EPUKA MAFANIKIO YA HARAKA - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 92

  • @water_music40
    @water_music40 ปีที่แล้ว +28

    kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE

    • @dijohbanks4312
      @dijohbanks4312 ปีที่แล้ว +2

      kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui

    • @OmanOman-c9d
      @OmanOman-c9d หลายเดือนก่อน

      Shukran kaka joel

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 ปีที่แล้ว +1

    Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 ปีที่แล้ว +3

    Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 ปีที่แล้ว +2

    Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢

  • @GoodluckMakona-jz5ob
    @GoodluckMakona-jz5ob ปีที่แล้ว +2

    Ni keep kabisa,mungu akubariki

  • @RuwaidaAyoub-q6k
    @RuwaidaAyoub-q6k ปีที่แล้ว +2

    Thank you brother joel

  • @ussiussi3413
    @ussiussi3413 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwa masomo mwalimu.

  • @KeruboEunice
    @KeruboEunice ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 3 หลายเดือนก่อน

    Joey ahsat sn Kwa Elim haki nimengi tunajifunza Mungu akupe afy njem,🎉🎉

  • @JoyceHaule-v7t
    @JoyceHaule-v7t ปีที่แล้ว +3

    Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako

  • @InosentSilaa-jm5oe
    @InosentSilaa-jm5oe ปีที่แล้ว +3

    Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Fact 👍

  • @mchattachattanoga7795
    @mchattachattanoga7795 ปีที่แล้ว +3

    Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius2713 ปีที่แล้ว +3

    Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip,
    But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel
    yawe ya haraka au ya mchakato
    ,
    sometimes Opportunity comes just once
    ukitafakar
    MHUBIRI 9:11 ,
    ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE
    Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe

  • @paulissayapaul4819
    @paulissayapaul4819 3 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa kaka Joel nana uka mungu azidi kukubaliki❤

  • @MaryamMstf
    @MaryamMstf หลายเดือนก่อน

    Kweli kabixa tuwe nasubira Amina sana mtumishi

  • @wodeemma-pf9ug
    @wodeemma-pf9ug ปีที่แล้ว +2

    asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless

  • @AbdulMakame-w5v
    @AbdulMakame-w5v 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka, Asante sana kwa somo zuri sana.

  • @goodluckmringo2265
    @goodluckmringo2265 ปีที่แล้ว

    Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap
    Nimejifunza sana

  • @joelngeleja5467
    @joelngeleja5467 ปีที่แล้ว +2

    Silence is a power i like that.

  • @franciscamoshi7671
    @franciscamoshi7671 10 หลายเดือนก่อน

    Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.

  • @lilianmolel9965
    @lilianmolel9965 ปีที่แล้ว

    Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa

  • @Udindigwa
    @Udindigwa ปีที่แล้ว +1

    Hakika Yani

  • @tzmagaladiah5680
    @tzmagaladiah5680 11 หลายเดือนก่อน

    Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc01 ปีที่แล้ว

    Hasante 🙏

  • @ElWizzy-o8e
    @ElWizzy-o8e ปีที่แล้ว

    Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar

  • @TsidkenuTsidkenu-ep1yd
    @TsidkenuTsidkenu-ep1yd ปีที่แล้ว

    Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮

  • @jamesdonasian9954
    @jamesdonasian9954 11 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana somo zuri

  • @AmosMsema
    @AmosMsema 5 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akuwezeshe kuendelea kuelimisha jamii na ulimwengu mzima

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 ปีที่แล้ว +1

    Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana

  • @HeriethSylvester-dm3nb
    @HeriethSylvester-dm3nb ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar

  • @evansmayuro8038
    @evansmayuro8038 ปีที่แล้ว

    Hii nimeipenda

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli mtupu

  • @Olomy907
    @Olomy907 ปีที่แล้ว

    Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana

  • @hakizimanagerome9274
    @hakizimanagerome9274 ปีที่แล้ว

    Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 ปีที่แล้ว

    Yes is true

  • @JoshuaPeter-g5r
    @JoshuaPeter-g5r ปีที่แล้ว

    Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa

  • @JORDANMSIMBE
    @JORDANMSIMBE ปีที่แล้ว

    Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.

  • @FettyMshamu
    @FettyMshamu ปีที่แล้ว

    Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl ปีที่แล้ว +1

    Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤

  • @zubedajumanne8819
    @zubedajumanne8819 ปีที่แล้ว +1

    Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya8959 ปีที่แล้ว

    Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali

  • @FELISTERPETER-jf9jv
    @FELISTERPETER-jf9jv ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako

  • @johnfabian-xg3sq
    @johnfabian-xg3sq ปีที่แล้ว

    Asante sana broo

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 ปีที่แล้ว +1

    Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako

  • @challengesinthewild4193
    @challengesinthewild4193 ปีที่แล้ว +1

    Content imejitosheleza👏... Asanteee sana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa zaidi kaka Joel

  • @mgangamjita8657
    @mgangamjita8657 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana mwanazuoni

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni6889 ปีที่แล้ว

    Awamu hiyapo wanajipandisha sana

  • @eliamalila3106
    @eliamalila3106 ปีที่แล้ว

    Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo

  • @emmanuelmalele1439
    @emmanuelmalele1439 ปีที่แล้ว

    3:27❤️

  • @josephpartson6053
    @josephpartson6053 ปีที่แล้ว +1

    Thanks mentor

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 ปีที่แล้ว

    Asante kwa darasa huru,❤ 10:06

  • @yunussani3871
    @yunussani3871 ปีที่แล้ว +2

    You never disappoint... thanks for the knowledge.

  • @FedrickAloyce-s4q
    @FedrickAloyce-s4q ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa

  • @venancezumba202
    @venancezumba202 ปีที่แล้ว

    Uko vizur

  • @damaridaudi9785
    @damaridaudi9785 ปีที่แล้ว

    amina amina asante sana

  • @194summer
    @194summer ปีที่แล้ว

    Sure my mentor

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 ปีที่แล้ว

    Asante kwa onyo ✍️🇨🇩

  • @julianmadosh2951
    @julianmadosh2951 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka nakuelewa sana

  • @Patrick-rf6ro
    @Patrick-rf6ro ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana

  • @ebenezeryngajilo-luvonike7741
    @ebenezeryngajilo-luvonike7741 ปีที่แล้ว

    Asantee umenigusa

  • @brightdaudi2908
    @brightdaudi2908 ปีที่แล้ว

    Excellent

  • @ahz6907
    @ahz6907 ปีที่แล้ว

    Be blessed bro

  • @DickisonJuma-w3l
    @DickisonJuma-w3l ปีที่แล้ว

    Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂

  • @Justinebaada
    @Justinebaada ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana kaka

  • @NasraAmour-s7j
    @NasraAmour-s7j ปีที่แล้ว

    Asante

  • @prospersanga7942
    @prospersanga7942 ปีที่แล้ว

    Real 💯

  • @AlphonceDavid-yu2fb
    @AlphonceDavid-yu2fb 4 หลายเดือนก่อน

    Akili Mingi 🫡

  • @geofreysimon6421
    @geofreysimon6421 ปีที่แล้ว

    Hii imeenda

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @richardkirongo4835
    @richardkirongo4835 ปีที่แล้ว +2

    Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka

  • @januarybayo6216
    @januarybayo6216 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 ปีที่แล้ว +1

    2000 generation 🗿

  • @albertchales9459
    @albertchales9459 ปีที่แล้ว

    nikwiri kabisa

  • @hijakuyu8738
    @hijakuyu8738 ปีที่แล้ว

    👍

  • @yonasamweli1420
    @yonasamweli1420 ปีที่แล้ว

    Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 ปีที่แล้ว

    Nikweli kwa unachokisema

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 ปีที่แล้ว +1

    Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla

  • @FrolaJoram-eg1ng
    @FrolaJoram-eg1ng ปีที่แล้ว

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    ✍️✍️✍️✌️

  • @deniesdmn2126
    @deniesdmn2126 ปีที่แล้ว

    @Chief godlove 😂

  • @paulissayapaul4819
    @paulissayapaul4819 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli kabisa kaka Joel nana uka mungu azidi kukubaliki❤

  • @PeterNdembo
    @PeterNdembo ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana

  • @AYUBMWANGOKA
    @AYUBMWANGOKA ปีที่แล้ว

    Fantastic