Dr. Chris Mauki: AINA 3 ZA WATU. Je, wewe ni nani katika hawa?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Katika maisha ya kila siku inawezekana akajishangaa kwanini mambo hayaendi unavyotaka au unavyotamani kumbe shida iko kwenye namna unavyofanya mambo. Je umeshawahi kujiuliza ni kwa kiasi gani tabia yako inachangia kwenye kukufanikisha au kukufelisha? Hizi hapa aina za watu na tabia zao. Jitazame, jijue ili ubadilike.
Asante Sana doctor mi achiever somo nzur Sana sikatitamaa hata nipatechangamoto ngani! God bless u!
Umenisaidia saana Dr Chris,Niko samba-samba n'a mafundisho yako
achiever
Nimefurahi sana kuisikiliza hii kwa cku hii ya Leo, Mimi ni achiver coz si mtu wakukata tamaa na cjawahi kuwamlalamishi Ila ninachangamoto ya marafiki na uhaba wa watu wakujifunza kupitia wao yaan sina sehem yakupata msaada isipokuwa ni TH-cam.,nikipata changamoto yoyote sina pakukimbilia zaidi ya mitandaoni nianze kupekuwa mpk nipate solution ya tatizo langu, nifanye nini ili nipate marafk sahihi?
❤mm NK Kenya natamani Sana hiyo kitabu 🎉
Kaka mm nakuerewa Sana uko poa Sana mungu akurinde
Dubllor ila sasa ninatamani kuwa achiever. Naamini Mungu atanisaidia. Asante dr Chris kwa somo zuri
Wao mimi ni achiever maana sijawahi kata tamaa Baraka emanuely kivuyo
This channel is right place for sure. Be blessed Sir.
Mi nko group ya stresser.Nafikia malengo but kuchelewa.Mada nzuri sana.asante
Thank you doctor,hii nimeipenda mimi nipo katika "achiver"
Am an achiever
Achiever
3 pure me
Hio tabia inanishambulia Sana Asante kwa somo zuri
Mm natulia napumua naedelea hvo srudi nyuma 💪💪
Achiver
Hii ni dawa ya akili inayotibu. By God's grace I wanna achieve 🙏
Mungu akubariki kila siku iitwayo Leo! Amiin
Amen na Asante sana
Mm ni achiever.
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Waiting
Mm ni archiver
asante kwa somo lako nzur , mim ni dabrra 🙏🙏🙏
Mimi Ni achiver
Shukrni sana Dr kwa masomo mazuri yani upo sahihi kabisa jee kaupo kwenye kundi la strs utatumia njiaa gani ili kuepuka
Mim ni achiver,,Mana nimepata hasara Sana kwenye biashala lakini bado ninauthubutu na huwa natafutaga njia ya kupambana Zaid kwa umakini
Mm naona ni Achiva 🤣🤣 sitaki kukata tamaa MUNGU anijaalie nikifie malengo yangu Nshaallah
Dr.uko vizuri,nimekuelewa.
Amen asante sana
Asante kaka achiver ila napitia changamoto nyingi
Asante Dr mungu akubariki
Nimekuelewa sana
mimi ni achiver
Asante kwa somo nzuri ...
Achiever 💪🏻💪🏻
Waoooo Dr somo zuri mungu akubariki na akuinue ..
Aseeee me ni sitressa
You are good adviseur
Nakukubali sana pamoja na wife wako.mbarikiwe sana.
good topic
Upo sawa kabsa
Mm ni stressor
Mimi ni n (1) tena inaniumiza sana Dr
Mimi ni nomber 3🙌
mi Achiver,,,
Thanks
Mm ni stresser
Achiever here
Waooo Vzr sana mafundisho mazuri
Asante
Your ok bro
Achiever💪✌️ winner never quit
P1
Good
Achiever 💪👣❤
Asante kwa darasa zuri
Asnte San dr mungu akulinde kwaelim unayo tupa,akupe kipaji zaid 🙏
Mim ni stressor
🔥🔥🔥
Nakubali baba
Eeeh ndo hivyo eeeh 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Streser....
Stressors
Masomo ni mazuri yanatuelimisha ila punguza maneno ya ziada kwa mfano inavyoanza video, twende moja kwa moja ili ufupishe.
Mimi ni achiever dokta maana kukata tamaa kwangu ni ndoto
Dooo stresser ndo mm natakiwa kubadilka kuwa achiver
🙏🙏 Kwa mafunzo yako
Thank you doc I love your channel woow inamafunzo mengi sana en am achiever mob love doc
Thanks so much
@@ChrisMauki1 anytime doc
Mm hapa Stressor kabisaaa,ngoja nijitahidi nifike namba 3 loh
Mimi streeser😇
Hakika nipo kwenye group no3
Nakufuatilia Dr Mauki , Napenda mafunzo yako sana , Napendekeza ikiwezekana somo zingekuwa na lugha hata ya kiingereza ,Kwa sisi tunaishi Europe Ningefurahi sana kufuatilia na mine wangu na watoto wangu vile ni maternagers masomo yako ya muhimu katka familia nzima .Im proud to be Tanzanian zamani haha masomo huwezi kuyaona mtanzania anatoa kwa social media , Wa marekani na European na kea Africa Nigerians .Keep up good job .God bless ur work .Do you.have book ?
Uko vzr nimepata jambo
Achie
Mim niko 3
Stresser
Tnk's Dr I am third achiever let me Tel why I was building da house wid my hzy wen we get upto da bottom he started to quaral wid me every time ten I talk to my family and I Tel my family i wil my not loose hope I wnt to stand again on my on ten my family Tel me dat's right and dat is a strong human and my mom is a big contractors she has big big tenders in da port she build plays try cal me mummy she Tel me mammy u can do it we ar behind u and now I tnk god always I Hv 2 big plots
Mimi ni Achiver
Mimi nipo hapo kwa achiver
Mimi.ni.achiver
Safi sana dr sasa swali . hao watu ambao dabbler anaomba kureconnect na kupata msaada hao sasa wanatoka kundi gan??Maana ni kama kuna kundi zaidi..
Mimi ni stressor
Vipi nitakuwa achiever?
You can.
Mimi huyo stresser....
Sjaona aliesema mi ni dabra🤣😆
Dr, inawezekana mtu kubadilika kutoka aina moja kwenda nyingine?
Dr naomba namba yako kwaushauri zaid🙏
Archiever
Stressor
Mimi stressa
ACHIEVER!!!!!!!
Hahaha
Vp mtu huyu ambaye anakuwa na mipango na malengo makubwa halafu likija swala la kuanza kufanyia kazi anaogopa na kuwaza kitu kingine?
achiever
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Mm ni archiver
Achiever
Mm ni stressor
Archiever
✌✌✌dablla
Stresser
Achiever
Achiever
Achiever
Achiever