SADAKA INATOLEWA ILI ILIWE SISI NDIYO MENO YA MUNGU "PASTOR MGOGO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 มี.ค. 2024
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
TH-cam : Pastor Daniel Mgogo th-cam.com/channels/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Keep living longer your teachings are helping me
Mchungaji Bwana Yesu asifiwe mahubiri yako hayachoshi yaani napenda kukusikiliza sana ubarikiwe sana
Barikiwa sana mchungaji wangu
Nimefurahi sana imelipa changamoto
Amin'a sanaaaa
Ubarikiwe sana mchungaji kwa maubiri l'm blessed,🙏🙏🙏
Nafuatilia nikiwa kenya
OMG umeongea kweli Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa hallelujah Amen xx
Nikweli kabisa mtumishi wa Mungu, sema tupone baba.
MTUMISHI, KWELI MWANAUME HUKUMBUKA MEMA YA HATA YA ZAMANI. AMINA.
SAWA KABISA MTUMISHI. AMIN.
Neno iendeele , Barikiwa sana Mchungaji
Bwanayesuasifiweeeeeeee ,ubalikiwebabaa
You always speak the truth. You are more than a pastor
Zakayo my president long live papa
Une bonne nouvelle et de vérité. Que dieu bénisse mon parteur
Nashukuri muchungaji kwa mahubiri
Ubarikiwesana
Mungu akubariki sana mtumishi ,hi imefika waziwazi
WRM kabisaaa hiyo
Barikiwa sana pastor 🙏
Nakubali mchungaji wangu
Ruto ni sakayo for your information
Nikweli mchungaji ubarikiwe sana tena sana
Amina mchungaji
𝑩𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊𝒘𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒎𝒄𝒉𝒖𝒏𝒈𝒂𝒋𝒊
Amina mchungaji, mpasho huu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aki huyu pastor mungu ambariki aki❤❤❤😅😅😅😂😂😂
Mungu akubariki Baba
Bien sana Baba muchungaji
Ubarikiwe
Amen
Nakuombea upako mwingi toka Roho mtakatifu kwa Karama hii ya kufundisha
Amina
Amina Amina
Mungu akupe miaka mingi mtu
Thank u so much
Pastor Mgogo, leo umegusa kichwa changu, ...mimi sina hâta number moja ya polisi,
Jaman
Adi uko tz mnajua zakayo😂😂
🙏🙏🙏🙏🙏
😅😅😅😅 Ameni
Zakayo wetu katajwa😂 ila wewe Mtumishi wa Mungu ubarikiwe ukweli mtupu
😅😅😅😅pasternak mungo akure miaka minig unanifanyanga nacheka😅😅😅wakati nimehuzunika
Mhubiri kilichokuhepa ni mahubiri ya mbinguni haiezi fanya kazi duniani. Mahubiri lazima iendane na mazingira ya wakristo. Hivyo kodi lazima iwe na ubinadamu.
Eti zakayo😅😅😅
nenda bhana tutaharibiana😆😆😆😅
Mkiacha mkiacha kuwapoza wachungaji si kondoo hawata yaona majani
Haaaahaaaaa
Nimekwama happ kwa Make-up make up za kiroho😅😅😅😅
Ukweli na uongo uko ndani ya mtu
Zakayo😂😂😂
Pst leave zakayo alone 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Zakayo mtoza ushuru
Barikiwa mwalimu
Mchungaji mahubiyako nimazuri ilahapo kukuomba iliusamehewe umekosea maana umesema tumuombe yesu atusamehe kwani wajuombwa msamaha nimungu au yesu maana ninavyojua mimi anaefaa kuombwa na kiabudiwa na kutegemewa ni mungutu aliyekuumba mbingu na ardhi navyote vilivyo kuemo
kwani yesu wewe unamtambua kama nani?
Mungu azidi kukupa upacko ili uzidi kuongea maneno yahakili Mungu akulinde panse zote
Neno linasema Yesu ndiye njia ya uzima kwahiyo kumba kwetu tunapiyia kwa Yesu naye anatuwakilishia kwa Mungu Baba