Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มี.ค. 2024
  • .
    #joelnanauka #mafanikio #malengo #focus #newsupdate #inspiration
    #motivation #swahili

ความคิดเห็น • 75

  • @JastinSichilamba
    @JastinSichilamba หลายเดือนก่อน +3

    🎉🎉🎉🎉 nakubali sana joel

  • @judithsilayo9776
    @judithsilayo9776 23 วันที่ผ่านมา +1

    Nikwli kaka watu wengi wako hivyo Mimi nimeteseka sana ,Mungu akubari kwa elimu unayotupa.

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mwalimu wa kweli kabisa.Upo duniani kwaajili yetu.Napenda sana mafundisho yako kwani ubongo wako ni kubwa mnooo.The happiest person is that who do things for others.Ubarikiwe sana Joe👍🏻👍🏻👍🏻.

  • @EMANUELMWAKITINYA-vr4ge
    @EMANUELMWAKITINYA-vr4ge 5 วันที่ผ่านมา

    Hakika kweli kabisa Coach life

  • @DianaMwacha
    @DianaMwacha 3 หลายเดือนก่อน +5

    Asante kaka umenifanya nijitambue mungu akubariki sana

  • @ISDORICHAVALA
    @ISDORICHAVALA หลายเดือนก่อน +1

    Ahsanteh kaka joel kwa mafunzo unayoendelea kunipa naendelea kuyatumia maarifa yako 🎉

  • @eselinabibuka9610
    @eselinabibuka9610 2 หลายเดือนก่อน +3

    I appreciate your presentation.
    God bless you abundantly!

  • @GeorgeMakanza
    @GeorgeMakanza หลายเดือนก่อน

    Mtumishi sjawah kutoka moyon kumwelewa mtumishi wa Mungu kama wewe ukwel wewe ni mwalimu nimekuskiliza, ninakuelewa sana Mungu akubariki nipo mwanza

  • @mwambasaguda9655
    @mwambasaguda9655 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ubarikiwe Kaka ujumbe mzurii umenifungua

  • @FikiriPhilipo
    @FikiriPhilipo 2 หลายเดือนก่อน

    Asantesana mwalimu umenibaliki
    Kwasomo zuri sana God bless you

  • @RaikoWkt
    @RaikoWkt หลายเดือนก่อน

    Nakukubal sana mzee mungu ata kulipa

  • @christinechambuni9060
    @christinechambuni9060 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana mtumishi Amen and Amen

  • @LengishonMepukori
    @LengishonMepukori 2 หลายเดือนก่อน

    Big up mwalimu una content me nafurahi sana kukusikiliza

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 2 หลายเดือนก่อน

    Ur such a genius brother...

  • @hafidhhamad5732
    @hafidhhamad5732 หลายเดือนก่อน

    Thank you very much for this

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im 3 หลายเดือนก่อน +1

    Good job!

  • @user-ue3uu1eh8n
    @user-ue3uu1eh8n 3 หลายเดือนก่อน

    MaashaAllah nashukuru sana

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 3 หลายเดือนก่อน

    I'm proud of your lectures 😊

  • @user-ih1ib9kc5j
    @user-ih1ib9kc5j 3 หลายเดือนก่อน

    Thanks alot brother...
    God bless you...!

  • @user-xz9wx8hq7e
    @user-xz9wx8hq7e หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana kaka

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 3 หลายเดือนก่อน

    Huwezi kuchagua soda😂. Big up brother. We are together Sir

  • @naomisiha4919
    @naomisiha4919 3 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru umeniponya

  • @salhakyande3905
    @salhakyande3905 หลายเดือนก่อน

    Nice having u!

  • @user-zl2cp8ws8r
    @user-zl2cp8ws8r 3 หลายเดือนก่อน

    Really said brother

  • @julioclauditayaye9368
    @julioclauditayaye9368 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana

  • @user-qu6gp6zx3l
    @user-qu6gp6zx3l 3 หลายเดือนก่อน

    Axante mungu akulinde

  • @fadhilimwamgiga2614
    @fadhilimwamgiga2614 2 หลายเดือนก่อน

    You play a great role to me

  • @victormusoga4136
    @victormusoga4136 หลายเดือนก่อน

    Unapendeza kwa mafundisho

  • @stanleytoo2028
    @stanleytoo2028 3 หลายเดือนก่อน

    God bless you joel Nanauka

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimi kwakweli hapo kwasoda yani pameninghusa sana.ilanimelipendha sana funzo hili limeninghusa sana

  • @anatoryjames4128
    @anatoryjames4128 23 วันที่ผ่านมา

    Exactly

  • @AwidiMwafongo
    @AwidiMwafongo หลายเดือนก่อน

    mungu akubariki sana

  • @leonidaskalumuna
    @leonidaskalumuna 2 หลายเดือนก่อน

    Joel,Joel leo umenisema nakushkr sana Mungu akulinde uendelee kunisema ahsante

  • @lilianmjema3205
    @lilianmjema3205 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana umenisaidia

  • @user-ih4mp1ds8k
    @user-ih4mp1ds8k 25 วันที่ผ่านมา

    Sawasawa

  • @HenryAlinda
    @HenryAlinda 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi niko Congo na furaia mafundisho sana yesu aku bariki

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 หลายเดือนก่อน

    Kabisa

  • @sammwakalinga2705
    @sammwakalinga2705 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa wengi wetu tunashindwa kufanya maamuzi🎉🎉

  • @bonnyjessy9657
    @bonnyjessy9657 3 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli shukran

  • @user-qn3jg1um7f
    @user-qn3jg1um7f 3 หลายเดือนก่อน

    Uko sahh

  • @MbarakaMasharubu
    @MbarakaMasharubu 3 หลายเดือนก่อน

    Amin

  • @KukuVillage
    @KukuVillage 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye cheat day ya diet. Dah! Ni kweli nilikwishaaaa

  • @user-dr1qd7bu7e
    @user-dr1qd7bu7e 2 หลายเดือนก่อน

    Good advice.

  • @DuraMuhenga
    @DuraMuhenga หลายเดือนก่อน

    Jaman me nan biashar ya dagaa nyama npatkan dar es salaam mbagala nauz jumla nfnya derivary kam unawtka nifhamishe tfdhal

  • @AthanasioDungumaro-rj4bc
    @AthanasioDungumaro-rj4bc 2 หลายเดือนก่อน

    Very nice story.

  • @EdmundAssenga
    @EdmundAssenga หลายเดือนก่อน

    Asante kaka

  • @TinaKisomba-jt6yr
    @TinaKisomba-jt6yr 3 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @user-su8po8yr4m
    @user-su8po8yr4m 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka niyo kweli kabisa

  • @ApostleMwl.IsayaIaiser
    @ApostleMwl.IsayaIaiser 3 หลายเดือนก่อน

    Ukweli mtupuu 😢😢

  • @user-xv6lq2st1p
    @user-xv6lq2st1p 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana🙏

  • @yusuphsteven260
    @yusuphsteven260 28 วันที่ผ่านมา

    Samahan kaka naomba msaada wako Mimi ni meneja wa bar nimeanza kazi hii nikiwa Sina uzoefu nayo lakin nikajitaidi kwasababu nilikua nashida Sana nakaz pia nilikua nataman Sana kufikia Zaid yamalengo ya ofisi nikakabiziwa mzigo wa laki tano ta 2300, baada yamiez 4 nikaanza kushuka wateja weng vinywaj vinadoka sana ila pesa haionekani nauz at cret 7 ila mda wakufunga ofis nafanya esabu nakuta pesa iliopo niyakret 2 tu nikaogopa kutoa taalifa nikaona kwanza niilipe hio pesa iliopotea ili nifatilie nijue nn tatzo baada yahapo nikajua niushilikina ambao boss wangu anaugomvi namt yule Mt ndio anafanya yote hayo yakupotea pesa huyo Bibi aliniita akaniambia niache kufatilia vitu vusivyonihusu nikamshilikisha boss ili afanye kitu akasema atafanya ila hakufanya nimeshuka kimauzo nakubaki mzigo wa laki na nusu tu boss kasema nilipe hio pesa iliopotea mwezi huu kagoma kunipa mshahara nimeongea nae nakumuelewesha ila kagoma japo kasema atalifanyia kaz lakupotea pesa ila pesa iliopotea lazma niilipe Mimi yote nimeshawaza Sana nimeshindwa nifanye Nini maan sihusiki nayeye anajua hiko kitu

  • @daynessmarcel958
    @daynessmarcel958 2 หลายเดือนก่อน

    👏👏👏

  • @realemma2312
    @realemma2312 3 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏

  • @suleimanhakimu2543
    @suleimanhakimu2543 2 หลายเดือนก่อน

    Umeniongezea kitu.

  • @MapesamsodokiJr
    @MapesamsodokiJr หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza kitu

  • @bettymvanga3273
    @bettymvanga3273 2 หลายเดือนก่อน

    Truly

  • @lilianmjema3205
    @lilianmjema3205 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @HappynessKinawa-ol4qr
    @HappynessKinawa-ol4qr 2 หลายเดือนก่อน

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 2 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏

  • @godibless3700
    @godibless3700 2 หลายเดือนก่อน

    Bro naomba uniunge kweny magroup yako

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis8495 2 หลายเดือนก่อน

    👊

  • @daudymbukwa5495
    @daudymbukwa5495 3 หลายเดือนก่อน

    Naona mwanga kak tokea nimeanza kuku skia na yote niliyo yaskia kwak k
    Yamesha nitoa hatua moja naeleke
    A hatua nyingine

  • @BalekeleBanga
    @BalekeleBanga 2 หลายเดือนก่อน

    fact

  • @bonnyjessy9657
    @bonnyjessy9657 3 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢 so touching 😔😔😔

  • @mojafaster96
    @mojafaster96 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo ni wafanyakazi wanao jiendeleza kwa ajili ya kazi na baada ya hapo tukistafu mambo yanakuwa mengi

  • @BapileMeshack
    @BapileMeshack 19 วันที่ผ่านมา

    Samahani sir vp Kwa yule anayefanya kazi ili alipe fees I mean ni mwanafunzi.

  • @harunaselupanga2146
    @harunaselupanga2146 2 หลายเดือนก่อน

    nakushukuru sanaa

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 3 หลายเดือนก่อน

    Ok

  • @evamarua4998
    @evamarua4998 2 หลายเดือนก่อน

    Mume wangu amekua akinirudisha nyuma kila wakatia unafanyaje na ndio mume

    • @mwajumayunus2041
      @mwajumayunus2041 2 หลายเดือนก่อน

      Fanya maamuz magum utanishukuru❤

    • @elisannko5892
      @elisannko5892 29 วันที่ผ่านมา

      Ongea naye japo kabla ya maongezi Fanya naye sala then atakuelewa tu

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli