MAAMUZI YAKO NDIO MAFANIKIO YAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 มี.ค. 2020
- Utofauti mkubwa kati ya watu waliofanikiwa na watu wasiofanikiwa upo katika maamuzi wanayoyafanya. Watu walliofanikiwa wamekuwa na tabia ya kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kwa ujasiri. Jifunze maamuzi matano katika somo hili linaloletwa kwako na Victor Mwambene.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / victor_mwambene
For Business please send an email to
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#VictorMwambene #MaamuziSahihi
Ezden Huyu kijana mzuri sana na anajua kuongea uwe unamueka mara kwa mara
Upo vizuri kijana
Haki ya Mungu huyu Jamaa shida ..anajua aisee ... Hii ndiyo tanzanite au ruby au shaba ..haha
Upo vizr sana bro Ila ushauri wangu punguza kasi ktk kuzungumza.
Good speech
Absolute brother
OK mwanzo nilifikiri sitokuelewa kumbe upo vizuri hivo
Asante sana
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi, Basi msipo wasamehe watu makosa yao wala Baba yenu hata wasamehe ninyi makosa yenu Mathew 6;14-15
Endelea kutupatia madini kaka, kimsingi unaweza.
Ubarikiwe Zaid kaka
Nimeipenda
Absolutely true talk..may God help us all .
Nimeipenda dirayako
Safi sana broo nimekuelewa👏👏😍
Hii content ni balaa
Sawasawa hi nzur
vizur Sana'a. Nimejifunza vitu
Asante kaka. Kwa darasa sahihi
very great bro
Amen nimeguswa
Asante sana kaka yangu
Barikiwa sana victor
Thanks brother mungu akulinde
Amiin..
Asante sana brother Victor uko vizur
Broo Mimi ni mgumu Sana kutoa sifa, ila kwa hii point imenigusa Sana, yaani umepita mule mule
Asante sana Abel Sangura kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Tuko pamoja Kaka, kwa umoja tunasonga mbele kuikomboa Jamii
Ezden nakuelewa sana watu makini hufanya Nazi na watu makini
Thanks ❤❤❤
Safi kabisa tumekuelewa
nimekupata kaka. big up sana kwako.
Thank you so much my Brother for the Lesson nimejifunza jambo
Kaka uko sawa kabisa Mungu akupe maisha malefu sana
Respect brother
True talk I like your speech na nimejifunza kityu thncx bro 🙋
Shukran bro
Nimekukubali sana bro
Thanks brother 🙏🏽
Kweli kabisa kaka Mungu akupe maisha malefu sana
Nakusoma Kaka
Madini tupu....safi sana
Thank you brother
Thank you broo
Well . talking true
Asante broo
Nimeelewa somo mwalimu Ila ujatoa puiz
Fact
Narudia Tena apo hongera bro kwa msisitzo huo
AMINA
Uko vizur xaana kaka!!
safi sana kaka
Unajua ila upo speed sana bro umezi mate!!!
Asante sana kwa elimu hyo
Good
Asante kaka
Sound track iko juu kaka
Shukrani kwa feedback yako. TUnalifanyia kazi hili
Thanks bro
Habari,Naitwa Omer nilkua nashauri kuwa ni vyema mukaunda account ya tiktok kwasabab wapo watu weng Sana ambao huwa wanaipenda media hiyo
2kings 7:3-4
Thanks for
Ndaga fijo nnuguna!
Safi
Nzuri
Good
Yes bro victor big up. long time bro but I remembered one things from you about your dream since you are my class director.2018 to 2020.thanks brother God bless you for more reason to your citizen
Nice bro
Hii ni Kweli kabsa....
Thanks
Nimejifunza kitu
Jikubali
Fact
Asant
Ndaga baba
🙏
Asante
Exactly
👍👍👍👍👍
Brooo hogela san kwakutoa som zur so kam mtu atawez kulitumia som lako hili atapat mafanukio
Akili nyingi umetumia
Ezdini mpeshavu kijana huyo
Ndaga fijo gwa kukaja.kyala akutule
Eena kalumbu!!!
😊😊
Wanyaki tuko juu
Wanyaki tuko juu
Reduce background music.
Kaka Ezden hii Background sound iliyo tumika hapa inaitwa je ??
Shkrn ndg
Kijana huyu kaifungua asubuhi yangu vizuri
naam yuko vizuri
Ndagha baba
Saf sana brother
Safi broo uko vizuri MUngu akubariki
Fact