KUNYWA POMBE NI MAKOSA LAKINI SIYO DHAMBI| KUNYWENI BAADA YA KAZI| POMBE NI MLANGO WA SHETANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 131

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา +3

    1 Timotheo 3
    2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
    3 si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha;
    4 mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;
    5 (yaani, mtu asiyejua kuisimamia nyumba yake mwenyewe, atalitunzaje Kanisa la Mungu?)
    6 Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.

  • @amirizedy8411
    @amirizedy8411 20 วันที่ผ่านมา +7

    Tatizo lugha ndio zimewacanganya dhambi ni kiarabu kwa kiswahili ndio makosa unaposema kunywa pombe ni makosa sio dhambi bado unajicanganya mwenyewe dhambi ndio makosa nimemaliza

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 16 วันที่ผ่านมา +2

      Ndio maana hiki kiswahil siyo kiarab, hata kiingereza dhambi na makosa ni tofaut, hivi hujui makosa mengi sio dhambi, mfano kuchelewa shule ni kosa ila sio dhambi, na mifano mingine unayo mwenyew

    • @alphamenson3784
      @alphamenson3784 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@goldmansun5859True man

    • @user-hi7ry5bc9t
      @user-hi7ry5bc9t 8 วันที่ผ่านมา

      Ni sawa kwa Mungu kosa ni dhambi. Hata kuchelewa kazini ni dhambi kwa maana unamdhulumu muajiri wako muda wake mliokubaliana.

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 20 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna wakati unaongopa hadi unaishia kujizonga. Hawawezi tena kuisema kweli ya Mungu.

  • @ramadhanishabani4600
    @ramadhanishabani4600 22 วันที่ผ่านมา +10

    tatizo tunaamini sana maneno ya btunaowaita viongozi wa dini. akili kichwani kwako hao ni wapiga dili tu wa duniani walioiona fursa kwny dini

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 21 วันที่ผ่านมา

      amesoma maandiko lakini au hujaelewa mkuu?!.

    • @praymwalu
      @praymwalu 20 วันที่ผ่านมา

      Kweli

  • @FrolaMwanja-yk1ck
    @FrolaMwanja-yk1ck 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Levi hilo zee,shushu la kuhujum yesu kristo wetu,alishapiga pesa kupitia dini amebaki kupotosha

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 13 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mtumishi nae atakuwa ni mtu wa tungi huyu 🙄🤔

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 22 วันที่ผ่านมา +3

    Daaah

  • @hassannjiku
    @hassannjiku 22 วันที่ผ่านมา +1

    Pombe n haramu tena n haram nna mm sasa nimelewa ila n haram nna haifai kwa afaya nna kifamilia sema ukinywa unakuwaje iyo n ujinga wako ila nnasema tena pombe haifai🎉

    • @galanamos5957
      @galanamos5957 21 วันที่ผ่านมา

      weka kifungu tusome

  • @BertaVenance
    @BertaVenance 19 วันที่ผ่านมา

    Jomba mnabonga sana mpeni nafasi mtumishi ajibu maswali kwa undani kwa faida ya wasikilizaji msimuhoji kama muhuni

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 22 วันที่ผ่านมา +2

    Tungeomba mumualike pia sheick Shaffi ili awape ukweli kutoka kwenye biblia kuhusu hayo maswali yenu. Mchunganji anajibu kwa kujikanyaga

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 22 วันที่ผ่านมา +4

    Uislam umekamilika aisee, Lusekelo swala la chakula kwetu huku linaitwa israfu, kikizidi sana ni dhambi yan ukila ukavimbiwa haitakiw

    • @BarnabasFabiani
      @BarnabasFabiani 22 วันที่ผ่านมา

      Ume kamilika wapi

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 21 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@BarnabasFabianiukitaka ubishi hauwez kuelewa uislamu umeelezea hata namna ya kwenda haja chooni namna ya kula .halali na haramu , uvaaji,uongeaji, utembeaji, n.k ..... ukitaka kujifunza uislamu ondoa kasumba kichwani mwako

    • @CadiaOnesmo
      @CadiaOnesmo 21 วันที่ผ่านมา

      Kukamilika sio hoja hoja ni unayatekeleza yote?​@@AmourAmour-ux3nm

    • @siaolomi1590
      @siaolomi1590 20 วันที่ผ่านมา

      Hata ukiristo umekamilika

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 20 วันที่ผ่านมา +1

      @@siaolomi1590 naomba andiko linaloelezea adabu za kuingia msalani au chooni

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา

    Luka 21
    33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
    34 Basi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafula, kama mtego unasavyo;
    35 kwa kuwa ndivyo itakavyowajilia watu wote wakaao juu ya uso wa dunia nzima.

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nashukuru mnaweka mijadala yenye kuleta kuamka kwa akili ya jamii, na kuangalia wana tafsiri vipi masuala yaliyopo kwenye vitabu vya dini.

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mithali 23:29-30
    [29]Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole?
    Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno?
    Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu?
    Ni nani aliye na macho mekundu?
    [30]Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo;
    Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.

  • @daudinzunda8739
    @daudinzunda8739 17 วันที่ผ่านมา

    Jamaniii baba Levoooo mbona unatetea sanaa pombee

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee wa upako ni mwongo sana siku hizi, afu yeye mwenyewe ni mlevi. Pombe ni dhambi tena kama ingefaa bac niseme ni dhambi kubwa sana. Pombe inaondoa hekima ya mtu, ukishakosa hekima bac ww utakuwa ni mtu wa namna gani hata haielezeki. Mithali 20:1, mvinyo hudhuhaki, kileo huleta ugomvi na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima. Waefeso5:18, tena msilewe kwa mvinyo ambamo mna ufisadi, bali mjazwe roho. Luka 1:15, kwasababu atakuwa mkuu mbele za Bwana, hatakunywa divai wala kileo, naye atajazwa roho mtakatifu, tangu tumboni mwa mamaye. Huyu anayezungumzwa hapa ni Yohana. Mtumishi wa Mungu hawezi kutumia kileo kwasababu utakuwa unamfukuza roho mtakatifu. Oky? Mzee wa upako wa pombe au siku hizi vp ?

    • @NkondokayaJoe
      @NkondokayaJoe 20 วันที่ผ่านมา +1

      Ogopa sana watu wa aina hiyo, hawa walikwisha tabiriwa ya kuwa nyakati za mwisho watakuja manabii wa UONGO watatoa mafundisho na kufanya miujiza ya ajabu.Ndiyo hawa akina Mzee wa upako na wenzake wanatumia matatizo ya watu kuwa fursa kujineemesha wao wenyewe huku waumini masikini wakiendelea kuteseka na dhiki

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา

    2 Petro 2
    12 Lakini hao kama wanyama wasio na akili, ambao walizaliwa kama wanyama tu wa kukamatwa na kupotezwa, wakikufuru katika mambo wasiyoyajua, wataangamizwa katika maangamizo yao;
    13 Wakipatikana na madhara, ambayo ni ujira wa udhalimu wao, wakidhania kuwa ulevi wakati wa mchana ni anasa; wamekuwa ni mawaa na aibu wakifuata anasa zisizo kiasi katika karamu zao za upendo, wafanyapo karamu pamoja nanyi;
    14 wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kuhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo iliyozoezwa kutamani, wana wa laana;
    15 wakiiacha njia iliyonyoka, wakapotea, wakiifuata njia ya Balaamu, mwana wa Beori, aliyependa ujira wa udhalimu;

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson 22 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 daaah sasa mtu akikosa ni dhambi tyr

  • @chaco1466
    @chaco1466 22 วันที่ผ่านมา +2

    ivi tanzania kuna wachungaji wa watu au wawanyama kwaiyo ana hamsisha watu kunywa pombe kama sio zambi ila TZ kuna watu wa OVYO sana

    • @marlonstudios4408
      @marlonstudios4408 19 วันที่ผ่านมา

      Wapi kahamasisha na wewe si kasema apo ni makosa

    • @EmmanuelMaro-jj8qz
      @EmmanuelMaro-jj8qz 7 วันที่ผ่านมา

      kiingiacho sio Haram Bali kitokacho kwaiyo hiyo pombe ukinywa isilete madhar ikishakuzd nakulet madhar ndio kasem dhambi kwaiyo akili kichwan mwako kunywa au kuachaa

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 18 วันที่ผ่านมา

    swala la kujiuliza ni kosa kwa nani, na siyo dhambi kwa nani,kuna milango miwili wa Mungu yaani wema ,na mlango wa shetani yaani uovu (dhambi),achane kupendezesha ubaya kuwa wema

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 5 วันที่ผ่านมา

    tatizo hamna mpangilio wa maswali kila mtu anataka kuuliza

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 22 วันที่ผ่านมา +2

    DHAMBI NINENO LA KIARABU MAANA YAKE KWA KISWAHILI NI MAKOSA

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 21 วันที่ผ่านมา +1

      Shida upand w pili hawana mashiko

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 19 วันที่ผ่านมา

      Ndo dini yao wanayo ifata kazi wanayo

  • @mkorinthomgalilaya6700
    @mkorinthomgalilaya6700 22 วันที่ผ่านมา +1

    Adela katulia tuli

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา

    1 Wakorintho 6
    9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
    10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe kosa unalomkosea mungu kwa upande wako sio zambi lakin kuna zambi kwaiyo zambi ni nin?😂

  • @phina8058
    @phina8058 22 วันที่ผ่านมา +2

    Nimemuelewa sana mzee wa upako

  • @josephmaduka-xv8yp
    @josephmaduka-xv8yp 22 วันที่ผ่านมา +2

    Dhambi ninini kama sio kosa

    • @berry4726
      @berry4726 21 วันที่ผ่านมา

      Ni kosa na ni dhambi.

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 20 วันที่ผ่านมา +1

    Eti nimakosa lakoni sio dhambi 😂😂😂😂😂😂

    • @Silay1034
      @Silay1034 20 วันที่ผ่านมา

      Huu ukristo jmn ndouharibifu wa maisha unasema et ni mlango wa shetani lkn syo dhambi upotevu huo tokeni njooni kweny dini ya haqq

  • @engineerjuma9876
    @engineerjuma9876 22 วันที่ผ่านมา +1

    Akuna handiko hata moja atakalotoa kuhusu pombe,mwanzilishi wa UKILISTO ni MZUNGU na mzungu kwa pombe humwelezi kitu

    • @jamesmshanga1098
      @jamesmshanga1098 21 วันที่ผ่านมา

      Ukristo haukuanzishwa na wazungi,umeanzishwa na Yesu mwenyewe pale Yerusalem ktk nchi ya Israel na sio ulaya

    • @mariacastor3632
      @mariacastor3632 21 วันที่ผ่านมา

      Soma HESABU 6:1 uone Mungu anasema nini kuhusu pombe

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y 22 วันที่ผ่านมา +3

    Porojooo

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 12 วันที่ผ่านมา

    Makristo wa Uongo ndo hao na wengine wengi.

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 16 วันที่ผ่านมา

    Hao ndio wachungaji na maaskofu😀😀

  • @IsmailIsmail-ix1yd
    @IsmailIsmail-ix1yd 22 วันที่ผ่านมา +10

    Quran imeenda ndani zaidi kwa kusema "rijsun min amali shaytwaan, fajtanibuhu laalahum yarshuduun"
    Maana: Ni uchafu katika matendo ya shetani, (fajtanibuhu) basi jiepusheni, mpate kuongokewa/uongofu.
    Basi ni nani akaatae uongofu wa Mungu wake na kutekeleza mapenzi na matendo ya shetani. The choice is yours.....

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili 22 วันที่ผ่านมา +4

    Na kama mngefuata alichokuja nacho Muhammad s.a.w..mngejifunza kitu..lakini Mlikufuru

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 16 วันที่ผ่านมา

      Muhammad hapaswi kufuatwa kwa chochote, kuoa vitoto vidogo?kuua vitoto visivyo na hatia?kutuambia mbinguni kuna kila ulafi (ngono chafu kuliko ya makahaba, eti mimama 72 inajua mambo inatoka kuzimu just for porno,Muhammad na mwenzak issa wote big Noooo..mbingu ya walafi na walevi na mingono hyo jehanum

    • @shannarsaidSwahili
      @shannarsaidSwahili 16 วันที่ผ่านมา

      @@goldmansun5859 leta Aya inayozungumzia unayosema...afu Aisha r.a hakua mtoto

  • @berry4726
    @berry4726 21 วันที่ผ่านมา +1

    Pombe ni haramu na ni dhambi.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 22 วันที่ผ่านมา +1

    NIMEYAPENDA HAYA MAHOJIANO

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 22 วันที่ผ่านมา

    Mmmmmhm Jamii ina Mauti......😢

  • @jazzmancoltrane
    @jazzmancoltrane 19 วันที่ผ่านมา

    Haya mambo ya kufuata mila
    Na dini za wageni ndio zimetufikisha hapa. Hawa wageni wemekuja huku Afrika kisha wakatuaminisha kuwa sisi İmanı na dini zetu hazifai za kwao ndio zinafaa. Kisha wakatiambia tufumbe macho kuja kufumbua the rest is history. Ndio maana namkubali sana Ngugi wa Thiongo.

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา

    Mwanzo 9
    20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
    21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
    22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
    23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
    24 Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
    25 Akasema,Na alaaniwe Kaanani;Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.

  • @Kiganja
    @Kiganja 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kila mtangazaji anataka kuongea na sio kusikiliza wanae muhoji.
    Hizi ni vurugu za kimaongezi.
    Watangazaji muwe wasikivu zaidi. Mnapoteza mambo muhimu kwa mnao wahoji.
    Au ni bora kuwepo na watangazaji wachache ikiwezekana hata mmoja atafaa.

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 22 วันที่ผ่านมา

      watangazaji wa bongo hamna kitu..wanaongea wao zaidi kuliko wanaemuhoji,kelele nyingi mtu kabla hajamalizia kuongea wamesharukia,kama kijiweni

  • @kamangutv5828
    @kamangutv5828 19 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji anaakili snaa

  • @stewardlwimbo3944
    @stewardlwimbo3944 19 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee mpotoshaji sana pombe eti siyo dhambi na mvinyo unaozungumzwa kwenye biblia ni Zabibu ambazo hazijachachushwa ndo ziliruhusiwa

  • @linaschannel3769
    @linaschannel3769 22 วันที่ผ่านมา +1

    Biblia inasema
    usiguse usinuse

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา +1

    1 Petro 4
    1 Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ya nia ile ile; kwa maana yeye aliyeteswa katika mwili ameachana na dhambi.
    2 Tangu sasa msiendelee kuishi katika tamaa za wanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu, wakati wenu uliobaki wa kukaa hapa duniani.
    3 Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuenenda katika ufisadi, na tamaa, na ulevi, na karamu za ulafi, na vileo, na ibada ya sanamu isiyo halali;
    4 mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana.
    5 Nao watatoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.

    • @yusuphnundu6113
      @yusuphnundu6113 18 วันที่ผ่านมา

      Wakolosai 2:16-17 16 Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato;
      17 mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

  • @AliyyAli-ii1uz
    @AliyyAli-ii1uz 20 วันที่ผ่านมา

    Naona mnaliwazana muwe mnawaalika na mashekh wenye misimamo yadini

  • @barakambunda5428
    @barakambunda5428 21 วันที่ผ่านมา +1

    Uyo ajui biblia kutumia kileo ni dhambi (pombe)

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 12 วันที่ผ่านมา

      Mm snyw lakn kwa uelew matokeo ya pombe ndo dhmbi,

  • @samwelmushi6162
    @samwelmushi6162 22 วันที่ผ่านมา +2

    Imeandikwa usimpe jirani yako kilevi

    • @zahornassor5420
      @zahornassor5420 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kwann usimpe ? Kwaio Mungu hataki umpe jirani yako kitu kizuri!!? Tumia akili bas mana yke pombe sio mzr ingekuwa mzr usinge ambiwa usimpe jiran hko kilevi

  • @pascalmusana2137
    @pascalmusana2137 22 วันที่ผ่านมา +1

    Niikweli

  • @johnsonjoseph5382
    @johnsonjoseph5382 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kipotoshi

  • @Rumbakweka
    @Rumbakweka 7 วันที่ผ่านมา

    Uyu jaama anaongea kwa kufata tupepo POMBE HAIRUHUSIW
    NA AACHANE NA MAMBO YA AGANO LA KALE SS TUNAFATA MATAKWA YA SASA YA AGANO JIPY

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n 18 วันที่ผ่านมา

    Mkiongea muwe makini jamii inakusikilizeni

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 22 วันที่ผ่านมา +2

    Pombe inyweke kwa kiasi

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 22 วันที่ผ่านมา +3

    Ndugi zangu kanisani kuna pombe club kuna pombe kanisani kuna mziki club kuna mziki kanisani madada wanavaa vimini club wanavaa vimini nawashauri tu hameni huko hakuna amani

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 16 วันที่ผ่านมา

      Mbinguni kwa Allah kuna madanguro na walaf na kila uchafu, maana kila kitu ok huko, zungumzia hyo pepo wenu kwanza,yes kanisana kuna nyimbo coz tunamsifu kwa nyimbo nyinyi si madufu mnacheza ka majini 😂😂😂, maana ndio Mungu wenu jini, mvinyo upo yeah ila utupe ushahid tu mbona fresh, na sio dhamb inadepend ni kwa ajil gan, yaan if yo Muslim you better not attack, coz mauchafu yalipo huko yanatisha

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 16 วันที่ผ่านมา

      @@goldmansun5859 sema kanisani kuna nyimbo club kuna nyimbo pia kanisani mnakunywa pombe club pia pombe kanisani kuna vimini club napo sawa

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 18 วันที่ผ่านมา

    Ku

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn 22 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 22 วันที่ผ่านมา +1

    Viti moto ndio nn

    • @SharifaOman-bf1bn
      @SharifaOman-bf1bn 22 วันที่ผ่านมา

      Nguruwe ndio kiti moto

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 19 วันที่ผ่านมา

      Ohoo nguruwe ndo kiti moto

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 17 วันที่ผ่านมา

    Comedian

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa bhana wapo mbali sana, kunywa pombe ni makosa lkn sio dhambi.
    MwenyeziMungu anasema kutoka kwenye Qur-an.
    "BILA YA SHAKA DINI MBELE YA MWENYEZIMUNGU NI UISLAM".

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 20 วันที่ผ่านมา

      Tulia ww

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 20 วันที่ผ่านมา

      @@edwinmbunda6709 Imekuchomaa?

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 20 วันที่ผ่านมา

      @@mussammanga7791 Pombe sio dhambi ww, kunywa kwa kiasi ti

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 20 วันที่ผ่านมา

      @@edwinmbunda6709 Hahahaaa! tukikwambieni wenzetu mpo mbali sana.
      Namshukuru MwenyeziMungu kunijaalia kuwa Muislam.
      Poleni.
      MwenyeziMungu anasema kutoka kwenye Qur-an: (5:90-91).
      MwenyeziMungu ameharamisha.
      Kamari, Kula nguruwe( Kiti moto), Kunywa ULEVI, Kutizamia(Nyota) na Kuabudu masani kwa sababu ni kazi ya Sheitwan.
      Sasa wewe sijuwi unamfata mungu yupi alokwambia kuwa ulevi si haramu.
      Pole.

  • @michaelmwaksole7244
    @michaelmwaksole7244 22 วันที่ผ่านมา +2

    Hunaakili mpumbavu mjinga wa mwisho kabisa hii dhambi yakuwapotosha watu utailipa ukiwa kuzimu ktk mateso makali mbwa wewe

    • @kaittheleast
      @kaittheleast 22 วันที่ผ่านมา +3

      Wewe Ulivyomwita mbwa hujatenda dhambi 😂😂

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 20 วันที่ผ่านมา +1

      Kuwa na busara basi

    • @edonicejohn2435
      @edonicejohn2435 13 วันที่ผ่านมา

      Hauoni na wewe umetukana😅

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk 22 วันที่ผ่านมา +2

    huyu mchungaj hamna kitu kosa maana yake umepinga maamrisho ya mungu je kosa si dhambi au atupe jibu dhambi ni nini

    • @ladislausriwa7768
      @ladislausriwa7768 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kosa ni kutokufanya kitu kwa usahihi wake. Dhambi ni kuvunja maagano ya Mungu na watu wake haya yapo kwenye amri 10 alizopewa Musa

  • @ernestgervas7021
    @ernestgervas7021 22 วันที่ผ่านมา +3

    Someni maandiko na muombe roho mtakatifu ili awape ufahamu kwani hapa mnadanganywa tu, eti pombe si dhambi manabii wa uongo wapo na wanafanya kazi kubwa mpaka sasa

    • @Ndenza
      @Ndenza 22 วันที่ผ่านมา +2

      Hojà hupingwa na hojà toa maandiko Ili ubatilishe hojà

    • @medeljoram5325
      @medeljoram5325 21 วันที่ผ่านมา +1

      Una maandiko.?😂 soma bible kijana, au divai, mvinyo, unavyo soma kwa Bible unadhan ni togwa? 😂

    • @elimbotoraphael3940
      @elimbotoraphael3940 19 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndiyo hujui maandiko.Biblia inasema msilewe kwan mvinyo lakini haijawahi kubainisha kuwa kunywa ni dhambi

    • @majotv3405
      @majotv3405 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@medeljoram5325hujui bibilia imeandikwa na mwanadamu panya ww amka

  • @Adonkamotci
    @Adonkamotci 22 วันที่ผ่านมา

    Acheni kupo Tosha watu pombe Nizambi Dini zime Retwa lRi kupo Tosha watu sim Naona mazambi yanavo zidi vio ngozi wa Dini Wana Rusu pombe Una juA kinacho muo ngoza mtu sio Dini Ni mungu kuA mini Dini Naku Amini mungu Nivitu Viwili Tofauti watu wengi wapo Upande wa shetani wame poteA Wana wapo Teza Nawe ngine Tamah za pesa maisha mazuli Atoki mtu

  • @silverman6930
    @silverman6930 22 วันที่ผ่านมา +1

    Man talking trash here ..: business man 😂

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 22 วันที่ผ่านมา

    Tupige kilaji tu akuna namna😂😂😂

  • @rennydsollo7791
    @rennydsollo7791 18 วันที่ผ่านมา

    Doctrine...
    Christian Doctrine ndivyo isrmavyo na iaminivyo.
    Hata Mlokole aliye enda School of Bible, atakujibu jinsi Mch. Mzee lusekelo alicho sema au kujibu.
    Azungumzi kwa hulka, Amesoma. Ndoo maana anakwambia siku ya ibada ni Jumamosi, japo yeye huudumia juma Pili.
    Anasimamia Ukweli.
    Doctrine originated From latin Doctor of "Teacher"
    Kama you interested to kno bout what yo beliefs, as Christian. Study It, don' jus feed from yo Faith Elders.

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา

    Warumi 13
    12 Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.
    13 Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.
    14 Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.

  • @TonFashion
    @TonFashion 22 วันที่ผ่านมา

    Tunyweeeeeee

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kanisani wanakunywa pombe wanaita divai na biblia inaruhusu unywe pombe

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 20 วันที่ผ่านมา

    Mm sinywi pombe kwa ridhaa yangu, nimeona haina faida kwangu kiafya, kiuchumi lkn pombe sio kosa wala dhambi mtu akitumia kwa kiasi. Ingekuwa ni kosa hata serikali isingeruhusu kuuzwa kwa raia wake

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 20 วันที่ผ่านมา

    Ukinywa kwa kiasi sio kosa.....shida wanadamu wengi hawana kiasi

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 19 วันที่ผ่านมา

    Wagalatia 5
    19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,
    20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
    21 husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 𝙝𝙖𝙢𝙣𝙖 𝙙𝙞𝙣𝙞 𝙝𝙪𝙢𝙪 𝙨𝙖𝙨𝙖 𝙢𝙡𝙖𝙣𝙜𝙤 𝙬𝙖 𝙨𝙝𝙚𝙩𝙖𝙣𝙞 𝙝𝙖𝙡𝙛𝙪 𝙞𝙨𝙞𝙬𝙚 𝙙𝙝𝙖𝙢𝙗𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙤𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙥𝙞

  • @shaban6644
    @shaban6644 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna vitu vyengine Vipo Wazi, Ushaambiwa ni Kosa na ni mlango wa Shetani, then anasema Sio Dhambi.
    Izo ni Siasa.

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanza hiyo Pete aliyovaa niyandoa kweli

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 21 วันที่ผ่านมา

    Kunywa pombe ni makosa lkn sio dhambi. Basi fafanua, anaongea tu pumba. Mchungaji usikute na yy ni mlevi

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 21 วันที่ผ่านมา

      Yeye mwenyewe anapiga kwelikweli chupa za kutosha hahahahahahahaha humjui huyu mtu

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 20 วันที่ผ่านมา

    Kwani dhambi ni nini?

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz 22 วันที่ผ่านมา

    Isaya 66:16-17
    [16]Kwa maana BWANA atateta na wote wenye mwili, kwa moto na kwa upanga wake; nao watakaouawa na BWANA watakuwa wengi.
    [17]Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 22 วันที่ผ่านมา

      Kanisani mnakunywa divai nyie na Kanisani mnapiga mziki km club

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 20 วันที่ผ่านมา

      Mungu wetu ni Mungu anayeshika maagano. Hilo andiko umetoa ni agano la kale. Ktk agano jipya hakuna chakula najisi. Ukiweza kula hata konokono ruksa

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 20 วันที่ผ่านมา

      @@edwinmbunda6709 mungu yupi maana kwenye biblia kuna mungu mke kuna miungu mingi kwenye biblia

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 22 วันที่ผ่านมา

    Baba levo unaboa,muache mgeni aongee