Ya Leo kali, Bro umenifanya nijikute nacheka na ninasukumwa na kitu ndani maana naona umetazama MOYO wangu ndo ukatoa SOMO hili umenigusa sana aisey Nina karibu wiki TATU kitu hicho kinanitesa moyoni duuh, Barikiwa sana.
Asante sana kaka mimi mwaka huu nmechukuwa hatua kadhaa kwanza kabisa nmeweza kuanza kuweka akiba kwa muendelezo alafu pia nmepanga kwenda kuonana na mtu ndani ya huhuu mwaka ubarikiwe sana
Sijawahi kujutia kusikiliza DK chache za masomo yako yaliyobeba maana kubwa na mafundisho ndani yake ni DK chache lakini maana kubwa na dhamira yenye kumgusa mtu ❤ wewe I really appreciate you ❤❤
Kiukweli Mungu alikuleta kwetu kwa sababu, mtu muhimu kwetu kupitia elimu unazo tupatia zimetusogeza mbali , Tunamuomba Mungu akuzidishie pale unapo punguza akuongezee maradufu🙏
Mashallah, Asante sana bro mungu akuongezee kwa kila hali.umezungumza nikaona kuwa sijajaribu kuanzia Leo nitajituma kwa muongozo wamaneno haya 😊barikiwa ✌️
Mkuu natafuta milioni 52 ili niweze kununua trekta mpya aina ya New Holland au kama mtu anaweza kuninunulia trekta aina hiyo naomba mawasiliano! Ninayo mashamba lakini kukosa trekta naona inanirudisha nyuma
Usijiambie hapana kabla ya kuambiwa.✅
Ya Leo kali, Bro umenifanya nijikute nacheka na ninasukumwa na kitu ndani maana naona umetazama MOYO wangu ndo ukatoa SOMO hili umenigusa sana aisey Nina karibu wiki TATU kitu hicho kinanitesa moyoni duuh, Barikiwa sana.
Asante sana kaka mimi mwaka huu nmechukuwa hatua kadhaa kwanza kabisa nmeweza kuanza kuweka akiba kwa muendelezo alafu pia nmepanga kwenda kuonana na mtu ndani ya huhuu mwaka ubarikiwe sana
Sijawahi kujutia kusikiliza DK chache za masomo yako yaliyobeba maana kubwa na mafundisho ndani yake ni DK chache lakini maana kubwa na dhamira yenye kumgusa mtu ❤ wewe I really appreciate you ❤❤
Hello
@@Pepsimbuna hello
Asante brother hakika vizazi na vizazi vitakuja kuona hii kazi yako
Mungu akubariki sana
Kiukweli Mungu alikuleta kwetu kwa sababu, mtu muhimu kwetu kupitia elimu unazo tupatia zimetusogeza mbali ,
Tunamuomba Mungu akuzidishie pale unapo punguza akuongezee maradufu🙏
mungu akubariki sana
Mashallah, Asante sana bro mungu akuongezee kwa kila hali.umezungumza nikaona kuwa sijajaribu kuanzia Leo nitajituma kwa muongozo wamaneno haya
😊barikiwa ✌️
Kaka hongera sana kwa mafundisho MUNGU muumba wa mbingu na nchi akubarika zaidi maishan mwako.
Asante sana kaka joel kwa mafundisho yako mungu azidi kukubariki zaidi ❤❤
GOD BLESS YOU BROO,KWAKUZIDI KUCHOCHEA HAMASA NDANI YETU💡
Amen,asante kwa mafundisho yako mazuri,kaka Joel❤
Shukrani kaka ❤❤
Ahsante kaka Joel
Asante sana coach Joel nimejifunza
Ahsante sana mwarimu
Kwakweri mungu akubariki Joel's nanauka
Asantee bro Kwa msaada wako wa elimu hii
Jana tu,nilipewa namba nikapiga na leo nimeambiwa niende Nika survey site.Kweli hofu lazima tuishinde
Insha Allah shukran
Asante kwa kuchochea moto uliomo ndani yangu
ASANTE SANA MENTOR, MASTER ARTHUR NANAUKA JOEL🙏🙏🙏
Ubarikiwe 👏
Ameni
Asante...Barikiwa
Asante Sana 🙏🙏
Nahitaji kitabu😊
❤ asante coach
Sijawahi kujuta kukufaham kaka
TUNASHUKULU KWA MAFUNDISHO BRO. Joel.
Broo MUNGU akutunze sana pamoja na videos zako kwa vizazi vinavyokuja
Asante Sana ❤.
My teacher
Ubarikiwe zaid
Asante sana🎉
Asantee sana
🙏🙏
Ubarikiwe
Powerful
Yote nitajaribu uwiii
Good
somo zuri
Ahsante sana ❤
Safi sana ndugu
Nitajaribu kufanya hivyo ili iweze kupata matokeo,
❤❤❤❤❤❤
Naomba unisaidie namba zako Mkuu
Asant san na kupitia video zak najifunza vingi san nakushkul san kiongozi
Hakika mental umebalisha maisha nimepitia mateso makubwa Sana mkuu nisaidie namba yako
Naumia sana watu kama nyie tunakuwa tunawahitaji ila hatuwapati kwasababu ya connect ninashida na number yako nitapataje
🎉🎉🎉
🥳🥳🥳✊🔥🔥🔥🔥
Tutaendelea kujifunza Kila siku
Nikwel
🌹💪🥂
Asant
😊😊😊😊
Breakfast
Mkuu natafuta milioni 52 ili niweze kununua trekta mpya aina ya New Holland au kama mtu anaweza kuninunulia trekta aina hiyo naomba mawasiliano! Ninayo mashamba lakini kukosa trekta naona inanirudisha nyuma
karibu jetco services