Masha Allah dr sule Allah akujaalie na akupe kher na baraka tele nakupenda kwa ajili ya Allah alhamdulillah 🤲 na akupe mwisho mwema na tukutane pepon Inshallah
@@ramadhanjuma610sasa mwasema ni Mungu Basi amwongoze kuwa alimpa Yesu mamlaka ya kuutawala ulimwengu na yeye ndiye njia ya kumwona Mungu bila Yesu utamuona Mungu
Anajitahidi sana huyu Sheikh japokuwa kuna mambo mengine anatunga kidogo. Anaikashfu Biblia lakini wakati huo huo anaquote kila kitu kutoka kitabu hicho hicho. Kichekesho
@@stephenmnkande8192 wengi wenu mmemkana yesu kimatendo ila zahili ya midomo yenu mnaonekana mnampenda ila mkitaka kumjua yesu ulizeni mashekh kwani uislamu na waislam wsnamfuata yesu kimatendo maana Mungu alileta manabii zake kwa sesoni alipo ishia ndio mwingine huendeleza
Alianza vizuri . Ameharibu kuhusu ufafanuzi Wakulla nguruwe. Kumbukumbu la tomato hairuhusu mtu kula nyama ya nguruwe. Mkifuata vzr maelezo yake anaeleza kumbukumbu la torati inaruhu.
Mwalimu Mimi nimekwelewa Ila mm naswali kuhusu mada hii hii maana kunakitu umekisema kuhusu mtoto wanimrodi lakini wakisto wananembo ya msalamba lkn waislahamu mbona nembo ya usilaamu unanembo ya miungu ya jua na mwezi
Dk Suleman tunakuomba ikiwezeka mtuweke mkalimani kwa lugha ya english. ili wageni wasiyojuwa lugha ya kiswahili wawze kukufatilia. kama ndugu zetu wakikiristo wanavofanya kwa kuhubiri imani Yao.
Unasema ukweli kidogo na uongo kidogo. Kuna mambo mengi uliyoyasema ambayo si sahii kulingana na bibilia. Lakini la wazi kabisa KJV iko na vitabu 39 si 29 vya agano la kale.
Mungu Hana kitabu,vitabu huandikwa na watu Kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu. Kama Q,ran ni kitabu Cha Mungu.aliishusha mwaka Gani,katika mji gani.wangapi walioshuhudia,ilikuwa muda Gani. " Biblia ni historia.ambapo utafiti ulifanyika na kukusanya maandiko na kuthibitishwa kisayansi na kijografia na kuthibitishwa. Bib lol is ndicho kitabu ambacho kinawatesa.Q,ran haimtesi Mkristo yeyote na ndiyo maana hutamkuta kundi la Wakristo wakiielezs Q,ran mtandaoni. Mnachokifanya ni kama mnasaidia Kuutangaza Ukristo.Hongereni endeleeni na KAZI mzuri,lakini Ukristo ni imara mpaka Yesu arudi hakuna wa kuushinda
Sawa, Hivyo vyombo vilikua vinatumika kufanya nn msikitini ? Na je kuna uislamu bila quran au kabla ya quran na Mohamad uislamu ulikuepo? Na je uislamu ulikua unafuata kitabu gani na kumfuata kiongozi gani?
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya mungu vitakatifu mungu hajawahi kutumia nabii mmoja kwandika kitabu that why we have so meny prophets in the Bible Basi kama unaomba biblia si ya mungu wewe tupe kitabu cha Samuel,Daniel 'Daudi,Solomon and Samson. Swali lako halina msingi wowote kwa sababu mungu alizukumza na manabii wengi sana zamani za kale na unajua wakati huo vitabu havikua ndipo wana theology walikuzanya zote kwa biblia ikawa mkusanyiko wa vitabu vitakatifu vya mungu.
Ni kweli. Lakini kama ni hivyo mbona biblia imetenganishwa Kwa mana moja Iko na vitabu 66 na nyingine Iko na vitabu 72 kwanini wasivikusanye vyote Kwa pamoja
Sijawahi kuona mkristo yeyote Duniani anahangaika na Quran lakini waislam mnahangaika na kitabu kitakatifu cha Bible, Na Dr. Sule aliwahi kusema pia kama kuna Muislam hamtambui Yesu na bi Mariam mama yake Yesu basi huyo sio Muislam Lakini sikueahi kumsikia Dr. Sule akionya wakristu kuhusu kutomtambua Mtume wao Muhammad
Na ikatabili yakwamba uchafu uliotendwa wakati wa rutu utaludi na utakuwa zaidi je leo wanaume awaingiliani wakati wa rutu waingiliana kisha waendazao lakini leo tunaowana ipizaidi
The word Bible comes from a Greek word biblos means a book it written by the spiritual of God through 40 authors.Dr sule tell us who wrote a Quran as you know that Quran is a book written some one either by correcting some evidential material
Mfano vitabu vya bibilia vimefuatana hi kulingana na wewe [1]mwanzo [2] kutoka [3] kumbukumbu la torati [4] walawi [5] hesabu. Lakini ukweli ndio huu kulingana na bibilia yenyewe.[1] mwanzo [2] kutoka [3] mambo ya walawi [4] kumbukumbu la torati [5] hesabu. Torati ndio sheria ya musa sliyo pewa na mungu kwa wana wa israeli wakiwa mlimani sinai. Na kabla ya kifo chake miaka 40 baadaye huyohuyo musa akawakumbusha torati tena na kitabu kitabu cha kumbukumbu la torati. Maneno ni yaleyale yaliyo katika kitabu cha walawi nia ya musa ilikuwa kutilia mkazo sheria aliyowafundisha walawi na waisraeli kwa jumla.
Mnasemaga TUMSWALIE MTUME na mnamtakia REHEMA yaani mnamtakia rehema mtume wa mwenyez MUNGU au yeye ndo awatakie rehema ? sisi WAKRISTO Tunangojea rehema za YESU Soma YUDA 1:21-22
Nyie si mnajiona mko sahihi: maana wanaojionaga wako sahihi huwa wanawakosoaga wengine,kwanini mnahangaika na mambo ya wengine wakati hamuwezi kufasiri: kazi yenu imekuwa ni kuwasema tu wayahudi na Wakristo, sema sio kosa lenu maana quran yenu ndivyo inatoa muongozo huo, Inajifanya haitaki fitina lakini chenyewe ukisoma ni fitina tu dhidi ya wayahudi na Wakristo, waanzisha fitina ni nyie na ushahidi tunao nikianza sasahivi na nyie hapo mtandaoni nikimalizia na quran yenu. Msijali bonde la kukatia maneno ni "MEGIDO"HARMAGEDON" ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
WAKRISTO MKIMUONA MUISLAMU ANASOMA BIBILIA MNAMUONA ANAKOSEA HATA KAMA KAKAA CHUONI KASOMA. SASA WW ULIYE NA ROHO MTAKATIFU NIPE TOFAUTI YA MWANANGU NA MTOTO WANGU.
Hahaaa ‘ hiyo ya kusema huwezi kuelewa biblia mpk uwe na Roho mtakatifu ni trick tu ya wachungaji ili waumini WASIHOJI wala KUULIZA baadhi ya maandiko ambayo yanasema Yesu MTU mengine Yesu MUNGU ‘mengine kasulubiwa saa TATU asubuhi mengine yanasema alisulubiwa saa TISA mchana ‘....Sasa Waislam wameyasoma na kuyahoji ndipo hawa ndugu zetu wanabaki wanashangaa maana hawasomewi kanisani...! Wakristo Amkeni...!
Niliuliza swali na waislamu hamujajibu, ikiwa manabii wote walikua waislamu na Mungu kawatermshia vitabu nyakati mbali mbali:Musa torati, Daudi Zaburi, Issa injili na Mohammed Quran, mbona hamna hizo vitabu zingine vitatu na havitumiki kuabudia mskitini haliakua manabii walikua wote waislamu, mbona basi mtumie ti Quran msikitini, wapi injili, zaburi na torati za kiislamu ili tuamini kwamba bibilia ni mabaki tu ya vitabu hizo????
Bora mb zangu ziishie kwa elimu yako mungu akujalie inshallah
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Masha Allah dr sule Allah akujaalie na akupe kher na baraka tele nakupenda kwa ajili ya Allah alhamdulillah 🤲 na akupe mwisho mwema na tukutane pepon Inshallah
Allah akubariki Dr sule ,Hii ndio kazi ya Allah ya baraka , nakupenda sanaa unapo wasomesha wakristo kitabu Chao.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Kwa mujibu wa Biblia ngamia ni haramu sule apo ajasoma
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akujaalie kwa Elim nzuri akulipe kher jazaka Allah khaira
Umetisha Dr Sure wapinge sindano watakuelewa tuu hawana jinsi
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
MA SHA ALLAH
SHUKRAN JAZELAN SHEIKH SULE
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Muacheni Mungu aitwe Mungu Mungu anakusudi na huu shehe mda so mlefu ataanza kuhubili injili ya kweli, na huu ni unabii juu yake,Amina,
Waaleikum Salaam warahmatullahi wabarakaat
Allaha akuongoze na umkiri yesua masihi na kuliamini jina lake!!!
😂😂😂😂 kumbe wajua Allah ana ongoza walimwengu wote 😂😂
@@ramadhanjuma610sasa mwasema ni Mungu Basi amwongoze kuwa alimpa Yesu mamlaka ya kuutawala ulimwengu na yeye ndiye njia ya kumwona Mungu bila Yesu utamuona Mungu
Wakristo tumuombee Sule amwamini Yesu Kristo Mwana wa Mungu
ManshaAllah sheikh kazawadiwa ilimu na kufafanua Allahu yardhwa Ankaa insha'Allah tunasubiri next .
Machallah ,Allah akupe umri docta Sule
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Jazzakallah kheirr Dr sule wallahi nimejifunza bibilia kutoka kwako kwa uzuri na wepesi ma shaa Allah sahii mkiristo haniambii kitu shukran.
Jazaaka lahu khaira sheikh ALI Hajji DOCTOR SULE
Huna Roho wa Mungu wa kukupa tafsiri sahihi.Tafsiri yako ni elimu ya juu sana ya mapepo
usipende kuskia unachokitaka penda kuskia unachopaswa kuskia. Allah atakufungua mawazo InshaAllah
Nakupenda sana kwa ajili ya allah allah akupe firdaws
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Maa shaa Allah Allah akujaalie kila la kheri
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Dr Sure barikiwa sana ukipata muda tusaidie kuchambua Ethiopia Bible
Hapo ndipo panakufaa shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Ww ni akili kubwa sana,mwenyezi mungu akujaria akili nyingi!
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Ndio Ni kitabu cha Mungu Kuna utofauti wa biblia na pia elimu yako nimeipenda ubarikiwe shekh japokwa mie mkristo
Anajitahidi sana huyu Sheikh japokuwa kuna mambo mengine anatunga kidogo. Anaikashfu Biblia lakini wakati huo huo anaquote kila kitu kutoka kitabu hicho hicho. Kichekesho
@@stephenmnkande8192 wengi wenu mmemkana yesu kimatendo ila zahili ya midomo yenu mnaonekana mnampenda ila mkitaka kumjua yesu ulizeni mashekh kwani uislamu na waislam wsnamfuata yesu kimatendo maana Mungu alileta manabii zake kwa sesoni alipo ishia ndio mwingine huendeleza
@@stephenmnkande8192tumia akili
Mashallah mashallah, mwalim tupe eremu!
MashaLLAH
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Alianza vizuri . Ameharibu kuhusu ufafanuzi Wakulla nguruwe. Kumbukumbu la tomato hairuhusu mtu kula nyama ya nguruwe. Mkifuata vzr maelezo yake anaeleza kumbukumbu la torati inaruhu.
Hama huko huna dini
Jazzakallahu khairan
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Asante Sana ubarikiwe Sana
Allah akupe umri mrefu Dr.Sule
yaani vitu vinaporomoka tuh!!! mh! hatari!! Mashaallah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashaallah Allah akuhifadh
Dr Sulle,wewe ni mwalimu mwenye uwezo mkubwa mno kutoka kwa Mungu.Wewe sio muislamu tu wala mkristo.
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Hata nammi nimekubaliana naye!jama amejaaliwa elimu ya juusana
Dokta uko vizuri
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Waislam wanakuita we ni D.R ila huna hadhi hiyo
@@abelialsen5383 Hahaaaaa acha jazba
Mbona sina jazba yeyote?... Ila tu umemsikiliza vzr kwa ufasaha huyo bwana D.r?...
Mbona sina jazba?... Ila tu umemsikiliza vzr huyo bwana D.r
MA SHA ALLAH
Hapa dr uko sawa
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv Tv
Mashaallah Mashaallah shkh
Mashaallah tabarakallha somo zuri sana
Nakuelewa sana Dr Sule
Mashaallah
Umesha elewa TAFUTA waislamu walio karibu usilimu
Mashe mnachemka sana
Twende kazi dr sule
Vita vyetu si juu ya damu na nyama bali ni juu ya falme na wakuu na majeshi ya pepo wabaya ktk ulimwengu wa Roho
MUNGU akupe maisha malefu
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Hivi hawa wanapata wapi muda wa kufikiria dini za wenzao badala ya kufanya mafundisho ya dini yao!??? Hahahaha uongo una kazi kweli kweli,pole!
elim hiii nimeipenda
100% correct
Naomba unithitishie kwamba Musa,Ibrahim,Yesu walikuwa waislamu,wakati mwiislamu No Moja ni Mohamed aliyezaliwa baadaye sana.
tafuta video yake "chanzo cha vita vya palestine na israel" ameelezea vizuri zaidi
Shukrani sana kwa elimu
Asante shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Portuguese
@@pilimusa7770 naam wa ukae tunapata hili darsa bure kabisa kutoka Kwa Alhaji wetu
@@zvpOnlineTv mkono Kwa mkono mpaka peponi inshallah
@@jotafungo4622 kabisaa
Amen
Good
Dr sule sio wakristo wote husherehekea krismas point of correction.
Mambo hayo ndio tunayo yataka kutoka kwako sio mambo yq kuuza dawa inshaa allah mungu akubariki sana
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Kuhusu kuuza dawa acha auze maana bila kuuza unaweza kuilisha familia yake?. Tunatofautiana wewe unakazi yako mwenzio hiyo ndiyo yake
NI ELIMU NZURI NA MUHIMU KUJULIKANA MWENYEZI MUNGU AKUPE KHERI NYINGI DUNIANI NA AKHERA
Anybody with contact of this Sheikh I would love to get in contact with him Insha’Allah
Number yake IPO apo juu
Siwezi kujifunza biblia au ukristo kwa asiye mkristo.Pia huwezi kujifunza uislamu kwa mkristo.Acha kupotosha
Bible nikitabu kinachosomwa na watu weng dunian
Unajitahidi sana lkn kinachokuangusha ni udini pole yako Mungu akukumbuke
Hahahaaaaa
Udini ndo kila kitu tena 3:19 Qur'an hakika dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu ni uwisilamu kwahiyo wacha tuwe wa dini ww ka naukafili wako
usije kubishana bali kuereweshana bila mashindano pleas uwe tayari kuerewa nakukbasliana lugha mbaya hazitakiwi
Mwalimu Mimi nimekwelewa Ila mm naswali kuhusu mada hii hii maana kunakitu umekisema kuhusu mtoto wanimrodi lakini wakisto wananembo ya msalamba lkn waislahamu mbona nembo ya usilaamu unanembo ya miungu ya jua na mwezi
Ushahidi
@@ambarnelly6304 kwenye misikiti mnaweka mwezi na nyota
Dk Suleman tunakuomba ikiwezeka mtuweke mkalimani kwa lugha ya english. ili wageni wasiyojuwa lugha ya kiswahili wawze kukufatilia. kama ndugu zetu wakikiristo wanavofanya kwa kuhubiri imani Yao.
Unasema ukweli kidogo na uongo kidogo. Kuna mambo mengi uliyoyasema ambayo si sahii kulingana na bibilia. Lakini la wazi kabisa KJV iko na vitabu 39 si 29 vya agano la kale.
th-cam.com/video/req9kGXhc20/w-d-xo.html
Tufuate Biblia ipi ya Vitabu 66 au 77?
MAJIBU YA MASWALI YA DR. SULLE JUU YA BIBLIA
Historia ya ajabu kuhusu bibilia
Sannah
Mada hii haiendani na maneno ya Dr sule ??? Na pia ni mbaya sana mtu wa mungu kukariri??? Historia
Mungu Hana kitabu,vitabu huandikwa na watu Kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu. Kama Q,ran ni kitabu Cha Mungu.aliishusha mwaka Gani,katika mji gani.wangapi walioshuhudia,ilikuwa muda Gani.
" Biblia ni historia.ambapo utafiti ulifanyika na kukusanya maandiko na kuthibitishwa kisayansi na kijografia na kuthibitishwa. Bib lol is ndicho kitabu ambacho kinawatesa.Q,ran haimtesi Mkristo yeyote na ndiyo maana hutamkuta kundi la Wakristo wakiielezs Q,ran mtandaoni.
Mnachokifanya ni kama mnasaidia Kuutangaza Ukristo.Hongereni endeleeni na KAZI mzuri,lakini Ukristo ni imara mpaka Yesu arudi hakuna wa kuushinda
Sawa, Hivyo vyombo vilikua vinatumika kufanya nn msikitini ? Na je kuna uislamu bila quran au kabla ya quran na Mohamad uislamu ulikuepo? Na je uislamu ulikua unafuata kitabu gani na kumfuata kiongozi gani?
Mchango mnapokea kwa utaratibu gan?
Tuwasiliane +255 767 931 036
sehemu ya tatu iko wapi?
Kwa kweli bibia imebeba mambo mazito xana na bibilia ndio neno la kweli
So kweli unajipa moyo tu
Kuffaru ww vile mungu wako wa biblia alivyo tombana ndo ndo ime beba neno la kweli 😂😂😂😂
Biblia ndio kila kitu nyie tukaneni kama mnavyofundishwa na mtume wenu mudi
@@rsm3367 ushahidi
@@ramadhanjuma610 du kwakweli uislam Ni msiba Kama matusi ndio jadi yenu
Waalaykum Salam wa rahma tullah wabarakatu
Maneno matakatifu yapo katika mafumbo mapana sanaaa hivyo yahitaji elim kubwaa sana kuyachambua na hayakuwekwa kuelewek kirahisi
Acheni kupotosha waafrika wenzenu
Huna Elimu yoyote Mwongo mkubwa
We uliye na Elimu mbona hutoi umekalia husda tu kwa mwenzio.
Muongo mungu wetu alo watomba kwenye isaya
..
Yerusalemu nayo ni Daresalamu... Mmweuzi aliibiwa.
Sasa pale wayahudi walipokuwa wanaletewa amri za kigriki Mungu wao alikuwa wapi kuwatetea je alinyamaza asiwatetee
nimekufwatilia nimegundua hata muhamadi wako piaalikemewa na MUNGU nahakusamehewa soma taubah 9:80
quasisi 28:56
ila muhimu sana hii
muhammad 47:19
jina la biblia limetoka kwa wagiriki yesu alishindwa kuwapa jina la kitabu?
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya mungu vitakatifu mungu hajawahi kutumia nabii mmoja kwandika kitabu that why we have so meny prophets in the Bible Basi kama unaomba biblia si ya mungu wewe tupe kitabu cha Samuel,Daniel 'Daudi,Solomon and Samson. Swali lako halina msingi wowote kwa sababu mungu alizukumza na manabii wengi sana zamani za kale na unajua wakati huo vitabu havikua ndipo wana theology walikuzanya zote kwa biblia ikawa mkusanyiko wa vitabu vitakatifu vya mungu.
Ni kweli. Lakini kama ni hivyo mbona biblia imetenganishwa Kwa mana moja Iko na vitabu 66 na nyingine Iko na vitabu 72 kwanini wasivikusanye vyote Kwa pamoja
MAANAYA BIBILIA NI VITABU .
SOMA RUGHA KWANZA
Wakristo hamjawahi kuwa na akiri ya kiroho. Imani yenu imetoka kwa freemasons
@@hamisimfaumenamwewe193
ALIYEMPA UTUME MUHAMADI NI SHETANI SOMA QURAN 2:97
Kuna Siku mtahubiri Ukristo pambaneni Yesu anawachanganya hamumjui ninyi mnamsikia tu.
hata leo tuko tayari kuhubiri ukristo kama mkithibitisha kwamba kuna dini inaitwa hvyo
@@wangnjamealawy3387🤣🤣🤣🤣🤣 nimesoma shule ya kikristo aise mahubiri yao ni vichekesho mm nadhani walimu wao hawana elimu ya kutosha
Sijawahi kuona mkristo yeyote Duniani anahangaika na Quran lakini waislam mnahangaika na kitabu kitakatifu cha Bible,
Na Dr. Sule aliwahi kusema pia kama kuna Muislam hamtambui Yesu na bi Mariam mama yake Yesu basi huyo sio Muislam
Lakini sikueahi kumsikia Dr. Sule akionya wakristu kuhusu kutomtambua Mtume wao Muhammad
waislam tunafanya haya kwa sababu tumeamrishwa tuwajuze wasiyokuwa waislam ukweli wapate utambuzi hivyo ni moja ya ibada kwetu usipate tabu
Siyo 29 ni 39
Qurani imetabiri kitu gani kimetimia leo?
Quran ilitabili yakwamba wake watavaa uchi nayo nidalili y'a qiyama na ikasema kama kutakuja watu kama wewe je aikusemakweli
Na ikatabili yakwamba uchafu uliotendwa wakati wa rutu utaludi na utakuwa zaidi je leo wanaume awaingiliani wakati wa rutu waingiliana kisha waendazao lakini leo tunaowana ipizaidi
Mtume alisema mwezi umepasuka ktk karne ya 6 na karne ya leo ndo wana sayansi walipo peleka vifaa vyao wameona ni kweli
sehemu 3 kitabu cha biblia
Hujui unalolisema
Mh
wewe unaejuwa endelea kuabudu sanamu na kumuabudu bnaadam mwenzio kumuita mungu wewe ndie unaejua
Umesha elewa TAFUTA waislamu walio karibu usilimu
Unabii hauchambuliwi hivyo Kama haujui sema ufudishwe
The word Bible comes from a Greek word biblos means a book it written by the spiritual of God through 40 authors.Dr sule tell us who wrote a Quran as you know that Quran is a book written some one either by correcting some evidential material
brother Quran is a revelation from God to Angle Gabriel to teach our prophet. then prophet to teach us
Quran is also words which talk about the past present and future and what to do and not to do
Mtume anatoka wapi tena uko wakati mtume alikuwa ajazaliwa maana na nyie mtume kawa Mungu sasa kwenu
Maandiko matakatifu. Ahsante kukiri kuwa Biblia ni maandiko matakatifu
Mfano vitabu vya bibilia vimefuatana hi kulingana na wewe [1]mwanzo [2] kutoka [3] kumbukumbu la torati [4] walawi [5] hesabu. Lakini ukweli ndio huu kulingana na bibilia yenyewe.[1] mwanzo [2] kutoka [3] mambo ya walawi [4] kumbukumbu la torati [5] hesabu. Torati ndio sheria ya musa sliyo pewa na mungu kwa wana wa israeli wakiwa mlimani sinai. Na kabla ya kifo chake miaka 40 baadaye huyohuyo musa akawakumbusha torati tena na kitabu kitabu cha kumbukumbu la torati. Maneno ni yaleyale yaliyo katika kitabu cha walawi nia ya musa ilikuwa kutilia mkazo sheria aliyowafundisha walawi na waisraeli kwa jumla.
Mnasemaga TUMSWALIE MTUME
na mnamtakia REHEMA
yaani mnamtakia rehema mtume wa mwenyez MUNGU au yeye ndo awatakie rehema ?
sisi WAKRISTO Tunangojea rehema za YESU Soma YUDA 1:21-22
Matendo 5:31) Matayo 1:21) YESU hakuhusu kabisaaaa.
Nipe andiko katika Bible umetaja Ukristo ni dini, ukipt jibu Sasa hv nawa mkristo
@@hassanisadiki824 Kwani dini ni nini???
Ni kweli Ukristo si dini.Bali ni mahusiano Kati ya Mungu na binadamu KWA njia ya Yesu Kristo.Mungu wa biblia hakuleta dini bali alimleta Kristo
Si ninyi awa mnaona raha kukashifu dini ya wenzenu na Ninacho wapendea wakristo hawanaga mda wa kuwa jibu au kuwajadili
Karibu katika uislam
Umesha elewa TAFUTA waislamu walio karibu usilimu
Wewe haujui bibilia
Weweunaeijuwa yohana 17: 1-3 inasemaje na inamanisha nini ?
sehemu ya tatu haionekani toa na sehemu ya tatu
SULE hiyo elimu inakuzidi uzito mpaka uongozwe na ROHO WA MUNGU
Wakristo matayra
@@hamisimfaumenamwewe193
ONYESHA ILIPOANDIKWA KWENYE QURAN KWAMBA WAKRISTO NI MATHILA?
@@mossesjovenari9457 onesha wali dkt sule anaongozwa na roho wa mungu
Nahapo ndo mlipofungwa vichwa
Nyie si mnajiona mko sahihi:
maana wanaojionaga wako sahihi huwa wanawakosoaga wengine,kwanini mnahangaika na mambo ya wengine wakati hamuwezi kufasiri:
kazi yenu imekuwa ni kuwasema tu wayahudi na Wakristo,
sema sio kosa lenu maana quran yenu ndivyo inatoa muongozo huo,
Inajifanya haitaki fitina lakini chenyewe ukisoma ni fitina tu dhidi ya wayahudi na Wakristo, waanzisha fitina ni nyie na ushahidi tunao nikianza sasahivi na nyie hapo mtandaoni nikimalizia na quran yenu.
Msijali bonde la kukatia maneno ni "MEGIDO"HARMAGEDON"
ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Unatisha wakristu wameumiya allah akuhifadhi sule wewe nimkali kwamakafiri
Mimi mkristo nayajua hayo pia naamini wapo wengi wanajua ila tunaacha Mungu atachambua
Bibliya haisomwi namwanadamu yeyote huwezi kuyajuwa maneno hayo bila Roho mtakatifu .
WAKRISTO MKIMUONA MUISLAMU ANASOMA BIBILIA MNAMUONA ANAKOSEA HATA KAMA KAKAA CHUONI KASOMA. SASA WW ULIYE NA ROHO MTAKATIFU NIPE TOFAUTI YA MWANANGU NA MTOTO WANGU.
Nyie ngurwe ikitajua kwamba najisi aaaaa mtapinga huyo sana!we kula nguruwetu
Hahaaa ‘ hiyo ya kusema huwezi kuelewa biblia mpk uwe na Roho mtakatifu ni trick tu ya wachungaji ili waumini WASIHOJI wala KUULIZA baadhi ya maandiko ambayo yanasema Yesu MTU mengine Yesu MUNGU ‘mengine kasulubiwa saa TATU asubuhi mengine yanasema alisulubiwa saa TISA mchana ‘....Sasa Waislam wameyasoma na kuyahoji ndipo hawa ndugu zetu wanabaki wanashangaa maana hawasomewi kanisani...!
Wakristo Amkeni...!
@@ismailyusuph740 Asante ndugu kwakuwapa ukweli hao wagaratia.
Ww unamjua roho mtakatifu?
Huku ndio kwako dokta kule kwengine sio kwako wachie wengine in shaa Allah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Niliuliza swali na waislamu hamujajibu, ikiwa manabii wote walikua waislamu na Mungu kawatermshia vitabu nyakati mbali mbali:Musa torati, Daudi Zaburi, Issa injili na Mohammed Quran, mbona hamna hizo vitabu zingine vitatu na havitumiki kuabudia mskitini haliakua manabii walikua wote waislamu, mbona basi mtumie ti Quran msikitini, wapi injili, zaburi na torati za kiislamu ili tuamini kwamba bibilia ni mabaki tu ya vitabu hizo????
Maswali wacha sikiliza mawaidha kisha kosoa ujibiwe. Then soma historian ya nabii ibrahim
Sisi tumepewa quran ivyo vitabu vyote ukisoma quran unavikuta ndan yake
@@fantlameck1798 unaweza nionesha Zaburi ndani ya Quran? Naomba nioneshe
Kati ya hizo biblia mbili ya vitabu 66 na hiyo ya 72 ipi ndo alokuja nayo yesu mbona yesu mmoja vitabu vinatofautiana?