REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI NYUMBANI?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 มี.ค. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH
IBADA YA MORNING GLORY: THE SCHOOL OF HEALING
'HII NI KWARESMA: 19
06/ 03/ 2024
MADA:
NIDHAMU NI HATIMA
DISCIPLINE IS DESTINY
SOMO LA LEO: UNA KITU GANI NYUMBANI?
WHAT DO YOU HAVE IN YOUR HOUSE?
2 Wafalme 4 : 1 - 7
1 Nyakati 12 : 32 - 33
NENO KUU:
"Zitafakarini njia zenu"
(Consider your ways)
Hagai 1:7
2 Wafalme 4 : 1 - 7
1 Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha Bwana; na aliyemwia amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa.
2 Elisha akamwambia, Nikufanyie nini? Niambie; una kitu gani nyumbani? Akasema, Mimi mjakazi wako sina kitu nyumbani, ila chupa ya mafuta.
3 Akasema, Nenda, ukatake vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usitake vichache.
4 Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa ukavitenge.
5 Basi akamwacha, akajifungia mlango yeye na wanawe; hao wakamletea vile vyombo, na yeye akamimina.
6 Ikawa, vilipokwisha kujaa vile vyombo, akamwambia mwanawe, Niletee tena chombo. Akamwambia, Hakuna tena chombo. Mafuta yakakoma.
7 Ndipo akaja akamwambia yule mtu wa Mungu. Naye akasema, Enenda ukayauze mafuta haya, uilipe deni yako; nayo yaliyosalia uyatumie wewe na watoto wako.
1 Nyakati 12 : 32 - 33
32 Na wa wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende; vichwa vyao walikuwa watu mia mbili na ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
33 Wa Zabuloni, watu wawezao kwenda pamoja na jeshi, hodari wa kupanga vita, wenye zana za vita za kila namna, hamsini elfu; askari wastadi wasiokuwa wenye moyo wa kusita-sita.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Jmn tunaomba msiwe mnakatisha sala huku mwishoni tunawategemea sana
Amen mtumishi barikiwa
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri
Askofu ajae🙏🙏🙏🙏
Najua mungu hawezi kunipa kilema akanikosesha mwendo
Amina
Aminaaaaaa. nimebarikiwa mtumishi wa Mungu🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu
Amin sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱
Amina baba,...
Mwenyenzi MUNGU azidi kukuweka zaidi na zaidi tuweze kupata mafundisho yako akika umetuvusha ng'ambo nyingine
Ubarikiwe sana pasta
Amen
🙏
Mimi nime ski na frem ambayo bado kodi ipo mpaka july naamini nita simama tena kupitia hii frem iliyo bakizwa na mauti MUNGU hajaniacha nitatiboa kwajina la yesu
Asante Kwa tafalali nzuri Amina unatuelimisha kweli GOD bless you.
Kumbe ,sio dhambi kumchukua mkopo, na saai Kuna watu wanahubiri kumchukua loan ni dhambi,,,, Sasa inakuaje hapo Mchungaji