Mungu awasaidie kaka zangu hawa mliopewa neema hii kubwa,msije mkauza Urithi wenu mkuu namna hii,kwa maana Yule Mwovu halali usiku na mchana,Dr Ipyana,Chunga ulacho,chunga marafiki,Chunga Mialiko,na Promotion,na zaidi Mungu akuongoze akakufanikishe
Asanteni sana waumini wa kristo Tanzania Kwa kuusikiliza wimbo wangu wa kwanza,UNAWEZA BWANA.Hii Ibada nitaifuatia maana Ina neema nyingi . After listening to this upendo wangu Kwa MUNGU unanizidi
Dr Ipyana Nakufurahia hakika upo kwa kisudi maalumu Mungu akutunze hakika Umeongea vitu ambavyo vikundi vingi vya Praise huchukulia easy sanaa na ndio vinavyowaangusha hili somo nawapelekea naamini watabadilika Amen
I do worship in the morning before going to work and one morning the holy spirit directed me to certain place in my house what I found My God is a story for another one if God gives me strength to open up
from o level nilikuwa nasikiliza ur songs sana they lifted me up much And they breath until today May God bless your ministry Tanzania is blessed to have you!
My everlasting ringing tone with thanks giving to God every single day of my life. Niseme Nini(Baba Ninakushukuru ) This song is a blessing.Be blessed Dr and we give Glory to God.
Dr, am in a praise and worship team. I thank God for teaching me this lesson on how to worship God with the heart of Thanksgiving. God bless you abundantly
Mungu nakushukuru Kwa ajili ya huyu Mtumishi wako. Asante Kwa ajili ya huyu Mtumishi. Sifa na utukufu ni kwako Mungu. Ninasema asante na niseme nini Kwa Wema na fadhila zako Mtakatifu🙏🙏
Namshukuru Mungu sana sana kwa mafundisho haya Dr Ipyana. Yamenifikia kwa wakati sahihi kabisa. Nimejifunza kitu kikubwa sana sana ktk maisha yangu. Mungu azidi kukutumia kwa utukufu Wake. Bwana Yesu ni Bwana.
DR. IPYANA MUNGU AKUBARIKI SANA. 🎉🎉🎉🎉🎉 Umenirudisha Mafunzo mazuri ya Msingi nikiwa Primary School kule KAPENGURIA ( WEST POKOT ) , KANISA LA FULL GOSPEL CHURCHES OF KENYA ambapo nilipata Mafunzo Hadi na UBATIZO WA MAJI MENGI.
Mungu awasaidie kaka zangu hawa mliopewa neema hii kubwa,msije mkauza Urithi wenu mkuu namna hii,kwa maana Yule Mwovu halali usiku na mchana,Dr Ipyana,Chunga ulacho,chunga marafiki,Chunga Mialiko,na Promotion,na zaidi Mungu akuongoze akakufanikishe
umeongea vyema sana.. wengi huwa wanaanza vzr baadae wanatingwa
🎉
❤ umeongea vizur sana ubarkiwe
Hallelujah, Mungu aendelee na kukutumia.
Mungu amuonekanie
Dr ipyana you are such a blessing in Tanzania and in East Africa it is my prayer that when jesus will come you will be among the chosen one😢
Dr. Ipyana wewe ni zaidi ya mwimbaji. Namtukuza sana Yesu kwaajili YAKO. Atukuzwe sana Yesu kwa ajili ya nafasi YAKO
NIKO MBAYE NIKO
Barikiwa sana sana
Natamanii ningejua hii mapemaa..napenda sana Ibada ya kusifu na kuabuduu
Kuna wakati niliimba nakusifu nilifanyiwa delivence Moja kwa moja Hakika Mungu ni halisi na anaishi Ndani ytu
Psalms 34, Zephaniah 3, Luke 11:3, psalm 100, psalm 47
Asanteni sana waumini wa kristo Tanzania Kwa kuusikiliza wimbo wangu wa kwanza,UNAWEZA BWANA.Hii Ibada nitaifuatia maana Ina neema nyingi . After listening to this upendo wangu Kwa MUNGU unanizidi
Uñaweza
Dr Ipyana
Nakufurahia hakika upo kwa kisudi maalumu
Mungu akutunze hakika
Umeongea vitu ambavyo vikundi vingi vya Praise huchukulia easy sanaa na ndio vinavyowaangusha hili somo nawapelekea naamini watabadilika
Amen
Dr Ipyana You are a Blessing to This Land of the Living..Amen Learning So much from Your Sermons..May Our Good Lord Keep You.
I do worship in the morning before going to work and one morning the holy spirit directed me to certain place in my house what I found My God is a story for another one if God gives me strength to open up
Asante Bwana Yesu Kristo, ilikuwa kila nikipata, nisisikilize, Roho ananisukuma tu kusikiliza thanks so much LORD
Ubarkiwe sana mtumishi mimi ni mwana sifa yaani nipo lwenye huduma ya kusifu na kuabudu naomba uniunge kwenye kundi lako mtumishi.
Mungu yupamoja na wewe. Naweza vipi kumpata Je, huyu Dr ipyana japo ata kidogo
You ignited my spirit, my spirit has liften up more and the love for Jesus increases
You are a blessing to this genaration man of God thank you coz u hv teached me hw i can worship the one Who created me,God is music ❤🎉🙏💪
Hongera kwa kukitumia kipawa ulichopewa sawasawa na kusudi la Mungu na kuwarithisha wengine ujuzi.
Wow this is so powerful. Nayaheshimu mafuta yaliyopo juu yako Man of God. Hossana ndiwe Mungu wetu.
Asante sana nimebarikiwa sana
from o level nilikuwa nasikiliza ur songs sana they lifted me up much And they breath until today May God bless your ministry Tanzania is blessed to have you!
My everlasting ringing tone with thanks giving to God every single day of my life. Niseme Nini(Baba Ninakushukuru ) This song is a blessing.Be blessed Dr and we give Glory to God.
What a wonderful teaching doctor.part 3 twangoja,Kenya massive.
Great insights man of God, will put them in practice, Kenya we love your ministry
Oh Glory unto the Living God, asante sana Dr. Ipyana kwa haya maneno ya nguvu, umenijenga sana na kunitia moyo. Sifa kwa Mwenyezi Mungu
Nimejifunza kitu, Mungu akubariki
Sifa na utukufu ni kwa Bwana wetu Yesu Christo..Asante Dr kwa mafunzo haya mazuri..
Glory to God.
Kaka nabarikiwa naq nyimbo zako zinabariki naomba maombi na mimi nipate hushuda wa kutembea By jescra
mung akubarik sana
Kupatikana uweponi wa Mungu❤❤❤, consistency matters....
Mungu tusaidie kupatikana uweponi mwako
Very powerful message man of God glory to His name
Mungu akubariki sana mtumishi nikisikiliza wimbo wako ule ulioimba umefanya hili umefanya lile machozi huwa yananitoka sana sana mwili unasisimuka
Nimepata kitu kipya Asante sana Dr
True and Amen. God first,,,God remember us to remain faithful to you 🙏 Keep fire burning for God, s glory my brother.
Mungu wa mbinguni Akubariki umeniamsha ndani roho ya kukaa uweponi mwa Bwana hata nikiwa kazini kwangu 🎉❤
Whwh
Amen mtumishi, Mungu azidi kukuinua na watu wamjue yeye aliyehai, ambaye yupo na atakuwepo mpaka ukamilifu wa dahari.
God let me here!
I am learning about worship
Nimrbarikiwa sana sana Mungu akubariki sana. Roho Mtakatifu azidi kukufunulia mafundisho mengi zaidi
Ibada maisha Mungu aendelee kukubariki mtumishi wa Mungu Ipyana
GOD BLESS you much man of GOD,kumbe ! Twapaswa kuimba kwa akili. Umenifundisha mengi mtumishi. Barikiwa sana
Mungu akubariki sana Kaka Ipyana, Roho mtakatifu amekutumia kunifungua kwenye eneo hili la namna ya kusogea uweponi mwa Mungu🙌
Amen 🙏 Abarikiwe Bwana, Mungu wa Israel, Tangu milele hata milele. Zaburi:41:13
God bless you Dr.Ipyan am also in a team of praise and worship en you're my mentor
from 254🇰🇪 Dr Ipyana we ni wa baraka sana kwetu ,MWENYEZI MUNGU na akuzidishie tele
Dr, am in a praise and worship team. I thank God for teaching me this lesson on how to worship God with the heart of Thanksgiving. God bless you abundantly
Bless you Man of God 🙌
Am blessed servant of God. From Kenya
God bless you so much man of God. Hapa unanifundisha kiti kipya.
Wewe ni Mtu unayependwa sana kaka you have invested in prayer unachotoa sio Cha kawaida God bless you
Nakushukuru MUNGU kunionesha video hii kweli nashuudia uwepo wako ASANTE.
Mungu nakushukuru Kwa ajili ya huyu Mtumishi wako. Asante Kwa ajili ya huyu Mtumishi. Sifa na utukufu ni kwako Mungu. Ninasema asante na niseme nini Kwa Wema na fadhila zako Mtakatifu🙏🙏
Namshukuru Mungu sana sana kwa mafundisho haya Dr Ipyana. Yamenifikia kwa wakati sahihi kabisa. Nimejifunza kitu kikubwa sana sana ktk maisha yangu. Mungu azidi kukutumia kwa utukufu Wake. Bwana Yesu ni Bwana.
AMEN, AMEN GLOIRE SOIT RENDUE A NOTRE DIEU 🎉🎉🎉🎉FROM DRC KINSHASA
Oh my God, the presence of God in this ministration is overwhelming. More grace to you servant of God. Am revived.
Napenda sana haya mafundisho amen doctor
Barikiwa sanaa Dr., Kiufupi sipajui nakupatia wapi lakin skumoja natumaini utakuja manyara kiteto..
I tap this grace. Mungu nisaidie
DR. IPYANA MUNGU AKUBARIKI SANA.
🎉🎉🎉🎉🎉 Umenirudisha Mafunzo mazuri ya Msingi nikiwa Primary School kule KAPENGURIA ( WEST POKOT ) , KANISA LA FULL GOSPEL CHURCHES OF KENYA ambapo nilipata Mafunzo Hadi na UBATIZO WA MAJI MENGI.
Such Revelations Glory and Honor to Jesus.
Mwanangu Mchungaji Mungu akutuze ktk utumishi wako umenibariki kwa jinsi unamtumikia Mungu ungali kijana.
This message has uplifted me❤
Nimejifunza kitu hapa, Mungu akubariki Mtumishi wa MUNGU.🙏🙏
Nimejifunza mengi,I was struggling in my worship,but now I know what to do,be blessed man of GOD
hakika Mungu ni mwemaaa sana ubarikiwe
Quelle profondeur, suis inspirée par ce témoignage
Hallelujah nduniani kama vile Mbinguni❤ 🎧
Amen Amen be blessed so much man of GOD ❤🙏💯
God bless you, Dr Ipyana umeimanisha kwa MUNGU wetu aliye juu, usirudi nyuma
Wow, thank you for such revelation
God wants consistency kwenye kumtumikia... umenifundisha kitu kikubwa sana Dr.
Nashukuru sana Dr Ipyana.Mungu akubariki.umenivusha
Amina mtumishi nime kusikiza mwanzo paka mwesho yani sijutii kumtumikia uyu MUNGU umenibariki sana kaka 🙏🔥
May God bless you man of God
Ipyana ubarikiwe sana
Asante. Umenijenga kwelikweli! Amen 🙏 🙏 Am following from Kenya
From part 1, i have been rejuvenated.God bless you MOG.
Asante Mtumishi wa Mungu 🙏Umenifunza mengi, ubarikiwe
Mungu akubariki sana kaka Ipyana. Mungu akutunze sana
Mungu akuinue zaidi Mwana wa mungu,,kwa kupitia mafundisho yako umefufua kitu ndani yangu nimesikia nguvu ya ajabu ndani yangu nimebubujika sana,
Aaaaaaaah Mungu akubariki mno mtumishi wa Bwana, 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mungu wa Mbinguni akubariki milele aendelee kukulinda na kukuhifadhi katika kumtumikia yeye aliyekuita kwa jina Lake umtumikie yeye
Aiseee, Mungu Akubariki SANA nimejifunza sanaa🎉🙌
Dr Ipyana Mungu akubariki Sana hata Katinka huduma uliyopewa na Mungu
U have blessed me so much my brother may the Lord increase you in whatever you do
Mungu akubariki sana Dr Ipyana nimebarikiwa kwa mafundisho yako
Nafurahia sana huduma yako ,,mungu akuzidishie dr.
God bless u more man of God
Nimejifunza sana leo.Mungu akubariki sana
What a powerful teachings . Najifunza mno
I have received something important, thank you LORD JESUS CHRIST 🙏
Mafundisho mazuri sana .Mungu akubariki akuinue azidi kukutumia zaidi na zaidi🙏🙏🙏
Asante Yesu
Self sustaining God. I love this. This beautiful
Nimejifunza kitu, Mungu akubariki Dr.
Thank you Jesus for such a message in such a time as this
Asante MTUMISHI MUNGU AKUBALIKI Umenifungua AMINA
Dr ipyana Mungu amubariki mtumishi 🙏🙏
Alleluiyaaaa God bless you brother,nimejifunza mambo mengi sanaaaa
Waoooh nimepata kitu ubarikiwe Sana mtumishi Wa MUNGU.
Asante mtumixhi Mungu aendelee kukutumia Zaid ya hapa
God bless you sir
Profound Word, God bless!
Najifunza mambo makuu sana mr dr ipiyana❤🎉🎉🎉❤❤🎉🎉
Baba mungu akubariki sana ,nmekupata kweli mungu mkuu
Amen I receive revelation in Jesus Mighty name
Oh.. Mungu nakushukuru sana 🤲🤲🙏