Much love eshe mimi nimekula kwa Shilole na kwa Eshe .... Ila Eshe anajuwa sana ata mke wangu anapenda chakula cha Eshe na yeye ni mtu wa kuchagua sana mimi nilishangaa
Hii iwafikie shilole na esha nyote nawapenda wazuri nyote mashallah Mungu kawapa mifanano mpk kazi zenu Ila onyo kama waislam wenzangu tumeitwa Uma bora sababu ya kukatazana maovu kumrishana mema kauli ambayo sikuipenda ATA NIKIFA ASIJE MSIBANI N MBAYA SANA MAMA ZANGU SHISHI NA BUETI IYO SIO YA KUTAMKA MUSAMEENE ATAKAMA KILA MTU ATAANGALIA MASIHA YAKE PLZ KUMBUKENI KULU NAFSI IDHAAIKATUL MAUTI
Shilole ni mshari sana na ana wivu sana haswa akiona mwenzake amemzidi mapishi au kuimba, kwasababu hapo zamani alikuwa akimchukia sana Snura, kwasababu alikuwa akiimba na kucheza kuliko yeye Shilole, na ndiyo hapo akaanzisha bifu na Snura na kuanza kumdhalilisha mwenzake mbele za watu wakati yupo jukwaani, Lakini Snura ni mtu mmoja mstaarabu sana na ana hekima na busara hajawahi kubishana na huyo mropokaji Shilole, kwahiyo Shilole aache chuki kwa wenzake akiona wana maendeleo au wamemzidi kitu fulani.
Eshe. Mtu kama ana kiburi dawa yake mkate nyongo akuheshimu. Shilole kapata vidonge vyake. Mkomesheni akome. Uchebe ni mkweli sana. Aloyoyaongea ni ya ukweli. Romy alionewa sana. Shilole mungu hapendi ukibri. Yatampata mambo hakutegemea.
@@AmAl-x9j Shilole kapata kiburi cha kuwalipua watu. Akitoka kwa wanaume zake ana kwenda kumvaa mtu. Mara Eshe, mara AliKiba. Kesho nani atakuwa? Kwanza maneno yake yanatoka yanavyotaka. Yeye Nani amambiye Eshe sio mtanzania. Au anazungumza kwa niyaba ya watanzania. Azungumze yanayomhusu. Pesa zake za madeni halafu anaringa. Mwache Eshe amkomeshe akome kurukiya watu.
Nyie ni kina nani na kisasi Gani ambacho hamuwezi kupatana, kama unasali na hofu ya Mungu Kwa Nini umeyabeba moyoni na unasema hauwezi kupatana? Ni uchu wa masilahi na kujulikana ndio mnataka. Mtaongeana mpaka lini?
Sasa mbona na wewe upo na mwili mkubwa na uzito uliozidi? hata kama yeye Shilole ni mnene zaidi yako,lakini wewe pia una mwili usiofaa kabisa! Kifupi wote muchukue hatua ya kuondoa uzito na manyama!
Acheni ujinga mnajidhalikisha kufanya biashara yakuka sio lazima ujue kupika mnagombania tuzo wewe muongo haiko hivo km huna choyo ungenyamaza ungeongea hayo mengine
Huyu mnafiki kweli tuzo tu anataka kutiawatu ubayani dina kandaa hii anasababu zake unamrejeshamtu nyuma na tuzo haiusiani na upishi upambanaji kuna wapishi wazuri wanapika kweli mnaouka nini nyie biriani vitunguu vimeungua tuzo ilikuwa upambanaji
Much love eshe mimi nimekula kwa Shilole na kwa Eshe .... Ila Eshe anajuwa sana ata mke wangu anapenda chakula cha Eshe na yeye ni mtu wa kuchagua sana mimi nilishangaa
Esha Fundi
Esha anaongea classic kbs❤❤❤
Shishi mkorofi hata kwa snura ilikua ivyo
Hii iwafikie shilole na esha nyote nawapenda wazuri nyote mashallah Mungu kawapa mifanano mpk kazi zenu Ila onyo kama waislam wenzangu tumeitwa Uma bora sababu ya kukatazana maovu kumrishana mema kauli ambayo sikuipenda ATA NIKIFA ASIJE MSIBANI N MBAYA SANA MAMA ZANGU SHISHI NA BUETI IYO SIO YA KUTAMKA MUSAMEENE ATAKAMA KILA MTU ATAANGALIA MASIHA YAKE PLZ KUMBUKENI KULU NAFSI IDHAAIKATUL MAUTI
Sister wangu moyo mweupe sana #shombe
Namkubali sanaaa sanaaa da Esha much love to you
Ww dada eshe anajua kupika nyinyi JAMANI
Nakupenda sana eshe achana na Hao watu wanakuharibia endelea kukaa kimnya dada mkubwa allah atakujali❤❤❤
Wajukuu wa mtume Allah ndie kinga tu nimeipenda hio Esha😊😊😊
Esha ww mpishi mzuri sana acha plesha
Shilole ni mshari sana na ana wivu sana haswa akiona mwenzake amemzidi mapishi au kuimba, kwasababu hapo zamani alikuwa akimchukia sana Snura, kwasababu alikuwa akiimba na kucheza kuliko yeye Shilole, na ndiyo hapo akaanzisha bifu na Snura na kuanza kumdhalilisha mwenzake mbele za watu wakati yupo jukwaani, Lakini Snura ni mtu mmoja mstaarabu sana na ana hekima na busara hajawahi kubishana na huyo mropokaji Shilole, kwahiyo Shilole aache chuki kwa wenzake akiona wana maendeleo au wamemzidi kitu fulani.
Esha bwana m nakupenda ivoivo,ila si umesema we mtu akikuletea maneno unamtaja haya tutajie huyo alokutumia izo message😅😅😅😅m nakupenda buanah
Esha uko vizuri nakupenda mabishi yako yanajitosheleza
😂😂😂😂😂dah eti kata kona anadondoka 😅😅😅dah sema wew na shishi ,mnene shishi😅😅
Esha upo jjuuu
😂😂😂 esha bwana eti siyo mdogo yule ni mkubwa anajidogosha 😂
Shilole ni mshari sana
Bzuhet
❤❤❤❤❤❤superstar wa kupika
Dada kibonge kayakanyaga
Re fresh ❤❤
Una akili sana Esha.Tena una ustaarabu,Shishi Mshari sana
Huna baya jiran yangu ,nakukubali
Nanyinyi mamedia hapo mmefurahiya sana natena njomunazidi kuchochoya chocheya .tangiya mlianza kuchikonowa chokonowa simuishiye hapo . Ila kitu nilipenda Esha anaongeya kwaustarabu. Shishi anaongeya kavile anataka kupigana 😀😀
Buana tunapenda😂😂
jamani shishi mkorofi sana.hata Snura ilikuwa hivyo
Yeah chakula cha changa kama lote 😂
Safi kabisa
Esha kipenzi acha iende mdogo wangu kimya pia ni jibu mshukuru Mungu kwa unachokipata watunze wateja wako wasiondoke
Huna baya jirani yangu uko vizur
Na sura mnafanana
Kaeni mezani muyamalize mshakua watu wazima mnawayumbisha wateja wenu pia acheni kutoleana siri
Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia
Amekujaribu shishi ndomaana alijuaje unapaa kama hajakujaribu
Harafu Eshe humfikii shishi kimaendeleo,so piga kaz usonge mbele acha kuongea sanaaaaaaaa
Maendeleo hayo kwiyoo! Dunian kusukumana unyonge kaburin
Ana jidogosha🤣
Dimond ndio huwaga anakataa tuzo za nyumban hazina vgezo wanapeyana tu
Ila Esha na wewe kwa nini usifanye yameisha kama mtu kakuibia hiyo siri basi shukuru Mungu yamepita 😮😮 fanya tuu biashara yako
Eshaa punguza mdomooo
Wivu eti sina watu wakubwa Hahahah
Amekwambia wivu msyuuu kwendraaa
Ila wewe dada nimuuaji
Alikuulia nani wako?
Muuaji in positive way sio negative😂😂
Eshe. Mtu kama ana kiburi dawa yake mkate nyongo akuheshimu. Shilole kapata vidonge vyake. Mkomesheni akome. Uchebe ni mkweli sana. Aloyoyaongea ni ya ukweli. Romy alionewa sana. Shilole mungu hapendi ukibri. Yatampata mambo hakutegemea.
Mwachen shishi na life yake nyie nao fanyeni yenu
@@AmAl-x9j Shilole kapata kiburi cha kuwalipua watu. Akitoka kwa wanaume zake ana kwenda kumvaa mtu. Mara Eshe, mara AliKiba. Kesho nani atakuwa? Kwanza maneno yake yanatoka yanavyotaka. Yeye Nani amambiye Eshe sio mtanzania. Au anazungumza kwa niyaba ya watanzania. Azungumze yanayomhusu. Pesa zake za madeni halafu anaringa. Mwache Eshe amkomeshe akome kurukiya watu.
Nyie ni kina nani na kisasi Gani ambacho hamuwezi kupatana, kama unasali na hofu ya Mungu Kwa Nini umeyabeba moyoni na unasema hauwezi kupatana? Ni uchu wa masilahi na kujulikana ndio mnataka. Mtaongeana mpaka lini?
Harafu mmeshakua watu wazima acheni utto nyie
Sasa mbona na wewe upo na mwili mkubwa na uzito uliozidi? hata kama yeye Shilole ni mnene zaidi yako,lakini wewe pia una mwili usiofaa kabisa! Kifupi wote muchukue hatua ya kuondoa uzito na manyama!
Kafue nguo hiyooo kila int
Si ni siku moja walimuhoj
Kafue na wewe msyu
Huyu dada hana akili timamu seriously
Kama wewe
Kweli me namwona mjinga sjui why?
Mjina kama nyie wote
Acheni ujinga mnajidhalikisha kufanya biashara yakuka sio lazima ujue kupika mnagombania tuzo wewe muongo haiko hivo km huna choyo ungenyamaza ungeongea hayo mengine
Chuki tu hana lokote waoiga kura gani hicho ndo kinekuuma
Wewe nimugombanishi ulikua wapi kusema zaman unazan watu unaowaingiza humo mabif yaliyopita unawaleta kwenyemabifu yasasa siyokama wanapenda hawapendi
Eshaw uko na chuki binaonekana
Sio kweli
Kwanza esha hatukuji wewe tunamjua shishi tumekujua kuhus hii ya tuzo
Huyu mnafiki kweli tuzo tu anataka kutiawatu ubayani dina kandaa hii anasababu zake unamrejeshamtu nyuma na tuzo haiusiani na upishi upambanaji kuna wapishi wazuri wanapika kweli mnaouka nini nyie biriani vitunguu vimeungua tuzo ilikuwa upambanaji
Kaa kimya wewe
Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia
WakishaziChapa wewe inakusaidia nini
Inanisaidia kutoona habari zao tena baada kutia adabu@@ZamoyoniIddy