HISTORIA YA BI: MARYAM MAMA YAKE YESU || YESU KAZALIWA BEACH MAENEO HAYA || ALHAJJ DR. SULLE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2023

ความคิดเห็น • 865

  • @PriscaManonAman-nq9ir
    @PriscaManonAman-nq9ir 9 หลายเดือนก่อน +17

    Hapa wakatoliki tu, ndio tutaelewa anachokisema huyu mzee mungu akubariki sana sheikh❤️❤️

  • @nobertkamugisha5177
    @nobertkamugisha5177 9 หลายเดือนก่อน +5

    Duh! Mimi Mkatoliki mwenye msimamo mkali sana, Dr. Umetisha sana.
    Naanza kufatilia hotuba zako!

  • @emilykivunja1280
    @emilykivunja1280 9 หลายเดือนก่อน +3

    Kiukweri Dr. Sulley Mwenyezi Mungu akupe kila lenye kheri hapa duniani mpaka ahera.

  • @nemeskiwali3248
    @nemeskiwali3248 ปีที่แล้ว +8

    Wallahi shehe umenigusa mno na Hotuba yako Mungu akubariki sana!

  • @fatmakombo6639
    @fatmakombo6639 ปีที่แล้ว +11

    Mashalah shekh Alhah akubariki

  • @jumamgandi-wi1cp
    @jumamgandi-wi1cp ปีที่แล้ว +9

    Axalam alyqum warahmatullah wabaraqatu shekh...mbna hufiki mombasa sehumu za mariakani ju wa2 wanatamani xna kukuona....inxhallah twakuombea ufike kwa neema ya Allah.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 ปีที่แล้ว +10

    Mashallah Mashallah kwa uhakika Uislam ni muongozo. Shukrani kwa elimu Dr Sule Allah akuweke.

    • @lilianluhasi311
      @lilianluhasi311 9 หลายเดือนก่อน

      Hayo hata kwenye Biblia yapo, hivyo muongozo upo kwenye Biblia

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kuzaliwa kwa Yesu ni mpango wa Mungu, alizaliwa bila baba kimiujiza. Acha wote tumfuate Yesu

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 10 หลายเดือนก่อน +10

    Sheikh, hongera sana sana hii ndiyo hotuba iliyoenda shule. Natamani utunge kitabu cha maneno haya haya. Kiletwe hata makanisani kwetu tutanunua sana.

  • @dianandabirorere6365
    @dianandabirorere6365 ปีที่แล้ว +7

    Jazzak Allahu Khair,shukran sheikh Wang kwa elimu

  • @EduwardPatrick-ux8dq
    @EduwardPatrick-ux8dq 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika tunastahili waislam kuyakemea mabaya sema shiekh wangu mwenyezi Mungu akupebaraka

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo8537 ปีที่แล้ว +5

    Fundisho nzuri sana Sheikh ubarikiwe inshallah

  • @SWEETGALKHAN_001
    @SWEETGALKHAN_001 ปีที่แล้ว +16

    😢MASHAALLAH WALAHI VERY TRUE MAY ALLAH BLESS YOU AND ME ,AND GRANT US JANNATUL FIRDOWS 🕋🙏###ISLAM IS THE BEST DEEN FOREVER

    • @aishanassor1757
      @aishanassor1757 ปีที่แล้ว

      I am Muslim I love it please give me your number for know ing each other

    • @ipyanamwasampeta653
      @ipyanamwasampeta653 9 หลายเดือนก่อน

      Only zombies and mentally ill people can believe in this cult known as islam religion. Your god called al lah is an imaginary statue with two hands both are on the right side and a leg, hence is not Spirit and anything without Spirit is a dead thing therefore has no divine powers, is powerless, is dhaifu. The God of Abraham, Isaac and Jacob is Spirit and this God is worshiped by Christians and Jews. Your god a stone called blackstone is in city called mecca and this stone is found at the corner of a cube called kaaba, muslims believe that once you kiss this blackstone all your sins are forgiven. Even the shetani of cult is also found in the same city called mecca, this shetani is punished by muslims by throwing stones in the building of this shetani and building has been built by muslims not shetani himself. Only fools can believe in this cult. Immediately after taking shahada know that your brain is gone so you become zombie. Even scholars of this cult known as islam religion they say that muslims are supposed to believe without understanding and are forbidden to question anything concerning their cult. It's said that 99.8% of muslims do not understand what is written in their book called quran because their god called al lah uses only one language that is arabic language and it's a must to pray in arabic language. Internet is killing islam.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akibariki sheh nimependa mahubili yako mungu akujaze

    • @FordinaMpangala
      @FordinaMpangala ปีที่แล้ว +1

      Nimependa mahubiri sana, mm ni mkristo

  • @josephosborne3072
    @josephosborne3072 9 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Ustadhi Dr Sule, Ni hadthi tamu sana, tumeenda sawa, utofauti upo mazngra alipozaliwa Yesu, chini ya mtende/ Hori la kulishia ng'ombe, but kla mtu afuate alichofundshwa vyote tumeletewa but hongera sana wewe ni mwl.

  • @galusbenomillinga
    @galusbenomillinga ปีที่แล้ว +6

    Nimependa mahubiri yako Shekhe Sullen.

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 ปีที่แล้ว +6

    Ahsante sheikh Alhaj Doctor Sule kwa Elimu .

  • @mohamedkibwana7558
    @mohamedkibwana7558 ปีที่แล้ว +10

    MashaAllah jazakAllah khair Sheikh Dr Suley

    • @catherinenicander7468
      @catherinenicander7468 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa shekh hitoria ya Maryam unaijua,nashanga waislam wengi hawataki kujua hilo

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 ปีที่แล้ว

      Ulijenga mjengo southninyi viongozi wa dini zote mna maisha bora kwa zaka za waumini

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 ปีที่แล้ว

      Kumbe zaka robo tatu iende kwa wahitaji siku hiyohiyo ijumaa na j'mapili, mnabadili magari na hiyo pepo mtaionaje ?

    • @mahunduinnocent8027
      @mahunduinnocent8027 ปีที่แล้ว

      Hotuba mzuri

    • @Ashsultana
      @Ashsultana ปีที่แล้ว

      @@godfreyobadiah7892 😂😂😂😂🤣

  • @adijamuke8590
    @adijamuke8590 ปีที่แล้ว +6

    Allah akulipe kilalakheri fidunia wali

  • @ahmedabdi3262
    @ahmedabdi3262 ปีที่แล้ว +4

    Allhamdullh shukrani kwa mungu ametuzalia masheik wenye wakona elimu

  • @marymule1678
    @marymule1678 10 หลายเดือนก่อน +5

    Nakubaliana na ww maana kitabu Cha historia ya Mama Bikira Maria katoliki inafanana na hii Yako Mungu ni mwema

  • @jumannekambi232
    @jumannekambi232 ปีที่แล้ว +9

    Barakallah fiika

  • @anodsimbeye9093
    @anodsimbeye9093 ปีที่แล้ว +3

    Kanisa la Mungu katoliki liki wafundisha juya mama bikira maria mnawajiajuu na kuwa tukana ndipo mumeanza kuku mbuka Amini.

  • @abdulrahimowino1235
    @abdulrahimowino1235 ปีที่แล้ว +3

    Allahu Akbar. Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza Sheikh. Hongera kutoka Kenya.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu mwema atujalie mwisho mwema ❤

  • @augustinematwe2797
    @augustinematwe2797 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh Allah akubariki.mimi ni mkristo.

  • @RehemaMassana-gm5ir
    @RehemaMassana-gm5ir ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa somo zuri Mungu akubariki

  • @silvanuschiwalanga46
    @silvanuschiwalanga46 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unaitwa Dr haki unastahili kwamaana unajua kujua kufafanua watu wa mungu waweze kuelewa tena kiuwepesi

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko ปีที่แล้ว +4

    Allah Kareem akufanyie wepesi Kwa kila Jambo maashaa Allah

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz ปีที่แล้ว +8

    MashaAllah mungu akulipe heri Kwa kutuelekeza yalio ya kweli

    • @bettyjimmy9007
      @bettyjimmy9007 10 หลายเดือนก่อน

      Natamani kama vile uebdelee nimefarijika sana japo mimi mkristo mkatoliki

  • @piustombili9921
    @piustombili9921 ปีที่แล้ว +5

    Mawaidha ambayo hata mkristu akisikiliza anaelewa safi sana Sheikh

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว

      Anaongea uongo, Waislamu zindukeni

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 ปีที่แล้ว

      ​@@frankmpembukakojoe ulale mpinga kristo

  • @ahmedkamalmuhammad475
    @ahmedkamalmuhammad475 ปีที่แล้ว +15

    بسم الله الرحمن الرحيم
    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
    Baada ya assalaam
    Naomba sheikh
    Atuletee mawaidha ya janga jipya linatusumbuwa na mashetani wa sasa.
    Masaala ya mume kuowa mume.
    Masaala ya me kuowa mke.
    Adhubilahi minaal sheitani alrajeem. Inshaallaaah.
    Barakallahu kheiran.

  • @HazlaKhamis-xw6se
    @HazlaKhamis-xw6se ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Allah akufanyie kila la kheri sheikh SULE inshaallah

    • @mariamjuma8580
      @mariamjuma8580 ปีที่แล้ว

      Mashallah ostazi 🙏🙏🙏🙏

  • @drmwitagogwani3636
    @drmwitagogwani3636 ปีที่แล้ว +7

    Mashallah Allah jambo la khery

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 ปีที่แล้ว +9

    Bismillah MashaAllah ❤❤❤

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mashalllah ❤nimependa mafundisho ubarikiwe Allah akupe mema ya nchi

  • @josephmasenga3517
    @josephmasenga3517 ปีที่แล้ว +93

    Mimi ni mkristo mkatoliki, kwa ufafanuzi wa Mheshimiwa Sheikh, nimekukubali baba. Mungu akubariki sana.

    • @leonceuwandameno760
      @leonceuwandameno760 ปีที่แล้ว +6

      HII haijalishi. shekh atuambie.. uilsmau ulianziswa lini. kwa nini sinagoga iitwe msikitiki? kwa nini hekalu liitwe msikiti. tunataniana?.

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว +5

      Uislamu na Ukatoriki ni kitu kimoja.

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว +10

      ​@@leonceuwandameno760 Sinagogi siyo msikiti, hekalu siyo misikiti weka hiyo kichwani brother.

    • @leonceuwandameno6378
      @leonceuwandameno6378 ปีที่แล้ว +1

      @@frankmpembu Please be serious! tangu line kikawa kitu kimoja?

    • @leonceuwandameno6378
      @leonceuwandameno6378 ปีที่แล้ว +1

      @@frankmpembu Ni kweli sinagogi siyo msikiti, wala hekalu siyo msikiti ... shekk anapobainisha kuwa Mariamu aliingia msikitini... anamaanisha nini?

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe6965 4 หลายเดือนก่อน

    Allahou Akbar cheikh sule acha allaha azidi kukupa umri marefu cheikh wangu nakukubali sana

  • @rajabomar3981
    @rajabomar3981 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah, mwnyz mungu akubari shekh Suleiman

  • @lameckmadeni
    @lameckmadeni ปีที่แล้ว +2

    Inshallah mwenyezi Mungu akubariki sheikh

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +2

    Shekhe Mrisho Ibni jumaa Ibni Mrisho wa Ibni Kipindura Amerithi jina la Babu Shekhe wangu.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ni mkristo shekhe umenifurahisha sana maana unaongea ukweli mtupu mungu akubariki sana

  • @stevendavid8054
    @stevendavid8054 ปีที่แล้ว +7

    Amina shehe,,tuangalie majina ya kuwapa watoto,mimi ni mwinjilisti nimekupenda sana barikiwa

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว +1

      Wewe ni mwinjilisti wa uongo, yani hujui kuwa anaongea uongo

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 ปีที่แล้ว +1

      Mungu akubariki nawe pia ndugu

    • @stevendavid8054
      @stevendavid8054 ปีที่แล้ว

      @@frankmpembu wewe ndo mungo na mnafiki,hapo sasa alizungumza uongo, kusema tuchague majina ya kuwapa watoto,acha ushenzi wako

    • @stevendavid8054
      @stevendavid8054 ปีที่แล้ว

      @@saidbakari2408 Amina Asante

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว

      @@stevendavid8054 Utamsilizaje na kumuunga mkono mtu ambaye anaongea uongo, tena anatumia neno la Mungu kutetea uongo wake na wewe humkemei, wewe ni mwinjilisti wa mchongo na muongo, maana mtu muongo hawezi kumpinga muongo mwenzake Yohana 8:44-45 44 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.
      45 Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.

  • @ahmedabdi3262
    @ahmedabdi3262 ปีที่แล้ว +3

    Ma Sha Allah sheik

  • @StellaSamsoni
    @StellaSamsoni 3 หลายเดือนก่อน +2

    Yean wewe ndio unajua dini naona katika waislam wewe pekeako ndio hauna unaguzi wa dini na umekubaliana na wa kristo wengine wanawaita
    MAKAFIRI
    HAWANA HOFU YA MUNGU
    ALLAH aendelee kukutunza🙏

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 3 หลายเดือนก่อน

      Makafiri sio wakristo eleweni kafiri ni yule asiejua Kuna mungu ,kufa na kufufuliwa na siku ya mwisho

  • @JosephSila-tc2dw
    @JosephSila-tc2dw ปีที่แล้ว +4

    Nimefurahi sana unapohubiri habari za bikira Maria. Asante

  • @nassirlugunda1544
    @nassirlugunda1544 ปีที่แล้ว +6

    YOU DID IT DR SULE
    YO ARE REAL DOCTOOR

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว

      Doctor wa uongo

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 ปีที่แล้ว

      ​@@frankmpembukaa kwa kutulia mpinga kristo wewe

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว

      @@saidbakari2408 Mimi siyo mpina Kristo Kwasababu naamini Yesu ni mwana wa Mungu kama alivyosema yeye mwenyewe. Yohana 9:35-37, 35 Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu?
      36 Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini?
      37 Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye.
      Wewe ndiyo mpinga Kristo, kama hutaki kuwa mpinga Kristo, amini leo kuwa yeye ni Mwana wa Mungu kama alivyokuambia apo kwenye Yohana 9:35-37

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama1542 ปีที่แล้ว +4

    Maashallah

  • @AndreKanyama
    @AndreKanyama 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mungu akuwekeye wepesi katka mambo Yako yote duniani na akhera shkrani sn shekh😍😍😍

  • @benedictkiteji3627
    @benedictkiteji3627 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa shekhe hunaga unafki

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 ปีที่แล้ว +6

    Sheh unafaa kwa dini zote asante mungu akubariki

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว +1

      Hafai kwa dini zote, nenda kasome. Anaongea uongo tu apo

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 ปีที่แล้ว

      ​@@frankmpembuukikata mkojo kakojoe ulale AZAZIL

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว

      @@saidbakari2408 Kama inakuuma chomoa, ukweli umeshakuingia toka huko.

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 ปีที่แล้ว +1

      @@frankmpembu 😁😁😁 Pole saana kondoo uliyepote

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว

      @@saidbakari2408 Wewe ndiye umepotea kwa kuamini Qur'an ni ukweli kumbe ni uongo wa shetani aliyempa Muhammadi kwenye pango la Hira.
      Kitabu=Upanga mkali,
      Ukurasa wa 22, inasema
      "Tulikuwa na mtume usiku Mmoja, Mara tukamkosa, tukamtafuta katika jangwa na mabonde, tukasema;ameuawa, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu. Kulipopambazuka mara tuka mwona anakuja akitokea upande wa hira, tukamwambia, tumekukosa, na tumekutafuta wala hatukukupata, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu; Akasema Muhammadi nilijiwa na muhitaji wa majini Bosi wa majini nikaenda naye nikawasomea Qur'an

  • @joasgeorge9648
    @joasgeorge9648 ปีที่แล้ว +1

    Bwana YESU Asifiwe Suleiman Alijenga Hekalu na sio Msikiti wowote

    • @Malaikakisseto
      @Malaikakisseto 10 หลายเดือนก่อน

      Nenda kasome yesu alikuwa akifanya ibada ktk masinagogi sasa katafute maana ya masinagogi utagundua kuwa ni msikiti kwasababu maana ya masinagogi ni masikiti wa wayahudi. Usikalilishwe kama kuna kitu hupaswi kuridhi ni dini fanya uchunguzi wa dini utagundua wapi sahihi ufate.

  • @strong8534
    @strong8534 ปีที่แล้ว +4

    Jazakallah

  • @SimonHombo-kl8rr
    @SimonHombo-kl8rr ปีที่แล้ว +2

    Mungu akutie nguvu shekhe

  • @mystrocell2
    @mystrocell2 ปีที่แล้ว +6

    Yesu aliwaambia wanafunzi wake yakuwa, mjihathari na mafundisho ya waandishi na mafarisayo

    • @samxx411
      @samxx411 ปีที่แล้ว

      Mwandishi alosema yesu ni huyu:- matendo ya mitume 1:1
      "Kitabu kile cha kwanza nalikiandika, Theofilo, katika habari ya mambo yote aliyoanza Yesu kufanya na kufundisha"
      23:6 Matendo ya mitume "Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu"

    • @user-il7pd9et7d
      @user-il7pd9et7d 9 หลายเดือนก่อน

      Amene

  • @eunicengendo1446
    @eunicengendo1446 ปีที่แล้ว +5

    I would like the nxt content of dr to be how joseph become the father of jesus

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana Dr, sule

  • @shaninjenje5004
    @shaninjenje5004 ปีที่แล้ว +1

    Ma sha Allah napenda sana kusikiliza mawaidha yake Allah amlipe ujira mwema

  • @MrCay2co
    @MrCay2co ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah Al Hajji - Hussein Kaituko, Bungoma, Kenya

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 ปีที่แล้ว +2

    Nimekukubali shehe ubarikiwe sana

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo8537 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mahubiri mazuri sana ubarikiwe mno

  • @user-fk5pc3md8h
    @user-fk5pc3md8h 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂Dr Sulle,,,,nmecheka xnaaaaa leo,,, ujumbe mzito na maneno ya kufurahisha,,,, Allah akulinde Inshallah

  • @msafirikushama2193
    @msafirikushama2193 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.

  • @eliudjrkim-sm6ru
    @eliudjrkim-sm6ru ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubaliki shehe

  • @emertonmwakina8593
    @emertonmwakina8593 7 หลายเดือนก่อน

    Anglicans pia tuko hapo mafundisho mazuri sana Barikiwa sheikh.

  • @baysadam235
    @baysadam235 ปีที่แล้ว +5

    Assalamam aleikum Mungu akujaze kheri shekh 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-km6lu2lu9m
    @user-km6lu2lu9m 9 หลายเดือนก่อน +2

    Shekh wangu endelea kutoa mawaidha Mungu akubariki Sana Wakatoliki tunakufagilia

  • @damianosikapili2917
    @damianosikapili2917 ปีที่แล้ว +2

    Tumsifu yesu kristo Mimi nimesikia mwanzo mpaka mwisho Sheikh

    • @stephenmnkande8192
      @stephenmnkande8192 ปีที่แล้ว +1

      Maelezo ni mazuri sana japokuwa mengine kama ni tofauti na ninavyofahamu na pia hayaendani na Historia. Mfano kusema kwamba Mariam mama yake Yesu alisali Msikitini ilhali sote tunafahamu kwamba Mariam alikuwa ni Myahudi na Wayahudi wanasali kwenye Masinagogi hapo ndipo ninapotofautiana naye. Kumbuka Mariam aliishi miaka takriban 600 kabla ya Muhammad (S.A.W). Hata kwenye Quran 22:40 inathibitisha kwamba Wayahudi walikuwa wanasali kwenye Masinagogi (SWALATUN) na sio misikiti.

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 ปีที่แล้ว +7

    mungu akutunze sheikh am Christian lakin napenda mafundisho yako🙏🙏

  • @nabiisuleymanbarut2001
    @nabiisuleymanbarut2001 ปีที่แล้ว +3

    Aamin

  • @emanuelmargwe7087
    @emanuelmargwe7087 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu wanaomuongelea waislamu sio Yesu Kristo tunamsoma kwenye bibilia bdugu zangu. yesu wao anavunja makanisa ila wetu ndo mjenzi. yesu wao hataki umoja ila wetu anahimiza umoja.
    Msipotoshwe ba hbr kwamba wao wanawasoma manabii wote walioko kwenye bibilia hiyo sio kweli. Kama wanawasoma wakuambia hbr za yesu tunae msoma sisi uone wanavyokata mitaa.
    Watakimbilia kwenye bibilia na kunyakuwa kifungu kdg na kujifanya kukuyumbishia.
    Hawa waislamu ni poroji nyingi tu, hawana lolote.
    Wapendwa ktk Kristo Yesu jitahidi sana muijue kweli ya neno la Mungu, nayo kweli iwaweke huru.

    • @mamlee7983
      @mamlee7983 4 หลายเดือนก่อน

      ndo huyo huyo ila kuna wahuni walikuja kuihariri injili na kuharibu baadhi ya mafundisho

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 9 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa zaidi mtumishi kwa maneno mazuri.

  • @samirahimid205
    @samirahimid205 ปีที่แล้ว +7

    Tabaraqah Allaah

  • @charlessiwale3858
    @charlessiwale3858 4 หลายเดือนก่อน

    Waisram wanamariam wao munyazi mungu wao kwaujumla tuendelee kuwaombea waje kwa Jesus

  • @user-vt4bx1xl7j
    @user-vt4bx1xl7j วันที่ผ่านมา

    Wakatolik muendelee kumuabudu mtoto wa mriam aitwaye yesu

  • @rahmamusa4484
    @rahmamusa4484 ปีที่แล้ว +1

    Hadithi nzuri sana mashallar

  • @fastanzania
    @fastanzania ปีที่แล้ว +4

    Mashallah ♥️ 🙏

  • @mrsab303
    @mrsab303 ปีที่แล้ว +6

    MashaAllah 💕💕💕💕💕💕💕💕

    • @bernardndemba2253
      @bernardndemba2253 ปีที่แล้ว

      mpumbavu wewe wamusikiliza huyu mwongo .kweli wajinga hawawezi kuisha dunia hii

    • @jumamsangi6048
      @jumamsangi6048 ปีที่แล้ว

      Masha'Allah

  • @MaishaMahukualimas-vi8gm
    @MaishaMahukualimas-vi8gm ปีที่แล้ว +1

    Nakufata vizuri sheh

  • @magrethkauki2224
    @magrethkauki2224 9 หลายเดือนก่อน

    Asante Shehe nimelewa sn leo

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu 3 หลายเดือนก่อน

    Barak Allahu feek Dr sule

  • @sh4138
    @sh4138 ปีที่แล้ว +4

    Mansh Allah Alhamdulillah

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah very history

  • @salumsalumu741
    @salumsalumu741 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe umli mlefu

  • @maryjohn2580
    @maryjohn2580 ปีที่แล้ว +1

    Asanteee

  • @FaustineAssenga-wu2lb
    @FaustineAssenga-wu2lb 10 หลายเดือนก่อน

    Nimepata kitu kutoka kwako Shekhe
    Mungu akupe nguvu ya kuinjilisha. Neno

  • @user-qd5qh7sy6b
    @user-qd5qh7sy6b 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @imanimussalacky3078
    @imanimussalacky3078 ปีที่แล้ว

    Mashaalllah, M/mungu akupe umri mrefu sheikh vizaz vijavyo vifaidike zaid na darasa zako

  • @mohamedshaban4854
    @mohamedshaban4854 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera mtaalam Doctor Suley

  • @amourtotale709
    @amourtotale709 ปีที่แล้ว +2

    Mama ni mama

  • @janew6400
    @janew6400 5 หลายเดือนก่อน

    Waoh walioamini Ndio wanatumia muda wao vizuri

  • @user-wx2oz8dp7d
    @user-wx2oz8dp7d 9 หลายเดือนก่อน

    Inshallah shekh Allah akpe kher

  • @PatriciaAkena
    @PatriciaAkena 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki jamani sheehee..amuna tumepingwa vita wakatoliki alibarikiwa kuliko wanawake wote

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029
    @jeniphermyingajeniphermyin8029 ปีที่แล้ว +2

    Hapo Kwenye majina nikweli kabisaaaa💯

  • @kamikazigenerose7882
    @kamikazigenerose7882 ปีที่แล้ว +2

    Asalam aleikum warahmatudhahi wabarakatuh.Umesema kweli

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 ปีที่แล้ว +7

    Mwamba Yesu anawapasua vichwa .

    • @georgehajji9790
      @georgehajji9790 ปีที่แล้ว

      Kivipi labda?

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 ปีที่แล้ว +2

      Ni kwel lzm atupasue vichwa sababu tunampenda sn,tuna muheshim sn huyu ni Mtume wetu hvyo lzm tumfuatilie sn

    • @aminasalmin6058
      @aminasalmin6058 ปีที่แล้ว

      Sadakta

    • @aminasalmin6058
      @aminasalmin6058 ปีที่แล้ว

      Dr.anamzungumzia nabii Issa sio Yesu wako. Weka kichwa chako sawa.

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 ปีที่แล้ว +1

      Sababu Ni mtukufu, kwa Nini asingiziwe mlaaniwa wakati Qur'an sura ya Maryam(Mary) aya ya 31 "yeye na mama Ni wabarikiwa..." Pia hata Biblia inasema angikwae amelaaniwa Wagalatia 3: 13 sasa hapa tunapoumia na masingizio ya mtu huyu mtukufu dhidi ya laana lakin kwa Hali ya ajabu watu hawa
      wakidai wanamsifu .

  • @junedkipande3694
    @junedkipande3694 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaah mungu akubaliki

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 ปีที่แล้ว +8

    Unaongea ukweli kabisa,mafundisho mazuri haya

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 ปีที่แล้ว

      Hiyo ndiyo injili yenyewe hasa inayopatikana ktk Quran maana wengi hawajui Quran nini Quran ni kitabu cha mtume Daudi A.S ambacho ni Zaburi ,Torati ya Mussa A.s Injili ya yesu A.s na Quran yenyewe ya Muhammad ni kitabu kilichoshiba kweli hakuna kitu utakachokosa kuhusu mitume kabla ya Muhammad ni kitabu cha haki na ndio maana hata Muhammad kafundisha mama yake yesu ndio mwanamke aliebalikiwa kuliko wanawake wote ingekua uislamu sio dini ya haki bc Muhammad angemsifia mama yake lakini ye ndio kaja na Quran lakin kamsifia mama yake yesu ambaye alikuwepo kabla yake na wakati huo mama yake yesu na yesu mwenyewe hawapo washaondoka duniani .

  • @rashidihabutwaha7636
    @rashidihabutwaha7636 11 หลายเดือนก่อน

    Maashaanllaah anlaah akuzidishie

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe sikia,uislam umekuja miaka mia sita baada ya kifo cha Yesu Kristo,japo unawadanganya wa Islam ila hongera maana unasambaza neno la Mungu wetu,Hongera Shekh kwa kumuongelea Bi Mariam mama wa Yesu,utabarikiwa sana

    • @samxx411
      @samxx411 ปีที่แล้ว

      Mama yake mariam anaitwa nani?? Maryam kabla ya kumzaa yesu alikuwa dini gani?? Yesu alizaliwa baada ya miaka mia sita baada ya mussa mbona hamfati dini ya Mussa

    • @mohamedrashid6578
      @mohamedrashid6578 ปีที่แล้ว +1

      Muhammad hakua mtume pekee alietumwa kwa ajili ya Uislam. Yani yeye alikuja kufanya kazi ilioanza kufanya miaka mingi kabla yake, kwaio Yeye sio wa kwanza kutumwa kwa ajili ya Uislam hapa duniani. Ila ni wa mwisho