Dr.Chris Mauki: Nguvu Ya Mahusiano Ya Chumbani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2021
- Je unajua kuwa nguvu ya yale yanayotendeka chumbani ambako wewe na mwenza wako yana uwezo wa kubadilisha mahusiano yenu yote? Familia yenu inajengwa na kuimarishwa kwa yale yanayofanyika chumbani kwenu. Kudorora kwa tendo la ndoa kunaweza kuleta ufa mkubwa kwenye mahusiano au ndoa yenu. Swali ni je, kwa kiasi gani unawekeza nguvu na umakini kwenye kuyajenga na kuyaimarisha mahusiano yenu ya chumbani? Nifuatilie kwenye somo hili nikusaidie mambo muhimu.
Ubarikiwe..kaka
Asante Dkr kwa ushali wako wengi tunapona
Dah Dr mauki saluti
Ninafatilia vzur sana
Nimekuelewa sana doctor ubarikiwe sana
Dr Asante umenifanya nimepata mume ubarikiwe sana,Mungu azidi kukubariki
Woow
Ubarikiwe Dr kupitia wew nimebadilika San🙏🙏
Ahsante Dr maana umenifunguwa kitu zaidi maana mpaka m mwenyewe nilikuwa najiukizaga sasa umenipa kwa kirefu zaidi Elimu hii Ubarikiwe sana Mtumishi 🙏
Amen asante sana
Amina nimejifunz meng ubarikiwe Dr
Nashukuru sana Dr mauki nimejifunza kitu haki kweli nilikua gizani sana acha niendelee kujifunza kupitia hizi darasa zako za TH-cam🙏
Asante kwakutufundisha tusio jua tumejua
Nimekuelewa kka Mungu akubarki
Asante Dkr kwa ushauri wako, mimi ni mwanamke wa hasira kuongea sana but kwa usahauri wako umenijenga sana, mungu akubariki
Mungu aendelee kukubariki na kukupa afya njema na familia yako ili watanzanzia wengi tuendelee kupona
Amen asante sana
Ubarikiwe kwa darasa zuri
Thanks mwalimu
Hongera dr.
Uko sawa dr.
Mungu nipe hekima
Mungu akupe Umri mrf Mauki semina za youtub zinanijenga sana
Amen asante sana
Aksante sana Dr.
Amen asante sana
Nakuelewaga sana
Asante sanaaa
Nimeelewa ahsante kwa darasa mwalimu
Uko vzr dr
Kweli kabisa
🙏🙏🙏🙏🙏
Yani kweli kabisa mtoto wangu kuanzia miaka mitatu nimkorofi kila shule ninapo mpeleka ana pigana ana fujo mpaka sielewi nifunhe sala gani abadilike
?kumbe leo nimepata jibu tulikuwa tunapigana na baba yake mpaka siku na kwenda leba🤣🤣🤣🤣🤣👏🏿
Aaaah..ni sehemu ya? ...bwana asifiwe..am laughing 😃
Eti kigumu kama mbao ahahahahaha!
😂😂😂😊
Nafurahia Sana Maisha yenu jmn♥️♥️
Zidi kutuombea tuwe wa msaada zaidi kwa wengine
9p😮😅
😂😂😂😂
Your partner is still cute!
Thanks for the credits
Waaoohh she is real cute, beautiful smile
Kwangu imekuwa tofauti mumewangu muda mwingi mimi ndo nakuwa nina mwitaji kuliko yeye. Wakati mwingine nisipo mwambia ninauhitaj sipati chochote, natamani awe na hami mara kwa mara kama ilivyo kawaida ya wanaume wengne.
Niajabu wanaume ndio wenye hamu mara nyingi....nakushauri fatilia kwa makini kama mumewako amauhusiano na mtu mwingine
@@chunanachu2529 asante ila naumia jmn
@@monicaleonard6603 pole mpenzi jaribu kuvaa nguo za kumvutia na kuacha maumbile yako yaonekana ukiwa na yy labda atapata ham
@@chunanachu2529 asante
Pole my jaribu kutokuwa na stori za kukera ukiwa kitandani,
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mauki🤣🤣🤣🤣