Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
Asante mtumishi kwa mafundisho haya Hasa mimi binafsi nachukua note 4 , Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua, Mungu nisaidie
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
Mchungaji mungu akuinuwe katika huduma yk nabarikiwa Sana Sana mungu wa mbinguni akuinuwe
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki mtumishi nimejifunza sana hakika neno limekuja kwa wakati
Mungu atusaidie kukua kiroho na Imani ya Mungu ikue ndani yetu
Am blessed with the message ,may the Lord give you strength and Grace to be used by God. May the Lord anable me to grow through this
God bless you 🙏 pastor
Barikiwa sana kwa neno na somo.
Asante mtumishi kwa mafundisho haya
Hasa mimi binafsi nachukua note 4 ,
Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua,
Mungu nisaidie
Yesu kristo nipe mtoto wa kiume atakuwa mtumishi wako,,, Appostle kwa utukufu wako
Asante sana Pastor.
May God bless you
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. The message is so powerful
Pastor barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Asante YESU KRISTO kwa huruma yako kunipa somo hili asante YESU
Mungu tusaidie
Mafundisho yako yameni bariki Sana.
Nijifunza mambo muhimu Sana mtumushi mungu akubariki nitaendelea kujifunza kweli hakika mungu anakutumia sawa sawa na kusudi
I just give glory to God for the powerful teaching in spiritual life, more blessings in Jesus mighty name pastor 🙏🙏🙏
Amina mtumishi wa Jehovah 🙏
Ubarikiwe mushungaji
Sifa na jeshi a ma zimurudilie mungu tu Aliye kuumba Na ku kutuma kwa kazi. Yake ubarikiwe sana
Amina ubarikiwe sana Madurai sana
Amen amen amen amen
Emen mungu wa mbinguni awe pamoja nawe
Amen Asante mtumishi wa Mungu.Mungu azidishe neema juu yako
Shalom shalom shalom from qatar doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Shalom shalom 🎉
Hakika wewe ni zaidi ya pastor,ni mwalimu.
Baba ubarikwe kwa mafundisho mazuri
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu unanifungua sana kwenye ufamu nazidi kumjua Mungu kupitia masomo yako
Mungu akulinde Zaidi mtumishi hakika mafundisho Ni mazuri mno.
Barikiwa mtumishi kwa mafundisho ahsante
Asante sana kwa somo hili, nimebarikiwa sana ndani ya somo . Sababu maombi ni uriti wangu
Amina
Ubarikiwe mtumishii kwa mafundisho yako mazuri
Haya mafundisho mazuri kweli barikiwa mtumishi ❤
Hakika mb zangu haziendi bule asante Yesu nime jifunza nimeelewa
Thank you Lord we are blessed
Mungu azidi kukutumia Baba Mchungaji. Nimepokea na nitachukua hatua ktk kuomba. Amen
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Amina🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
mungu akubariki mchungaji sana...nmebarikiwa
Mungu akubariki Sana Mtumishi mafundisho yako yamenifungua Sana saiz nikiomba napokea kwa Wakat sahihi na nakua na Amani Sana kwa Mungu
Ameen🙏 Nabarikiwa Sana Na Mafundisho Yako Mtumishi
May the Lord Almighty lift you up man of God
Asante nchungaji kwa neno hili kubwa
Pastor asante sana umeguza roho yangu sana barikiwa and may God's will be done on us in Jesus Name Amen Amen and
Hongera sana mtumie wa mungu mana kazi unaifanya
Very powerful massage 🙏🙏🙏🙏
Nimebarikiwa,Mungu akuzidishiye maarifa, Amen 🙏🙏🙏🙏
God's word will never expire,I thank God for His word it has touched me.
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu na FURAHA kwa mafudisho. Na sema. Asante
Powerful message, God bless you servant of God.
Jina la Bwana Yesu kiristo libarikiwe sana. Asante Mungu BABA
Aki nimeguzwa na mafundisho ya mungu,,waa nimeelewa jinsi ya kuomba
Amen Ameeeen nabarikiwa sana na mafundisho pastor.
Ubarikiwe pastor kwa mafundisho ya msingi sana kwa waamini
Asante Yesu kwa mafundisho mazuri.
Nakupenda mtumishi mafundisho yako yamenijenga sana katika maisha yangu MUNGU akubariki Sana azidi kukutunza.
Nkwel mafundisho yake yakipekee
Mungu akubariki sana apostole
Aksante sana kwa mafundisha Baba ubarikiwe na Mungu,
Amen nabarikiwa sn naomba tuwe tunaomba pamoj
Amen huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akuinue zaidi
JESUS IS EVERYTHING AMEN😊
👏👏👏👌👌👌👍👍👍 maelezo yako hunifanya nielewe kindani mchungaji,Mungu akubariki,uishi maisha marefu.
Hakika Mungu akutumie zaidi,na utufundishe kuishi kikristo
Hungera Sana baba unafundisha vizuri Sana mungu akubariki sana
Balikiwa mtumishi
Ameni
Amen amen ubarikiwe tena zaidi ulivyo Mungu akuweke ju sana
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
Hakika mungu ni mwema mafundisho mazuri sana
Napenda sana mtumishi mafundisho yk ningekuwa ukomwanza ningeshafika dalasani
Ameen may i God bless you more pastor
Mafundisho yananitoa mbali sana
Ubalikiwe sana mtumishi wa mungu yaani nafurahi sana
Umewaanda Watu ktk Maombi Omba Mtu wa Mungu unawaondoa Watu kwenye Uwepo na hawatafiatilia mahubiri Yako yanakosa hitimisho
Barikiwa sana mtumish
As ante sana mtumishi wa Mung u ubarikiwe❤
Be blessed man of God, unanibariki sana na mafundisho yako.
Yesu wangu naomba unipe ufahamu wa kiroho
Amen from kenya
Nimegushwa sana na neno lako pastor George mukabwa
Napenda sana mahubiri yako mungu akufikishe viwango vy juu San mtumish wa mung
Haleluya haleluya mtumishi ubarkiwe sana kwa mafundisho mazur
Mungu aendelee kukutunza mtumwa wa mungu aliye hai
Ubarikiwe sana Dady napenda mafundisho yako Kila nikikusikiliza napata hatua zaidi ndani ya BWANA
Imenifungua sana. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen
Asante sana kwa Somo Hili zuri mno.Mungu akubariki Sana sana.Asante sana Mchungaji
Amen mtumishi mungu akubariki
🙏🙏🙏🙏
Ameen Baba ubarikiwe sana kwa mafudisho yako mazuri
Ameen mtumishi
Mtu wa Mungu asante kwa mafundisho haya Yanaleta utukufu wa jina lako
🙏🙏🙏
Barikiwa Baba SoMo zuri sana
Amen,,mafundisho mzuri sana,barikiwa sana
God bless you Pastor
Hasande sana my
God bless you man of
God
Sijawahi pata somo kama hili GOD bless you pastor 🙏
Napenda mahubiri yako sana mungu akubariki tena sana
Niombee nilikua nimerùdi nyuma
Ameniii barikiwa sana mtumishi
Amen pastor ubarikiwe sana
Baba ubarikiwe Kwa neno zuri naona kufunguliwa
Barikiwe sana, unazidi kunijega kiroho
Kweli nimefundiswa na kuelewa,, Mungu ashukuriwe