Dr. Chris Mauki: Jinsi ulivyolelewa inavyo athiri mahusiano/ndoa yako

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Malezi na makuzi yetu yana nafasi kubwa sana kuathiri mahusiano na ndoa zetu, athari huwa mbaya zaidi kama hujui ukweli huu. Nifuatilie hapa nikuonyeshe ilivyo

ความคิดเห็น • 12

  • @happinesssupila
    @happinesssupila 6 หลายเดือนก่อน +2

    Dr mauki. Nakuelewa sana may God in heaven bless you baba

  • @EutropiaSekajingo
    @EutropiaSekajingo 6 หลายเดือนก่อน +3

    Dr. Chris umesema kweli shida nyingi ktk ndoa zinaanzia pale uaminifu unapokosekana upande mmoja au pande zote na kusikiliza mtu wa tatu.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  6 หลายเดือนก่อน

      very true rafiki

  • @alexandersylivester2898
    @alexandersylivester2898 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dr Asante sana kwa mafundisho yako mazuri pili umegusia upande wa wazazi ndio changamoto kubwa wanahalibu ndoa za watoto wao naomba uwandae somo lao kwa wazazi wetu

  • @mollelyrebecah6840
    @mollelyrebecah6840 18 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @ShubiraCostac
    @ShubiraCostac 4 หลายเดือนก่อน

    ASANTE umenikomaza,yote uliyosema nimeyapitia na yote hayo ,Ubarikiwe sana,

  • @ShubiraCostac
    @ShubiraCostac 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mme wangu nilianza nae kwa shida sana tulijitoa kufanya kazi kwa bidii yeye alifanya biashara ndogo mimi nililima ili tupate chakula ,lakini alipofanikiwa kidogo alinidhalilisha sana na kunitelekeza na watot wawili na kuchukua jimama lililoachwa na mmewe na kukaa nalo na kuzaa nalo,mi nimeamua kuishi maisha yangu nikimtanguliza Mungu ,barikiwa sana kaka chris❤

    • @kubojajoseph3226
      @kubojajoseph3226 19 วันที่ผ่านมา

      Pole sana Mungu akutie Nguvu

  • @MarryMasewe-co8qo
    @MarryMasewe-co8qo 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna namna umezungumza na ndoa yangu... kaka asante...

  • @joycembelwa6427
    @joycembelwa6427 6 หลายเดือนก่อน

    Kupata taarifa bila kutafuta baba hapo umenigusa kabisa nilizani ni mimi peke yangu....

  • @restitutapetro4705
    @restitutapetro4705 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona wapo wanawake wanao wageuka waume zao? Na kuwadharau waume zao?

  • @elizabethmlay4845
    @elizabethmlay4845 3 หลายเดือนก่อน

    Nani ameona dada ameshapigwa x tena nyekundu😮