Only zombies and mentally ill people can believe in this cult known as islam religion. Your god called al lah is an imaginary statue with two hands both are on the right side and a leg, hence is not Spirit and anything without Spirit is a dead thing therefore has no divine powers, is powerless, is dhaifu. The God of Abraham, Isaac and Jacob is Spirit and this God is worshiped by Christians and Jews. Your god a stone called blackstone is in city called mecca and this stone is found at the corner of a cube called kaaba, muslims believe that once you kiss this blackstone all your sins are forgiven. Even the shetani of cult is also found in the same city called mecca, this shetani is punished by muslims by throwing stones in the building of this shetani and building has been built by muslims not shetani himself. Only fools can believe in this cult. Immediately after taking shahada know that your brain is gone so you become zombie. Even scholars of this cult known as islam religion they say that muslims are supposed to believe without understanding and are forbidden to question anything concerning their cult. It's said that 99.8% of muslims do not understand what is written in their book called quran because their god called al lah uses only one language that is arabic language and it's a must to pray in arabic language. Internet is killing islam.
Safi sana Ustadhi Dr Sule, Ni hadthi tamu sana, tumeenda sawa, utofauti upo mazngra alipozaliwa Yesu, chini ya mtende/ Hori la kulishia ng'ombe, but kla mtu afuate alichofundshwa vyote tumeletewa but hongera sana wewe ni mwl.
بسم الله الرحمن الرحيم السلام عليكم ورحمة الله وبركاته Baada ya assalaam Naomba sheikh Atuletee mawaidha ya janga jipya linatusumbuwa na mashetani wa sasa. Masaala ya mume kuowa mume. Masaala ya me kuowa mke. Adhubilahi minaal sheitani alrajeem. Inshaallaaah. Barakallahu kheiran.
@@stevendavid8054 Utamsilizaje na kumuunga mkono mtu ambaye anaongea uongo, tena anatumia neno la Mungu kutetea uongo wake na wewe humkemei, wewe ni mwinjilisti wa mchongo na muongo, maana mtu muongo hawezi kumpinga muongo mwenzake Yohana 8:44-45 44 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo. 45 Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.
Yean wewe ndio unajua dini naona katika waislam wewe pekeako ndio hauna unaguzi wa dini na umekubaliana na wa kristo wengine wanawaita MAKAFIRI HAWANA HOFU YA MUNGU ALLAH aendelee kukutunza🙏
@@saidbakari2408 Mimi siyo mpina Kristo Kwasababu naamini Yesu ni mwana wa Mungu kama alivyosema yeye mwenyewe. Yohana 9:35-37, 35 Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu? 36 Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini? 37 Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Wewe ndiyo mpinga Kristo, kama hutaki kuwa mpinga Kristo, amini leo kuwa yeye ni Mwana wa Mungu kama alivyokuambia apo kwenye Yohana 9:35-37
@@saidbakari2408 Wewe ndiye umepotea kwa kuamini Qur'an ni ukweli kumbe ni uongo wa shetani aliyempa Muhammadi kwenye pango la Hira. Kitabu=Upanga mkali, Ukurasa wa 22, inasema "Tulikuwa na mtume usiku Mmoja, Mara tukamkosa, tukamtafuta katika jangwa na mabonde, tukasema;ameuawa, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu. Kulipopambazuka mara tuka mwona anakuja akitokea upande wa hira, tukamwambia, tumekukosa, na tumekutafuta wala hatukukupata, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu; Akasema Muhammadi nilijiwa na muhitaji wa majini Bosi wa majini nikaenda naye nikawasomea Qur'an
Nenda kasome yesu alikuwa akifanya ibada ktk masinagogi sasa katafute maana ya masinagogi utagundua kuwa ni msikiti kwasababu maana ya masinagogi ni masikiti wa wayahudi. Usikalilishwe kama kuna kitu hupaswi kuridhi ni dini fanya uchunguzi wa dini utagundua wapi sahihi ufate.
Mwandishi alosema yesu ni huyu:- matendo ya mitume 1:1 "Kitabu kile cha kwanza nalikiandika, Theofilo, katika habari ya mambo yote aliyoanza Yesu kufanya na kufundisha" 23:6 Matendo ya mitume "Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu"
Maelezo ni mazuri sana japokuwa mengine kama ni tofauti na ninavyofahamu na pia hayaendani na Historia. Mfano kusema kwamba Mariam mama yake Yesu alisali Msikitini ilhali sote tunafahamu kwamba Mariam alikuwa ni Myahudi na Wayahudi wanasali kwenye Masinagogi hapo ndipo ninapotofautiana naye. Kumbuka Mariam aliishi miaka takriban 600 kabla ya Muhammad (S.A.W). Hata kwenye Quran 22:40 inathibitisha kwamba Wayahudi walikuwa wanasali kwenye Masinagogi (SWALATUN) na sio misikiti.
Yesu wanaomuongelea waislamu sio Yesu Kristo tunamsoma kwenye bibilia bdugu zangu. yesu wao anavunja makanisa ila wetu ndo mjenzi. yesu wao hataki umoja ila wetu anahimiza umoja. Msipotoshwe ba hbr kwamba wao wanawasoma manabii wote walioko kwenye bibilia hiyo sio kweli. Kama wanawasoma wakuambia hbr za yesu tunae msoma sisi uone wanavyokata mitaa. Watakimbilia kwenye bibilia na kunyakuwa kifungu kdg na kujifanya kukuyumbishia. Hawa waislamu ni poroji nyingi tu, hawana lolote. Wapendwa ktk Kristo Yesu jitahidi sana muijue kweli ya neno la Mungu, nayo kweli iwaweke huru.
Sababu Ni mtukufu, kwa Nini asingiziwe mlaaniwa wakati Qur'an sura ya Maryam(Mary) aya ya 31 "yeye na mama Ni wabarikiwa..." Pia hata Biblia inasema angikwae amelaaniwa Wagalatia 3: 13 sasa hapa tunapoumia na masingizio ya mtu huyu mtukufu dhidi ya laana lakin kwa Hali ya ajabu watu hawa wakidai wanamsifu .
Hiyo ndiyo injili yenyewe hasa inayopatikana ktk Quran maana wengi hawajui Quran nini Quran ni kitabu cha mtume Daudi A.S ambacho ni Zaburi ,Torati ya Mussa A.s Injili ya yesu A.s na Quran yenyewe ya Muhammad ni kitabu kilichoshiba kweli hakuna kitu utakachokosa kuhusu mitume kabla ya Muhammad ni kitabu cha haki na ndio maana hata Muhammad kafundisha mama yake yesu ndio mwanamke aliebalikiwa kuliko wanawake wote ingekua uislamu sio dini ya haki bc Muhammad angemsifia mama yake lakini ye ndio kaja na Quran lakin kamsifia mama yake yesu ambaye alikuwepo kabla yake na wakati huo mama yake yesu na yesu mwenyewe hawapo washaondoka duniani .
Shekhe sikia,uislam umekuja miaka mia sita baada ya kifo cha Yesu Kristo,japo unawadanganya wa Islam ila hongera maana unasambaza neno la Mungu wetu,Hongera Shekh kwa kumuongelea Bi Mariam mama wa Yesu,utabarikiwa sana
Mama yake mariam anaitwa nani?? Maryam kabla ya kumzaa yesu alikuwa dini gani?? Yesu alizaliwa baada ya miaka mia sita baada ya mussa mbona hamfati dini ya Mussa
Muhammad hakua mtume pekee alietumwa kwa ajili ya Uislam. Yani yeye alikuja kufanya kazi ilioanza kufanya miaka mingi kabla yake, kwaio Yeye sio wa kwanza kutumwa kwa ajili ya Uislam hapa duniani. Ila ni wa mwisho
Hapa wakatoliki tu, ndio tutaelewa anachokisema huyu mzee mungu akubariki sana sheikh❤️❤️
Duh! Mimi Mkatoliki mwenye msimamo mkali sana, Dr. Umetisha sana.
Naanza kufatilia hotuba zako!
Kiukweri Dr. Sulley Mwenyezi Mungu akupe kila lenye kheri hapa duniani mpaka ahera.
Wallahi shehe umenigusa mno na Hotuba yako Mungu akubariki sana!
Mashalah shekh Alhah akubariki
Axalam alyqum warahmatullah wabaraqatu shekh...mbna hufiki mombasa sehumu za mariakani ju wa2 wanatamani xna kukuona....inxhallah twakuombea ufike kwa neema ya Allah.
Mashallah Mashallah kwa uhakika Uislam ni muongozo. Shukrani kwa elimu Dr Sule Allah akuweke.
Hayo hata kwenye Biblia yapo, hivyo muongozo upo kwenye Biblia
Kuzaliwa kwa Yesu ni mpango wa Mungu, alizaliwa bila baba kimiujiza. Acha wote tumfuate Yesu
Sheikh, hongera sana sana hii ndiyo hotuba iliyoenda shule. Natamani utunge kitabu cha maneno haya haya. Kiletwe hata makanisani kwetu tutanunua sana.
Mashsllahh
Jazzak Allahu Khair,shukran sheikh Wang kwa elimu
Hakika tunastahili waislam kuyakemea mabaya sema shiekh wangu mwenyezi Mungu akupebaraka
Fundisho nzuri sana Sheikh ubarikiwe inshallah
😢MASHAALLAH WALAHI VERY TRUE MAY ALLAH BLESS YOU AND ME ,AND GRANT US JANNATUL FIRDOWS 🕋🙏###ISLAM IS THE BEST DEEN FOREVER
I am Muslim I love it please give me your number for know ing each other
Only zombies and mentally ill people can believe in this cult known as islam religion. Your god called al lah is an imaginary statue with two hands both are on the right side and a leg, hence is not Spirit and anything without Spirit is a dead thing therefore has no divine powers, is powerless, is dhaifu. The God of Abraham, Isaac and Jacob is Spirit and this God is worshiped by Christians and Jews. Your god a stone called blackstone is in city called mecca and this stone is found at the corner of a cube called kaaba, muslims believe that once you kiss this blackstone all your sins are forgiven. Even the shetani of cult is also found in the same city called mecca, this shetani is punished by muslims by throwing stones in the building of this shetani and building has been built by muslims not shetani himself. Only fools can believe in this cult. Immediately after taking shahada know that your brain is gone so you become zombie. Even scholars of this cult known as islam religion they say that muslims are supposed to believe without understanding and are forbidden to question anything concerning their cult. It's said that 99.8% of muslims do not understand what is written in their book called quran because their god called al lah uses only one language that is arabic language and it's a must to pray in arabic language. Internet is killing islam.
Mungu akibariki sheh nimependa mahubili yako mungu akujaze
Nimependa mahubiri sana, mm ni mkristo
Safi sana Ustadhi Dr Sule, Ni hadthi tamu sana, tumeenda sawa, utofauti upo mazngra alipozaliwa Yesu, chini ya mtende/ Hori la kulishia ng'ombe, but kla mtu afuate alichofundshwa vyote tumeletewa but hongera sana wewe ni mwl.
Nimependa mahubiri yako Shekhe Sullen.
Ahsante sheikh Alhaj Doctor Sule kwa Elimu .
MashaAllah jazakAllah khair Sheikh Dr Suley
Kweli kabisa shekh hitoria ya Maryam unaijua,nashanga waislam wengi hawataki kujua hilo
Ulijenga mjengo southninyi viongozi wa dini zote mna maisha bora kwa zaka za waumini
Kumbe zaka robo tatu iende kwa wahitaji siku hiyohiyo ijumaa na j'mapili, mnabadili magari na hiyo pepo mtaionaje ?
Hotuba mzuri
@@godfreyobadiah7892 😂😂😂😂🤣
Allah akulipe kilalakheri fidunia wali
Allhamdullh shukrani kwa mungu ametuzalia masheik wenye wakona elimu
Nakubaliana na ww maana kitabu Cha historia ya Mama Bikira Maria katoliki inafanana na hii Yako Mungu ni mwema
Barakallah fiika
Kanisa la Mungu katoliki liki wafundisha juya mama bikira maria mnawajiajuu na kuwa tukana ndipo mumeanza kuku mbuka Amini.
Allahu Akbar. Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza Sheikh. Hongera kutoka Kenya.
Mungu mwema atujalie mwisho mwema ❤
Sheikh Allah akubariki.mimi ni mkristo.
Asante kwa somo zuri Mungu akubariki
Unaitwa Dr haki unastahili kwamaana unajua kujua kufafanua watu wa mungu waweze kuelewa tena kiuwepesi
Allah Kareem akufanyie wepesi Kwa kila Jambo maashaa Allah
MashaAllah mungu akulipe heri Kwa kutuelekeza yalio ya kweli
Natamani kama vile uebdelee nimefarijika sana japo mimi mkristo mkatoliki
Mawaidha ambayo hata mkristu akisikiliza anaelewa safi sana Sheikh
Anaongea uongo, Waislamu zindukeni
@@frankmpembukakojoe ulale mpinga kristo
بسم الله الرحمن الرحيم
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
Baada ya assalaam
Naomba sheikh
Atuletee mawaidha ya janga jipya linatusumbuwa na mashetani wa sasa.
Masaala ya mume kuowa mume.
Masaala ya me kuowa mke.
Adhubilahi minaal sheitani alrajeem. Inshaallaaah.
Barakallahu kheiran.
Masshallah
Hongera sana doctor
Mashallah Allah akufanyie kila la kheri sheikh SULE inshaallah
Mashallah ostazi 🙏🙏🙏🙏
Mashallah Allah jambo la khery
Takbiiir
Bismillah MashaAllah ❤❤❤
Mashalllah ❤nimependa mafundisho ubarikiwe Allah akupe mema ya nchi
Mimi ni mkristo mkatoliki, kwa ufafanuzi wa Mheshimiwa Sheikh, nimekukubali baba. Mungu akubariki sana.
HII haijalishi. shekh atuambie.. uilsmau ulianziswa lini. kwa nini sinagoga iitwe msikitiki? kwa nini hekalu liitwe msikiti. tunataniana?.
Uislamu na Ukatoriki ni kitu kimoja.
@@leonceuwandameno760 Sinagogi siyo msikiti, hekalu siyo misikiti weka hiyo kichwani brother.
@@frankmpembu Please be serious! tangu line kikawa kitu kimoja?
@@frankmpembu Ni kweli sinagogi siyo msikiti, wala hekalu siyo msikiti ... shekk anapobainisha kuwa Mariamu aliingia msikitini... anamaanisha nini?
Allahou Akbar cheikh sule acha allaha azidi kukupa umri marefu cheikh wangu nakukubali sana
Mashallah, mwnyz mungu akubari shekh Suleiman
Inshallah mwenyezi Mungu akubariki sheikh
Shekhe Mrisho Ibni jumaa Ibni Mrisho wa Ibni Kipindura Amerithi jina la Babu Shekhe wangu.
Mimi ni mkristo shekhe umenifurahisha sana maana unaongea ukweli mtupu mungu akubariki sana
Amina shehe,,tuangalie majina ya kuwapa watoto,mimi ni mwinjilisti nimekupenda sana barikiwa
Wewe ni mwinjilisti wa uongo, yani hujui kuwa anaongea uongo
Mungu akubariki nawe pia ndugu
@@frankmpembu wewe ndo mungo na mnafiki,hapo sasa alizungumza uongo, kusema tuchague majina ya kuwapa watoto,acha ushenzi wako
@@saidbakari2408 Amina Asante
@@stevendavid8054 Utamsilizaje na kumuunga mkono mtu ambaye anaongea uongo, tena anatumia neno la Mungu kutetea uongo wake na wewe humkemei, wewe ni mwinjilisti wa mchongo na muongo, maana mtu muongo hawezi kumpinga muongo mwenzake Yohana 8:44-45 44 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.
45 Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.
Ma Sha Allah sheik
Yean wewe ndio unajua dini naona katika waislam wewe pekeako ndio hauna unaguzi wa dini na umekubaliana na wa kristo wengine wanawaita
MAKAFIRI
HAWANA HOFU YA MUNGU
ALLAH aendelee kukutunza🙏
Makafiri sio wakristo eleweni kafiri ni yule asiejua Kuna mungu ,kufa na kufufuliwa na siku ya mwisho
Nimefurahi sana unapohubiri habari za bikira Maria. Asante
YOU DID IT DR SULE
YO ARE REAL DOCTOOR
Doctor wa uongo
@@frankmpembukaa kwa kutulia mpinga kristo wewe
@@saidbakari2408 Mimi siyo mpina Kristo Kwasababu naamini Yesu ni mwana wa Mungu kama alivyosema yeye mwenyewe. Yohana 9:35-37, 35 Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu?
36 Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini?
37 Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye.
Wewe ndiyo mpinga Kristo, kama hutaki kuwa mpinga Kristo, amini leo kuwa yeye ni Mwana wa Mungu kama alivyokuambia apo kwenye Yohana 9:35-37
Maashallah
Mashaallah mungu akuwekeye wepesi katka mambo Yako yote duniani na akhera shkrani sn shekh😍😍😍
Barikiwa shekhe hunaga unafki
Sheh unafaa kwa dini zote asante mungu akubariki
Hafai kwa dini zote, nenda kasome. Anaongea uongo tu apo
@@frankmpembuukikata mkojo kakojoe ulale AZAZIL
@@saidbakari2408 Kama inakuuma chomoa, ukweli umeshakuingia toka huko.
@@frankmpembu 😁😁😁 Pole saana kondoo uliyepote
@@saidbakari2408 Wewe ndiye umepotea kwa kuamini Qur'an ni ukweli kumbe ni uongo wa shetani aliyempa Muhammadi kwenye pango la Hira.
Kitabu=Upanga mkali,
Ukurasa wa 22, inasema
"Tulikuwa na mtume usiku Mmoja, Mara tukamkosa, tukamtafuta katika jangwa na mabonde, tukasema;ameuawa, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu. Kulipopambazuka mara tuka mwona anakuja akitokea upande wa hira, tukamwambia, tumekukosa, na tumekutafuta wala hatukukupata, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu; Akasema Muhammadi nilijiwa na muhitaji wa majini Bosi wa majini nikaenda naye nikawasomea Qur'an
Bwana YESU Asifiwe Suleiman Alijenga Hekalu na sio Msikiti wowote
Nenda kasome yesu alikuwa akifanya ibada ktk masinagogi sasa katafute maana ya masinagogi utagundua kuwa ni msikiti kwasababu maana ya masinagogi ni masikiti wa wayahudi. Usikalilishwe kama kuna kitu hupaswi kuridhi ni dini fanya uchunguzi wa dini utagundua wapi sahihi ufate.
Jazakallah
Mungu akutie nguvu shekhe
Yesu aliwaambia wanafunzi wake yakuwa, mjihathari na mafundisho ya waandishi na mafarisayo
Mwandishi alosema yesu ni huyu:- matendo ya mitume 1:1
"Kitabu kile cha kwanza nalikiandika, Theofilo, katika habari ya mambo yote aliyoanza Yesu kufanya na kufundisha"
23:6 Matendo ya mitume "Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu"
Amene
I would like the nxt content of dr to be how joseph become the father of jesus
Safi sana Dr, sule
Ma sha Allah napenda sana kusikiliza mawaidha yake Allah amlipe ujira mwema
Shukrani sana
Masha Allah Al Hajji - Hussein Kaituko, Bungoma, Kenya
Nimekukubali shehe ubarikiwe sana
Mahubiri mazuri sana ubarikiwe mno
😂😂😂😂😂😂😂😂Dr Sulle,,,,nmecheka xnaaaaa leo,,, ujumbe mzito na maneno ya kufurahisha,,,, Allah akulinde Inshallah
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
Mungu akubaliki shehe
Anglicans pia tuko hapo mafundisho mazuri sana Barikiwa sheikh.
Assalamam aleikum Mungu akujaze kheri shekh 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Shekh wangu endelea kutoa mawaidha Mungu akubariki Sana Wakatoliki tunakufagilia
Tumsifu yesu kristo Mimi nimesikia mwanzo mpaka mwisho Sheikh
Maelezo ni mazuri sana japokuwa mengine kama ni tofauti na ninavyofahamu na pia hayaendani na Historia. Mfano kusema kwamba Mariam mama yake Yesu alisali Msikitini ilhali sote tunafahamu kwamba Mariam alikuwa ni Myahudi na Wayahudi wanasali kwenye Masinagogi hapo ndipo ninapotofautiana naye. Kumbuka Mariam aliishi miaka takriban 600 kabla ya Muhammad (S.A.W). Hata kwenye Quran 22:40 inathibitisha kwamba Wayahudi walikuwa wanasali kwenye Masinagogi (SWALATUN) na sio misikiti.
mungu akutunze sheikh am Christian lakin napenda mafundisho yako🙏🙏
Hàihitajiki nguvu nyingi kuyaelewa mafundisho yako.
Ubarikiwe
Naaam
Kuwa muislam
Aamin
Yesu wanaomuongelea waislamu sio Yesu Kristo tunamsoma kwenye bibilia bdugu zangu. yesu wao anavunja makanisa ila wetu ndo mjenzi. yesu wao hataki umoja ila wetu anahimiza umoja.
Msipotoshwe ba hbr kwamba wao wanawasoma manabii wote walioko kwenye bibilia hiyo sio kweli. Kama wanawasoma wakuambia hbr za yesu tunae msoma sisi uone wanavyokata mitaa.
Watakimbilia kwenye bibilia na kunyakuwa kifungu kdg na kujifanya kukuyumbishia.
Hawa waislamu ni poroji nyingi tu, hawana lolote.
Wapendwa ktk Kristo Yesu jitahidi sana muijue kweli ya neno la Mungu, nayo kweli iwaweke huru.
ndo huyo huyo ila kuna wahuni walikuja kuihariri injili na kuharibu baadhi ya mafundisho
Barikiwa zaidi mtumishi kwa maneno mazuri.
Tabaraqah Allaah
Mashall
Waisram wanamariam wao munyazi mungu wao kwaujumla tuendelee kuwaombea waje kwa Jesus
Wakatolik muendelee kumuabudu mtoto wa mriam aitwaye yesu
Hadithi nzuri sana mashallar
Mashallah ♥️ 🙏
Masha Allah 🥰🥰
MashaAllah 💕💕💕💕💕💕💕💕
mpumbavu wewe wamusikiliza huyu mwongo .kweli wajinga hawawezi kuisha dunia hii
Masha'Allah
Nakufata vizuri sheh
Asante Shehe nimelewa sn leo
Barak Allahu feek Dr sule
Mansh Allah Alhamdulillah
Maashallah
Masha Allah very history
Mungu akupe umli mlefu
Asanteee
Nimepata kitu kutoka kwako Shekhe
Mungu akupe nguvu ya kuinjilisha. Neno
Mashallah
Mashaalllah, M/mungu akupe umri mrefu sheikh vizaz vijavyo vifaidike zaid na darasa zako
😅 by
AllAh atuongoze
Hongera mtaalam Doctor Suley
Mama ni mama
Waoh walioamini Ndio wanatumia muda wao vizuri
Inshallah shekh Allah akpe kher
Mungu akubariki jamani sheehee..amuna tumepingwa vita wakatoliki alibarikiwa kuliko wanawake wote
Hapo Kwenye majina nikweli kabisaaaa💯
Asalam aleikum warahmatudhahi wabarakatuh.Umesema kweli
Mwamba Yesu anawapasua vichwa .
Kivipi labda?
Ni kwel lzm atupasue vichwa sababu tunampenda sn,tuna muheshim sn huyu ni Mtume wetu hvyo lzm tumfuatilie sn
Sadakta
Dr.anamzungumzia nabii Issa sio Yesu wako. Weka kichwa chako sawa.
Sababu Ni mtukufu, kwa Nini asingiziwe mlaaniwa wakati Qur'an sura ya Maryam(Mary) aya ya 31 "yeye na mama Ni wabarikiwa..." Pia hata Biblia inasema angikwae amelaaniwa Wagalatia 3: 13 sasa hapa tunapoumia na masingizio ya mtu huyu mtukufu dhidi ya laana lakin kwa Hali ya ajabu watu hawa
wakidai wanamsifu .
Mashaah mungu akubaliki
Unaongea ukweli kabisa,mafundisho mazuri haya
Hiyo ndiyo injili yenyewe hasa inayopatikana ktk Quran maana wengi hawajui Quran nini Quran ni kitabu cha mtume Daudi A.S ambacho ni Zaburi ,Torati ya Mussa A.s Injili ya yesu A.s na Quran yenyewe ya Muhammad ni kitabu kilichoshiba kweli hakuna kitu utakachokosa kuhusu mitume kabla ya Muhammad ni kitabu cha haki na ndio maana hata Muhammad kafundisha mama yake yesu ndio mwanamke aliebalikiwa kuliko wanawake wote ingekua uislamu sio dini ya haki bc Muhammad angemsifia mama yake lakini ye ndio kaja na Quran lakin kamsifia mama yake yesu ambaye alikuwepo kabla yake na wakati huo mama yake yesu na yesu mwenyewe hawapo washaondoka duniani .
Maashaanllaah anlaah akuzidishie
Shekhe sikia,uislam umekuja miaka mia sita baada ya kifo cha Yesu Kristo,japo unawadanganya wa Islam ila hongera maana unasambaza neno la Mungu wetu,Hongera Shekh kwa kumuongelea Bi Mariam mama wa Yesu,utabarikiwa sana
Mama yake mariam anaitwa nani?? Maryam kabla ya kumzaa yesu alikuwa dini gani?? Yesu alizaliwa baada ya miaka mia sita baada ya mussa mbona hamfati dini ya Mussa
Muhammad hakua mtume pekee alietumwa kwa ajili ya Uislam. Yani yeye alikuja kufanya kazi ilioanza kufanya miaka mingi kabla yake, kwaio Yeye sio wa kwanza kutumwa kwa ajili ya Uislam hapa duniani. Ila ni wa mwisho