Wazanzibari tunakupenda sana kwa ajili ya Alla shekh wetu, na tunakuomba POPO usimjibu muache Alla afanye kazi yake, ww endelea kutupa daawa tu Dr. Yule tutamzika kwa choyo mwaka huu.
Nyie hebu acheni upumbavu,mtu anataja mpaka mashahidi wakubwa kama sheikh kishki,mazinge nk bado mnamwona ni mwongo sio!? Mnamtetea kwakuwa hamjawahi kutapeliwa,nyie wala urojo tuulizeni sisi huku wabara tunaeishi nae, tutawaambia tabia zake,ila huko zanzbr huko zamu yenu inakuja ya kutapeliwa,na mlivyokuwa hamjui kuongea mbona mtalia.
Mashallah a lot of people you don't know the history about what you're talking about may God give you wisdom long age and health thank you so much for the knowledge and thank you so much for the station for hair this
Katika vijana wanaojitolea kuhubiri dini hapa E.Africa tena kwa taqwa kubwa sana ni dokta sule..ila tatioz walio na choyo na hasad ninwka sababu dokta sule anajipenda sana ktk maisha yake na anatfta riski halali, kuuza dawa za kisunna katika uislam sio dhambi ata Mtume s.a.w alifanya biashara, uyo mwaipopo badala ya kuwalingania na kuwaponda wanaofanya mapenzi ya jinsia moja(mashoga) eti anathubutu kumponda huhu shekh..Allah atakihifadhi na hasad za walimwengu dokta
@@zaitunichelaje1029 hakuna mkimilifu ktk hii dunia ila si busara kutoleana aibu mana mwenye haki ya kutoa aibu za mtu ni Mola pekee sasa wewe unajivisha cheo cha Mungu
@@jumasalum2677 kuna mapenzi ya watu na kuna mapenzi ya dini ukipenda dini na Allah ukweli unaposemwa huwezi chukia lakini ukimpenda mtu lazima uchukie
Nilikuwa sijui hizi dini zinafanana sana ila ukweli kabisa waislamu wana elimu kubwa sana na wanasoma sana ni wakati sasa na sisi wakristo tubadilishe mifumo yetu hasa ndoa turuhusiwe mke zaidi ya mmoja
Waislamu wanasoma nini zaidi ya uongo wa Madrasa? Wewe bila shaka utakuwa ni mwislamu unajifanya kujivika kilemba cha Ukristo. Wakristo sio wajinga wengi wanaijua historia vizuri. Uislamu umeanza miaka 600 baada ya Ukristo
@@user-yv7ij4zh4kAllah hakuongoze upate kuitambua haki na huifuate uislam ulianza toka kale kabla ya kuumbwa mwanadamu maana ya uislam ni walio jisalimisha kwa Allah(mwenyezi mungu)
Natamani kijiunge nawe maana unayosema ni kweli hawa wazungu wanatuaribia ngepewa mamnaka ningeua wakiristo wote wapuuzi sana hawajui Mungu, kiukweli sitaacha kufanya niwe muhisalamu niynganishe nashekhe hapa nijiunge namanisha
@@ramadhanmahongole9293 huyo sheikh ni muongo anawadanganya wasiojua historia. Anataka kuwaaminisha watu kwamba Dini ya Makureish inahusiana na Wayahudi. Mtu kaanzisha Dini yake Makkah miaka 600 baada ya Kristo eti ndio aje awadanganye watu kwamba ibrahim alikuwa ni mwislamu. Njia ya mwongo ni fupi
JAZAKA ALLAHU KHEIR SHEIKH DR SULE KWA KAZI (DA’AWA)UNAYO YAFANYA NAKUOMBEA ALLAH AKUHIFADHI KWA UWEZO WAKE ALLAHUMMA AMIIN TUNA SUBIRI SEHEMU YA TATU IN SHA ALLAH.
Katika maneno yote Aliyosema Dr Sulle, Nakubaliana naye Katika yote aliyoyanukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu, Kuanzia baadhi ya Mitume na manabii aliowataja, Hata pia Hivyo vitabu vitano alivyovinukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu vipo, Lakini kuhusu Aliyoyanukuu Kutoka Katika Quran Tukufu sina cha kusema kwa sababu sijawahi kuisoma,, Lakini naamini Quran Tukufu nacho Ni kitabu Cha Mwenyezi Mungu kama ilivyo Biblia Takatifu,,Lakini kuhusu mgogoro wa Israel na Palestine ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa na zinazojulikana Duniani, Mimi ndo nazifahamu hizo hizo Kama wengine wanazozifahamu" Na sidhani Kama kuna sababu Nyingine za Chanzo cha mgogoro huo ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa"
Mimi nauliza ni vipi Ibrahimu awe muislam ilihali uislam ulianza na Mohamad mwaka 610 baada ya kristu na Ibrahimu aliishi miaka mingi kabla ya kristu? By the way, ni kweli kabisa kuwa Iblahim hakuwa Mkristu maana ukristu umekuja baada ya Kristu
Vyote vimeelezwa kwenye Quran tukufu Tofauti yetu ni km Palestine na Israel , waislam tunazingatia Quran kwasabab mtume Mohammad ni nabii wa mwisho hivyo tourat injil na zabur tunasoma tu lakin watu ni waislam
The fact that hi clip imepostiwa toka miaka miwili ilopita na bado mpka mwaka hu waisrael na wapalestina wako kwenye vita vizito it prove everything may allah grant them all jannah who died for the battle field in Palestine 🇵🇸 Ameen
Ila kutuambia Ibrahim ni muislam anatuibiaa viingilio. Na mkizidi kuamn hivyo mtajiaminisha kuwa hekalu la Yerusalem ni la waislam..kitu ambacho sio kweli...mali ya waislam ni maca Kwa hajiri...na Mali ya Yerusalem ni mali ya Sara Kwan ndipo alipozikwa...asiye elewa hili daily atakuaa anaona WA Palestinians wanapigika maaana wanataka Mali isiyokuwa Yao .
Yerusalem .. wakristu tunaamn Yesu alisulibiwa na kuzikwa na kufufuka na kufufuka na hapohapo ( Golgotha) ndipo pia waislam wanaamini ndipo msikiti wao wa Kwanza na chimbuko la uislam ulipo yaan...pale ndipo mambo matakatifu..yalipo. easily sisi ni ndugu yaan tunagombania Mali ya Baba yetu Ibrahim.. Tupendane...huu mzozo hautaisha...Kwa akili zetu tumwachie Mungu sisi tupendane Tu.. Mkristu mromani nawaambia haya
@@Muhammad1Suleiman yaani ni shida kaka , cha msingi ndugu yangu Mihammad tupendane,,dini ya kweli ni kumpenda mwenzio na kumheshimu kwa imani yake,na kumwombea pia katika sala zako bila kujali tofauti za udini wenu,ndio roman twafunzwa hivyo. Easly,,nawapenda waislam wote,,Hata Jews nawapenda .ingawaje Jews hadi leo hawaamn kama Yesu alikuja. Tupendane wana wa Ibrahim babu na baba wa imani kwa dini zote
@@gosbertmuta5421 karibu sana kujifunza ALLAH akuongoze katika njio iliyonyooka In shaa ALLAH ukipenda kujuwa mengi account ya Facebook yangu ni Issa Moussa Arthur utaonana picha ya mtoto mdogo weupe iko na kafimbo kumdomo ,tutawez kujadiliana na kuulizana maswali ,in shaa ALLAH kwa ruksa la ALLAH tutawez kuyajibu
Kwenye Ardhi Apo Nimekuelewa Sana Sana Ukitaka Amani Ya Nyumbani Kwako Ipotee Kata Ardhi Uza Na Anaenunua Aje Kujiona Kama Yeye Ndio Aliekuuzia Wewe Amani Ya Nyumbani Itayumba2 Watanzania Tujifunze Kutoka Israel Na Palestina Usiuze Ardhi Kwa Wageni Kuuza Ardhi Kwa Mgeni Nisawa Na Kuwa Na Taifa Moja Lakini Ndani Yake Utakuta Mataifa Ni Hatari Sana
Mazinge unaruka aya acha kupotosha watu unaruka aya kumbuka I rayon alivyofiia kaanani mungu akamtokea ktk njoz na mungu akamwambia nchi hii nitakupa mungu alikua akimuahid kumpa nchi hiyo yeye na hata uzao wake.acha upotoshaji unarukaruka aya
@@zaitunichelaje1029 aliwai kkutapeli au ushabwanda tu kutoa dawa Kuna itakufaa au isikufae ndo utapeli acheni izo kumyooshea Kidole mtu wakat vingine vipo vinakugeukia mwenyewe na hata km tapeli Kaya fanya mengapi mema mimi na ww tumefanya nn katika hii Dunia chefuuuuu
Alhamdulillah...nimepata Elimu kwa uchache..nakuombea kwa Allah malipo mema Dr.Sule...
Wazanzibari tunakupenda sana kwa ajili ya Alla shekh wetu, na tunakuomba POPO usimjibu muache Alla afanye kazi yake, ww endelea kutupa daawa tu Dr. Yule tutamzika kwa choyo mwaka huu.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
mmmh
Nyie hebu acheni upumbavu,mtu anataja mpaka mashahidi wakubwa kama sheikh kishki,mazinge nk bado mnamwona ni mwongo sio!?
Mnamtetea kwakuwa hamjawahi kutapeliwa,nyie wala urojo tuulizeni sisi huku wabara tunaeishi nae, tutawaambia tabia zake,ila huko zanzbr huko zamu yenu inakuja ya kutapeliwa,na mlivyokuwa hamjui kuongea mbona mtalia.
@@presenterkabuma1646 ww kichogo nn
@@presenterkabuma1646dk sure tapeli?
Allah akulinde yani nikimsikiliza uyu shekhe nakubwa na uoga namuomba Allah anijalie kizazi chenye din na iman amina❤❤❤
Mashallah a lot of people you don't know the history about what you're talking about may God give you wisdom long age and health thank you so much for the knowledge and thank you so much for the station for hair this
Upo sahihi maalimu allaah akulinde Isha allaah
Katika vijana wanaojitolea kuhubiri dini hapa E.Africa tena kwa taqwa kubwa sana ni dokta sule..ila tatioz walio na choyo na hasad ninwka sababu dokta sule anajipenda sana ktk maisha yake na anatfta riski halali, kuuza dawa za kisunna katika uislam sio dhambi ata Mtume s.a.w alifanya biashara, uyo mwaipopo badala ya kuwalingania na kuwaponda wanaofanya mapenzi ya jinsia moja(mashoga) eti anathubutu kumponda huhu shekh..Allah atakihifadhi na hasad za walimwengu dokta
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Huyo ni taperi na siyo kila mhubiri ni mkweli ,sule ni tapeli mkubwa na ni mhuni
@@zaitunichelaje1029 hakuna mkimilifu ktk hii dunia ila si busara kutoleana aibu mana mwenye haki ya kutoa aibu za mtu ni Mola pekee sasa wewe unajivisha cheo cha Mungu
We ni mshabiki ,mwaipopo yupo sahih ,sule ni mhubir mzur sana ila tatizo ni tapeli sana ,
@@zaitunichelaje1029 una uhakika ? Haya twambie katapeli wapi na nani alietapeliwa ? Tupe faida tafadhali 👏
Shukran shekhe wetu ila mioyo ya waislam imeingia vidonda 😢tumeambiwa umekua tapeli tunaomba tuweke Sawa shekhe 😭
Kusema kila Mtu anasema shida kuthibitisha maneno Yake kueni na subra jambo lipo kisheria
@@zvpOnlineTv hata Mimi ameniudhi Sana kumchafua Dr sule
Lakini nadhani hili swala atalilekebisha
@@zvpOnlineTv Allah ndie hakim
@@jumasalum2677 kuna mapenzi ya watu na kuna mapenzi ya dini ukipenda dini na Allah ukweli unaposemwa huwezi chukia lakini ukimpenda mtu lazima uchukie
Alhamdullillah nimesikiliza part 2nasaha nzuri sana 😘😘
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Nilikuwa sijui hizi dini zinafanana sana ila ukweli kabisa waislamu wana elimu kubwa sana na wanasoma sana ni wakati sasa na sisi wakristo tubadilishe mifumo yetu hasa ndoa turuhusiwe mke zaidi ya mmoja
Waislamu wanasoma nini zaidi ya uongo wa Madrasa? Wewe bila shaka utakuwa ni mwislamu unajifanya kujivika kilemba cha Ukristo. Wakristo sio wajinga wengi wanaijua historia vizuri. Uislamu umeanza miaka 600 baada ya Ukristo
@@user-yv7ij4zh4kAllah hakuongoze upate kuitambua haki na huifuate uislam ulianza toka kale kabla ya kuumbwa mwanadamu maana ya uislam ni walio jisalimisha kwa Allah(mwenyezi mungu)
Wacheni Mola aitwe Mola na Muslim ni Muslim,Alhamdulillahi kwa kunijaalia kuwa Muislam,Ameen
Kwa porojo kama hizo za Sheikh Sule...hahahahahhahhahh
@@user-yv7ij4zh4k porojo zipo kanisani mshenzi sana
ALHAMDULILLAH. ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA
Walillahil-hamdu shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Maa shaa Allah, jazzakallah khayran
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Ahsante, Allah ataibariki channel hii
Mimi ni Mkristo Lakini Hakika historia ya hawa mataifa Umeielezea vizuri SAANA.Mungu akupe umri mrefu na maarifa makubwa zaidi
Shukran Kwa kutufwatilia.
Maashallah kiongozi wetu mungu akuweke tuzidi kujua historia ya kiisilam
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Ishi maisha marefu mnenaji maana nimekusiza sana uko vizuri umenijenga sana
Natamani kijiunge nawe maana unayosema ni kweli hawa wazungu wanatuaribia ngepewa mamnaka ningeua wakiristo wote wapuuzi sana hawajui Mungu, kiukweli sitaacha kufanya niwe muhisalamu niynganishe nashekhe hapa nijiunge namanisha
Umemuelewa au nawe ni muislamu?? kama wewe ni muislamu lazima utamuelewa ila sisi wakiristo hatumuelewi kabisa tunaona anapuyanga tu hapo
@@ramadhanmahongole9293Kwani nani kakauita huku au shobo
@@ramadhanmahongole9293 huyo sheikh ni muongo anawadanganya wasiojua historia. Anataka kuwaaminisha watu kwamba Dini ya Makureish inahusiana na Wayahudi.
Mtu kaanzisha Dini yake Makkah miaka 600 baada ya Kristo eti ndio aje awadanganye watu kwamba ibrahim alikuwa ni mwislamu. Njia ya mwongo ni fupi
Huyu mtu yuko vzuri kichwani aisee! Mungu ambariki sana
Allah akubariki... Akupe maisha marefu.
JAZAKA ALLAHU KHEIR SHEIKH DR SULE KWA KAZI (DA’AWA)UNAYO YAFANYA NAKUOMBEA ALLAH AKUHIFADHI KWA UWEZO WAKE ALLAHUMMA AMIIN
TUNA SUBIRI SEHEMU YA TATU
IN SHA ALLAH.
Inshaallah shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Katika maneno yote Aliyosema Dr Sulle, Nakubaliana naye Katika yote aliyoyanukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu, Kuanzia baadhi ya Mitume na manabii aliowataja, Hata pia Hivyo vitabu vitano alivyovinukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu vipo, Lakini kuhusu Aliyoyanukuu Kutoka Katika Quran Tukufu sina cha kusema kwa sababu sijawahi kuisoma,, Lakini naamini Quran Tukufu nacho Ni kitabu Cha Mwenyezi Mungu kama ilivyo Biblia Takatifu,,Lakini kuhusu mgogoro wa Israel na Palestine ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa na zinazojulikana Duniani, Mimi ndo nazifahamu hizo hizo Kama wengine wanazozifahamu" Na sidhani Kama kuna sababu Nyingine za Chanzo cha mgogoro huo ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa"
Weka sawa kidogo maelezo yako.
Hakuna kitabu katika vitabu vinne vya MwenyeziMungu kinacho itwa Biblia.
Allah akupe umri mlefu sheikh dr Suleiman kwa ku2gea elmu bila malipo
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA 🇧🇮🇧🇮❤️❤️🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashallah cheikh wangu nakukubali sana nakuombeya kwa mwenyezi mungu akulinde n'a akuzidishiye zaidi elimu Yako cheikh
Frtvvvvvvvgvvv
Mimi nauliza ni vipi Ibrahimu awe muislam ilihali uislam ulianza na Mohamad mwaka 610 baada ya kristu na Ibrahimu aliishi miaka mingi kabla ya kristu? By the way, ni kweli kabisa kuwa Iblahim hakuwa Mkristu maana ukristu umekuja baada ya Kristu
MashaALLAH mungu akuzdishie umri utufunze mengi inshaallah
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Tunakupnda sana Cheikh wetu unatupa elimu tosha
Tunampenda kwa ajili ya Allaah
Allah akuzidishie dr suleiman.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Jazallahkheri 📿
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashaallah nimejifunza somo zuri
MASHA ALLAH Dr sule Allah akupe umri ndefu saaan
Bila kumkiri Yesu Kristu kuwa ni bwana na mwokozi wa Dunia huwezi kuiona pepo! Hizo zinging ni storyp
Umeubiri Na kuutetea ukristo "mungu wa isaaka"
Kenge ww otwona makosh
@@busta_malik5971 matusi yanatoka wapi...Kwan ni uwongo isaka sio chimbuko la ukristu..?
Vyote vimeelezwa kwenye Quran tukufu
Tofauti yetu ni km Palestine na Israel , waislam tunazingatia Quran kwasabab mtume Mohammad ni nabii wa mwisho hivyo tourat injil na zabur tunasoma tu lakin watu ni waislam
MashaAllah MWENYEZI MUNGU akupe umri mrefu na makazi mema JANNAH. kweli umejaaliwa kutoka kwa ALLAH. YARABBI mjaalie kila la kheri Dokta SULLE
Kipaji Cha Hali ya juu Sana, wenzetu wangekuwà na waalimu Kama hawa wangetamba sana
Mm mkristu lakin nimekwelewa Sana Dr sulle ,uko fiti Sana mzee umezungumza ukweli
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
The fact that hi clip imepostiwa toka miaka miwili ilopita na bado mpka mwaka hu waisrael na wapalestina wako kwenye vita vizito it prove everything may allah grant them all jannah who died for the battle field in Palestine 🇵🇸 Ameen
Mkristo mimi lakini historia haijalishi dini. Ahlhamdulahi!
Ila kutuambia Ibrahim ni muislam anatuibiaa viingilio. Na mkizidi kuamn hivyo mtajiaminisha kuwa hekalu la Yerusalem ni la waislam..kitu ambacho sio kweli...mali ya waislam ni maca Kwa hajiri...na Mali ya Yerusalem ni mali ya Sara Kwan ndipo alipozikwa...asiye elewa hili daily atakuaa anaona WA Palestinians wanapigika maaana wanataka Mali isiyokuwa Yao .
Sisi ni ndugu 😊
Silimu ndugu yangu allah akupe neema duniani na kesho akhera inshaalah
Dini haimpeleki mtu mbinguni HABIBA
Sote ni Ndugu.
Duh nilitaka nikuone ukiongea nawapnd wote masheikh napnd darasa zenu sana Allah akuongozeni akujalieni kilala kheiri
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
MaShaAllah!!
Asante sana mungu akupe maisha malefu
Nipo hapa Maputo nilikua naisubiri atimae imekuja asante sana
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah akulipe shekh nimekuelewa et
Asante historia nzuri mungu azidi kukuweka
Shukran sekh wangu babangu Allah akupe umri
Mashaalah allah akupe umri mrefu zaidi Dk Sule ili utupe elimu zaidi
Allah akuzidishie elm
Mashallah allah akujaalie mwsho mwem na pia utufundsh dini yet#dr sulle
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashallah nakukubali sn sulee ao wanaokuchafuwa wanapoteza mda sisi tunakuwamini unapeleka uislamu mbele
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Jazaka llah ukhaira
Masha Allah
Maashallah nilikuwa naisubiri kwa hamu hii darsa
Allah akutanguliye
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mgu akubarik
Mashallah shekhe Mungu akupe umri mrefu na afya njema na mwisho
Asante sana Dr. Sulle
Nimejifunza pakubw kuhusu maada hii,Allah akupe maisha marefu
Al Hajj Doctor Sule unaipambania din ha Allah S.W, malipo mema yaja Kwa waja wema waipambanio dini yake
Hata kwa kutumia uongo sio? Ila taqiya inaruhusiwa kwenye uislamu. Hapo ni sawa
Allahuma barik
MashaAllah AllahuAkbar
Mashallah historia mzuri yenye mafunzo ndani yake
Mashaallah
mashallaah ❤
Masha Allah kk yetu ktk dawa
Mwamba anaendelea na kazi Ya kumtangaza Allah
Asante sana🙏🏻🙏🏻
Pamoja Sana sheikh wangu dr.sule
Tanzania one katika historia
Mungu akulipe linalo stahili juu yako
Na kazi yako ya kuisomesha dini ya Allah
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Alhamdulillah nimeelewa pakubwa
Mashaaallh mashaaallh allh akujaze kheri ❤
Mashallah Allah
Mashaa Allah h,
Yerusalem .. wakristu tunaamn Yesu alisulibiwa na kuzikwa na kufufuka na kufufuka na hapohapo ( Golgotha) ndipo pia waislam wanaamini ndipo msikiti wao wa Kwanza na chimbuko la uislam ulipo yaan...pale ndipo mambo matakatifu..yalipo. easily sisi ni ndugu yaan tunagombania Mali ya Baba yetu Ibrahim..
Tupendane...huu mzozo hautaisha...Kwa akili zetu tumwachie Mungu sisi tupendane Tu..
Mkristu mromani nawaambia haya
I'la ndg yangu, sio, wakristo wanaogombana kwani hata wayahud, hawataki hata kuwaona wakristu, wayahud wanagombna na waislam
@@Muhammad1Suleiman yaani ni shida kaka , cha msingi ndugu yangu Mihammad tupendane,,dini ya kweli ni kumpenda mwenzio na kumheshimu kwa imani yake,na kumwombea pia katika sala zako bila kujali tofauti za udini wenu,ndio roman twafunzwa hivyo. Easly,,nawapenda waislam wote,,Hata Jews nawapenda .ingawaje Jews hadi leo hawaamn kama Yesu alikuja. Tupendane wana wa Ibrahim babu na baba wa imani kwa dini zote
Allaha awape shifaa walio umiya palestina wajaliye ushindi sifa zote nizako Allah
Masha Allah..Allah akuzidishie umri uendelee kutufunza na kutupatia elim
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
MashaAllah
Allah akuhifadhi amir wetu
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Nshaingia mm Ni mkristo ila nakuja kujifunza tu
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@@zvpOnlineTv Asante Sana
@@gosbertmuta5421 karibu sana kujifunza
ALLAH akuongoze katika njio iliyonyooka
In shaa ALLAH
ukipenda kujuwa mengi account ya Facebook yangu ni Issa Moussa Arthur utaonana picha ya mtoto mdogo weupe iko na kafimbo kumdomo ,tutawez kujadiliana na kuulizana maswali ,in shaa ALLAH kwa ruksa la ALLAH tutawez kuyajibu
@@arthurnuhu8570 amen
@@gosbertmuta5421 ama wewe unipe account yk ya Facebook nikutafit
Shekhe uko vizur mashaallah❤
Shukran Sana kwa kutupa mawaiza
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Raha sana yaan Mungu akubariki
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
ALLAH AKBAR ❤️🙏🏾
Shukran 🙏🙏🙏🙏
Uko vizuri sheikh Dr Sulle! Ila naomba kuuliza, je Uislamu na Waislamu walikuwepo kabla Mtume Muhammad SAW HAJAZALIWA?
Tafadhali Sheikh, binafsi ningekuomba utoe ufafanuzi juu ya tofauti kati ya Wayahudi na Waisrael, kama ipo. Chondechonde!
Israel ni taifa ila wayaudi ni Moja ya kabila za Israel pia Kuna uyaudi wa Imani yakidin.. hope Kwa uchache umenielewa
Kwenye Ardhi Apo Nimekuelewa Sana Sana Ukitaka Amani Ya Nyumbani Kwako Ipotee Kata Ardhi Uza Na Anaenunua Aje Kujiona Kama Yeye Ndio Aliekuuzia Wewe Amani Ya Nyumbani Itayumba2 Watanzania Tujifunze Kutoka Israel Na Palestina Usiuze Ardhi Kwa Wageni Kuuza Ardhi Kwa Mgeni Nisawa Na Kuwa Na Taifa Moja Lakini Ndani Yake Utakuta Mataifa Ni Hatari Sana
Mazinge unaruka aya acha kupotosha watu unaruka aya kumbuka I rayon alivyofiia kaanani mungu akamtokea ktk njoz na mungu akamwambia nchi hii nitakupa mungu alikua akimuahid kumpa nchi hiyo yeye na hata uzao wake.acha upotoshaji unarukaruka aya
Mbon kam akil hun
Nakukubal sheh wang 🤝🤝🤝
Doctor upo vizuri
Amiin Amiin Amiin insha ALLAH
Alhamndulilah kwa neema ya uislam
Allahuakbar dah
Allah e melhor,Dr:sulle Allah ti facilidar a sua vida modana e vida futuro.
💛💛💛💛💛💛💛allah akibar meu sheike você tem muito palavra limpa e melhor
Inshaallah
Allah akupe umri mrefu uzid kutujuza inshallah
Hakika umejaliwa na mungu akupe umri mrefu
Kweli umejaliwa shekh kuhifadh
Dr shida yako huo utapeli tu, lkn historia ya ulimwengu imelala kichwani, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
Dr sule tapeli🤣🤣🤣🤣🤣kweli
Alikutapeli nini jaman
Manshallah
mashaalwa
Mashallah ❤️naumia navoona wtu wacheche wanaokuchafua doct sulle😭
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Kumwambia ukweli kama ni tapeli ,subiri akutaperi ili uamini,maneno yake ni mazuli ila ni taper
@@zaitunichelaje1029 aliwai kkutapeli au ushabwanda tu kutoa dawa Kuna itakufaa au isikufae ndo utapeli acheni izo kumyooshea Kidole mtu wakat vingine vipo vinakugeukia mwenyewe na hata km tapeli Kaya fanya mengapi mema mimi na ww tumefanya nn katika hii Dunia chefuuuuu
@@zaitunichelaje1029 mkundu unakuwaxha
@@asiliyakechuma4319 Shukran Allah akurehemu
Na sisi wakristo turuhusiwe tuoe wake wa3 au wa4 mmoja hatoshi kwenye hilo nimekuelewa vizuri sheikh
وَاِذْ قَالَ مُوْسٰى لِقَوْمِهٖٓ اِنَّ اللّٰهَ يَأْمُرُكُمْ اَنْ تَذْبَحُوْا بَقَرَةً ۗ قَالُوْٓا اَتَتَّخِذُنَا هُزُوًا ۗ قَالَ اَعُوْذُ بِاللّٰهِ اَنْ اَكُوْنَ مِنَ الْجٰهِلِيْنَ
Doctor Sule we fanya kazi ya Alah achana na watu wenye hasadi,pia maneno ayaui,me nakukubali vibaya mno mti wenye matunda ndo unaotupiwa mawe
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Sule dini anaijua ila ni taper na. Ni mhuni sana ,siyo muaminifu
@@zaitunichelaje1029 kwahio tukusaidie nini
@@zaitunichelaje1029 Alikutapeli nini acha hasadi wewe,iyo yote wivu tu
@@zaitunichelaje1029 ww mbona ulifilwa ccm kilumba 2015 hatukusemi
Ushauri wangu zungumza kiswahili kitupu usisome hizo aya kwavile hujasoma unakosea sana alaf inakua rahisi kwa watu kukujua kua hujasoma.
Unasomeka sana Dr, sure
Vitu Vyenye Kuusu Imani Mue Mnaeka Alaka Kwenye TH-cam Za Kudailodi Mana Izi Ni Imani Sio Mziki Wa Mtu Mmoja Ambae Mumchukie
Inshaallah
Dr Sule nimekukubali
Mungu akulipe Zaidi kwa elimu unayoitoa kwa faida ya wote ukweli tuujue
n vizuri qwa helimu bali imani ya mtu itavaki kuwa imani yake