@@nurumtewele2835jinsi ulivyoiset Imani Yako maana iwe usiku iwe mchana YESU KASEMA ukiwa na Imani kiasi Cha punje ya haradali utauambia mlima huu onfoka na utatii..pasipo Imani haiwezekani kumpendeza
🤲 eeeh! Mwenyezi mungu nilikuwa siombi usiku ila sahii naomba usiku nakuomba sana baba yangu uniponye magonjwa yote yanayonitesa yaurithi,yakujituma na kutumwa ,fungua kizazi cha mama yangu fungua ndugu zangu kila minyororo ,kamba n nira zote za kimapepo zikakatike Kwa nguvu zako 🙏🙏🙏
Yesu mwaka huu nitaamka usiku kuutumia vizur Ili uokoe ukoo,familia na maisha yangu binafsi thanks so much kwaajili ya neema hiii nakucheka shetanii unipati tena😂😂😂😂🎉
Asante Yesu kwa hili somo nimelitafuta sana kwa muda mrefu maana mara kwa mara ikifika saa tisa nakosa usingizi na sijui chakufanya Ashukuriwe Mungu leo nimejua nini cha kufanya Ubarikiwe Mtumishi Hakika kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kùsudi chini ya mbingu
God bless you Mwalimu nimejifunza na Kule wa jins Mungu anajifunua katka mambi ya usiku na Vita vyangu adui anafanya zaidi usiku hapa naingia kwa Matendo moja kwa moja nimuone Bwana thanks God for this Man of God
Amen 🙏 mimi nilikua naamka saa sitar nikiomba hadi mungu anafanya jambo laminitis sai nimerudi nyuma sana na changamoto ni mingi ya ajabu Mungu anirejeshe tena
Jaman pastor.......nimesikiliza huu ujumbe zaidi ya mara tatu na sijachoka bado,,,Mungu akubariki sanaaaaaa sielewi niseme nini ila umenifungua macho sana🙏
Sifa na utukufu ni kwa Mungu juu mbinguni 🙏ubarikiwe mtumishi wa Mungu hakika neno hili likafanyike msaada kwangu sitaki tena kuleta hasara kwenye ufalme wa Mungu bali kuanzia sasa ufalme wa giza ukapokee hasara Shetani mda wako umekwisha sasa nmepata siri za ufalme wa mbinguni 🙌🙌🙌
Hakika nmepokea nguvu mpya katika hii safari ya ki imani vile nitakavyoweza kupigana na nguvu za kiroho za ulimwengu,,,nashukuru sana mtumishi wa mungu ,,popote uedapo mungu akutagulie na kukushka mkono,,👏👏🙏🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kuutafuta uso wa Mungu usiku wa manane.Mungu atusaidie Wana wa Mungu kutenga muda wa kumtafuta Mungu Maombi ni Ulinzi kwa Mkristo
Ameeen nilikuwa naomba usiku silali nilikuwa na shida Yesu alinijibu na kunitendea Atukuzwe Mungu.
Amina
@@nurumtewele2835jinsi ulivyoiset Imani Yako maana iwe usiku iwe mchana YESU KASEMA ukiwa na Imani kiasi Cha punje ya haradali utauambia mlima huu onfoka na utatii..pasipo Imani haiwezekani kumpendeza
Ameni
Amin kubwa
Be blessed pastor ❤ Mungu unapobariki wengine usimsahau na uyu pastor ametufunza mambo muhimu sna ❤
MUNGU ambariki sana huyu Mtumishi. Tangu nianze kufuatilia mafundisho yake maisha yangu ya kiroho yamebadilika. Napokea mabadiliko mapya kila siku.
🤲 eeeh! Mwenyezi mungu nilikuwa siombi usiku ila sahii naomba usiku nakuomba sana baba yangu uniponye magonjwa yote yanayonitesa yaurithi,yakujituma na kutumwa ,fungua kizazi cha mama yangu fungua ndugu zangu kila minyororo ,kamba n nira zote za kimapepo zikakatike Kwa nguvu zako 🙏🙏🙏
Amina
Mafundisho yako yamenitoa machozi😢Mungu atupe ufahamu wakujitambua,asante mchungaji ubarikiwe🎉.
Amen 🙏 🙏 🙏 very powerful n true,Lord grant me the grace for prayer n supplication n take away slumber from me.
I praise God for opening this forum,I'm blessed n I will follow this powerful man of GOD. I'm blessed mightly.
Asante mchunaji umenifunza mengi Mungu akubariki
Yesu mwaka huu nitaamka usiku kuutumia vizur Ili uokoe ukoo,familia na maisha yangu binafsi thanks so much kwaajili ya neema hiii nakucheka shetanii unipati tena😂😂😂😂🎉
Amina
Ee mungu wangu nijalie Neema ya kukujua kukupenda na kukutumikia,nijalie pia nisiwe na ulegevu katika maombi Amen 🙏🏼
Nairobi 🇰🇪 following the sermon very well.God bless this servant of God
Mara ya kwanza kukusikia yaani masomo yako yananifaa saana namshukuru Mungu kwa ajili yako be blessed abundantly
Huyu pastor ni chombo ya Mungu.
Asante mungu kwa kumwinua mtumishi wako tumebarikiwa sana endelea kumfunika kwa damu yako hili awe mchungaji mwema wa kulisha kondoo wako amen
Mtumishi mimi na shukuru Mungu sana nime saidiwa na somo...
Mungu nipe rehema ya kukutana na wewe usiku wa Manane
God give me grace to pray at night.Go bless you Man of God
Ewe Mungu wangu naomba unipe neema ya kukwabudu usiku wa manane haya ni maombi yangu mbele yako ewe Jehovah Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏
Asante yesu kwa ajili ya siku hizi nimesikia neno la mtumishi wako.
Mungu yesu Akubariki Kwa mafundisho mazuri@@basilisapuka5321
0p😢😮@@basilisapuka5321
Mungu akupe afya njema, nabarikiwa mnoo na mafundisho yako
Asante Yesu kwa hili somo nimelitafuta sana kwa muda mrefu maana mara kwa mara ikifika saa tisa nakosa usingizi na sijui chakufanya
Ashukuriwe Mungu leo nimejua nini cha kufanya
Ubarikiwe Mtumishi
Hakika kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kùsudi chini ya mbingu
Hata Mimi nakosa usingizi mda huo
God,help me to be waking at midnight to pray for my husband who is being tied by the spirit of poverty and loans.
God will make a way for you and your husband.
Did you start waking up?
Amen Amen
Amen
This is a great revelation..... God help me to wake up at mid nights for prayers
Mi too
Mungu Mikumbuke Nakuhitaji Sana Mungu Wangu Mungu EYesu Kristo nisaidie.mimi Mtumishi Wako.
Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA kwa neno la uzima. BWANA YESU akutunze
This is so true. Thank you so much pastor for this teachings. I started praying mid night and God has done so much for me
May Almighty God bless you servants of God more grace🙏🙏🙏 umenifunza mambo muhimu sana . Sikuwa naelewa chochote wakati wa usiku wa manane
Thanks pastor
Munguu tutunziee huyuu mzee miaka mingii❤❤❤
Kabisa yaani somo nzuri sana
Very powerfully message,God bless you pastor.
Mungu wangu asante kwa kunikutanisha na huyu Pastar George nipe nguvu ya kuweza kuomba usikubwa manane
Hakika nimebarikiwa sana na mahubiri haya.🙏🙏🙏
God bless you Mwalimu nimejifunza na Kule wa jins Mungu anajifunua katka mambi ya usiku na Vita vyangu adui anafanya zaidi usiku hapa naingia kwa Matendo moja kwa moja nimuone Bwana
thanks God for this Man of God
Powerful Sermon help me God na uniondolee usingizi usiku wa manane nikuwe muombaji. More Grace God. God bless you Pastor it's my first time kukusikia.
Asante Mungu kwa yoote unayotutendea watu wako naomba uwepo wako katika maisha yangu na familia yangu simama nami Bwana
Bwana nipe uwezo kugeuza usiku wangu wa manane kua silaha kwa jina la Yesu kristo
Amina
Umenifaaaaaaa mno baba ,limenifaa neno hili , Akutunze Bwana 🙏🏾
asanteeee mtumish wa mungu nimrbarikia kwa neno mungu akuongoze kwa neno lake na wengine wsijuwe vyema maombi haya nimebarikiwa amina
Amen kubwa iyo nikweli kabisa Asante sana kwa neno ubarikiwe mpaka ushangaeee
Am ready now to rise and fight,,,thanks man of God we really need this type of truth
Pastor n kweli naamini mungu anasikia n anajibi maombi y usiku barikiwa kwa hil neno limenigusa mahali
Amen
Ee mungu nipe ufahamu wakukujua Zaidi,minyororo ya shetani itoke kwenye maisha yangu nkuwe mwepesi WA kuamka usiku WA manane na kutukuza Jina lako
Amen baba asante kwa mafundisho baba
I'm really blessed, very powerful teaching 🙏 🙌
Amen somo ni nzuri Sana limenifumbua macho ya roho I barikiwa sna mtimishi
Amen Amen uko wapi nataka nije nisali kwenye kanisa lako. Nimebarikiwe sana Tena sana. Mwenyezi MUNGU akubariki sana.
Mungu nitie nguvu na unipe kibali cha kukuomba usiku wa manene🙏🙏🙏
Mungu nizaidie na unitie nguvu kutoka Leo nikkue wakuomba usiku wa mamanane.
Ubarikiwe sana Pastor, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu Sana
Pastor,, another revelation Sir, another anointing. Thank you man of God. The hand of God proctect you always.
Unarikiwe mchungaji nimebariwa sana
Mnapatikana wapi?
Amen 🙏🙏🙏
Amina Mungu nisaidie na mm niwe mtu wa maombi ya dhabihu
AMINA ubalikiwe na BWANA YESU Kiristo mtumishi , Asante Sana 🙏
Amen Mtumisshi wa Mungu ipo siku na mmi nishuhudia Makuu ya Huyu Mungu🙏🙏
Nimejifunza kitu na roho yangu inaugua...naumia naomba mungu anisaidie kufata mandiko na mafundisho ya mtumishi wako Mungu azidi kukupa afya njema
Amina mtumishi wa Yesu
Nakuews
God bless umenitia moyo mtumishi wa mungu na mungu azidi kukulinda na pia kukubariki ansante sana
21r3uy2ú²2 mtumishi wa Mungu akubariki Kwa ufunuo wa kibingu
😊❤
Mungu ni mwema kwetu, Mungu mbariki Mtumishi, Mungu libariki somo la saa hii maana Mungu amekuwa mwema sana
Ahsante Mungu nipe rehema na nguvu ya kuniwezesha kukutana na wewe usiku wa Manane kwa Yesu kristu Naomba Amen
Ameeen 👏👏👏👏👏🙏
Bwana YESU asifiwe!
Hakika umenifunza jambo kubwa kuliko hata ungeniombea, ni muhimu kwangu kujua kujitetea na sio ktetewa tu.
Nisaidie Mungu wangu Yehova jire.Yehova Rafa.Adonai....❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢
Nabarikiwa mtumishi wa mungu nimemuona Bwana usiku WA manane,,, UBARIKIWE
Mungu akubariki mtumishi nami naomba mungu anisaidie niutumie usiku huo
Asanteeeeh eeeeh YESU 🙏simama na mm katika utekelezaji 🤲😢 AMEEN 🙏
Amen 🙏 mimi nilikua naamka saa sitar nikiomba hadi mungu anafanya jambo laminitis sai nimerudi nyuma sana na changamoto ni mingi ya ajabu Mungu anirejeshe tena
Ewe mwenyezi Mungu naomba nijalia kukupenda na kupenda kukua mbele zako daima
Nimepata kitu kikubwa sana pastor ubarikiwe sana
Amina kubwa ubarikiwe sana nimejifunza kitu nimeelewa sana barikiwa sana mtumishi wa Mungu
God bless you pastor God bless you abundantly in Jesus mighty name Ameen
Ghai mungu akupariki Kwa ufunuo mungu alikupea juu ya maombi ya usiku WA manane be blessed kabisa
Amen Be blessed man of God
Amen na mungu wetu asikie kilio chetu wanawe tunateseka sana Kwa kutomjua yeye
Asante mutumishi wamungu kwakazinzuri zakuharibunguvuzagiza kwamaombi naneno.
Be blessed 🙌🙏 this message it's for meubarikiwe 🙌🙏 ujumbe huu ni kwa ajili yangu
Asante Yesu,kwa ajili ya somo hili
Oooh my God nimesikiza hii neno nimefufuka tena mungu nishike mkono nisimame tena
Nimepata kitu hapa mungu nipe nguvu yakuomba usk wa manane
Nimebarikiwa sana na somo hili, Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
Mchungaji Mungu akuwezeshe na azidi kukupa maharifa katika uduma hiyi unayo ,Mungu akupe haja ya moyo wako .
Asanthe sana postor..Kwa kweli nimejifunza kitu usiku WA Leo...bariliwa sana mtumishi
Ee mungu naomba unipe Neema ya kukuabudu usiku wa manane amen
Jaman pastor.......nimesikiliza huu ujumbe zaidi ya mara tatu na sijachoka bado,,,Mungu akubariki sanaaaaaa sielewi niseme nini ila umenifungua macho sana🙏
Ubarikiwe Sana kwa ujumbe huu
God bless you pastor and thanks for the teachings and revelations
Nimejifunza kitu kupitia mafundisho haya. Mungu nipe roho ya kuomba wakati wa usiku nijitowe dhabihu iliyo hai. God bless you man of God 🙏🙏🙏
Sifa na utukufu ni kwa Mungu juu mbinguni 🙏ubarikiwe mtumishi wa Mungu hakika neno hili likafanyike msaada kwangu sitaki tena kuleta hasara kwenye ufalme wa Mungu bali kuanzia sasa ufalme wa giza ukapokee hasara Shetani mda wako umekwisha sasa nmepata siri za ufalme wa mbinguni 🙌🙌🙌
Asante mtumishi wa Mungu, umenifungua vifungo vya shetani
Wewe ni mimi 😭😭😭 nimemsikiliza Leo, ndo siku yangu yakwnza nanimepokea amen,
Glory to Almighty God be blessed hear you
Wow, hakika mungu nipe nguvu nipate kujua cri ya maombi
Amen mm nimejifunza mambo mengi sana kuhusu hili somo nasema mungu akubariki sana mumishi wa mungu 🙏🙏🙌🙌🙌
Naamini kupitia mafunzo haya,,nitaweza kubalisha historia ya maisha yangu
Katika Nina Kuu LA Bwana Yesu
Asante Mchungaji. Somo zuri. Yesu akutunze sana
Hakika nmepokea nguvu mpya katika hii safari ya ki imani vile nitakavyoweza kupigana na nguvu za kiroho za ulimwengu,,,nashukuru sana mtumishi wa mungu ,,popote uedapo mungu akutagulie na kukushka mkono,,👏👏🙏🙏
asante mtumishi naomba mungu nipe nguv ya kuamka n kuomba usiku
Namshukuru Mungu kwa ajili yako mchungaji
God bless u for your good teaching .
Thank you man of God for this lesson.
Mungu nisaidie niwe naamka usiku naomba🙏
Moyo wangu unaugua 😢mungu nisaidie kuomba usiku wa manane
Tujitahidi tuache usingizi mimi sijawahi hata siku moja ngoja nianze
Powerful teaching may God bless you pastor
👍🙏🙏🙏🙏
Ameen usiku wa manane ni usiku wa maombi ee Mungu nipe neema hii ya kuamka na kufany maombi
Ubarikiwe sana. Mafundisho mazuri kuhusu maombi.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
For sure this is the message for me.
Iko siku nitashuhudia jinsi Bwana amenitransform. Ubarikiwe sana mchungaji.
Ubarikiwe bb naomba kujua uduma yako iko wapi mtumishi wa Mungu nimetamani Sana uduma yako
Mwanza
Amina Amina Amina mtumishi Mungu akubariki sana. Natamani niingie katika matendo kweli kweli, Mungu anisaidie.
Amen mungu akubariki nikweli kabisa lazima tujinyime usingisi tuutafute uso wa Bwana
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kuutafuta uso wa Mungu usiku wa manane.Mungu atusaidie Wana wa Mungu kutenga muda wa kumtafuta Mungu Maombi ni Ulinzi kwa Mkristo
Glory to god, holy Spirit awakens me daily in the night, on 1am or 2am or 3am,i thank God for choosing me thought the prayers of sacrifice 🙏
God please not god
Amen 🙏 🙏
Nakupend mtumishi wa mungu
Mtumishi Mungu akubariki sana nimebarikiwa sanaaa
Ameeeen Asante sana mutumishi wa MUNGU kwa mafunzo mazuri 🙌🙌
Mungu akubariki Sana mtumishi Mungu