Yesu alimwambia Thomas mwenye mashaka heri mtu yule anaeamini na hajaona, Thomas alimuona Yesu na alijua atakufa na kufufuka na hakuamini bado kama Yesu kweli kafufuka mpaka alipomshika na alama za misumari, mimi nimemuona Yesu, nimemuona Mungu kwenye maisha yangu, Naamini!!!
Mimi huwa nashangaa sana.Mama mkaanga mihogo hana chochote;Watoto wake wanakuwa profesa.Lakini profesa anashindwa kurise hata mtoto mmoja kuwa profesa.Kumbe haya mambo yanachangia.Mungu atunusuru na haya maovu.
January mkobogo wa chuo cha iringa @Tumaini ndio tabia zake kuwafelisha watoto wakike wa chuo cha tumaini iringa nakuwaapia hawawezi faulu yupo rafiki angu alifelishwa kwenda kumuuliza kwanini akamwambia anaenda dodoma kwahiyo hamfuate akamrekebishie dodoma matokeo yake kaenda kulala nae dodoma ndio akambadilishia matokeo na huwa anawaambiaga kabisa mtafeli
@@mwanzajosephine468 hakikisha kila unapofungua kinywa chako kuwasiliana (kuomba) Kwa Mungu Baba Kama umejaliwa watoto ombea sana watoto wako, ndoa ila zaidi ambea watoto wa jilani marafiki na jamaa maana kadri unapoombea wengine ndivyo Mungu anatenda kwako.
Yesu alimwambia Thomas mwenye mashaka heri mtu yule anaeamini na hajaona, Thomas alimuona Yesu na alijua atakufa na kufufuka na hakuamini bado kama Yesu kweli kafufuka mpaka alipomshika na alama za misumari, mimi nimemuona Yesu, nimemuona Mungu kwenye maisha yangu, Naamini!!!
Mungu akuzidishiye nguvu tunabarikiwa na mafunzo baba.
barikiwa sana mchungaji ni kweli apandacho mtu ndicho atakachovuna
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏 unachosema nasikia 😭 Mungu utuokoe na yule mwovu 🙏
Mungu akubariki baba. Umenifunza jambo
Good lesson, goes around comes around, tuwe makini kwa nafasi zetu.
What??? I need grace here to forgive such a man . Hapa nahitaji ombi hilo mchungaji Niokolewe na yule muovu🙏🙏
Asante kwa mafundisho
Mungu aturehemu sana dhambi ya baba ni kiboko
Napenda mifano YA huyu mtumishi wa Mungu.
Ndugu yangu Macklina, hii Siyo mifano. Ni ushuhuda. Ni Mambo halisi yaliyotokea.
@@timothymoshi5800 hapo ndo nilikosea kunyoosha maelezo ndugu yangu
Bwana Yesu kumbuka rehema, uovu wa Wazazi usiwapate watoto 🙏
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏🙏
Ubarikiwe baba yangu kwa mafudisho Mungu azidi kukubariki na akupe mwisho muzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uuuuuuiiiiii 🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 ya duniani naogopa sana
Mungu atusaidie Vyeo hivi na lecturers wetu kwa kweli inatia uchungu
Asante kwa kisa hivhi amvacho kina mafundisho mazuri.
Nakupenda Mtu wa MUNGU 🙏
Amina,barikiwa sana
Ni kweli kabisa baba.
Watoto wanateseka kwa dhambi za wazazi wao.
Mimi huwa nashangaa sana.Mama mkaanga mihogo hana chochote;Watoto wake wanakuwa profesa.Lakini profesa anashindwa kurise hata mtoto mmoja kuwa profesa.Kumbe haya mambo yanachangia.Mungu atunusuru na haya maovu.
Sometimes wanakuwaga maprofesa ila kwakutumia nguvu ya pesa zaid
Hadi natetemeka Yesu tusaidie 😢
Na huyo mama nae kama hujamuhoji nae anayake mengi amefanya kwa watoto wa wenzie...Mungu analipa hapa hapa duniani
MUNGU UTUOKOE WATU WAKO DHIDI YA NJAMA ZOTE ZA MWOVU.
January mkobogo wa chuo cha iringa @Tumaini ndio tabia zake kuwafelisha watoto wakike wa chuo cha tumaini iringa nakuwaapia hawawezi faulu yupo rafiki angu alifelishwa kwenda kumuuliza kwanini akamwambia anaenda dodoma kwahiyo hamfuate akamrekebishie dodoma matokeo yake kaenda kulala nae dodoma ndio akambadilishia matokeo na huwa anawaambiaga kabisa mtafeli
😤😤😤
BABA usiwatie majaribu watoto wetu bali uwaokoe na yule muovu
Naomba namba Yako nataka nikutafutie uliko nishiliki mkutano
Barikiwa kwa mafundisho ya ukweli
Sacrifice haikua kwa watoto hawa facility is hoja ni aliwai kuwavunjia matabahu ya barrier
Mwenye sikio na asikie roho asema na kanisa
Yaani mpaka unajiuliza useme Nini ...aisee ni ngumu sana sana ..Mungu tu atusaidie
Maombolezo 5:7
Aise huu ujumbe sio wa kawaida. Mungu arehemu kizazi chetu
Hakika Mungu aturehemu mno mno mno.
@@mwanzajosephine468 hakikisha kila unapofungua kinywa chako kuwasiliana (kuomba) Kwa Mungu Baba Kama umejaliwa watoto ombea sana watoto wako, ndoa ila zaidi ambea watoto wa jilani marafiki na jamaa maana kadri unapoombea wengine ndivyo Mungu anatenda kwako.
@@Carcrycal95 Amina Roho mtakatifu anikumbushe kila iitwa po leo barikiwe mno.
Yesu wa Nazareth tureheme! maana wewe ni mungu wa kuogopwa, unajibu maombi kwa majira na wakati umurehemu mtu huyu
Asante Mtumishi, huu Ni ukweli mtupu. Mungu tunusuru Baba!!
MUNGU tusaidie na watoto Wetu
... usitutie majaribuni bali utuokoe na yule mwovu ...
fuzo kuu
Wali disco, siyo ku suprimentaly !!??
Disco means Discontinue (kuachishwa) and suprimentary (kurudia mtihan)
Kuna demu namuona hapo muuza k mpaka nimeshangaa
Aisee unachekesha, unauzia wapi k?
Anauzia wapi k?
,😆😆anaweza kutuitia huyo prof. Kuja kutoa ushuhuda, "imaginary story"
Sacrifice haikua kwa watoto hawa facility is hoja ni aliwai kuwavunjia matabahu ya barrier
Asante kwa mafundisho
Mungu atuhurumie
Duuuh