Mwalimu wa kweli kabisa.Upo duniani kwaajili yetu.Napenda sana mafundisho yako kwani ubongo wako ni kubwa mnooo.The happiest person is that who do things for others.Ubarikiwe sana Joe👍🏻👍🏻👍🏻.
Samahan kaka naomba msaada wako Mimi ni meneja wa bar nimeanza kazi hii nikiwa Sina uzoefu nayo lakin nikajitaidi kwasababu nilikua nashida Sana nakaz pia nilikua nataman Sana kufikia Zaid yamalengo ya ofisi nikakabiziwa mzigo wa laki tano ta 2300, baada yamiez 4 nikaanza kushuka wateja weng vinywaj vinadoka sana ila pesa haionekani nauz at cret 7 ila mda wakufunga ofis nafanya esabu nakuta pesa iliopo niyakret 2 tu nikaogopa kutoa taalifa nikaona kwanza niilipe hio pesa iliopotea ili nifatilie nijue nn tatzo baada yahapo nikajua niushilikina ambao boss wangu anaugomvi namt yule Mt ndio anafanya yote hayo yakupotea pesa huyo Bibi aliniita akaniambia niache kufatilia vitu vusivyonihusu nikamshilikisha boss ili afanye kitu akasema atafanya ila hakufanya nimeshuka kimauzo nakubaki mzigo wa laki na nusu tu boss kasema nilipe hio pesa iliopotea mwezi huu kagoma kunipa mshahara nimeongea nae nakumuelewesha ila kagoma japo kasema atalifanyia kaz lakupotea pesa ila pesa iliopotea lazma niilipe Mimi yote nimeshawaza Sana nimeshindwa nifanye Nini maan sihusiki nayeye anajua hiko kitu
🎉🎉🎉🎉 nakubali sana joel
Nikwli kaka watu wengi wako hivyo Mimi nimeteseka sana ,Mungu akubari kwa elimu unayotupa.
Mwalimu wa kweli kabisa.Upo duniani kwaajili yetu.Napenda sana mafundisho yako kwani ubongo wako ni kubwa mnooo.The happiest person is that who do things for others.Ubarikiwe sana Joe👍🏻👍🏻👍🏻.
Hakika kweli kabisa Coach life
Asante kaka umenifanya nijitambue mungu akubariki sana
Ahsanteh kaka joel kwa mafunzo unayoendelea kunipa naendelea kuyatumia maarifa yako 🎉
I appreciate your presentation.
God bless you abundantly!
Yes
Mtumishi sjawah kutoka moyon kumwelewa mtumishi wa Mungu kama wewe ukwel wewe ni mwalimu nimekuskiliza, ninakuelewa sana Mungu akubariki nipo mwanza
Ubarikiwe Kaka ujumbe mzurii umenifungua
Asantesana mwalimu umenibaliki
Kwasomo zuri sana God bless you
Nakukubal sana mzee mungu ata kulipa
Mungu akubariki sana mtumishi Amen and Amen
Big up mwalimu una content me nafurahi sana kukusikiliza
Ur such a genius brother...
Thank you very much for this
Good job!
MaashaAllah nashukuru sana
I'm proud of your lectures 😊
Thanks alot brother...
God bless you...!
Ubarikiwe sana kaka
Huwezi kuchagua soda😂. Big up brother. We are together Sir
Nashukuru umeniponya
Nice having u!
Really said brother
Barikiwa sana
Axante mungu akulinde
You play a great role to me
Unapendeza kwa mafundisho
God bless you joel Nanauka
Mwalimi kwakweli hapo kwasoda yani pameninghusa sana.ilanimelipendha sana funzo hili limeninghusa sana
Exactly
mungu akubariki sana
Joel,Joel leo umenisema nakushkr sana Mungu akulinde uendelee kunisema ahsante
Asante sana umenisaidia
Sawasawa
Mimi niko Congo na furaia mafundisho sana yesu aku bariki
Tujuane bc
Kabisa
Kweli kabisa wengi wetu tunashindwa kufanya maamuzi🎉🎉
🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli shukran
Uko sahh
Amin
Hapo kwenye cheat day ya diet. Dah! Ni kweli nilikwishaaaa
Good advice.
Jaman me nan biashar ya dagaa nyama npatkan dar es salaam mbagala nauz jumla nfnya derivary kam unawtka nifhamishe tfdhal
Very nice story.
Asante kaka
Amen
Kaka niyo kweli kabisa
Ukweli mtupuu 😢😢
Asante sana🙏
Samahan kaka naomba msaada wako Mimi ni meneja wa bar nimeanza kazi hii nikiwa Sina uzoefu nayo lakin nikajitaidi kwasababu nilikua nashida Sana nakaz pia nilikua nataman Sana kufikia Zaid yamalengo ya ofisi nikakabiziwa mzigo wa laki tano ta 2300, baada yamiez 4 nikaanza kushuka wateja weng vinywaj vinadoka sana ila pesa haionekani nauz at cret 7 ila mda wakufunga ofis nafanya esabu nakuta pesa iliopo niyakret 2 tu nikaogopa kutoa taalifa nikaona kwanza niilipe hio pesa iliopotea ili nifatilie nijue nn tatzo baada yahapo nikajua niushilikina ambao boss wangu anaugomvi namt yule Mt ndio anafanya yote hayo yakupotea pesa huyo Bibi aliniita akaniambia niache kufatilia vitu vusivyonihusu nikamshilikisha boss ili afanye kitu akasema atafanya ila hakufanya nimeshuka kimauzo nakubaki mzigo wa laki na nusu tu boss kasema nilipe hio pesa iliopotea mwezi huu kagoma kunipa mshahara nimeongea nae nakumuelewesha ila kagoma japo kasema atalifanyia kaz lakupotea pesa ila pesa iliopotea lazma niilipe Mimi yote nimeshawaza Sana nimeshindwa nifanye Nini maan sihusiki nayeye anajua hiko kitu
👏👏👏
🙏🙏
Umeniongezea kitu.
Nimejifunza kitu
Truly
Kweli
❤
🙏🙏🙏🙏
Bro naomba uniunge kweny magroup yako
👊
Naona mwanga kak tokea nimeanza kuku skia na yote niliyo yaskia kwak k
Yamesha nitoa hatua moja naeleke
A hatua nyingine
fact
😢😢 so touching 😔😔😔
Hapo ni wafanyakazi wanao jiendeleza kwa ajili ya kazi na baada ya hapo tukistafu mambo yanakuwa mengi
Samahani sir vp Kwa yule anayefanya kazi ili alipe fees I mean ni mwanafunzi.
nakushukuru sanaa
Ok
Mume wangu amekua akinirudisha nyuma kila wakatia unafanyaje na ndio mume
Fanya maamuz magum utanishukuru❤
Ongea naye japo kabla ya maongezi Fanya naye sala then atakuelewa tu
Kweli