Ee mwenyezi Mungu Kuna muda ndio najihis kukata tamaa nalia natamani niache kuendelea kutafuta nakupambana naninachokihitaji Ila bado naimani ww utanisaidia nakuomba Mungu tafadhali nisaidie naomba unikumbuke Baba Maumivu haya naomba uyaondoe maishani kwangu fanya jambo kwangu na mm,, nikumbuke kama unavyowakumbuka wengine nitoe kwenye wimbo hili la Maumivu Baba,, Tafadhali nisaidie mm Mungu wangu
Amen pst kwanza mm huwa naanza maombi vizuri inafika maali nakata tamaa mpaka ninaacha maombi na ninaaza kufikiria vitu vingine karibu utuhubiriee kenya pst
MAY GOD BLESS YOU MAN OF GOD...AM HAPPY TO MEET YOU TODAY ON THIS TH-cam PLATFORM...I BELIEVE ITS GOD DOINGS...I'VE LEARNT ALOT FROM YOU...GLORY TO ALMIGHTY
Amen and amen, I'm very blessed with teaching, be blessed in Jesus mighty name pastor, for blessings us in spiritual life, I'm very much humble, I give glory to God, this was my pray to here more from God and you teach me how to welcome our God all the time to be with us, 🙏🙏🙏🙏
Oooh my God,una nigusa kupitiya mahubiri iyi,mimi nime kuwa nisha kata tama kwa ndoa yangu,nime achana na mke wangu kwajili ya kukata tama,na sheti ametuiba zamu sisi wote,mimi na mke wangu,tume kata tama sasa ina kuwa muda wa mwaka na 3 months atuko pamoja. kwenye ndoa, mimi na ishi Australia
Nlikua nikate tamaa nitoke katika ndoa yngu lakin vile nmeskia hili neno najua ni mungu kanieka pahali apa Sio mtu Wala Sio mama mukwe walala bibi mkubwa ni mume wangu Mimi ni mke WA pili nlikua wa kwaza mwanamke akaja ana mtoto na mume wangu tukaa woote sa Mimi sina mtoto nahuzuniswa Kila mara wanataka kuniondoa katika nafasi yngu katika jina la yesu alie nikomboa kutoka gizani nmekataa tena kuria nasimama na jina la yesu na sitoki kwangu watoto utoka kwa mofa ata me nitapata wangu 😢 nashukuru saaana kwa kuhubuli kwako mchunguji mungu akupee maono zaidi 🙏🙏
Huyo Roho Mt alikujaza chakula hiki kimetufungua wengi ..Baba Mungu akuifadhi sana n kukupa neema zaidi tunapona wengi Mungu tunakushukuru sana umeshuka kupitia kinywa cha mt wako baba George..tx u Jesus
We need such word in today’s church haki , Neno la kweli limekuwa rare kupata . This is the truth and the truth shall set us free . Ts words like these that open the doors to God’s blessings. Be blessed Pastor 🙏
Oooooooh bab yangu asante kwa kunipa mtu sahihi katika maisha yangu na kunifundisha ninapo kata tamaa na kilio cha uchungu.....eeh baba usikawie na unipe maarifa na kuelewa neno lako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwaajili yako na mungu kunifany nikujue baba. Mm ni mmoja wawatu nasikilizia Crip zako pastor zinanijenga sana. Siku ya Jumamosi tareh 21/10/2023 nikakutana na hii Crip pastor it's like ulikua unajua kinachoendelea kwangu nmeisikiliza hii nilipo malza nikama nmeshushwa mzgo baba Mungu akuweke sana najifunza vng kupitia wewe.
Amen mtusmishi hiyo roho naiona ikicheza sana ,kulaaumu ndo sana ila nimepata funzo notakaa nijifanyie mkutano namungu ataniregesha kwa hali yangu .ubarikiwe sana 🙏🙏
Hizo habari za kuhubiri mabaraka sana ni moja ya upotofu ulimwenguni hilo njo neno sahihi la kumujua Mungu ili tujue kule tuko naenda ubarikiwe na mweyezi bado uko narudisha taifa kwa Mungu wetu
Mtumish barikiwa sana ninakufuatilia sana mafundisho ya Neno la Mungu ukweli nimejifunza mengi ya kunifunza kwenye somo hili la roho ya kukata tamaa naomba namba yako mtumishi
Miezi minne iliyopita nilitizama video hii,nilishakata tamaa.Nikawaza kuacha kazi na nikawaza kujiua..Nilimkabidhi MUNGU mapito yangu leo hii niko kazini na nimepewa mkataba wa miaka mitatu na mshahara mzuri na roho ya kukata tamaa imeenda kuzimu.Bwana YESU asifiwe.
Ee mwenyezi Mungu Kuna muda ndio najihis kukata tamaa nalia natamani niache kuendelea kutafuta nakupambana naninachokihitaji Ila bado naimani ww utanisaidia nakuomba Mungu tafadhali nisaidie naomba unikumbuke Baba Maumivu haya naomba uyaondoe maishani kwangu fanya jambo kwangu na mm,, nikumbuke kama unavyowakumbuka wengine nitoe kwenye wimbo hili la Maumivu Baba,, Tafadhali nisaidie mm Mungu wangu
Poleeee
Haya mahubiri yananihusu mimi,napitia mambo magumu sana kwenye ndoa yangu.Ila nitamaliza salama na nitavuka kwa jina la YESU
Kwa kweli wengi tunaelimika na kubarikiwa na mafundisho yako Pastor George. Mungu azidi kukubariki katika huduma yako ya kuelimisha ulimwengu.
Oooh Mungu wangu nisaidie mm😢😢 nitoe kwenye ndoa ya mateso Baba
😢😢oooh God,, thank you,, am blessed,,🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏 MUngu naomba niende na neno la bwana😭
Kwakweli MUNGU ni mwema siku zote, Mchugaji MUNGU akuzidishiye na zaidi tena, Mafundisho haya
Yana nijenga kupitiya kiyasi. Ubarikiwe
Ameen nabalikiwa mno pastor be blessed
Amen mtumishi kwakuniongoza mafundisho haya barikiwa Sana 🙏
Barikiwa saana Mtumishi wa Bwana
Napenda tukualike Burundi
Amen pst kwanza mm huwa naanza maombi vizuri inafika maali nakata tamaa mpaka ninaacha maombi na ninaaza kufikiria vitu vingine karibu utuhubiriee kenya pst
MAY GOD BLESS YOU MAN OF GOD...AM HAPPY TO MEET YOU TODAY ON THIS TH-cam PLATFORM...I BELIEVE ITS GOD DOINGS...I'VE LEARNT ALOT FROM YOU...GLORY TO ALMIGHTY
It's my message Pastor
Very powerful authentic pastor🙏🏿🙏🏿🙏🏿✍🏾
Mchungaji nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akubariki zaidi
Mungu anitiye nguvu nacoka nasikiya kukata tama kwakungoja ahadi
Namshukuru mungu kwa kunena Nami amen amen
Amen and amen, I'm very blessed with teaching, be blessed in Jesus mighty name pastor, for blessings us in spiritual life, I'm very much humble, I give glory to God, this was my pray to here more from God and you teach me how to welcome our God all the time to be with us, 🙏🙏🙏🙏
Asante sana Bwana Yesu umeniponya. Nimeinuka tena nasonga mbele
Yani umeninenea ,swali nmekuwa nalo kwa muda mrefu umelijibu Kwa utaratibu ,,umenisaidia mtumishi wa Mungu na ubarikiwe Sana
Oooh my God,una nigusa kupitiya mahubiri iyi,mimi nime kuwa nisha kata tama kwa ndoa yangu,nime achana na mke wangu kwajili ya kukata tama,na sheti ametuiba zamu sisi wote,mimi na mke wangu,tume kata tama sasa ina kuwa muda wa mwaka na 3 months atuko pamoja. kwenye ndoa, mimi na ishi Australia
Mungu kanikutanisha na mahubiri sahihi sana. Kwa kweli nimepona. Mungu akubariki sana. Azidi kuinua viwango vyako .
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu hakika umenigusa.
Mungu akutunze Baba
Nlikua nikate tamaa nitoke katika ndoa yngu lakin vile nmeskia hili neno najua ni mungu kanieka pahali apa Sio mtu Wala Sio mama mukwe walala bibi mkubwa ni mume wangu Mimi ni mke WA pili nlikua wa kwaza mwanamke akaja ana mtoto na mume wangu tukaa woote sa Mimi sina mtoto nahuzuniswa Kila mara wanataka kuniondoa katika nafasi yngu katika jina la yesu alie nikomboa kutoka gizani nmekataa tena kuria nasimama na jina la yesu na sitoki kwangu watoto utoka kwa mofa ata me nitapata wangu 😢 nashukuru saaana kwa kuhubuli kwako mchunguji mungu akupee maono zaidi 🙏🙏
Mungu huwatumia watumishi wake kuokoa ulimwengu🤲🤲🙏
Amen and Amen. Mungu nisaidie powerful message 🙏
Huyo Roho Mt alikujaza chakula hiki kimetufungua wengi ..Baba Mungu akuifadhi sana n kukupa neema zaidi tunapona wengi Mungu tunakushukuru sana umeshuka kupitia kinywa cha mt wako baba George..tx u Jesus
Asante sana Bwana wa majeshi unipe neema na roho mtakatifu 🙏🙏🙏
Nasikiliza hili baada ya kukata tamaa..Nisha tuma ujumbe ya kwamba nmechoka..
Mungu niongoze kwa njia mpya
We need such word in today’s church haki , Neno la kweli limekuwa rare kupata . This is the truth and the truth shall set us free . Ts words like these that open the doors to God’s blessings. Be blessed Pastor 🙏
Oooooooh bab yangu asante kwa kunipa mtu sahihi katika maisha yangu na kunifundisha ninapo kata tamaa na kilio cha uchungu.....eeh baba usikawie na unipe maarifa na kuelewa neno lako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwaajili yako na mungu kunifany nikujue baba. Mm ni mmoja wawatu nasikilizia Crip zako pastor zinanijenga sana.
Siku ya Jumamosi tareh 21/10/2023 nikakutana na hii Crip pastor it's like ulikua unajua kinachoendelea kwangu nmeisikiliza hii nilipo malza nikama nmeshushwa mzgo baba Mungu akuweke sana najifunza vng kupitia wewe.
Amen 🙏🙏🙏 baba hili neno limeni gusa sana acha mungu akuinue mutumishi wa mungu
Amen 🙏 🙏 🙏 nmejifunza mengi kwa mafunzo yako be blessed 🙌 😇 🙏
Amen man of God
Amen mtusmishi hiyo roho naiona ikicheza sana ,kulaaumu ndo sana ila nimepata funzo notakaa nijifanyie mkutano namungu ataniregesha kwa hali yangu .ubarikiwe sana 🙏🙏
Barikiwa sana mchungaji
Ameen baba sikati tamaa kwa kitu chochote
Ameen pastor umenisaidia Leo hii hata mm nilikuwa nimekata tamaa ilaneno lako limenisa
Mungu alie hai tunaomba utuponye Mungu naomba unitie nguvu ✊️✊️✊️✊️✊️
Amina Mtumishi wa Mungu. Mafundisho Yako yananibariki sana.
ahsanteee mtumish kwa neno la uzima
Ameni, asantee mtumishi Mungu akubariki.
Tumpate wapi mtu kama huyu ambae Mungu anakaa ndani yake. Asante pastor kea mafundisho
Kweli Mungu ananipenda, Asante Kwa neno Mtumishi nna amani sasa
Hakika mchungaji mungu akupe maisha marefu maana chakula Cha kiroho kila siku Ni kipya ubarikiwe
Nabarikiwa nikiwa Kenya, God bless you so much Pastor 🙏🙏🙏🙏🙏
Hizo habari za kuhubiri mabaraka sana ni moja ya upotofu ulimwenguni hilo njo neno sahihi la kumujua Mungu ili tujue kule tuko naenda ubarikiwe na mweyezi bado uko narudisha taifa kwa Mungu wetu
Oooooh my God Mtumishi unaongea na mimi kabisa hii Roho yakukata tamaa imenikamata nimeacha na huduma kabisa
Asante Yesu hili neno ni kwa ajili yangu
Asante kwakunikumbush ubalikiwe san mtumishi ,piya ongela kwakuona mwaka mbya
Mungu.akubaliki.kazi.yako.ni.njema
Mungu wangu uishie niondolee moyo wa kukata tamaa
❤❤❤❤
Mtumishi nashukuru sanaaaa .Umefundisha mpaka umegusa maisha yangu.
Amen
Asante sana kwa somo zuri Pastor
Ni kweli pastor unayosema mungu akubariki
Hakika nimepata upenyo Mungu akubariki mtumishi
Mungu naomba team yangu isolate tamaa
❤❤❤❤❤🎉
asante kwa kunigusa mtumish nilkuwa napanga nijiondoe kazn
Endelea kutumika shambani mwa bwana. Mungu baba anakutumia Sana barikiwa sana
Amen 🙏🙏 powerful preaching
Ameen barikiwa mtumishi
Pastor nasema ni asante kwa vile unavyo nitia moyo 🇰🇪🇰🇪
NZAMBE YA LOLA ABAKUSENAYO MIKOLO YAKOTEYA BIKELAMU NAYE APAMBOLAYO MINGI Amen
Huyo mwanamke alijiondoa kwandoa yake Mume akaoa mume kufanya hivo anahesabiwa haki
Mtumish barikiwa sana ninakufuatilia sana mafundisho ya Neno la Mungu ukweli nimejifunza mengi ya kunifunza kwenye somo hili la roho ya kukata tamaa naomba namba yako mtumishi
Amina Amina mtumishi wa MUNGu
Mungu akubariki postor yan baraka zake ziambatane nawe
Shalom mtumishi naitwa Clovis Light Niko muhumbiri piya muhimbaji Burundi kweli unanibarikiri sana mtu ubarikiwe baba
Hili ndilo neno,,,be blessed my online mentor
Miezi minne iliyopita nilitizama video hii,nilishakata tamaa.Nikawaza kuacha kazi na nikawaza kujiua..Nilimkabidhi MUNGU mapito yangu leo hii niko kazini na nimepewa mkataba wa miaka mitatu na mshahara mzuri na roho ya kukata tamaa imeenda kuzimu.Bwana YESU asifiwe.
YESU Aansaidie kuwaachilia niliowaweka ndani ya moyo wangu nisikate tena tamaa kwa mafundisho ya mtumishi nitashinda roho ya kukata tamaa
@@marthaephata3361 Mungu akujalie kila hitaji la moyo wako,usikate tamaa kwa jina la YESU.
Amina mch nimekwelew
Baba umenitoa mbali sana kwa mafundisho yako
Nimepata musaada kwa hiyi neno naomba namba yako ya WhatsApp
Ubarikiwe sana aki hili neno ni la kwangu
Hallelujah barikiwa
Barikiwa sana pastor,Kila wakati nakushikiliza na soma jambo jipya. Amen
Ubarikiwe Sana mtumishi mafundisho yako yanatia moyo
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu unifunza sana
Amina
Amen 🙏 baba, Mungu akubariki.
Mtumishi ananena mambo makubwa ya Mungu kwa ajabu kubwa. Mungu amtumie sana.
Hallelujah baba Amen
Kweli Baba maombi ya kuua wachawi na mapepo yanachikua nafasi sana huku kwetu. Lakini tuliempokea si mkuu kuliko wachawi na mapepo? Mungu tusaidie.
Amen mungu tenda
Umenifunza jambo Mungu akubariki sana
Somo zuri na nimejifunza kitu
Kweli kabisa huyu ni Mimi kabisa mara mingi nimetaka kujiondoa katika uongozi kanisani
Amen 🙏🙏
Ameeen
Ameen
Emen ubarikiwe
Amen amen
Ameeeeeen 🙏
Amena Amena
Yes Amen
Ni neno la nyakati
Ameeeen
Amina
Hakika mtumishi hili neno limenilenga mimi
Jesus is alive. Thank you for speaking with me..I am healed
🎉😢to🎉
AMINA
Pastor hapo umeongea na mimi!
Siatasahau matendo makubwa aliyonitendea Mungu.
Ivi napataje mawasiliano na uyu pator