JOEL NANAUKA: HUWEZI KUTENGENEZA FEDHA KWA BAHATI | KAMA HUNA NIDHAMU PESA INAKUKIMBIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 33

  • @yonawinga9971
    @yonawinga9971 8 หลายเดือนก่อน +28

    Huyu jamaaa mungu amlinde amebadi jina langu toka kuuza korosho barabarani mpaka sasa China kamanyumbani huyu nimkweliii......

    • @Bridge2024
      @Bridge2024 7 หลายเดือนก่อน +4

      Blessings

    • @tfashy_hub9156
      @tfashy_hub9156 6 หลายเดือนก่อน

      Yani Kama mm ananisaidia kijiona togauti kila siku. Nilikuwa nafanya kazi zangu mradi nimefanya. Nimevadilika Kabisa

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 7 หลายเดือนก่อน +6

    Mwandishi anauliza maswali ya Point sana

  • @simonngailo277
    @simonngailo277 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hela tunapata ila kuweka bajeti nd hamna somo Zur San umeeleweka mwalim

  • @enocmsafi2023
    @enocmsafi2023 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mtangazaji ametisha sana best questions and best answers

  • @Chalambosheby
    @Chalambosheby 8 หลายเดือนก่อน +2

    Najifunza mengi kwakusoma nakukusikiliza nannaelekea kwenye vitendo MUNGU AKUBARIKI KAKA

  • @BetshebaLijahe
    @BetshebaLijahe 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu azidi kukutunza mwalimu wangu make bado nakuhitaji ili kufikia mafanikio ninayoyahitaji

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mtangazani nakupa credit. Kubwaa. Unahoji maswali ya msingi. Sanaaa. Uko vizuri sanaaaa

  • @leoncealex7343
    @leoncealex7343 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi wa Habari, Journalism umeisoma vizuri !! Na hii secta inakufahaa

  • @WitnessPeter-o3g
    @WitnessPeter-o3g 6 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sanaa

  • @leoncealex7343
    @leoncealex7343 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nyote mpo makini , interviewer na interviewee. Good

  • @daviderinest
    @daviderinest 7 หลายเดือนก่อน +1

    hongera joel kwa maarifa yako
    ❤😂😂😂

  • @PendoDominic-w6j
    @PendoDominic-w6j 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka joel vitabu vyako kwa shinyanga vinapatikana wapi

  • @joellymballawah8188
    @joellymballawah8188 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huwa si comment ilaw huyu presenter yuko smart in asking questions I salute him

  • @SinyatiSimon
    @SinyatiSimon 6 หลายเดือนก่อน

    Sorry kaka nahitaji vitabu vyako

  • @SimonNgweta
    @SimonNgweta 3 หลายเดือนก่อน

    Use na maisha marefu Kwa elimu

  • @MsafiriSamson
    @MsafiriSamson 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo sawa mwalimu

  • @JuliusNtadu9
    @JuliusNtadu9 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka mungu akubariki San maan me nilikuwa sijui sahv Kuna kitu umenifundisha nimeelew San as daaa Asante bro

  • @Kalengashoppingcenter-y1o
    @Kalengashoppingcenter-y1o 8 หลายเดือนก่อน +5

    Namfatilia sana huyu big,, nimeacha pombe kwa mda mrefu sasa na hiya pesa ya pombe nimefungua Zd pesa kububu kwa ajiri ya kukuza mtaji wangu hapo baadae kidogo

  • @wisemasanga3157
    @wisemasanga3157 5 หลายเดือนก่อน

    Nikajua ni mimi peke yangu nimeona uwezo wa mwandishi.Big up Bro..Asante Joel Pia unatusaidia sana Vijana tunaokufuatilia.

  • @zakayodismas251
    @zakayodismas251 8 หลายเดือนก่อน +1

    Big brother unani inspire saana keep up sanaaa

  • @chrispinkimaro1130
    @chrispinkimaro1130 7 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @HatibuChande
    @HatibuChande 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie maarifa mengi

  • @zabronmarco1430
    @zabronmarco1430 8 หลายเดือนก่อน +1

    💯💯

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera mwalimu

  • @breakthroughfx
    @breakthroughfx 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu jmaa ana Mungu

  • @FarijaniBakari
    @FarijaniBakari 8 หลายเดือนก่อน

    Kwel kaka umeongea vitu vizuri sana

  • @prasdiusntagolekwa8895
    @prasdiusntagolekwa8895 8 หลายเดือนก่อน

    Naitwa prasdius na shida ya kitabu

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 7 หลายเดือนก่อน

    NI SAHIHI KABISA

  • @NESTATEWELE-bc3pi
    @NESTATEWELE-bc3pi 7 หลายเดือนก่อน

    God bless you my teacher 🙏

  • @EricaVenance-uw8kv
    @EricaVenance-uw8kv 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaká mungu azidi kukupa umri mlefu usaidie vizazi na vizazi umenifundisha nidhamu yapesa mpakaleo nimepata pesa yakiwanja haikuwa lahisi kwangu nashikuru mungusana .