Dr Sulee kuna mambo mengine unasema kweli, na mengine mengi unasema uongo mkubwa sana. Mengi unasema kwa fitina na chuki kubwa, Wayahudi munaowachukia bado hamuwawezi, hao ni Taifa la Mungu. Usiwakalibie wala usijilinganishe na Watoto wa ahaadi.
Mimi maajabu ninyoyaona kwa huo ugomvi wa parestina na waizieli najiuliza wapalestina hawana silaha kali laikini wamo tu na hawana msaada wowote ni kwanini hao wenye silaha kali hawawamalizi kuna kitu mwenyezimungu anatufunza hapo
Yesu sio Mungu ni binadam miongoni mwa Mitume wakubwa wa Mwenyezi Mung. Yesu alipata kuwa baby (Baby god) akatairiwa, yaani Mungu akatairiwa na viumbe wake akanyonya kwa mama yake. Tafadhali tumia akili kidogo usiwe mvivu wa kufikiri. Mungu hana sifa za upungufu hata kidogo. Acha kumdhalilisha. Utakujajuta siku ya kuonana na aliye umba mbingu na Ardhi.
@@abdulrahmankhatibu7201 Kwan tatizo lako lipo wapi ndugu huenda hujui kwann Yesu alikuja na alikuja katika umbo la binadamu Labda nianze kujibu swal moja moja 1.Yesu ni Mungu ? Jibu ni ndio Yesu ni neno la Mungu lililo kuja katika mwili ili kutuonesha mfano halisi wa kuishi maisha ya kibinadamu na faida za kuishi maisha kama alio yaishi yeye na kutufundisha. kitendo Cha kuishi kama binadamu, kufa na kufufuka ni ishara kuwa binadamu yoyote atakaye muamini basi atauona uzima wa milele baada ya kufufuliwa Baada ya Yesu kuondoka Mungu alimtuma roho mtakatifu na sio mohamad kama mnavyo fundishwa roho mtakatifu yupo ndani yetu ili kulitunza neno la Mungu ndani yetu na kutukumbusha na kutupa tasiri sahihi ya neno la Mungu ndio maana huitaji kumtafuta mchungaji Wala shehe akutafsirie neno la Mungu kwakuwa binadamu tuna weza tafsir Kwa akilizetu na matamanio yetu ya kibinadamu so tafsiri sahihi ya neno la Mungu ipo ndani yako hata kama vitabu vyote vitachomwa moto neno la Mungu haliwezi potea kwakuw lipo ndani yetu tayar kwakupitia roho mtakatifu Najua utasema Kuna Mungu watatu hapana ipo hivi Mungu ni mmoja ila hivi vitu vipo ndan ya Mungu mmoja nikama wew unaitwa Abdul lakin una 1.Mwili 2.Akili 3.Roho hivi vitu vitatu havikufanyi wew kuwa watu watatu tofauti so hakuna Mungu watatu ukiuliza kwann Mungu alifanya hivi mm siwezi kumuhoji Mungu kwann afanye Kaz zake Kwa mfumo huo pia kama utachagua kuto kuelewa it's okay jukumu langu nikukupa mtazamo wa Iman yangu Kama utakuw na doubt uliza
@@abdulrahmankhatibu7201 kazi nyingine alio kuja kuitimiza Yesu ni lile agano la Ibrahim na Mungu kuwa kupitia uzao wa Ibrahim mataifa yote yatabarikiwa so kupitia Yesu Alie Toka uzao wa Ibrahim mtu yoyote kutoka taifa lolote anaweza kubarikiwa ikiwa atamuamini na kufuata neno la Mungu
@@abdulrahmankhatibu7201 kingine ni kuhusu utatu je nikweli utatu Mungu baba mwana na roho ni wakipagani ? Jibu ni sio kweli ukitaka kuelewa hili nivizuri kumuelewa shetani na malengo yake Malengo ya shetani kwenye uislamu nitofaut na malengo ya shetani kwenye ukristo so kwenye ukristo nilazima dini za kipagani nazo ziwe na utatu kwakuwa lengo la shetani ni kuleta contradiction ili watu wasi muabudu Mungu wa kweli kama Mungu angekuwa hana utatu basi shetani angefanya dini zake zote zisiwe na utatu ili kuwachangamya wanadamu Sasa utajuaje utatu wakipagani na wakimungu Utatu wakipagani lazma uwe na Mungu mama lakin utatu wa Mungu hauna mama Bali ni roho mwana na baba hope itakuwa umeelew
Asalaam alykum mie naitwa robert natokea nchini kenye nafuatilia sana channels hii pili nimevutiwa na mawaidha yenu...ila ningeomba mnisaidie namna navowaeza kumpata ust Kessy Lupindu aliyekuwa mchungaji kisha kasilimu assante
Hongera kwa kueleza historia ya waisrael na changamoto walizopitia tangu toka Misri,wakati wa Waamuzi na uvamizi walioupata mpaka mesodonia,hongera kujua kumbe Hekalu lilichomwa moto likaharibiwa na wavamiz wengine wakajenga Al Aqsa,baada ya hekalu la Suleiman kuharibiwa vibaya na wagirik na Utawala wa Babeli
Mwanzo 28:15 [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.
Sio wewe ndo utakuwa haujaelewa amesema Uislam ni ya asil Toka kwa nabii Adam ila ukristo ulivyokuja ndio ilikuwa itirafu ya kuupotosha Uislam kiuhalisia Uislam ni Dini ya Asil kabisa sikiliza vizur
Sure shida yako nini jamani unaereza vizuli ndiyo rakini hebu tumia korowani kusoma isitoria nahuwezi kwasababu siyo kitabu Cha mungu nayesu hakutabili muhamadi mwajidaganya Yani bado hujasema paka useme Yani bado okokeni mwisiramu yoyote Hana roho mutakatifu ata huyo munae mufata Hana ata ishimairi Hana poreni
Lilipojengwa ni kale mwenyewe mfalme Suleiman hakuita msikiti, kwan mafundisho ya Yesu na Mohamad hawakuwepo enzi hizo liliitwa synagog yaani nyumba kuabudia.
Ninyi Waislam ambao hamjalaaniwa, mbona nchi za waasisi wenu zote vita inatokana na nini? Kama hamkulaaniwa huwa ujasili wa kujitoa mhamga munautoaga wapi??? Nyie ndio muliolaaniwa tena kwa laana jehanamu ndiyo nyumbani kwenu. Wauaji wakubwa ninyi.
Umejaaliwa kutoa mafundisho ktk kukua kwangu na kwenda kanisani sikuwahi kuwa naelewa mambo kadha wa kadha na historia hizi nilikuwa na kiu ya kuzijiua sikujua km kuna Mwalimu mzuri wa ku translate
Kwahiyo Yerusalem alipozaliwa Yesu waislam mnasema penu? Daah. Nyie mtapigika Kila siku nko paleeeeeee.. Israel will always stand. Palestinians na waarabu wengine wawe wapole ....
@@alidyaya4512 najuaa nachokiandika..ndugu..unamjuaa mtoto WA jacob- Juda - Daudi the Yesu Kristo... Swala ni hivi sehem ya wote palestina wanataka pawe pa kwao Tu akati Babu yetu Ibrahim ...alituzaaa wote pale na Bibi yetu Sara akazikwa pale.. Na wayahudi ndio babayao huyohuyo ..Hadi Suleiman alijenga hekalu palee.... Vivyo hivyo ndugu zetu waislam ..pale Kuna masjid Al aksa...easly ..pale ni pa wote atayejifanya pake Peke Ake tunambonda.
@@alidyaya4512 utata unakuja ..atakaye mbadiki Israel naye atabarikiwa and vise versa...Sasa Israel ni yupi...hapo mjuee....atakaye mgusa Israel hata kama ni tanzaniaa atapigika ...huyo ni taifa teule ...sisi mataifa mengine tuwe wapole
@@geey7893 eti Kosovo hahahahaha dAhh nimechekaa Sana...Ila nyie jamaa...nawaambieni...sisi watu watatu tupendane.. wayahudi, waislam na wakristu tupendane sisi ndugu...
@@fadhilikawambwa1586 kawambwaa jamn kweli mengine yanakera had unataman unyonge mtu lakin kuwa na subira ALLAH Mtukufu ametufundisha kulingania kwa lugha lain japo ujumbe ilibidi umpate firaun mtume wetu MUHAMMAD S.A.W piah alikuwa mfano kwetu. Ila wenzetu nao wanatukera sana yaan kakitu kadogo mtume wenu mbona mungu wao c hatumsemi tenah yeye ndo ana mengi ya kusemwa lakin twamuheshim Nabii wa Allah
@@joezeno8 nyie nanyi kakitu kadg mtume wenu TUMEWACHOKA MBONA NYIE HUYO MNAEMUITA MUNGU AMA MWANA WA MUNGU ANA SABABU ZA KUSEMWA LAKIN HATUMSEM KWA SABABU TWAJUA NI NABII WA ALLAH NA YEYE NA MTUME WETU MUHAMMAD S.A.W SAWA ILA MUHAMMAD YUPO JUU KULIKO HUYO MNAEMUAMINI NYINYI SASA MUISLAM AKIKUKERA MTUKANE MWENYWE ILA USIMTUKANE MUNGU WAKE WALA QURAN YAKE WALA MTUME WAKE WALA WAZAZI WAKE WE DILI NA ALIEKUKERA KUMUINGIZA ASOKUWEPO NI KUKWEPA MADA
Mungu baba,, mwana narohoo mtakatifuuuu
ALLAH akupe afyanjema akuzishie elimu tunajifunza historia za manabii historia ambazo zinafichwa nawatu ambao hawaitakii mema dini ya allah
Asalam alkm warahmatullah wabarakatuh sheikh mafundishio yako na yapenda kweli nime jifunza mengi kwako. Jazzakallah kheir
Inshaallah Allah azid kutuongoza ktk njia iliyonyooka
Mashallah 🙏🙏 Allah akupe maisha marefu unatupa elimu nzuri mno🙏🙏
Dr Sulee kuna mambo mengine unasema kweli, na mengine mengi unasema uongo mkubwa sana. Mengi unasema kwa fitina na chuki kubwa, Wayahudi munaowachukia bado hamuwawezi, hao ni Taifa la Mungu. Usiwakalibie wala usijilinganishe na Watoto wa ahaadi.
Wayahudi washenzi
Asalaam Aleykum , Allah azidi kukupa umri mrefu sheikh.....umenifundisha mambo makubwa mnooooo
Mimi maajabu ninyoyaona kwa huo ugomvi wa parestina na waizieli najiuliza wapalestina hawana silaha kali laikini wamo tu na hawana msaada wowote ni kwanini hao wenye silaha kali hawawamalizi kuna kitu mwenyezimungu anatufunza hapo
jazakAllah kheir
Unatuelimisha sanaaaaaa
Salam from Arizona. Sheikh na kupenda kwa ajili ya Allah.
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Ok
Assaalam alaykum warahmattullah wabarakattuh 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
Asalaam Aleykum frm Doha,Qatar...Allah akupe umri mrefu sheikh.....uzidi kutupa elimu zaidi
Asante sana shekhe nimependa unavyotiririka.
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie ilim na ufaham fidduniya wal- akhera
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Long live Dr Sule
Allah akupe mrefu shekhe 🙏
Baraka llahu fika yaa sheikh
Mashallah akika mungu amekujalia kipawa
Allah akulinde
Mashalla bible unaijua quran unaijua
I love Biblia too much
Mh
Bible missleding you hate it my friend
@@salehesengiyanka5397 it is better for the only great thinkers
Umepata hasara
@@salehesengiyanka5397 unapataje ujasiri WA kukisema kitabu kitakatifu ndugu hivi unajipenda? Bs yangu machooo...l love bibliaa ...and l respect quran
Siku Sionyingi unakua Mchungaji Karibu Sana Kanisani Yesu anakupenda Sn
Yesu sio Mungu ni binadam miongoni mwa Mitume wakubwa wa Mwenyezi Mung.
Yesu alipata kuwa baby (Baby god) akatairiwa, yaani Mungu akatairiwa na viumbe wake akanyonya kwa mama yake.
Tafadhali tumia akili kidogo usiwe mvivu wa kufikiri.
Mungu hana sifa za upungufu hata kidogo.
Acha kumdhalilisha. Utakujajuta siku ya kuonana na aliye umba mbingu na Ardhi.
@@abdulrahmankhatibu7201 kwahiyo wewe na biblia tumwamini Nani..yaan mwenye akili akiulizwa biblia na wewe tumwamn Nani atajibujee
@@abdulrahmankhatibu7201 Kwan tatizo lako lipo wapi ndugu huenda hujui kwann Yesu alikuja na alikuja katika umbo la binadamu
Labda nianze kujibu swal moja moja
1.Yesu ni Mungu ?
Jibu ni ndio Yesu ni neno la Mungu lililo kuja katika mwili ili kutuonesha mfano halisi wa kuishi maisha ya kibinadamu na faida za kuishi maisha kama alio yaishi yeye na kutufundisha. kitendo Cha kuishi kama binadamu, kufa na kufufuka ni ishara kuwa binadamu yoyote atakaye muamini basi atauona uzima wa milele baada ya kufufuliwa
Baada ya Yesu kuondoka Mungu alimtuma roho mtakatifu na sio mohamad kama mnavyo fundishwa roho mtakatifu yupo ndani yetu ili kulitunza neno la Mungu ndani yetu na kutukumbusha na kutupa tasiri sahihi ya neno la Mungu ndio maana huitaji kumtafuta mchungaji Wala shehe akutafsirie neno la Mungu kwakuwa binadamu tuna weza tafsir Kwa akilizetu na matamanio yetu ya kibinadamu so tafsiri sahihi ya neno la Mungu ipo ndani yako hata kama vitabu vyote vitachomwa moto neno la Mungu haliwezi potea kwakuw lipo ndani yetu tayar kwakupitia roho mtakatifu
Najua utasema Kuna Mungu watatu hapana ipo hivi Mungu ni mmoja ila hivi vitu vipo ndan ya Mungu mmoja nikama wew unaitwa Abdul lakin una 1.Mwili 2.Akili 3.Roho hivi vitu vitatu havikufanyi wew kuwa watu watatu tofauti so hakuna Mungu watatu ukiuliza kwann Mungu alifanya hivi mm siwezi kumuhoji Mungu kwann afanye Kaz zake Kwa mfumo huo pia kama utachagua kuto kuelewa it's okay jukumu langu nikukupa mtazamo wa Iman yangu
Kama utakuw na doubt uliza
@@abdulrahmankhatibu7201 kazi nyingine alio kuja kuitimiza Yesu ni lile agano la Ibrahim na Mungu kuwa kupitia uzao wa Ibrahim mataifa yote yatabarikiwa so kupitia Yesu Alie Toka uzao wa Ibrahim mtu yoyote kutoka taifa lolote anaweza kubarikiwa ikiwa atamuamini na kufuata neno la Mungu
@@abdulrahmankhatibu7201 kingine ni kuhusu utatu je nikweli utatu Mungu baba mwana na roho ni wakipagani ?
Jibu ni sio kweli ukitaka kuelewa hili nivizuri kumuelewa shetani na malengo yake
Malengo ya shetani kwenye uislamu nitofaut na malengo ya shetani kwenye ukristo so kwenye ukristo nilazima dini za kipagani nazo ziwe na utatu kwakuwa lengo la shetani ni kuleta contradiction ili watu wasi muabudu Mungu wa kweli kama Mungu angekuwa hana utatu basi shetani angefanya dini zake zote zisiwe na utatu ili kuwachangamya wanadamu Sasa utajuaje utatu wakipagani na wakimungu
Utatu wakipagani lazma uwe na Mungu mama lakin utatu wa Mungu hauna mama Bali ni roho mwana na baba hope itakuwa umeelew
MA SHA ALLAH TABARKALLAH .
Jamaa anajua huyu hadi raha
Mashaallah
mashaalha appreciate dr sule god blessing u and all muslim
Aamin amin
Alhamdhulillah leo nimwkufatilia mwanzo mwisho
Asalaam alykum mie naitwa robert natokea nchini kenye nafuatilia sana channels hii pili nimevutiwa na mawaidha yenu...ila ningeomba mnisaidie namna navowaeza kumpata ust Kessy Lupindu aliyekuwa mchungaji kisha kasilimu assante
MUNGU akubariki nimejifunza mengi kwa history hii
Bismillah, Mashallah
Allah akupe umr sheh 🙏
Manshaallah
Masha Allaah
Hongera kwa kueleza historia ya waisrael na changamoto walizopitia tangu toka Misri,wakati wa Waamuzi na uvamizi walioupata mpaka mesodonia,hongera kujua kumbe Hekalu lilichomwa moto likaharibiwa na wavamiz wengine wakajenga Al Aqsa,baada ya hekalu la Suleiman kuharibiwa vibaya na wagirik na Utawala wa Babeli
MashaAllah MashaAllah
Mashallah mashallah mashallah
Mashallah dr.sulle
Eleza ni Kwa nini Hamas walianza kuchokoza Israel!
Mashallah Allah
Allah azidi kukulinda tuzid kupata elimu ya dini ya haki
mm..mkwirsito..nakupogeza.kwasababu..unahekima..tofouti..na.waisilam.wezako.mungu..akubariki
Yani anaongea bila kuita watu makafiri, mara matusi. Wengine wakurupukaji vichwa matope😂wanafikiri dini ni chakula 😅
MA SHA ALLAH
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mnao coment mnanikanyaga ila mjua wayaudi sio wakiristo
Aslam Alykm ww Allah akulipe kila ya heri
Kweli
Kwann Dk Sule mbona huwaelezei Freemason
MTAFUTE SHEIKH SULEIMAN MAZINGE WA KENYA.UTWAJUA HAO FREEMASONI UWATAKAO
Mpuuzi uyu shekh Allah hana kiti!!
Kweli anapotosha
Huy sheh ndo mpuuzi hebu lete elimu yako wew tuijue acha ujinga bas
Eti straight mbinguni , unasoma wapi
Mashallah
Tukubali hawa watu ni chaguo la Mungu mbn wamejaaliwa maarifa na utajiri ?
Hata ibirisi pia kapewa uwezo mkubwa na mungu
Uyu jamaa namuelewa sana.
Mwanzo 28:15
[15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.
Ibilisi huwa haongei uwongo bali anapindisha kweli. Shehk naona anatumia mbinu zilezile.
Mkristo wewe ,Ukikutana na shetan anaongea ukweli wala usimuamini.
Good story...but anashindwa kutofautisha ukristo wa ukweli na waubiri wa uwongo
Sio wewe ndo utakuwa haujaelewa amesema Uislam ni ya asil Toka kwa nabii Adam ila ukristo ulivyokuja ndio ilikuwa itirafu ya kuupotosha Uislam kiuhalisia Uislam ni Dini ya Asil kabisa sikiliza vizur
Hivi nyinyi waislam kwa nini mnapenda kufundisha habari ambazo haziwahusu? Nyinyi fundisheni habari za makah na madina huko ndiyo nyumbani kwenu
Sure shida yako nini jamani unaereza vizuli ndiyo rakini hebu tumia korowani kusoma isitoria nahuwezi kwasababu siyo kitabu Cha mungu nayesu hakutabili muhamadi mwajidaganya Yani bado hujasema paka useme Yani bado okokeni mwisiramu yoyote Hana roho mutakatifu ata huyo munae mufata Hana ata ishimairi Hana poreni
Msikiti una ngazi za kwenda Mbinguni??? Mmmmh jamani
Mazinge na uchawi wake ajifunze kwako. Aache Matusi mbwa yule😮
Allah Akbar
Nakuelewa kweli
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Somali vipi Iraq vipi Oman Yemen syria Israel inaamani kuliko nchi hizo
Kweli wewe ni mzigo
Lilipojengwa ni kale mwenyewe mfalme Suleiman hakuita msikiti, kwan mafundisho ya Yesu na Mohamad hawakuwepo enzi hizo liliitwa synagog yaani nyumba kuabudia.
ni sinagogi but kwa tafsiri ya biblia sinagogi ni nini?
Sinagog maana yake ni msikiti ulizoa vizur kanisan mchunganji wako akuambie ukweli
28:15 yani hapo ullvyokibeba begani hiko kitabu ukichsnganya na hizo pozi umenimalaza kweli
Ukiniambia wayahudi wamelaaniwa nakua mgumu kuamn. The chosens wawe cursed kweli
waliuwa mitume ya mungu
Elim Bahar
Masha Allah God bless you wherever you are Amin🙏🥰
Ninyi Waislam ambao hamjalaaniwa, mbona nchi za waasisi wenu zote vita inatokana na nini? Kama hamkulaaniwa huwa ujasili wa kujitoa mhamga munautoaga wapi??? Nyie ndio muliolaaniwa tena kwa laana jehanamu ndiyo nyumbani kwenu. Wauaji wakubwa ninyi.
Umejaaliwa kutoa mafundisho ktk kukua kwangu na kwenda kanisani sikuwahi kuwa naelewa mambo kadha wa kadha na historia hizi nilikuwa na kiu ya kuzijiua sikujua km kuna Mwalimu mzuri wa ku translate
Yah huyo ndio doctor sure mataala wa history
🇵🇸🇹🇿🙏🏿
Shukran
😅😅😅😅😅😅 Biblia amuchagi ata siku moja😅😅😅😅😅
Kama Sisi Watanzania tuna hitimishaje?
Sasa wamerudi wajukuu zao na walioujenga, wanaitwa wayahudi hawamtambui Yesu wala Mohamad hapo sasa kizungumkuti.
Kwahiyo Yerusalem alipozaliwa Yesu waislam mnasema penu? Daah. Nyie mtapigika Kila siku nko paleeeeeee.. Israel will always stand. Palestinians na waarabu wengine wawe wapole ....
kwani ukristo umeanzia wapi unavojua ww?
😂😂😂Wataendelea kuchezea Cosovo
@@alidyaya4512 najuaa nachokiandika..ndugu..unamjuaa mtoto WA jacob- Juda - Daudi the Yesu Kristo...
Swala ni hivi sehem ya wote palestina wanataka pawe pa kwao Tu akati Babu yetu Ibrahim ...alituzaaa wote pale na Bibi yetu Sara akazikwa pale..
Na wayahudi ndio babayao huyohuyo ..Hadi Suleiman alijenga hekalu palee....
Vivyo hivyo ndugu zetu waislam ..pale Kuna masjid Al aksa...easly ..pale ni pa wote atayejifanya pake Peke Ake tunambonda.
@@alidyaya4512 utata unakuja ..atakaye mbadiki Israel naye atabarikiwa and vise versa...Sasa Israel ni yupi...hapo mjuee....atakaye mgusa Israel hata kama ni tanzaniaa atapigika ...huyo ni taifa teule ...sisi mataifa mengine tuwe wapole
@@geey7893 eti Kosovo hahahahaha dAhh nimechekaa Sana...Ila nyie jamaa...nawaambieni...sisi watu watatu tupendane.. wayahudi, waislam na wakristu tupendane sisi ndugu...
Kusoma kitabu cha mungu inahitaji Akili nyingi Sana Sio wachungaji wenu wanasoma Kama wanasoma mwanasport au Habari leo
Wachungaji WA kinanani
Nipe namba za uyu dr sule
Angalia kwenye screen ipo
M.MUNGU KAWA ANA KITI ?
Ndiyo soma qurani 2:255
Sulle sio msomi, ni tapeli na mhuni wa kiislamu, anatafuta Ugali kwa nguvu
Ww msomi njoo ueleze wajumbe ndio kila atachosema mchungaji kila kitu ndio hata akisem nimepewa maono nimuoe mke ni ndio hakun hapana
@@kibaikiramadhani1475 unasahau Muhammad kaambia Maswahaba zake yeye ana ruhusiwa kuoa wake zaidi ya wanne, Uoni kama huo ni usanii
WAHUNI WAZAZI WAKO WALOKUPATA BILA DUAH.NDIO TABU MNAZALIAWA KAMA WANYAMA BILA KUADHINIWA MBWA WW
@@fadhilikawambwa1586 kawambwaa jamn kweli mengine yanakera had unataman unyonge mtu lakin kuwa na subira ALLAH Mtukufu ametufundisha kulingania kwa lugha lain japo ujumbe ilibidi umpate firaun mtume wetu MUHAMMAD S.A.W piah alikuwa mfano kwetu. Ila wenzetu nao wanatukera sana yaan kakitu kadogo mtume wenu mbona mungu wao c hatumsemi tenah yeye ndo ana mengi ya kusemwa lakin twamuheshim Nabii wa Allah
@@joezeno8 nyie nanyi kakitu kadg mtume wenu TUMEWACHOKA MBONA NYIE HUYO MNAEMUITA MUNGU AMA MWANA WA MUNGU ANA SABABU ZA KUSEMWA LAKIN HATUMSEM KWA SABABU TWAJUA NI NABII WA ALLAH NA YEYE NA MTUME WETU MUHAMMAD S.A.W SAWA ILA MUHAMMAD YUPO JUU KULIKO HUYO MNAEMUAMINI NYINYI SASA MUISLAM AKIKUKERA MTUKANE MWENYWE ILA USIMTUKANE MUNGU WAKE WALA QURAN YAKE WALA MTUME WAKE WALA WAZAZI WAKE WE DILI NA ALIEKUKERA KUMUINGIZA ASOKUWEPO NI KUKWEPA MADA
Allah azidi kukupa ilmu
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashaallah
Mashaallah