PROPHET IPM AWAUMBUA WACHUNGAJI WANAOTUMIA MAFUTA YA UPAKO NA MAJI HUWEZI PATA UTAJIR KWA MAFUTA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 606

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 15 วันที่ผ่านมา +18

    Mbarikiwa Mwakipesile, hata mwisho ataeleweka kwa,njia yakumbinga uovu. Big up Mbarikiwa Mwakipesile wetu.

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 15 วันที่ผ่านมา +28

    Mtumishi wa MUNGU IPM, Hongera sana kwa neno lako na umejua sana kuelezea hii ni biashara ya watu. Asiyejua haya yote, atafute na asome kitabu cha aliyefanya mamboo hayo ya kuuza mafuta,maji,vitanbaa, udongo, hela za mapepo , n.k anaitwa Makhado Ramabulana, na kitabu chake kinaitwa Church Mafia. Soma utaelewa ni kitabu kizuri.

    • @augenmagabila3081
      @augenmagabila3081 15 วันที่ผ่านมา +3

      Kitabu kipo Mtandaoni yaani soft copy bure.

    • @marthajarome1718
      @marthajarome1718 วันที่ผ่านมา

      Mafuta na maji yakiombewa yanakuwa na nguvu ya kuondoa vifungo na nira vinavyopelekea magonjwa laana na mapepo,hasa ukiyatumia kwa imani, sema wanaoyachukua na kuyatumia ndio shida, akili za kuambiwa changanya na kwako

  • @BlessedAnne-fh6lk
    @BlessedAnne-fh6lk 15 วันที่ผ่านมา +18

    Asifiwe Yesu Prophet..Mungu akubariki Sana Kwa kusema ukweli..hayo nimeoyaona Mimi..unasema ukweli mtubu.🎉

  • @justinemisigaro1471
    @justinemisigaro1471 14 วันที่ผ่านมา +12

    Hapo IPM nakuunga mkono kabisa Mungu akulinde na kukujaza ujasiri zaidi damu ya Yesu kristo ikufunike

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 15 วันที่ผ่านมา +11

    Ubarikiwe sana sana kwa kuliona hilo hawa watu wanatumia nguvu za giza mwish wanaua watu mungu akupe maisha marefu sana

  • @DINANCHAGWA
    @DINANCHAGWA 10 วันที่ผ่านมา +6

    Kuhusu Kafara ya Wanyama mtumishi wa Mungu nakushaur kwamba iliishia msalabani kama unasoma maandiko vzr Yesu alpokata roho Pazia la hekalu lilikatika katikati kumanisha upatanisho wetu na Mungu ni kupitia damu ya mwana wa Mungu.
    Wanyama,biashara,mazao,na vngne vpo tu kwa ajili ya kutolea zaka na sadaka na syo vingnevyo.
    Mungu wa mbinguni awape uwelewa

    • @npiperito19
      @npiperito19 2 วันที่ผ่านมา

      Inamana walio kuwa wanatoa kafara Au sadaka ya wanyama walikiwa awantii mwenyezi mungu? Acha kuzarau agano la kale. Ayo yote ni mapendekezo ya mwenyewe.

  • @LINNAHPATER
    @LINNAHPATER 2 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani umenifunguwa sana baba Mungu akubariki eweeee baba muumba wa mbinguni Akulinde jaman Mungu baba mlinde IPM

  • @rajabukiza4851
    @rajabukiza4851 17 วันที่ผ่านมา +10

    Aiseee asant mtumishii umenifungua macho kuhusu kafaraa asnte saana❤

  • @grationgabriel4904
    @grationgabriel4904 12 วันที่ผ่านมา +4

    I appreciate your research is alright IPM, may God defend you always, and go ahead.

  • @FlorensiaMkombozi-et1ts
    @FlorensiaMkombozi-et1ts 15 วันที่ผ่านมา +8

    Nakuombea Mungu akulinde Mungu akusimamie na Mungu akupe ngu ya neno lake takatifu

  • @user-pg9dv9vo8p
    @user-pg9dv9vo8p 15 วันที่ผ่านมา +12

    Fact kabisa Leo umeongea ukweli

  • @johnsonkategela479
    @johnsonkategela479 16 วันที่ผ่านมา +9

    Daah brother umeongea facts ambazo wanufaika zitawauma sana! Watu wamepigwa na vitu vizito mpaka wanakuwa mazuzu Kwa kuamini vitu badala ya Mungu. Yaani huo mchanha ungewasaidia Israel na Palestina waache kuuwana. Asante Kwa upelmbuzi yakinifu

    • @alexandermilanzi9860
      @alexandermilanzi9860 15 วันที่ผ่านมา

      Hakuna cha dear brother yy mwenyewe mpigie tu!..... Ameshauza mafuta huyu tena yeye 5000-10000 kama sijakosea nimesahau tu gharama lakini

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 วันที่ผ่านมา

      Sasa nae ni prophet gani kama si biashara tu. Prophet wa mwisho ni Muhammad basi. Wala maprophet wenyewe hawakufanya hivyo

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 วันที่ผ่านมา

      Anaelewa kur ani na mtume Muhammad alimtambua Issa na alisema kwamba yeye ndie prophet wa mwisho iweje yeye nae awe prophet? Si ni uongo? Muongo si mtu wa motoni? Huyu kaenda ukristo ameona kuna wadanganywa kirahisi na kujiongezea kipato. Hupati waislam wa kuwadanganya kirahisi. Sidhani kama anaombea watu bure na hachukui sadaka na kuzitumia yeye

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 วันที่ผ่านมา

      Ana nini cha ziada hadi nae ajitawadhe uprophet? Kuna Yule wa Nigeria Joshua kumbe alikua na maovu kibao na wengi tu ni hivyo hivyo kudanganya tu na kujitajirisha

  • @user-rn8lm2nc5i
    @user-rn8lm2nc5i 8 วันที่ผ่านมา +2

    Nakubalisana mtumishi
    Ipm Mungu akupenguvu
    Naitwa Alex kutokeya canada

  • @user-cp1uo3lb7w
    @user-cp1uo3lb7w 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe sana baba yesu atakulinda

  • @AyubuJkechegwa
    @AyubuJkechegwa 2 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU akulinde mtumishi

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 14 วันที่ผ่านมา +3

    kweli nimevutiwa na mazungumzo yako! Ninatamani sana uwe mwokovu genuine! Ubarikiwe!!!

  • @RobartNgwembe-m3h
    @RobartNgwembe-m3h 3 วันที่ผ่านมา +2

    Mtumishi naamini ujumbe umefika, na usirudi nyuma katika hili mungu akupe nguvu

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera kiongozi kwenye uislamu pia yupo tapeli mmoja aitwa Dokta S

  • @BikoKamenya
    @BikoKamenya วันที่ผ่านมา

    Big up ipm,saluti kwako,tunaangamia kwa kukosa maarifa.

  • @user-bp5pq9to9e
    @user-bp5pq9to9e 12 วันที่ผ่านมา +3

    Uko sahihi, MUNGU akulinde Amina

  • @amanimanase8799
    @amanimanase8799 12 วันที่ผ่านมา +3

    Mchungaji nimekupenda sana

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 14 วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤❤❤❤❤apo niko nacwewe Ubarikiwe mnooo

  • @Jacksonswai685
    @Jacksonswai685 15 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu atusaidie mwisho watimia yan binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 14 วันที่ผ่านมา +4

    Amina, Umeongea ukweli na umefunguwa watu macho

  • @SanyuMoses-vp3dw
    @SanyuMoses-vp3dw 17 วันที่ผ่านมา +5

    God bless you it's true brother

  • @rosemarykimath9337
    @rosemarykimath9337 13 วันที่ผ่านมา +3

    Some times ifike mahali watumishi wa Mungu mfocus na mambo yenu jmn kma mwenzio ana karama amekuzid basi mshukur Mungu kila mtu ana karama yake kma huna uwezo basi acha wanatoa muujiza watoe Mungu ndo hakimu wa kweli

    • @vicentpantaleo5837
      @vicentpantaleo5837 9 วันที่ผ่านมา

      Karama gani alafu sisi tushakuwa kama manyumbu iyo ni siri yao hakuna karama yoyote kaka amka

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 8 วันที่ผ่านมา

      Ushaliwa

  • @stanleynyakunga5926
    @stanleynyakunga5926 12 วันที่ผ่านมา +3

    Barikiwa sana IPM

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 16 วันที่ผ่านมา +10

    Nikweli lakini hata wew hauna imani kabiza aloo sikukubali kabisa

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 16 วันที่ผ่านมา

      Nikweli nilishetani tosha tuu 😢😢😢

    • @Kalunirashidi
      @Kalunirashidi 16 วันที่ผ่านมา

      Tatizo ndio lo Iman ndio itakukomesha

    • @EstaDaffi-wg5cr
      @EstaDaffi-wg5cr 15 วันที่ผ่านมา

      Hata yeye so salm japo anayoongea ni kweli.

    • @janealbert7901
      @janealbert7901 15 วันที่ผ่านมา

      Waacheni wabongo wajinga sana. Watapigwa mpk wanyooke

    • @emmanuellukololo4427
      @emmanuellukololo4427 13 วันที่ผ่านมา

      Mtu kusema kweli ni shetan? ​@@user-nb6yh2bn9y

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d 16 วันที่ผ่านมา +4

    Nilikuwa nakuchukia Sana ipm, kutokana na yale uliyokuwa unayasuport, na binafsi niliona kitu kikubwa kwako lakini mpaka Sasa ukibadilisha tu kidogo, ntakapokuja dar, ntakuja kusalia kanisan kwako.

  • @DelilaRitte-sr9wr
    @DelilaRitte-sr9wr 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli mtumishi wa Mungu,, watumishi wengi wana wanyonyo sana ,, waumini waoo,, na wao kifanikiwaa waoo

  • @BENEDICTMwanga
    @BENEDICTMwanga 12 วันที่ผ่านมา +3

    Ipm mbona wewe unauza maji na mafuta unaonana na watu kwa pesa broo au umeacha umemrudia mungu kaka

  • @ElizabethNankoko
    @ElizabethNankoko 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezi Mungu atakulinda kaka msems kweli ni mpenzi wa Mungu

  • @user-cy4xf1eu3q
    @user-cy4xf1eu3q 16 วันที่ผ่านมา +6

    Kivuli cha Agano la kale ...kiliwakilisha watu kutoa kafara za wanyama ...ila kwa kufa kwake Yesu sisi sote tumesamehewa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 16 วันที่ผ่านมา

      Endeleatu kufanya zambi na uzidijuamini umesamehewa utajua hauajua lakini siku yamwisho utasaga meno

    • @Shalom2018
      @Shalom2018 16 วันที่ผ่านมา +2

      Ni kweli kwenye Agano jipya Yesu alikufa pale msalabani na damu yake imetukombo tena inafanya kazi mpaka sasa,hatuhitajiki kutumia tena damu za wanyama,tuanaweza kutumia damu ya Yesu Kristo kwa kuitamka,hayo mambo ya kafara ya kuchunja wanyama na watu yapo kwa shetani.

    • @farajis3dtech306
      @farajis3dtech306 16 วันที่ผ่านมา +1

      Fanya zambi ukijua umesamehewa maana ya kila mtu na msalaba wake naona huijui jichanganye ukifanya zambi utajua baadae

    • @MrMwadila
      @MrMwadila 16 วันที่ผ่านมา

      Waebrania 10:1-4”Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao.
      2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi?
      3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka.
      4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.”

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 15 วันที่ผ่านมา +1

      @@farajis3dtech306wacha asime ukweli 🫵🏾

  • @user-gt4rp4bo8y
    @user-gt4rp4bo8y 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu atusaidie sana ww mwenyewe hueleweki unasema tuuze sigara ktk biashara zetu je ni sawa?

  • @victorngimbwa5558
    @victorngimbwa5558 17 วันที่ผ่านมา +5

    Hujafanya utafiti ,Mungu akusaidie.waliofanikiwa Ni wengi mno.Na nani alikwambia wanaotoa mafuta wanawambia watu wasifanye KAZI.Jifunze bila Hila utajua Nini kinaendelea .Petro alipovua usiku kucha asipate samaki,shida ilikuwa Nini, na kwanini alipoambiwa na Yesu atupe nyavu alipata samaki wengi mpaka akaita watu kumsaidia.Yapo mambo mengi yanayozuia watu kufanikiwa licha ya kufanya KAZI kwa bidii.Mwombe Mungu atakufungua macho.asilimia kubwa ya wanaofanya KAZI kwa bidii ndio hafanikiwi wanapata mlo TU

    • @Petitejollie
      @Petitejollie 16 วันที่ผ่านมา

      Endelea kubeba mafuta kwenye pochi kuna siku utatajirika 😂😂😂

    • @vicentamandus6149
      @vicentamandus6149 15 วันที่ผ่านมา

      Yesu mwenyewe alimkuta petro akiwa anafanya kazi😂

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 10 วันที่ผ่านมา

      👏👏👏🙌♥️🙏

    • @josephgalandu128
      @josephgalandu128 วันที่ผ่านมา

      We muongo tu

  • @Hamisi-uz9cj
    @Hamisi-uz9cj 13 วันที่ผ่านมา +10

    Wewe kalia wivu sisi tunaendelea kupiga mafanikio yetu kupitia upako wetu arise and shine kazi iendelee

    • @joshuatituslusinde1260
      @joshuatituslusinde1260 12 วันที่ผ่านมา

      Umepotea kwasababu hujui maandiko

    • @joshuatituslusinde1260
      @joshuatituslusinde1260 12 วันที่ผ่านมา

      Mwapotea kwasababu hamjui maandiko

    • @LilyWeitz
      @LilyWeitz 11 วันที่ผ่านมา +1

      Wivu Tu 😅

    • @richardsiame8328
      @richardsiame8328 10 วันที่ผ่านมา +1

      Sio wazima nyie kunawivu hapo ,anaongea kweli tupu

    • @LilyWeitz
      @LilyWeitz 9 วันที่ผ่านมา

      @@richardsiame8328 kwa kuwa anekuwa mungu anahukumu watu au watumishi wengine yeye ni mungu au .kila mtu acheze kalata yake mwenyewe mambo ya watumishi wa mungu yeye inamuhusu nini.yeye kama kashidwa atulie au akalime vitunguu shamba

  • @JoshuaMolen-oc3vi
    @JoshuaMolen-oc3vi 12 วันที่ผ่านมา +1

    ipm nakukubali San mungu akubalik lakn loho inaniuma San make nakupigia San SMU unisaidie lakin hopokei SMU yang

  • @CathelineMagawa
    @CathelineMagawa 14 วันที่ผ่านมา +1

    Uko vizuri mno Mungu azidi kukupa busara na hekima

  • @PAULMNYANYI
    @PAULMNYANYI 15 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe mchungaji ni heri useme ukweli ili wanadamu tupate kupona na jehanam
    ,Mungu atakulinda kwa ukweli wako ,hutazurika na chochote.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 9 วันที่ผ่านมา

    Hongera mtumishi..umenena ukweli. Mitume na manabii hawa ni matapeli watupu..nimelia kabisa kwa jinsi watu wa imani zote wanavyotapeliwa

  • @JonasAmon-q3z
    @JonasAmon-q3z 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Uko saw mtumishi.unajua hao watumishi siyo wabaya ila sisi tunao wafuata ndio wabaya.Mungu atusaidie tu

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 15 วันที่ผ่านมา +2

    Binadam akili ziko tofauti ndio maana hata kwenye mtihani Kuna wa kwanza na WA mwisho

  • @BennyCrisanto
    @BennyCrisanto 16 วันที่ผ่านมา +2

    Apo sawa ipm .👏👏👏👏

  • @SimonFire-ms2be
    @SimonFire-ms2be 15 วันที่ผ่านมา

    Waoooooooo Asante Sana Mtumishi

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x 2 วันที่ผ่านมา

    Neno lako ni zuri lakin apo kwenye kafara mchungaji sijaelewa Bado, nachojua mm kafara kafara ya dam ya yesu ilimaliza hakunaga mnyama au fahari inayoweza ondoa dhambi (damu ya yesu yatosha) amen

  • @FrancisMliga-pp7cp
    @FrancisMliga-pp7cp 17 วันที่ผ่านมา +6

    Sema me ulinipiga lakimbili Mtumishi na hivo mbona na wewe huwa unauza kichupa Cha Asali kidogooo unasema hiyo Asali umeionbea ina Nguvu flani ya Mafanikio hicho kichupa Cha Asali unauza elf kumi

    • @rebecayenda6780
      @rebecayenda6780 16 วันที่ผ่านมา

      😂kafulia kaanza kujisahaulisha

    • @harmonylogisticszimbabweli3294
      @harmonylogisticszimbabweli3294 12 วันที่ผ่านมา

      Afanye kazi ya mungu wake sio kukosoa wenzio. Kila mtu anaufunuo wake.

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 10 วันที่ผ่านมา

      ​@rebecayen😂😂😂😂😅Yani Rebecca yen umenifanya nicheke mpaka mawazo yamepotea duu Asante🙏jamani sisi binadamu tunakazida6780

  • @johnmhangi315
    @johnmhangi315 7 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde na ahsante kwa somo nzuri

  • @AnthonyRuben-fi7cc
    @AnthonyRuben-fi7cc 13 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe mwenyewe muhuni nyie wote NI mbiz kasolo langi

  • @eliviraedward9466
    @eliviraedward9466 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kafala ilishia msalabani IPM Yesu alipokufa na kumwaga damu hiyo yote ilikuwa ni kielelezo tosha kwa kuacha kafala za wanyama.

    • @enockmarwa7635
      @enockmarwa7635 14 วันที่ผ่านมา

      Una uhakika? imeandikwa kitabu gan sura ipi?

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 16 วันที่ผ่านมา +3

    Keki, chumvi, mafuta, maji na kitambaa ni biashara ya kichawi.
    Serikali inafahamu na imekaa kimya matapeli wanawaua watu kwa kuwaambia wasitumie dawa za hospitali wameponywa. Yatima wameongezeka kwa ajili ya vibaka waliyojificha kwenye dini.

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 15 วันที่ผ่านมา +1

      Unaposema biashara ya kichawi hapo umedanganya. Ulishasikia mchawi gani anatumia sabuni na mafuta na maji ya upako.

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 13 วันที่ผ่านมา

      Wee ni uchawi tu hapo hamna kitu😮​@@moseshaule586

  • @MordAlly-ng8jj
    @MordAlly-ng8jj 15 วันที่ผ่านมา +2

    Huu ndio ukweli, ni wakati sasa serikali kubadilisha sheria kuanza kutoza kodi kwa wezi wa aina hii.

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 15 วันที่ผ่านมา

      🤝🤝🤝

  • @FrankBororo-dk1fv
    @FrankBororo-dk1fv 16 วันที่ผ่านมา +4

    Penye mzoga ndipo wakutanikapo ndege waitwao tai,brother. Ni kweli watu wanainuka kiuchumi baada ya upako na ndomana wanaweza kuhudhuria mara zote hizo na kutoa sadaka hizo mara zote hizo. Umati mnaouona kwa watumishi hao maisha yao yamebadilika na ndomana wanakua na uwezo wa kutoa kila wakati. Hawajaaminishwa,wanaona matokeo ndomana wanaendelea kwenda. Inashangaza kuona mtumishi wa Mungu anapoona miujiza anasema ni nguvu za giza! Hii tafsiri yake ni kwamba wanaamini shetani ndo mwenye miujiza mikubwa na sio Mungu. Mungu wao ana mipaka na matendo ya miujiza. Watu wameinuka kiuchumi sana na wao wenyewe ni mashahidi ndomana anaweza hata kutoa 50,000 kila wiki na alikua hata 2,000 hawezi kutoa. Watu wanakwenda ili kazi zao zifunguliwe na sio hawafanyi kazi,huo ni upotoshaji.

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 13 วันที่ผ่านมา

      Hakuna kitu kama hicho, wengi ni choka Mbaya

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 10 วันที่ผ่านมา +1

      Umeongea umemalza Kila kitu Asante !binafsi nimeielewa point Yako 👏👏👏🙌♥️🙏

  • @NicholausSaid
    @NicholausSaid 11 วันที่ผ่านมา

    Safi sana wewe ni Mtu wa Mungu Mungu akulinde Pastor

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 14 วันที่ผ่านมา +1

    Ubushakashatsi hamwe nisoko hamwe nabasaza Ntamuntu numwe, nyuma yawe, uri ghos, bityo tuzagororerwa guhumurizwa numuyaga Aho mubuntu bwanjye, Mana yanjye, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa , n'igitugu, yewe Mana Mana Mana, yewe Yahi Yaqiyam, Banyakubahwa Cyubahiro kandi benshi, ibi ni, kandi kubakuru b'ikuzimu, barasenze, bityo bazabe bamwe. Reka rero baryohe, ubushyuhe n'umwijima. Mana, hagarika abarenganya, abanyagitugu, n'abagome. Uyu muhengeri uraza hamwe nawe. Binjiye mu muriro , Nyagasani w'isi, kubera ubuhemu bwacu muri Palesitine, Gaza, Rafah, no mu bihugu byose bya Palesitine Bati: "Mwami wacu," watugejejeho ibi, byongera umubabaro we, kandi wikubye kabiri mu muriro baravuze bati: "Ikibazo ni iki kuri twe ko tutabona abagabo?" Twakundaga kubatekereza mu bantu babi gutongana hagati yabantu. Vuga uti: "Ndi umuburo gusa, kandi nta yindi mana ibaho uretse Allah, Umwe, Isumbabyose," mu ijuru no ku isi ndetse n'ibiri hagati yabo Oh, Nyirububasha, Kubabarira Mana, Amen, Mwami w'isi.☝☝🤲🤲☝☝

    • @IreneAlphonce-zi3if
      @IreneAlphonce-zi3if 10 วันที่ผ่านมา

      Acha. Umbea wakutega. Masikio kwa. Watumishi. Wenzio. Mbona. Kwa. Waganga. Wa kienyeji. Wanapeleka. Vingapi? Fanya. Yako. We. Prophet. Wa. Kuzim. Wewe.

  • @bilid4128
    @bilid4128 12 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂 hapo kwenye unyayo wa yesu 🙌🙌🙌

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hakalii wivu anawafungua wati macho wajue nini Mungu anasema siyo wivu kumbuka pia utafanikiwa lakini utaviacha hivo vote mtafute Mungu atakufanikisha mjue sana Mungu

  • @abuhassan9552
    @abuhassan9552 16 วันที่ผ่านมา +4

    SIWEWE PIA JAMBAZI TU ULIUZA MAFUTA YA GOLD WAJINUNULIA MAGARI YA KIFAHARI WEWE NA BIBI YAKO

    • @lucaslupaso5824
      @lucaslupaso5824 15 วันที่ผ่านมา

      Amesahau

    • @paschalpaul3862
      @paschalpaul3862 15 วันที่ผ่านมา

      @@lucaslupaso5824 alikuwa anafanya tafiti na hivyo amejiridhisha, na hivyo uwezi kuelewa jambo bila kwenda field, uwezi elewa uchawi bila kwenda kwa mchawi

    • @user-id1cg8ik1d
      @user-id1cg8ik1d 14 วันที่ผ่านมา

      ​@lucas😂😂😂😂😂😂😂😂lupaso5824

  • @alfredizabdieli6226
    @alfredizabdieli6226 13 วันที่ผ่านมา +2

    Acha unamfki mtumish wapo wenye matatzo mengi na sio wote wanataka utajr

  • @user-gy8hu4fe3p
    @user-gy8hu4fe3p 11 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli

  • @KhalifaChuma
    @KhalifaChuma 7 วันที่ผ่านมา

    inshaallah Mungu Atakulinda Bro bora ukwli ukifa unanafac yko kwa Mungu

  • @JumaAbdallah-c7u
    @JumaAbdallah-c7u 8 วันที่ผ่านมา

    jaman munguu akubarikii na awez kukupa ujasirii uouo ni kweliii kabsaaa aiseeee munguuu akubarikii xn nimefurahii sio kidog maanaa umenenaa babaaa

  • @josephinesagumo
    @josephinesagumo 14 วันที่ผ่านมา +3

    Hizo bei ni za kwako, hakuna bei kama hizo, meamposa maji na mafuta elfu moja moja

  • @livingistonmalula262
    @livingistonmalula262 7 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana usichoke kutupa elimu Mungu yuko pamoja na wewe

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 13 วันที่ผ่านมา +1

    Makanisa yamekuwa silaha ya kuwaumiza wananchi.Inakuwaje mtu anakusanya 800M.Lkn hata Kodi halipi,uwizi huo

  • @user-yc7dk4vy7v
    @user-yc7dk4vy7v 14 วันที่ผ่านมา

    Facts bro I appreciate you.

  • @DominikiChristian
    @DominikiChristian 14 วันที่ผ่านมา +1

    Tuna jua ila mafuta nikama yesu alivyo pakwa mafuta ya bei mbaya na jule m mama wengi wana jatumia kwa jini ya kujilinda na maatui wa kidunia ila sio kwajili ya mafaniko

  • @EstaDaffi-wg5cr
    @EstaDaffi-wg5cr 15 วันที่ผ่านมา +2

    Wivu tu wa idadi ya wafuasi wa hao manabii wanawatu wengi sana.japo mimi simwamini hata moja ila nawewe kinachokutesavni mafanikio yako

  • @upendofredrick8988
    @upendofredrick8988 11 วันที่ผ่านมา

    Asante mtumishi,mwenye masikio haambiwi sikia

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 11 วันที่ผ่านมา +1

    Ukweli siku zote haupingani na Uongo. Huo ni ukweli.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 17 วันที่ผ่านมา

    Tunashukuru kwa somo Suri mtumishi

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z 9 วันที่ผ่านมา +1

    Duu😢,prophet anamwita mwandishi broo , maneno ya kihuni hayo afu unajiita nabii , umeongea point ila nakuona na wale wale tu ,manabii wa uongo unawapondea wenzako ila wote ni walaji wa waumini

  • @user-mz7pv3uo9y
    @user-mz7pv3uo9y 11 วันที่ผ่านมา

    Nime barikiwa Sana usiche kusema kweli lpm mungu Yuko nawe

  • @bridgetphiri5663
    @bridgetphiri5663 13 วันที่ผ่านมา

    Amen 🙏 it true 💯 you have to work hard 🙏🙏

  • @DainesSwenya
    @DainesSwenya 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli mtumishi wa mungu

  • @user-rg1vs9mb8x
    @user-rg1vs9mb8x 9 วันที่ผ่านมา +1

    NI KWELI MCHUNGAJI BILA KAZI HAKUNA MAFANIKIO WAELEZE UKWELI MUNGU YU PAMOJA NAWE UBARIKIWE SANAAA

  • @estomihijohn6013
    @estomihijohn6013 2 วันที่ผ่านมา

    Haleluyaaaaaaaa! To The BLESSED MOST HIGHER HOLY ALMIGHTY MIGHTY IN THE BLESSED YAHWEH TETRA GRAMA ATON HOLY ZODIAC HOLY DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES FOR INTERLECTUAL HOLY SPIRIT ENLIGHTENMENT THAT SMILE VERY WELL ORDERING THE STEPS OF OUR FEET, Going Before us Making the croocked places Straight Breacking the gates of brass, Cutting in Sunder the bars of iron To Give Us the TREASURES OF DARKNESS, THE RICHES OF HIDDEN IN THE SECRET PLACES For Us to Know The Holy DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES Of " IS RA EL ". Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!

  • @user-jt7lb9ct7p
    @user-jt7lb9ct7p วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo watu wana tamaa ya Pesa tu au kua tajiri

  • @user-lz7rh1vr2y
    @user-lz7rh1vr2y วันที่ผ่านมา

    Kanisa la Sasa liko sawa lile alilo tengeneza yesu tofauti nihuduma zitolewazo ndani ya haya makanisa watumishi waleo ndiyo shida ya kanisa ila wajue bwana anarudi Wala hatakawia, Kesha ukiwa na akili,mungu yupo na jicho lake linaona wame tugharikishà wametutia upofu wametufarakanisha nakweli ya mungu bwana hatawaacha watu wake Bali atawaponya

  • @PriscaShaban
    @PriscaShaban 14 วันที่ผ่านมา +1

    Amina

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga3478 17 วันที่ผ่านมา +2

    Vinavyo patikana kwa miujiza vinapotea kimiujiza,vilivyo patikana kwa upepo wa kisurisuri vita potea hivyohivyo

  • @GeorgeJohn-c5e
    @GeorgeJohn-c5e 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubari, kweli inatuweka huru

  • @ShaurijulienMarandura
    @ShaurijulienMarandura 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu Akulinde mtu wa mungu

  • @BlessedAnne-fh6lk
    @BlessedAnne-fh6lk 15 วันที่ผ่านมา +2

    Makanisa yametushida paka tunakaa Kwa nyumba zetu..unanishidwa umwamini Nani??

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 16 วันที่ผ่านมา +2

    Uko sahihi IPM

  • @asmanikahungu7171
    @asmanikahungu7171 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kafara ya mu Christo ni Yesu ikisema myama sioni sawa île damu ilio mwangika musalabani inamana gani.

  • @estamarodaofficialtz5233
    @estamarodaofficialtz5233 13 วันที่ผ่านมา

    barikiwa sana baba shetani anatutenda kwaakili mungu atutetee

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 13 วันที่ผ่านมา +2

    MIMI NI MUUMINI
    NATUMIA MAFUTA
    CHUMVI
    NA VINGINEVYO SAWA NA NENO LA MUNGU
    NAFANYA KAZI NAMWABUDU MUNGU
    NASOMA NENO LA MUNGU
    NAISHIA NENO LA MUNGU

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 9 วันที่ผ่านมา

    Huko nyuma niliwamini Hawa ma pastor wanyonyaji, Wana waumiza watu sana,, elimu ya Imani iendelee kutolewa,,

  • @jumarajabngereza6713
    @jumarajabngereza6713 11 วันที่ผ่านมา

    👍🙏. Maashaallah

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 13 วันที่ผ่านมา +1

    Prophet IPM ubarikiwe sana kwa ukweli wako nafwatiliya kabisaa pia Na mimi nimewahi kununuwa shule ya Tanzania kwenye kanisa ya SUNGUYE na Mafuta ya upako sijaona hata kitu kufanyikiwa hahahaha Mungu tusamehee kweli

  • @anoldswai9829
    @anoldswai9829 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubarik kwa kusema ukwel

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 13 วันที่ผ่านมา

    Aisee Mungu akubariki sana

  • @BENEDICTMwanga
    @BENEDICTMwanga 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mafuta yanakusaidia kuondoa vipingamizi kwenye maisha yako my be uchawi nguvu za Giza amefungwa Kila anacho Fanya afanikiwi kwahio mafuta yanamsaidia anacho kifanya afanikiwe

    • @rerisamba
      @rerisamba 10 วันที่ผ่านมา

      Kumbuka Mungu kama Mungu hahitaji kusaidiwA neno lake latosha je ukifa itakusaidia kuingia mbinguni

  • @GeorgeIgnatio
    @GeorgeIgnatio 4 วันที่ผ่านมา

    Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa; Dunia imechangsnyikiwa Kwa kutafuta utsjiri mwishowa wanakutana na uharibifu.
    Mwivi haji; ila aibe na kuua na kuchinja na kuangamiza
    Bali Yesu alikuja Ili watu wawe na uzima Kisha wawe nao tele.

  • @nikusamwel3434
    @nikusamwel3434 15 วันที่ผ่านมา

    Duh hongera mtumishi

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 14 วันที่ผ่านมา

    Die twee lesers wat onthou word, maar die wat nie geglo het in trots en spiesjies, hoeveel mense is voor hulle Hulle is 'n gevolg van hulle, en hulle het gesê: Hulle loop en wees geduldig met jou afleiding Ons het nie gehoor nie dit in die hiernamaals Dit is niks anders as 'n versinsel nie. Die Boodskap is uit ons midde gestuur Voor hulle was die mense van Noag en Aad Farao, die man met stokke, en die mense van Lot, en die metgeselle van Mekka reg Aqaba al -Masabar oor wat hulle sê en onthou ons dienaars, dit is dieselfde Die een wat 'n muddhur het Moenie bang wees vir die twee opsommings nie, ons wil hê ons moet dit doen, so ek sal onder ons wees met die waarheid Soetheid van die bose, ons het jou 'n opvolger in die land gemaak. Diegene wat deur die pad van God mislei word, het 'n ernstige pyniging van wat hulle vergeet het op die dag van die rekenskap. , of ons sal maak Die wat veilig is, doen die geregtigheid in die land in die land Wat is die aanbidder, want hy is 'n wyk Met die sluier, het hulle geantwoord op my, so hy het geslaag

  • @bishopmmbando530
    @bishopmmbando530 16 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe unakosoa makosa na wew unafanya makosa makubwa zaidi.Unawaambia wafanye kazi ya Kuuza pombe,sigara na vilevi ili kupata Pesa. Kama umeamua KUNYOOKA,NYOOOKA NA NENO LA MUNGU SIO MAWAZO YAKO

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 15 วันที่ผ่านมา +1

      🤣😂🤣Tutawatumbua Na moto unawasubiri anayosema ni kweli 🤝

  • @armansabbor-ui3jb
    @armansabbor-ui3jb 13 วันที่ผ่านมา +3

    Baba mungu akubariki sana ni ukweli mtupu❤

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 9 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli kabisa. Ubaya ni kwamba mtu akishaenda kwa hao wachungaji hashauriki tena. Kuna dawa wanapewa zinawafunga wanakuwa wakali kweli ukitaka kuwashauri. Hata huku kwenye comment ukiona mtu anapinga huu ukweli jua kashafungwa hajielewi tena.

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 11 วันที่ผ่านมา

    Imani kitu mbaya sana kwa wale wenye uwezo mdogo wa kufikiri