HUYU NDIE DR. SULLE TULIE MZOEA SASA || ATEMA MADINI HATARI || USIPO MUELEWA UTAKUA NA MATATIZO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2023

ความคิดเห็น • 142

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah shekh Kwa kweli kabisa doctor sule umeongea maneno mazito Sana kwani yamegusa nyoyo mwenyezi mungu azidi kukufadhi ili uzidi kutupa elimu

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว +7

    Dr sule ukiachana kuwa kasoma na ana elimu ila pia ana akili nyingi ❤

  • @allystephano-io2cy
    @allystephano-io2cy ปีที่แล้ว +4

    ama kwl allaah akupe maisha malefu yenye kheri ndan yake

  • @fatmaharith3212
    @fatmaharith3212 ปีที่แล้ว +9

    I wish ua my husband ua good may God bless u DR.
    I really admire the way u preach

    • @fareedufahamu8893
      @fareedufahamu8893 ปีที่แล้ว

      Unataka mume au unamtaka yeye Dr Sule?

    • @shazlya9060
      @shazlya9060 ปีที่แล้ว +1

      MashaAllah

    • @SheruTete-yb6ir
      @SheruTete-yb6ir ปีที่แล้ว

      Pĺĺĺĺlĺĺl❤

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah

    • @tahiyasaidi6532
      @tahiyasaidi6532 9 หลายเดือนก่อน +1

      I'm here instead of him ..let's negotiate me to be ur husband

  • @sinarahaissa7927
    @sinarahaissa7927 ปีที่แล้ว +2

    Allah akuongoze Shekh wetu Dr.Sule

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 ปีที่แล้ว +5

    Huyu Dr huaga nampenda sana Kila ampe umri mrefu..

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa'Allah
    Swallalah Allayhi Wasalam
    Jazzakumllah Khery

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji ปีที่แล้ว +2

    Maa Shaa Allah. Bdo uko vzr sheigh

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 ปีที่แล้ว +1

    Walkum salam warhamatullah wabarakatuh, shukran sana shekh suleiman

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 ปีที่แล้ว +1

    Mwamba Jazakallah kheri doka sule

  • @mchangarocky7254
    @mchangarocky7254 ปีที่แล้ว +2

    Duh! Ni kweli tu Allah atuongoze InshaAllah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Mashallah Dr Sulle Allah akuweke

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 ปีที่แล้ว +13

    M"Mungu akupe umri wenye afya na ujuzi zaidi...

    • @tatoo0098
      @tatoo0098 ปีที่แล้ว +1

      Aamin yaraby kwa sote 🤲🤲

    • @abdulbasti652
      @abdulbasti652 ปีที่แล้ว

      🎉🎉 🎉 🎉🎉🎉 I I I just 🎉🎉🎉🎉🎉 🎉 and 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 and and and 🎉🎉🎉🎉 and the the 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🎉🎉🎉

    • @sinarahaissa7927
      @sinarahaissa7927 ปีที่แล้ว

      Allahummah amin

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +4

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH

  • @hamzamaarufu1358
    @hamzamaarufu1358 ปีที่แล้ว +3

    Kichwa kimejaa madini Allah akujalie sana

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaaa anamaarifa sana,God bless us together till janaah

    • @Djdiho257
      @Djdiho257 ปีที่แล้ว

      Sawa ila tapeli

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +2

    Takbiiiiiir ALLAH Akhbar

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 11 หลายเดือนก่อน

    Shukran darsa nzuri Sana Allah akulipe kheri shekhe wetu kwa haya unayotupa

  • @kassimamri6746
    @kassimamri6746 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuzidishie kheri zaidi ww pa1 na wachamungu wote

  • @yusufmod1437
    @yusufmod1437 ปีที่แล้ว +2

    Naomba usimulie kisa Cha nabii Suleiman shekhe wangu

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah 💓❤️

  • @bakarkhamis5369
    @bakarkhamis5369 ปีที่แล้ว +1

    Mungu amueke

  • @harissalum2887
    @harissalum2887 ปีที่แล้ว +2

    Allah akujaalie umri mrefu ili uendellee kuitangaza dini yake

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 ปีที่แล้ว +2

    May Allah bless you always Ameen Yarrab

  • @ahmediahussein4043
    @ahmediahussein4043 ปีที่แล้ว +1

    Allah akulinde na Kila shari

  • @athumanswed9992
    @athumanswed9992 ปีที่แล้ว +1

    Uko sahihi sana Dr.sule, wanazuoni wengi wa sasa hivi ni wamchongo

  • @mulhatihussein8419
    @mulhatihussein8419 ปีที่แล้ว

    Namjuw vizur San shekhe. ila mh .Allah amnusuLu tu

  • @mctcher9297
    @mctcher9297 ปีที่แล้ว +2

    Sema unapotea sana shee wetu Allah akupe uzima na amani In Sha Allah

    • @cabylake2320
      @cabylake2320 ปีที่แล้ว

      Anapotea kivip yani

    • @mctcher9297
      @mctcher9297 ปีที่แล้ว +1

      @@cabylake2320 hatumuoni sana mitandaoni ndo maana yangu

  • @moanamessi1749
    @moanamessi1749 ปีที่แล้ว +2

    Allahu akbar

  • @chieffofofoodinternational4102
    @chieffofofoodinternational4102 9 หลายเดือนก่อน

    mashallah sheghe mungu akupe umri mrefu

  • @moiminiIssauw2
    @moiminiIssauw2 ปีที่แล้ว

    Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema Allahuma amiin

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 ปีที่แล้ว

    Akili nyingi sna doctor mpk zinamwagika uyu shekh ni kichwa sna

  • @mussaumtit6664
    @mussaumtit6664 ปีที่แล้ว +1

    mashaallah

  • @fastanzania
    @fastanzania ปีที่แล้ว +1

    Mashallah ♥️

  • @nassorohassan
    @nassorohassan ปีที่แล้ว +1

    Allah azzah waja a- allah akupe umli mulefu kabisa inshaallah tuletee mawaidha al hajj tulikuwa tume kumiss sana

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri sana Sheikh ! Madini ya kutosha

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +2

    Shekhe Juma Nasor mgaya na Shekhe Mrisho Jumaa Mrisho kipindura Matipwiri nyumbani kwetu mungu Awape Umri Mrefu mashekhe wangu. Amiin 🤲🤲 Amiin 🤲🤲

    • @Ankoozumo
      @Ankoozumo ปีที่แล้ว

      wazilapozo tupo.

    • @fathimamct232
      @fathimamct232 ปีที่แล้ว

      @@Ankoozumo waziraponzo wapo nyuma ya Waviiila😂

    • @anwarambar6141
      @anwarambar6141 9 หลายเดือนก่อน +1

      shekhe sule, Allah akupe umri, afya njema, uzidi kutuelimisha,

  • @ba_yu72
    @ba_yu72 9 หลายเดือนก่อน

    Very good!

  • @user-gp5lc7wc8t
    @user-gp5lc7wc8t 9 หลายเดือนก่อน

    Allah.bariki

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 ปีที่แล้ว

    Mashaallah Sheikh ❤️❤️❤️

  • @ba_yu72
    @ba_yu72 9 หลายเดือนก่อน

    Swadakta yadoktar Sule!

  • @strong8534
    @strong8534 ปีที่แล้ว

    Wekeni title ya maudhui ndo vizuri. Jazakumullah!!

  • @ba_yu72
    @ba_yu72 9 หลายเดือนก่อน

    Swadakta!

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 ปีที่แล้ว

    Takbirrrrrrrr Allah akbar

  • @aminakingaru-rp6mp
    @aminakingaru-rp6mp ปีที่แล้ว +1

    Allah akuhifadhi uzidi kutupa elimu

  • @aziza9093
    @aziza9093 ปีที่แล้ว

    Allah akulipe ujira muzr

  • @manrectorz
    @manrectorz ปีที่แล้ว +3

    Pia Muhammad (SAW), Alisema "Kama kweli mnampenda Mwenyezi Mungu (SWT) basi NIFUATENI MIMI". Mtume hajasema TUMSIFIE amesema TUMFUATE. Nashauri katika Maulid hizo wafundisheni watu TAWHID na KUHIMIZA SANA SWALA! Maana nimehudhuria maulid kadhaa ikifika wakati wa swala wanaoswali hata nusu hawafiki na hakuna anayejali hilo wao wanawaza kumsifia mtume tu linapotajwa jina lake basi.

    • @cityhuntermkali2468
      @cityhuntermkali2468 ปีที่แล้ว

      Hakuna kitu ktk maulidi zaid ya ushenzi mwingi tu

    • @user-fr6rv2yb4s
      @user-fr6rv2yb4s 4 หลายเดือนก่อน

      Subhanallah umesema ukweli. Huyu Sheikh anasema hatumjui mtume Muhammad (saw) sasa anathibitisha eti tutamjua kupitia kusherekeya maulid, subhanallah. Mtume (saw) tayari kasifiwa na ALLAH kutokana na jina yake MUHAMMAD,maana yake ALIYESIFIWA.. Sheikh tafadhali tukitaka kumsifu mtume saw basi tumsaliye kila siku. Hakuna watu waliyompenda Rasullahi ( saw) kuliko Abubakar RA na Umar RA hali hamna hata siku moja kwa uhai Yao walisherekeya maulid. Jemeni maulid ni fithna kama Christmas...wabillahi taufiq. ALLAH ndiyo kasema ukweli

  • @nurdinsaid857
    @nurdinsaid857 ปีที่แล้ว

    Mashallah dokt sulle

  • @alicase2211
    @alicase2211 9 หลายเดือนก่อน

    Wallah nimepata elimu kubwa

  • @user-wy1ep7dz5n
    @user-wy1ep7dz5n 8 หลายเดือนก่อน

    nakupenda DR sule una baya, unaelweka.

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr 10 หลายเดือนก่อน

    InshaAllah

  • @amofesa8166
    @amofesa8166 ปีที่แล้ว

    izo milioni zinatucanganya Sheikh

  • @yasinmtangi5140
    @yasinmtangi5140 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana kaka

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @salmasalim3525
    @salmasalim3525 ปีที่แล้ว

    Shekh MashaAllah

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @sharomdguda
    @sharomdguda 8 หลายเดือนก่อน

    Waislamu jamani kwa uwongo mmezidi yaani mind blowing. Historia hizi mbona mnazificha ?! Mtume hakujua Jerusalem Hadi anakufa. Enyi viongozi wakislam uongo wa waziwazi lkn mtaumbuliwa na ukweli ktk Biblia. Mtaonyeshwa km mnavyoona kwa Hamas, Hamas ndiyo hivyo hawana nchi tena wataishia ukimbizini

  • @kisangageorgethomasi2830
    @kisangageorgethomasi2830 9 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa mtumwa wa mwarabu uwezi kuandika kitabu kwa lugha ya kiswahili inayoeleweka kwa watanzania wengi

  • @GDjudah
    @GDjudah ปีที่แล้ว

    Masha'Allah

  • @mohamedhalake5983
    @mohamedhalake5983 ปีที่แล้ว

    Mola akuongoze Dr sule kutoka kenya

  • @sshaby52
    @sshaby52 ปีที่แล้ว +5

    Ki ukweli kumswaliya Mtume ( S.A.W ) siyo makosa tatizo ni kuwa mnatenga masiku maalum kama inavyoitwa maulidi na kufanya maulidi kwasababu ya kiumbe fulani iyo ndo makosa kutowa darsa ima kufundisha historiya yake kwa nini isiwi darsa kama darsa zingine maulid haina tofauti na Pasika maana mnataja saana kiumbe na kumtukuza kuliko aliye muumba sasa apo ndo mnakoseya Sheikh Kishki ashajaribu saana kuwafafanuliya ila biziwi vile

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 ปีที่แล้ว +2

      Kwan hijja watu huenda kila siku ..

    • @9jafanx933
      @9jafanx933 ปีที่แล้ว

      SHEKH UNAUMWA AU KUNATATIZO ULIZA WAKUELEKEZE NDO USHUKU

    • @sshaby52
      @sshaby52 ปีที่แล้ว

      @@9jafanx933 hhhh kijan mi niko sawa labda weye uwelewa wako kwenye maswala kama hayo huwezi kuyafaham elimu ni kitu kizuri alhamdulillah

  • @aminikamwanadam-qe5rn
    @aminikamwanadam-qe5rn ปีที่แล้ว

    AllahuAkbar

  • @eunicengendo1446
    @eunicengendo1446 ปีที่แล้ว

    The only chanel you will never hear the Dr discliminating any religion

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s 4 หลายเดือนก่อน

    I like this sheikh's lectures but there are aeeas i totally disagree with him. He cannot justify MAULID to justify love for our Nabi (saw) . How i wish he can study more and get the exegesis of the prophetic sera and proper interpretation plus analysis of the holy quran. Jazakallah kheir for the beautiful and educative lecture

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 ปีที่แล้ว +1

    Maa Sha Allah sule nakupenda kwa ajili ya allah

    • @bintykeya8954
      @bintykeya8954 ปีที่แล้ว +1

      Maashallah doctor sule mungu akuzidishie kipaji uzidi kutuelimisha

    • @Djdiho257
      @Djdiho257 ปีที่แล้ว +1

      Mariam sefu anaongea mazuri ila watu wanalia kuhusu utapeli wake kwenye izo tiba zake za kisuni

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 ปีที่แล้ว

      @@Djdiho257 watu wanasema una ushaidi zaidi ya maneno acha fitna ndugu

    • @Djdiho257
      @Djdiho257 ปีที่แล้ว

      @@sadathboutique6253 Sheikh ushahidi ninawo tuma namba yako apo nikupe miamala transaction ya pesa ikibidi na saudi ya huyo mdada alie liwa pesa Yake wa Burundi kipindi alikua akitumikia warabuni
      Sheikh mimi siwezi kuzingishia muisilam mwenzangu wallah kassam ni ukweli

    • @yazidkarasu2497
      @yazidkarasu2497 ปีที่แล้ว

      @@Djdiho257 huo uongo Kama katepeliwa c aende sehemu husika we unasema una ushahid c uende msikitini ukatoe huo ushahid

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 8 หลายเดือนก่อน

    Itaendelea wapi

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 9 หลายเดือนก่อน

    Ongea kiswahili na kama hujui kiswahili weka mkalimani au sivo funga domo lako.

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +1

    Matipwiri chimbuko langu.

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr 10 หลายเดือนก่อน

    Tunasubiri muendelezo

  • @azizhamisi9182
    @azizhamisi9182 ปีที่แล้ว

    Mashaalah

    • @abdulahichachole8176
      @abdulahichachole8176 8 หลายเดือนก่อน +1

      Sheikh Mwenyezi Mungu akupe nguvu na elimu zaidi uweze kutupa daawa tuzidi kushika dini.alhamdhulillah.

  • @joshuamamuya1339
    @joshuamamuya1339 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya huyu mtu

  • @user-py8ol3zd2y
    @user-py8ol3zd2y ปีที่แล้ว

    tatizo serekali halina dini kwaiyo tunapaswa kuwafikishia ujumbe hata wakiwa wamelala

  • @zakiahbakari2017
    @zakiahbakari2017 ปีที่แล้ว

    Allah Abkar

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558 ปีที่แล้ว

    Wafundishe wanafiki hao

  • @user-cz7kz7cj9v
    @user-cz7kz7cj9v 9 หลายเดือนก่อน

    Mama yake Mtume nani tena, na aponyuma umetwqmbia kama wazi wa Mtume walifariki Mtume akiwa mdogo? Kwaiyo uyo aliye kua akikaanga chapati katoka wapi?

  • @fikirinijuma6158
    @fikirinijuma6158 ปีที่แล้ว

    Na natokea Zanzibar Tanzania ila kwa saiyyy nipo nje ya nchi na huku kidogo dini iko chini sana insha'Allah 🙏🙏

    • @myself4128
      @myself4128 9 หลายเดือนก่อน

      Huku watu washashituka na huo Uongo wa waarabu! wajinga ndio waliwao! Stori za Kutengeneza tu upngo na kweli,ulaya hudanyanyi watu hovyo hovyo

    • @nassrubushoot5750
      @nassrubushoot5750 9 หลายเดือนก่อน

      Akili yako inaakili kweli ndugu?

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว

    Ukimsikiliza dr sule:: utajua ukweli kuwa mola humpa elimu au chochote amtakae

  • @SheruTete-yb6ir
    @SheruTete-yb6ir ปีที่แล้ว

    ❤❤
    Q

  • @myself4128
    @myself4128 9 หลายเดือนก่อน

    Hakuna Kilichoteremshwa wala Kupandishwa! Huo uongo wa Kiarabu wa kizamani sana! Quran imeandikwa tu!

  • @kusakisoma3168
    @kusakisoma3168 ปีที่แล้ว

    Kaka hii coca cola ikulipe hata kama hujaingianao mkataba ila coca inasukari shekh

  • @alisalehsaleh2564
    @alisalehsaleh2564 ปีที่แล้ว

    Mama mzazi?

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 ปีที่แล้ว

    Hakuna hoja ya maana ya kufanya maulid labda ungeanza na historia yake kisha utuambie walioianzisha wallanzisha kwa dalili gani na pia wema waliotangulia walimpenda vp Mtume(swalallahu 'alayhi wasalam) dini tayari imeshakamilika na wenzetu waliotutangulia walifanikiwa bila kusoma hayo maulid na unapofanya jambo la dini basi ni vizuri na ndio heshima kurudi kwa wema waliotutangulia

  • @myself4128
    @myself4128 9 หลายเดือนก่อน

    Muhammad ni Mtume wa Mchongo kama Mwamposa😂😂😂

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 ปีที่แล้ว

    Maneno ya busara

  • @saidsajuki5713
    @saidsajuki5713 ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum
    Kisa ni kizuri Sana ila wakati wa editting muwe mnaangalja sehemu za kukata maongezi maana inaondoa uhalisia wa aliyoyaongea na kubadirisha maana. Ukisikiliza dakika ya 20 utaona kama vile anazungumzia mama yake mzazi Mtume alikuwa anakanda chapati wakati si hivyo.

    • @silvestermanase6101
      @silvestermanase6101 ปีที่แล้ว +1

      Nakukubari sana Dr, mimi ni mkristo mkatoliki, lkn nafuatilia sana mafundisho yako, yanafundisha, yanajenga , yanatukumbusha kumcha Mungu.

  • @manrectorz
    @manrectorz ปีที่แล้ว +1

    Nashauri tuache kusoma kitabu cha BARZANJI kina ukakasi sana

    • @omaryhunte
      @omaryhunte ปีที่แล้ว +1

      Tunga chako tusome

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 ปีที่แล้ว +2

      Ni vema ukataja ukakasi huo,ili watu wakuelewe,utakuwa umesaidia

    • @faridaikussi
      @faridaikussi ปีที่แล้ว +1

      ​@@omaryhunte hahaha

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 ปีที่แล้ว

    Dr. Sule kanuni ipi ya kimaumbile (Physics) ambayo mtu mwenye mwili wenye mifupa unaokula na kupumua ukahimili na kusafiri umbali wa nyota tu kwa haraka hiyo?

    • @blackwarrior-animations593
      @blackwarrior-animations593 ปีที่แล้ว

      Science hiyo anayo Allah Bado binadamu hatujafika levo hizo.
      Hata Theluthi ya Science ya Allah hatujaifikia na Professors wote na Geniuses zote zilizowahi Kuishi Duniani ....wanakiri Kwamba Kuna Siri Nyingi Zimo kwenye Kitabu Cha Quran ambapo wakisema wafocus nayo peke yake wataleta Discoveries na Inventions nyingi za kisayansi na za ajabu kuwahi kutokea tangu Kuumbwa Kwetu viumbe.
      Na still hatutozimaliza zote .
      😂 😆

  • @lugomemtamayaye9508
    @lugomemtamayaye9508 ปีที่แล้ว

    Unafki mtupu, tupe dalili ya kuhusu maulidi,wafundisheni watoto kumjua Mtume kupitia madrasa na sio tukio la maulid.

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 ปีที่แล้ว

    Ndugu zangu someni huyu shee muongo sana

    • @jumbalasauti
      @jumbalasauti ปีที่แล้ว

      Muongo Humjua muongo mwenzie

    • @ameirameir4930
      @ameirameir4930 ปีที่แล้ว

      Mh pole Allah akuongoze uione njia sahihi

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 ปีที่แล้ว

    Nlikuwa nakukubali ila kwakuw ni mtu wa bidaa mzee baba pitia kushoto ,kwa maulidi haya mnayofanya hakuna kumtangaza mtume zaidi ya ushenzi tu,hapo umevuruga pamoja na mifano yako ya kisela,,,yaan kicheza kote kuleee wanaume na wanawake barabarani ndo kumtangaza mtume!?,,,,wrong turn 😢

    • @mbokomboko5974
      @mbokomboko5974 ปีที่แล้ว

      Alicho zungumza yy maulidi yenye maadili na kumsifu mtume Sasa ayo unasema ww kuwa ushenzi sio ambayo aloyakusudia yy Wala hausiani nayo ttzo ni kwa awo wanaofanya maulid ya aina iyo unayo isema ww dokt sule hausiki kabisa katka maulid unayosema ww uwo ni uovu wa watu binafsi yao Wala sio mafundusho ya shehe yyte na ukiona MTU anafanya maulid ya aina iyo ujue hajasoma Wala hajui kitu ni mnafk tu

    • @cityhuntermkali2468
      @cityhuntermkali2468 ปีที่แล้ว

      @@mbokomboko5974 wew ulishaona ata cku moja akazungumzia kuhs ayo muaulid ambayo hayafai?, zaid anazungumzia maulid tu sasa hayo yasiyofaa kwann hawayapigi vita km wanayajua km hayafai?, hv kweli mtume alifundisha wanaume wacheze barabaran amna ile na wanawake??.kweli huko ndo kumsifu mtume?

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 9 หลายเดือนก่อน

      Uislamu wangu mdogo nimejifunza kupitia Maulidi.

    • @saraimbaruku2010
      @saraimbaruku2010 9 หลายเดือนก่อน

      Labda Kuna jambo haliko sawa katka maulid lkn naamini ni Bora kuliko nyimbo tunazosikiliza majumbani mwetu na matembezini,lkn ni Bora kuliko rusha roho kwenye hafla zetu na harusi hivyo ni Bora turekebishe pabaya tuendelee na uzur mtupu

  • @alimwabundu5870
    @alimwabundu5870 ปีที่แล้ว

    Sheikh maandazi😀😀

  • @Djdiho257
    @Djdiho257 ปีที่แล้ว

    Tatizo ni tapeli amesha meza pesa za watu wengi

    • @faridaikussi
      @faridaikussi ปีที่แล้ว

      Subhaanallah kwnn

    • @faridaikussi
      @faridaikussi ปีที่แล้ว

      Unaandika hivio

    • @jumakhamis1197
      @jumakhamis1197 ปีที่แล้ว +1

      alishatapeli za nani?

    • @Djdiho257
      @Djdiho257 ปีที่แล้ว

      Wallah wa billah simzingishii fanya utafiti utaelewa kwanini nimeandika hivo kuna watu wanaofanya kazi warabuni wameliwa mahela ya maajabu
      Sauza afrika kuna Rafki angu ameliwa laki saba na kitu TSH ukitaka nikupe vithibitisho nitumie watsup yakho nikurushie miamala na number yake ya sim ilio tumiwa hela
      anakamchezo kabaya sana

    • @faridaikussi
      @faridaikussi ปีที่แล้ว

      @@Djdiho257 sawa akhii lakin hapa,hapafai nitumie yako nikufahamishe khasarazake

  • @zainababdallah5612
    @zainababdallah5612 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @shabanirashid113
    @shabanirashid113 ปีที่แล้ว

    Mashaallah