KISA CHA WATU WA NABII LUTWI. SHEIKH NURDEEN KISHK
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ม.ค. 2021
- Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Veternary Temeke Tarehe 12/2/2010, mada ikielezea kisa cha watu wa Nabii Lutwi, ni kisa gani fatilia hadi mwisho upate kuelimika na tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Unaniliza sana sheikh kuhusu mawaidha yamaangamizi mungu atunusuru na kufru hizo ishaallah
Subhanallah! Kumbe ndivo ilivokuwa Ee M/mungu tusamehe sis waja wko
Allah ampe umri mref shekh wetu kishk maana amekuwa ni kiooo Cha jamii ya kiislaamu 🤲🤲🙏
Ameen
Shekhe labda Allah akuzidishie kwa kutuelimisha mengi mema Allah akupe umri mrefu Allahumma Amiiin yaarrabby kwa uruma zako
Masha Allah shekh wetu mungu akulinde
Shukran Shekh wetu Allah akuifadhi na akukinge na vijicho Allahumma Amiiin yaarrabby
Barakh Allah fikh
Mashaallah akujaze kheri Allah sheik wetu we love you most in kenya.
Yaa Allah tupe mwisho mwema nautukinge nawatu wachafu kama hao nauwongoze kizazi chetu na vijuku vyetu Allahumma Amiiin
Amin
SHUKRAN JAZELAN SHEIKH .
Mashaallah mng ni mwema Allah tuongoze katka njian iliyonyooka
Alla atuepushe na hiyo laana shekhe kishki alla akulinde aku hifadhi tuendelee kupata ukumbusho alla imma amin
Yaarab tujaalie mwisho mwema inshaalah
Mtihani mkubwa sana . Na watu wanapenda kuiga sana. Lkn wajue tu wakifa watakwenda kuwekwa Ardhi ya sana na kaumu ya Luti . Dhahir iko wazi ghadhabu za ALLAH ni kali mno
M mungu atunusuru ni mtihani mkubwa Sana. M mungu tunusuru vizazi vyetu vilivyotangulia na vitakavyofata
Allah atuhifazi kwa huruma wake ameen.
La ilaha illa llah mohamadan rasulullah
Masha Allah❤❤❤
Shukuran kwa kutuelimisha Allah akupe umri mrefu na uzidi kutuelimisha na akupe wepesi kwa kila jambo INSHAALLAH,,,, ya Rabbi tuepushe na adhabu ya kabir na moto wa jahannam,,,,nautupe mwisho mwema Amiin
Ammina
Shukran sheck kishki,,,,ALLAH akulinde na akujalihe utuelemishe IN SHA ALLAH
Insha_allah ammina
❤❤❤❤❤ MashaAllah
Jazakalau Allah akulipe kila la kheri na hakika ukumbusho humfa mwenye kuamini
Allah atustiri yarabi
Allah akubariki sheikh wetu kishki...
Allah akupe umri. Mlefu uzid kutupa dawa
Subhanna Allah 😥😥YARAB tujalie mwisho mwema yarab 🤲🤲
SWALLALAHU ALLEYH WASALLAM
SWALLALAHU ALLEYH WASALLAM
SWALLALAHU ALLEYH WASALLAM
🧡❤🧡❤🧡❤
jazakha alhah
Maa shaa Allah may Allah Grants him best rewards in this life and hereafter
Allahu akbar
INA Lilah waina ilaihi rajiun
Subhanallah mungu atupe mwisho mwema amiiiin ya rabiiii
Subhanallah
Allah tulinde sisi na vizazi vyetu
Yarabii stara Allah tulinde na vitendo vichafu na viovu na vizazi vyetu asante sheikh
Ammina
Allah atunusuru
Allah hatuogoze in sha Allah
Daaa,
Subhaanaallah Allah Atunusuru na watu kama ao ao waume kama ao sitaki
Inailai rajiun
Kishki nisheikh wangu mzuri kabisa
Allah akuhifadhi shekh
Kwakweli sie tunachezea mda waliopo makaburin wanathaman lau dakika wapewe Allah atuongoze
Nasikia shekh zinaa imegawanyika
الله يحفظك
Allah atuepeshe na yalio tawala miaka hii
SubhanaAllah 😰😰😰
Zamani sana akasha dawaa uzur wa elimu haichoshi
Masha Allah
Jazallah kheir sheik
Jazakallah
mwenyezi mungu atupe mwisho mwema Amin
Ammina
Allah akupe umri mlef
Ammina
Samahani wapendwa naomba mwenye ya Ust.Habib Mazinge anisaidie
,
Natamani kizazi changu chote kiweze kushika dini na kuielewa na waweze kutoa darsa kama zako
KUMBE KULIKUWA NA UMMA ULIOKUFURU IVYO
ولكل قوم هاد
Nashukuru kwa mawaidha mazuri..
Allaah Akuhefadhi sheikh kuzidi kutuelimishaaa kwa ummmaah
Is x
Watu wa Sodoma na Gomora waliuwawa kwa moto
Huo moto uliwaunguza wewe au
Njoo usome uache kusikia Kwa watu
Masha Allah❤❤❤
Subhanallah! Kumbe ndivo ilivokuwa Ee M/mungu tusamehe sis waja wko
Yaraab tuongoe ss na vizazi vyetu tunategemea rehema zako Mola wetu mlezi Aamiin
Amina
Subhanallah
Subhanallah
Mashaallah!! shee wetu kishkii
Usichoke kutupaa maidhaa shee wetu
Subhanallah
Mungu atupe mwisho mwema
Asalamwalekum .Shekh natamani nisome kwako wallahi mungu ani wangoze nisome kwako kwel niko rondwa