายเดือนก่อน

    Kama huna sela kaa kimy mbwa wew

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 6 หลายเดือนก่อน

    Mkuu Mimi simwanasiasa Ila makonda hajakosea kuandaa tamasha ni anajali vipaji Viwe fursa nanikwambie Mimi hua ndioninaratibu MASHINDANO YA PIKIPIKI nikwambie siasa zenu zielekezeni KATIKA KUSAIDIA jamii na msiwaponde wanaogusa maisha ya WATU Ila nikwambie kaka HAKUNA MCHEZAJI ALIEKUFA, HIZO TAARIFA ULIEPEWA ZA WATU8 ZICHUNGUZE SIOKWELI KAKA.

  • @SteveAriba
    @SteveAriba 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pigania ugali kuna mtu anapigania sehemu isiyo na makoti hizo sera tu saundi tu

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi n8 chadema lakini MAKONDA hebu usi muongelee ...shughulika na hao maboya wengine ulio wataja

  • @BenjaminChombo-o8o
    @BenjaminChombo-o8o 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huna jipya brother.

  • @AugustinoSirong-eo3yj
    @AugustinoSirong-eo3yj 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi haiwezi kuajiri watu wote, kawaambie wakafanye kazi. Hata kuuza karanga na mboga ni kazi kama hawataki kulima na kufuga

    • @GodfreyMwamaso
      @GodfreyMwamaso 6 หลายเดือนก่อน

      Dah pole Sana ndugu

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj 6 หลายเดือนก่อน

      @@GodfreyMwamaso piga kazi, tafuta kazi, jiajiri, usisubiri kupewa kazi.

    • @paulkambonya8001
      @paulkambonya8001 6 หลายเดือนก่อน

      Vijana hatuna mitaji na kingine elimu ya kilimo hakuna

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj 6 หลายเดือนก่อน

      @@paulkambonya8001 ni kweli kabisa. Mitaji na elimu ya kilimo hatuna, kipi kifanyike,?
      Kusubiri serikali itupatie mitaji au kujikubali na kuanza na kile unacho kiweza. Kumbuka tulishaambiwa mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe. Na hakuna serikali itakayo tupatia hela za mtaji. Mi kwa ufahamu wangu kabla ya serikali wenyewe hatuko tayari kupambana

    • @modestusndunguru7183
      @modestusndunguru7183 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@paulkambonya8001wewe ndio hauna mbona vyuo vya kilimo vipo vingi tu..kama unataka kusomea kilimo na kukifanya unaenda unapewa elimu juu ya kilimo cha kitu Fulani...tatizo vijana wa kibongo tunapenda mserereko..acha uvivu wa fikra

  • @ayubukivuyo2904
    @ayubukivuyo2904 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna changamoto, kwa sababu lugha anayozungumza Lema ndiyo lugha inayoeleweka na Vijana wa kuanzia 2004 mpaka Leo, kama wakijiandikisha wote hali ni Tete.

  • @SalhaKondoSalum
    @SalhaKondoSalum 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mental case sio akili ya kawaida Wana wa Arusha kuweni Makini na huyo mtu kila siku atasababisha watu kuwa vilema kwa maandamano

  • @simonyohana8995
    @simonyohana8995 6 หลายเดือนก่อน

    Tatizo lenu hamna maneno ya maana kwa hiyo mikoa mingine sio wajanja umesahau kuwa hawa ambayo sio wajanja utakuja kuwaomba kula za urais

  • @LambertJames
    @LambertJames 6 หลายเดือนก่อน

    Hiyo mention utawapa? Yaani Arusha na ujanja wenu mnamsikiliza bado huyu mjinga ? Maana alishaishiwa sera hana hoja yamsingi yaani anachojua nikuropoka tu na watu mmekaa amnamsikiliza mjinga kama huyu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 6 หลายเดือนก่อน

    Arusha nawapenda maana hamnunuliki kwa kanga na tishert za bure.

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 6 หลายเดือนก่อน

    Wajanja wengi chuga, mashoga wengi wapo mkoa gani?

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 7 วันที่ผ่านมา

    Mbona hamsemi sera zenu ni matusi tu sasa mh umeongea nini hapo

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 6 หลายเดือนก่อน

    Hawawezi kufanya kazi wenyewe bila kupata kick kupitia CCM kuwa creative sema sera zako kila siku kukosoa tuuu hebu tangaza sera zako tukukubali hii kukosoa kosoa kila kukicha tumechoka kukusikiliza. Kama huna sera kakojoe ukalale.

  • @NdayishimyeJackson
    @NdayishimyeJackson 5 หลายเดือนก่อน

    Lema hizo zote ni dalili za kushindwa siasa, umebakiza kumwaga sela za matusi?? hapo uko ukingoni!!!!

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 6 หลายเดือนก่อน

    Huko shivazi ulijulia wapi kua ni elfu 3 kama sio kwamba na ww ni mnunuzi

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 6 หลายเดือนก่อน +5

    Heshima Yako baba tupo pamoja

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl 6 หลายเดือนก่อน +1

    jamaa ni matusi tu hatupati mpango Kazi wowote tuambie nn mtafanya mkipata nafasi

    • @GodfreyMwamaso
      @GodfreyMwamaso 6 หลายเดือนก่อน

      Anatoa elimu ya umaskini uliyosababishwa na viongozi wa CCM

  • @AbdallahYanga
    @AbdallahYanga 6 หลายเดือนก่อน

    Kunawakati kama una sera bora kunyamaza ..uyu makonda muache brother jamaa anaupija mwingi sio kiwango chako mimi namfikiria 2035 kuwa (RAIS) wetu