MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ค. 2021
- Mafanikio, kwako wewe yana maana gani? Kila mmoja ana maana yake ya mafanikio wengine Furaha, Amani, uhuru, wengine pesa umaarufu, majumba, magari. So inategemee how you define success on your terms. Ukijua maana ya mafanikio kwako basi ni muhimu sana kujua pia mambo ambayo yanaweza kukuzuia wewe kufikia mafanikio unayotaka katika maisha.Mambo 8 ya kuacha ili ufanikiwe katika maisha.Najua kila mtu ana ndoto ya kufanikiwa siku moja. Lakini haiwezi kutokea tu naturally mafanikio yakaja bila wewe kuandaa msingi wake mzuri. Mafanikio yanajengwa na msingi wa tabia fulani zenye muendelezo na pia kuna tabia fulani ukiwa nazo basi kamwe huwezi pata mafanikio. Fuatilia mambo 6 ya kuacha ili ufanikiwe"
Karibu tujifunze mambo saba (6) leo unayotakiwa kuyaacha kabisa kama lengo ni kufanikiwa.
🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa/
🔴 SUBSCRIBE MY CHANNEL👉 / gonlineposi. .
Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi.
🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385 ............................................................................................................................ Pakua Tubebuddy na install Kwenye computer yako au kwenye simu zote Android au iOS na iPad pia ambayo itakusaidia
1.Kurank videos zako
2.Itakuonesha Live subscribers count
3.Itakuonesha Milestones za channel yako na mengi,
4.Kupata Keyword explorer, download sasa
🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
⚡SABABU 6 KWANINI KUFELI NI VIZURI KWA MAFANIKIO YAKO 👉 • SABABU 6 KWANINI KUFEL...
⚡ TATIZO LANGU NI AIBU NASHINDWA KUKUTANA NA KUCHANGAMANA NA WATU (SOCIAL ANXIETY)| Zahir Gomelo 👉 • TATIZO LANGU NI AIBU N...
⚡Kila Kijana Anatakiwa KUSIKIA Hii/CHAGUA MARAFIKI SAHIHI KATIKA MAISHA 👉 • Kila Kijana Anatakiwa ...
⚡TABIA 3 ZA MAFANIKIO ZA KUWA NAZO: Ili ufanikiwe katika malengo na ndoto zako mwaka 2020 👉 • TABIA 3 ZA MAFANIKIO Z...
⚡KANUNI 4 ZA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA 2020 : Nilizojifunza kutoka kwa JACK MA 👉 / 4vinlngo3q
⚡TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine)👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
⚡SIRI 5 ZA MAFANIKIO KWA MAISHA BINAFSI, BIASHARA (Funguo za mafanikio katika maisha.)👉 • SIRI 5 ZA MAFANIKIO KW...
⚡ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZO ZITAKUONESHA KUWA HAUPO TAYARI KUANZISHA BIASHARA KWA MUDA HUU👉 • ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZ...
⚡GUNDUA KUSUDIO LAKO KATIKA VIDEO HII YA DAKIKA 4/ How to find your PURPOSE Under 4 Minutes 👉 • GUNDUA KUSUDIO LAKO KA...
⚡HATUA 5 ZA KUUSHINDA UOGA WA MAFANIKIO/ 5 STEPS HOW TO OVERCOME FEAR OF SUCCESS👉 • HATUA 5 ZA KUUSHINDA ...
⚡JINSI NINAVYOSAVE 50% YA KIPATO CHANGU- Tips 6 za kusave pesa ambazo zitakuza kipato chako👉 • JINSI NINAVYOSAVE 50% ...
#Mamb6 #Mafanikio #Zahirgomelo
Uko vizuri sana, ndo manbo tunayotaka hayo.
Asante sana kwa somo zuri mkuu, barikiwa sana.
nimependezwa na ujumbe wako
Hongera sana kwa SoMo zuri🪛🪚🔧🔧🔨⚒️🛠️⚒️🪝🪓🧲🪝🪜🪜💊🔭
Asante sana kwa mafunzo yako Umenipa kitu Hakilin mwangu
Thanks for the lesson babaa
Ubarikiwe kwa elimu nzuri.
Nikweli kabisa😅🎉❤
Asanteee San bro🎉
Minafurahiya onyo mbali mbali kutoka kwa wangu wangu.imenisadiya kimaisha.
Asante sana nimeipenda sana
Nimependa sana
Good
Asnteee sana sanaaa
Thanks so much my friend may god bless you
congratulations
Asante sana
III nimeierewa kidogo sokwasana ongeza juhudi blother
Hapo kaka umetisha kino noma tunashukuru kwawushari wako
Thx kwa somo nzur 😊
Well nimejifunxa Asante sana
Asante
Asante sana broo kwa somo zuri
Unasaidia waliyo wengi.keep r up.
Aksante sana kabisa
Imenisaidia sana
Safi sana ndugu yangu!
Nimepitia vide zako nimepata matokeo mazuri sana
Asante
Samahan unaweza ukaniunga
Tunashkur san upo vizuri
Asante San
Napenda Sana vi2 Kama hv
Bravo brother
Nakuelewa Sana
Asante bro umeniongezea ktu leo
Karibu
Mafunzo Yako poa sana
Ahsante kaka
❤
Nomaa
Nice
Nice,,
Safi sana
Nimejifunza
Broh love u🤗big up
Pamoja sanaaa
Unaelimisha vizur shid ni kuitendea kaz hiyo elim il tufanikiwe mungu akubarik😅
Asateee kaka
Brother sijaona post zako mda kweli.
Ameen
Najegwa na hamasa yenu
🎉
shukuuran
Hiyo diyo si si sote tuna taka.
Asant
Kwakweli ubarikiwe mno kaka kwa kuzidi kunifundisha nami naona kwa sasa hatua zangu ni njema.
Nimependa ushauri wako brother❤❤❤❤
Sacrifice is a source of successful in your life make a good decision
Absolutely
Asante
Hakika