KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 มี.ค. 2024

ความคิดเห็น • 41

  • @user-cb7sm8ts2z
    @user-cb7sm8ts2z 2 หลายเดือนก่อน +7

    Dada umegusa nnapopataka nataman sana na mm nifnye icho kitu unachofanya ww shukran sana kwa kuntia moyo nimejifunza🙏

  • @viatorykashabizi2538
    @viatorykashabizi2538 21 วันที่ผ่านมา +2

    You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person

  • @jscatherine29
    @jscatherine29 หลายเดือนก่อน +4

    Kuweza kuongea na hao waandishi kashafanyia kazi ualimu wake 😂🤌

  • @ereswidamoshi7404
    @ereswidamoshi7404 หลายเดือนก่อน +4

    Mdada smart , watangazaji mnaboa

  • @deodatusmbinga1979
    @deodatusmbinga1979 3 วันที่ผ่านมา

    Uyoo dada mwenyew anaongea sana Zaidi ya maswali.

  • @victornkonjelwa
    @victornkonjelwa 2 หลายเดือนก่อน +5

    I wish ningemsikia huyu dada kwa watu ambao wako serious, watangazaji wameshindwa kujua namna ya kuhandle interview kulingana na nahudhui yake, full masihara, wanakatisha point muhimu, wanaongea kuliko muhusika, wanasafari kubwa ya kujifunza kuwa bora

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  2 หลายเดือนก่อน +1

      Nipe 5 , ni kipindi cha masihara, ila ukikiangalia kwa makini hakuna masihara.

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 หลายเดือนก่อน +2

    Waandishi hovyoo kabisaa. Mkiuliza swali muacheni anaeulizwa aongee mpaka mwisho. Pia ulizeni maswali bora.

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 2 หลายเดือนก่อน +2

    Smart Brain ❤❤❤ historia yako inasisimua na mafunzo

  • @vapromamassawe8937
    @vapromamassawe8937 4 หลายเดือนก่อน +3

    young,beautiful,and smart 🔥🔥🔥

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri หลายเดือนก่อน +1

    woow very smart. Hongera sana dear...

  • @faustalymoonesmo4532
    @faustalymoonesmo4532 3 หลายเดือนก่อน +4

    Watangazaji wanaongea Sana lakini maswali ya msingi wanaacha kuuliza

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg หลายเดือนก่อน +2

    Naipenda sana hii biashara

  • @angelsultan9628
    @angelsultan9628 หลายเดือนก่อน +2

    Aiseee watangazaji mnaboa, mwacheni mtu aleleze

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera san kipenz

  • @ramadhanichuma7925
    @ramadhanichuma7925 19 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Dada kama sijamfananisha niliwahi kufanya nae kozi 834kj makutupora

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 19 วันที่ผ่านมา

      kwa kina ngalapi na mbeho😂😂😂

    • @emmanuelsanga1318
      @emmanuelsanga1318 10 วันที่ผ่านมา

      Niyeye

  • @ElizabethNdowo
    @ElizabethNdowo วันที่ผ่านมา

    Nataman niwe kama wewe😭😭

  • @witneynairas2803
    @witneynairas2803 หลายเดือนก่อน +3

    watangazaji hovyo sana

  • @AmosNhandi
    @AmosNhandi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Shida mnaongea Sana watangazaji kuliko mhusika

  • @jakalajuma1625
    @jakalajuma1625 2 หลายเดือนก่อน +3

    Watangazaji masiala kibao dada yupo serious na majibu ya msingi

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  2 หลายเดือนก่อน +1

      Kaka hicho kipindi ni cha masihara.

    • @user-gk6et7yg3x
      @user-gk6et7yg3x หลายเดือนก่อน +2

      @@ganganainfochannelkama cha masihala msiweke vitu vya msingi waekeni kina bambo mje mfanye masihala

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  หลายเดือนก่อน

      Naona umeamua kutupangia sasa😀

  • @user-gq3pv4nm4g
    @user-gq3pv4nm4g 4 หลายเดือนก่อน +2

    Go valentina🙏🏿🙏🏿

    • @selinajohn3552
      @selinajohn3552 หลายเดือนก่อน

      Nataman kuwa mfanya Biashara Sana nawazo Hilo lakn kuanza ndo nawaza

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 หลายเดือนก่อน +1

  • @haidhautumwahawezikuisha8779
    @haidhautumwahawezikuisha8779 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @MANJINZELLA
    @MANJINZELLA 2 หลายเดือนก่อน +1

    Good

  • @user-ki6vd4yj7h
    @user-ki6vd4yj7h 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba no dada

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa jinsi ulivyohasi sana mwaya

  • @jaquilinekabadi37
    @jaquilinekabadi37 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji mmeboa👎

  • @MarianaDonarld
    @MarianaDonarld หลายเดือนก่อน +2

    Vale anajibu kisomi, watangazaji sijui wanaogopa kuuliza maswali vzri? Valentine Gabriel Philimon Moi.

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba yako pls