Asante kwa somo zuri Mt wa Mungu Nina swali baba,je kama huyo ninaemwita babangu wa kiroho anabia ya uzinzi nikae hapo kanisani tuu au niondoke maana biblia inasema tuikimbie zinaa
The grace which is upon this man of God is too much. I started listening to his songs a while ago and they are powerful worship songs. He uplifts the spirit of God in me. God bless you man of God.
Najua hili neno n wengi walitoka hiyo siku kama wamekwazika Mungu amekufunulia ufunuo wa kweli atakaye kubali na kusikia huo ujembe atabarikiwa atakaye kata damu yake haitadaiwa kwako Amen
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na mahubiri yako mungu anipe neema kupitia madhabahu haya. Naomba uniambie Ile song nimekukimbilia ewe Bwana ili nisihaibike.Asante Re.Abiudi.
MUNGU Akubariki Mchungaji Abiud kazi Yako ni njema nakupata nikiwa Marekani Unakumbuka Wimbo wako mke wako akiwa mazito Acheni MUNGU aitwe MUNGU analiangalia neno lake alitimize Umemtimikia Kwa Uaminifu MUNGU aendelee kukuinua Wengine wajifunze kutoka kwako Unabariki watu wengi Amina🙏🙏🙏🙏
Mtumishi wa mungu haya unayoyaongea ni kweli kabisa leo hii kanisa na wana dunia huwezi kuwatofautisha . Wana wa mungu wengi wamemezwa na dunia na shetani amewafunika, Hivyo tunahitaji kuwapata watumishi wangu wenye ufunuo wa Mungu ndani yao. .
Kuhusu mapambo ni kweli sio mazuri sku 1 nilionyeshwa mtu kafumua lasta wadudu wanatoka nikaogopa sana Mungu atusaidie balikiwa sana baba somo zuri sana.
Yani napona jamani tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anaka ndani yake mchungaji unahubiri kweli ya Mungu bila kupindisha tupate wapi watu kama wewe barikiwa sana
Mchungaji upo Rohoni asante kwa Mungu kwa kuwa na watu kama hawa bado duniani maana sasa tupo zama za mwisho nimeona uzima moyoni mwangu baada ya kukusikia
Nikitambo nilikuona, nyimbo zako zilinibariki sanaaaa, siku zile ulikuwa mwembamba bila kipara. Ubarikiwe sanaaa Mtumishi misholi.
Amen nimebarikiwa sana na hili funzo mtumishi Mungu akubariki sana
Asante kwa somo zuri Mt wa Mungu Nina swali baba,je kama huyo ninaemwita babangu wa kiroho anabia ya uzinzi nikae hapo kanisani tuu au niondoke maana biblia inasema tuikimbie zinaa
The grace which is upon this man of God is too much. I started listening to his songs a while ago and they are powerful worship songs. He uplifts the spirit of God in me. God bless you man of God.
Najua hili neno n wengi walitoka hiyo siku kama wamekwazika Mungu amekufunulia ufunuo wa kweli atakaye kubali na kusikia huo ujembe atabarikiwa atakaye kata damu yake haitadaiwa kwako Amen
Mungu akupiganie akupe miaka mingisana ya kutumika uzidi kuinena kweli ya Mungu amen!
Ujumbe mzuri Mchungaji Abihudi. Neema ya Mungu iendelee kukufunika kwa huduma na utumishi uliotukuka.
Amina Mtumishi...yang'oke tu mahereni mapete na mawigi..udunia.❤
Nmewamis watu wa arusha kwa baba yang Mwizarubi,hongereni kwa semina ya pst Misholi
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na mahubiri yako mungu anipe neema kupitia madhabahu haya.
Naomba uniambie Ile song nimekukimbilia ewe Bwana ili nisihaibike.Asante Re.Abiudi.
Wapendwa watu wa mungu, mungu amejifunua kupitia mtumishi abiud abarikiwe san
This sermon is really a blessings
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU nimejifunza sana Mungu akubariki Zaid glory to God
MUNGU Akubariki Mchungaji Abiud kazi Yako ni njema nakupata nikiwa Marekani Unakumbuka Wimbo wako mke wako akiwa mazito Acheni MUNGU aitwe MUNGU analiangalia neno lake alitimize Umemtimikia Kwa Uaminifu MUNGU aendelee kukuinua Wengine wajifunze kutoka kwako Unabariki watu wengi Amina🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtu mtumishi wa Mungu ume nijenga
MCH Abihudi Misholi..., Nikifikiri Maisha yangu Album ❤❤❤❤❤❤
Vile tuuu Mungu anavyo kutumia..Namfurahia Bwanaaa
Pole sana kwa mafundisho hii nimejengwa ki imani nakufata toka D.R Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Lubumbashi
Achsanti baba ubarakiwe n'a mungu akuzidishiye nimebarikiwa sana kuusu nywele kuusu kujipamba achsanti baba
Hakika injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu KWa mwanadamu!! NAPENDA sana injili ya kwel hii co ya kubembelezana . BARIKIWA sana Mtumishi!!!
Mungu aku bariki mchungaji muzuri wa Mungu,nakufata toka RD CONGO BUKAVU 🇨🇩🇨🇩n'a nime barikiwa saana Hata n'a kwa nyimbo zako 🙏
❤❤❤ kwa jina la yesu kristo wa watakatifu wa nami naomba nifunguliwe
Mungu akubariki sana aendelee kukutunza uendelee zaidi na zaidi Amina
1:01:11
Hakika una roho wa Mungu ...Ubarikiwe
Neno la Mungu ni upanga linakata, Mtumishi wa Mungu ukweli Mungu amekuita 🙏🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Unahubiri kweli ya Mwenyezi Mungu. Mungu aendelee kukutumia viwango hadi viwango.
Papa ubarikiwe Sana mimi ni mwanafuzi wako uku Congo katanga ku kolwezi
Amina baba Mungu akubariki sana
Mimi murundi nampenda Sana abiud namufatiliya Sana.
Mungu akup mwisho muzuri
Nabalikiwa sana mtumishi wa Bwana Yesu akutunze sana
Umependeza mtumishi
Ubarikiwe mchungaji, nimepata kuyafahamu baadhi ya mambo ambayo sikuwa nayafahamu. Mungu anisaidie
Mchungaji wetu yeye anaombea bule wewe amini tu kuwa Mungu anaponya utapona tu balikiwa mtumishi Abyudi Mishori
Neno la Mungu no moto ubarikiwe mtumishi
Kumbe akina Moses Kolola wanaishi, MUNGU akubariki sana, umeni inspired sana
I'm proud to be Here..Praise The LORD❤❤❤
Ameen,hakika nimebarikiwa nahili somo
Mchungaji Abiudi Mungu akuzidishe
Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumishi,kupitia haya maombi yangu eeeh mungu kutana na maitaji yangu masaaa haya
Abiud Mungu akubariki sana Kwa injili ya uzma
Amina kubwa kwa somo zuri la kujenga kanisa.
Mungu aendelee kukutunza ucku na mchana
Great great Man of God thanks for your spiritual message
Mungu azidi kukupa nguvu ya viwango vya juu ya kuhubiri
Hili ndio neno la kupeleka mtu kwe nye uzima wa milele kweli kweli
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
❤❤🎉 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Asante Yesu Kwa neno .Nimefunguka
Mchngaji ubarikiwe nabarikiwa sana mungu anatenda kazi ndani yako sifa na utukufu ni kwa mungu
Mbona unajiita jina la Mungu zaburi 111:9
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu Akubariki Sana
Asante mtumishi Seema tupone
Njoo Moshi mtumishi tufundishe nyimbo za kumsifu mungu
Mungu akubariki abiud nakumbuka ulkujaga bbt kuhubr nilbarikiwa San! Mungu atuepushie na dhiki kuu
Amen Glory to God be blessed Man of God
Ubarikiwe naMUNGU akutunze
Mtumishi wa mungu haya unayoyaongea ni kweli kabisa leo hii kanisa na wana dunia huwezi kuwatofautisha . Wana wa mungu wengi wamemezwa na dunia na shetani amewafunika, Hivyo tunahitaji kuwapata watumishi wangu wenye ufunuo wa
Mungu ndani yao.
.
Kuhusu mapambo ni kweli sio mazuri sku 1 nilionyeshwa mtu kafumua lasta wadudu wanatoka nikaogopa sana Mungu atusaidie balikiwa sana baba somo zuri sana.
twabwite Muchungaji MUNGU AKUBALIKI SANA na akupenguvu uendereehivo
Nabarikiwa kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Barikiwa baba🙏
MUNGU akubariki baba mchungaji
Abiudi nabarikiwa sana sana yani toka nyimbo zako
Amina sana baba Mungu akubaliki
Yani napona jamani tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anaka ndani yake mchungaji unahubiri kweli ya Mungu bila kupindisha tupate wapi watu kama wewe barikiwa sana
MUNGU akubariki Mtumishi
Ubarikiwe sana baba
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
Ubarikiwe sana MUNGU akubariki sana
Be blessed man of God for the wise word of wisdom.
Yes yes
Mtumishi wa mungu barikiwa sana
Mungu akupe maisha marefu ili useme matendo makuu ya mungu
Mungu akubariki kwa huduma
Amina mchungaji n ukweli mtupu
Asante sana kwakuwa mtoto wako aliotishwa ndoto ukamsikiliza
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Mungu wa mbingu na inchi tusaidio
Tes cantiques m inspirent vraiment. Que Dieu te bénisse.
Mungu akubariki sanaaa
Barikiwa Mt
Amina Mtumishi wa Mungu
Yesu azid kukutumia
MUNGU atusaidie sana
Siku moja nitaonana nawe Baba
🎉❤mungu anipe ekima
Hongera sana Mkuu
Mungu akubariki sana mtumishi
Mungu akupe maisha malef
Mungu awenawe kwakazi zake
Asante yesu
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Amina
INJILI IMENYOOKA SANA HII.
Amen mtumishi
Amen Amen Amen 👏👏👏👏
Mchungaji upo Rohoni asante kwa Mungu kwa kuwa na watu kama hawa bado duniani maana sasa tupo zama za mwisho nimeona uzima moyoni mwangu baada ya kukusikia
Mungu atupe majo tuone mafijo ya shetani
Powerful massage to the church
Asante sana Kwa ujumbe
Mtumich Wa mungu unaongea ukweri kapisa mungu akusaitie upikie wengi naomba unisaidie na maombi
Mtumich Wa mungu unaongea ukweri kapisa mungu akusaitie upikie wengi