ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Huyu jamaaa mungu amlinde amebadi jina langu toka kuuza korosho barabarani mpaka sasa China kamanyumbani huyu nimkweliii......
Blessings
Yani Kama mm ananisaidia kijiona togauti kila siku. Nilikuwa nafanya kazi zangu mradi nimefanya. Nimevadilika Kabisa
Mwandishi anauliza maswali ya Point sana
Hela tunapata ila kuweka bajeti nd hamna somo Zur San umeeleweka mwalim
Mtangazaji ametisha sana best questions and best answers
Najifunza mengi kwakusoma nakukusikiliza nannaelekea kwenye vitendo MUNGU AKUBARIKI KAKA
Mungu azidi kukutunza mwalimu wangu make bado nakuhitaji ili kufikia mafanikio ninayoyahitaji
Mtangazani nakupa credit. Kubwaa. Unahoji maswali ya msingi. Sanaaa. Uko vizuri sanaaaa
Good
Mwandishi wa Habari, Journalism umeisoma vizuri !! Na hii secta inakufahaa
Barikiwa sanaa
Nyote mpo makini , interviewer na interviewee. Good
hongera joel kwa maarifa yako❤😂😂😂
Kaka joel vitabu vyako kwa shinyanga vinapatikana wapi
Huwa si comment ilaw huyu presenter yuko smart in asking questions I salute him
Sorry kaka nahitaji vitabu vyako
Use na maisha marefu Kwa elimu
Hapo sawa mwalimu
Kaka mungu akubariki San maan me nilikuwa sijui sahv Kuna kitu umenifundisha nimeelew San as daaa Asante bro
Namfatilia sana huyu big,, nimeacha pombe kwa mda mrefu sasa na hiya pesa ya pombe nimefungua Zd pesa kububu kwa ajiri ya kukuza mtaji wangu hapo baadae kidogo
Nikajua ni mimi peke yangu nimeona uwezo wa mwandishi.Big up Bro..Asante Joel Pia unatusaidia sana Vijana tunaokufuatilia.
Big brother unani inspire saana keep up sanaaa
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu akuzidishie maarifa mengi
💯💯
Hongera mwalimu
Huyu jmaa ana Mungu
Kwel kaka umeongea vitu vizuri sana
Naitwa prasdius na shida ya kitabu
NI SAHIHI KABISA
God bless you my teacher 🙏
Kaká mungu azidi kukupa umri mlefu usaidie vizazi na vizazi umenifundisha nidhamu yapesa mpakaleo nimepata pesa yakiwanja haikuwa lahisi kwangu nashikuru mungusana .
Huyu jamaaa mungu amlinde amebadi jina langu toka kuuza korosho barabarani mpaka sasa China kamanyumbani huyu nimkweliii......
Blessings
Yani Kama mm ananisaidia kijiona togauti kila siku. Nilikuwa nafanya kazi zangu mradi nimefanya. Nimevadilika Kabisa
Mwandishi anauliza maswali ya Point sana
Hela tunapata ila kuweka bajeti nd hamna somo Zur San umeeleweka mwalim
Mtangazaji ametisha sana best questions and best answers
Najifunza mengi kwakusoma nakukusikiliza nannaelekea kwenye vitendo MUNGU AKUBARIKI KAKA
Mungu azidi kukutunza mwalimu wangu make bado nakuhitaji ili kufikia mafanikio ninayoyahitaji
Mtangazani nakupa credit. Kubwaa. Unahoji maswali ya msingi. Sanaaa. Uko vizuri sanaaaa
Good
Mwandishi wa Habari, Journalism umeisoma vizuri !! Na hii secta inakufahaa
Barikiwa sanaa
Nyote mpo makini , interviewer na interviewee. Good
hongera joel kwa maarifa yako
❤😂😂😂
Kaka joel vitabu vyako kwa shinyanga vinapatikana wapi
Huwa si comment ilaw huyu presenter yuko smart in asking questions I salute him
Sorry kaka nahitaji vitabu vyako
Use na maisha marefu Kwa elimu
Hapo sawa mwalimu
Kaka mungu akubariki San maan me nilikuwa sijui sahv Kuna kitu umenifundisha nimeelew San as daaa Asante bro
Namfatilia sana huyu big,, nimeacha pombe kwa mda mrefu sasa na hiya pesa ya pombe nimefungua Zd pesa kububu kwa ajiri ya kukuza mtaji wangu hapo baadae kidogo
Nikajua ni mimi peke yangu nimeona uwezo wa mwandishi.Big up Bro..Asante Joel Pia unatusaidia sana Vijana tunaokufuatilia.
Big brother unani inspire saana keep up sanaaa
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu akuzidishie maarifa mengi
💯💯
Hongera mwalimu
Huyu jmaa ana Mungu
Kwel kaka umeongea vitu vizuri sana
Naitwa prasdius na shida ya kitabu
NI SAHIHI KABISA
God bless you my teacher 🙏
Kaká mungu azidi kukupa umri mlefu usaidie vizazi na vizazi umenifundisha nidhamu yapesa mpakaleo nimepata pesa yakiwanja haikuwa lahisi kwangu nashikuru mungusana .