Thank you very much i feel like unaniongelea mimi kabisa asubuhi napenda kuweka maneno negative saaaana and i' m gonna changes my morning routine umenigusaa saaana stay blessed
My friends this is my first time coming across this channel. It's amazing channel with much much to learn which is helpful to our daily life from ibada na mapema hadi kurudi kulala usiku. Thanks alot
Asante sana kaka ila me Naomba jambo moja kuwa unapokuwa unaorodhesha point basi tunaomba ziwe zinaonekana kwenye kioo kwan kuna zingne huwa unaweka ndan ya maelezo AF dah unadhindwa kutambua Ipi ndio point Asante
MAMBO YA KUTOFANYA ASUBUHI 1:- Health morning routine 2:-kuoga maji ya moto 3:-kutokua na utaratibu maalumu wa kipi ufanye 4:-epuka kulalamika kuhusu kazi 5:-kufikiria vitu negative Kaka Asante Sana kwa mafunzo yako ni wazi kua unatuamsha akili hasa Mimi👍👍👍
Assalaam alaykum. Shkrn sana brother kwa somo zuri. Nguvu ya maneno ina athari kubwa sana katika maisha yetu, mara nyingi tunayowaza na tunayosema ndio yanayotupata. Allah amesema mimi na mja wangu kwa anavyonidhani. Akidhani mazuri atayapata na akidhani mabaya atayapata. Think positive live positive.
Thank you very much i feel like unaniongelea mimi kabisa asubuhi napenda kuweka maneno negative saaaana and i' m gonna changes my morning routine umenigusaa saaana stay blessed
My friends this is my first time coming across this channel. It's amazing channel with much much to learn which is helpful to our daily life from ibada na mapema hadi kurudi kulala usiku. Thanks alot
Wallah ..sipendi maji moto hata iwe baridi siwez oga maji moto..Shukran kaka Ezden Jumanne kwa darsa nzuri...ALLAH AKUPE KILA LA KHER INSHALLAH👏
Ombra uishi tanzania tu tena dares salaam.maji ya moto utayaoga tu ukienda ulaya tena majira ya baridi.hâta Maji ya moto utayaona ya baridi
Karibu sana Njombe dear
@@queenmeddy2315 huyu hajakaa miji ya baridi huyu
Nashukuru Azden unanifungua ktk Mambo mengi.mungu akulinde.
Thank u so much dear mimi naamkanga tu na kisirani aki nimeona kwa nini siendelei asante ndugu
shukran sana Allah akubariki
Allah azidi kukupa afya njema.....ameen
Mungu akubariki kwakwel tunajifunza kny hizi jumbe MUNGU azidi kukutumia
Mungu akujalie umenifundisha vitu vizuri
Nashukuru sana kwa dua njema...
Twatotela ,twasanta,thank you,tunasakiriri,Asante sana
Hii ni nzuri sana, sasa bro tuletee ya mazoezi ya asubuhi na ya jioni ili tuweze kujenga miili yetu, akili zetu na roho zetu, Asante sana sana.
Nashukuru sana kwa elimu. yko nakingine.kwamfano mtu.kuwamkia.kugombana.asubui.huwa.nivpi.
Asante brother kwa mafundisho yako
Asante sana kwa somo nahitaji kuuliza ktk kupunguza uzito nini cha kufanya ili kupungua
Habari yako
Je ukiitaji kuacha unafanyeje maana sisi wengine tumezoea kweli.
Asante nimependa sana Nitaanza leo maana sinaga ratiba.
Thank you so much Allah bless you in your all life
Amiin
Ahsante teacher nimejifunza mengi 🙏
Kweli kabisa Kaka mungu akubariki
Ni ujumbe mzuri sana. Ahsante kwa kutufundisha
Safi sana ujumbe umeeleweka from USA 🇺🇸
Thenk you sir may almighty allah reward you in everything you do much love from Uganda thanks
Mash Allah,kaka mkubwa unatuelimisha aisei,Allah akuzidishie insh Allah.
Asante sana kaka umenisaidia sana kunibadili kifikra
Asante kakangu kwamafunzo yako Allah akuzidishie
Ez uko vizuri Kama kijana. Umesahau ku-tabasamu asabuhi ni Muhimu.
Kasalamba juma nimependa Sana mafundishoyako mungu akuongezee ufahamu naafya njema
Shukran Sana brother nimekuta ila mm huwa napanga vitu afu nashindwa kuvifuata je nifanyeje ili niondokane na hii Hari ya kugaili
Sawasawa na5aka kuendeliya naelewa maneno mingi.
Ahsantene
Asanteni xana kaka mungu ipitize kukupa hekima.
Mashauli mazuli sana.Ila mbele ya kutandika,nikupiga ibada.Mungu mbele.
Apo sawa kuusu ayo mafunzo nimeyaelewa shukrani
Asante sana kaka angu
so thanks kaka unazidi kutupatia mwanga wa mafanikio
Asante sana kaka umetufundisha vitu vizuri sana hongera
Thanks bro for inspirational words
Brother Ezden your words of wisdom are truly a reflection of our daily life n how we waste ourselves by wasting our morning. I will teach one
Asante sana Somo zuri naendelea kujifunza
Kaka nashukuru nmekuerewa Mungu akubariki sana
Asante kwa ujumbe mzuri nilikua sijui
Maa shaaaa Allah kaka Allah akuzidishie katika kutuhamasisha 🤲🙏🤲
Brother ... U gv to us da moment of truth Allah akufanyie wepes na akupe ujuzi maradufu tujifunze meng na meng zaid..
asante sana
Asante kwa uzinduzi
Maashaallah,
Allah akupe afya njema tuendelee kupata faida zako
INSHALLAH WABILLAH TAUFQ.
We kiboko bro ezden nabadirika sana kupitia madini yako unayotupatia allah akulinde sana
Masha Allah Somo Zuri Sana Mungu Akubariki
Asante sana kaka ila me Naomba jambo moja kuwa unapokuwa unaorodhesha point basi tunaomba ziwe zinaonekana kwenye kioo kwan kuna zingne huwa unaweka ndan ya maelezo AF dah unadhindwa kutambua Ipi ndio point
Asante
Kweny maji ya barid Mimi nimefel Njombe unaweza zima kwa kuoga maji baridi😢😢😢point ya msingi hii imenipita, mengine yess bless up Kaka.
Umeona Eeeeeh
😂😂😂
Shukran kaka,m/mungu ukupe nguvu na uzima tuzidi kufaidika kupitia kwako.
Asant nimejifunza ndugu
Ndio naanza kuangalia maada zako Kaka nimezipenda na nimejifunza mengi kwa leo
Karibu sana sana... Usiache kuandika comment zako, humo nami najifunza kitu. Each One Teach One
Shukran
Wow great thank you umenisaidia
Thanks much Mr ezden ,l
Mungu akubark kwa mafunzo yako
Asante kwa elimu ishu penye maji ya baridi hapo
MAMBO YA KUTOFANYA ASUBUHI
1:- Health morning routine
2:-kuoga maji ya moto
3:-kutokua na utaratibu maalumu wa kipi ufanye
4:-epuka kulalamika kuhusu kazi
5:-kufikiria vitu negative
Kaka Asante Sana kwa mafunzo yako ni wazi kua unatuamsha akili hasa Mimi👍👍👍
Asantee sana kaka nimekuelewa sana mungu akujalie sana daaah kuna vitu najifunza kupitia ww kaka
Kuoga maji yawe Baridi sio moto
Kweli kabisa
Each one Teach one you're my inspiration since day one,Your lessons are very helpful My Brother🙏🙏🙏
Asante sana
Ubarikiwe
Mungu akubarik kaka
Thank you kwa elimu
Jazakka llahu khayra
Most positive video , i have watched today. Good work
Thank you brothe
MashaaAllah napenda ushauri wako kaka..ALLAH akulipe
Allah blessing you, we always learning good think from you
Allahumma ameen Ghalib
Kweli
Napenda sana mafundisho yako thanks very much
shukrani sana...
Asante brooo,umenifungua macho
Barikiwa sana kaka Ezden #EachOneTeachOne
Masha Allah ibada muhimu sana mengine badae Shukran kaka
Asante sana kaka ubarikiwe
Mafundisho mazuri sana kaka,hakika binafsi nitabadilika
Thanks bro nimekuelewa sna nakukubali
Asante Sana brother nakuelewa sana uko vizuri kaka nimefurahi kukutana na link yako God bless you
Thanks my. Brother
shukran sana kak nice message
Asante ndugu kwa mafundisho ma zurii
Asante sana nimecheka asubuhi naisi Mambo kua vizuli asubuhi
Asante sana bro nimejifunza
Nafrahia sana brother mafunzo yangu yanatujenga sana kiakili na kututoa sehemu moja kwenda nyingine🙏
Mashallah kaka angu.Allah akuweke zaid ili tujifunze vizur zaid
Asante sana kaka nimejifnza mengi sana
Vizuri Sana kaka naerewa sana jumbezako
Thanks, following from QATAR
Mafundisho mazur san mung akutie nguvu tuendelea kujifunza kupitia wew
Hi bro I like ua teaching they enlighten me alot.
Thank you Ezden 🙋🙋🙋
karibu sana Ray!
Nakupenda jaman mafundisho yako mazurii
nashukuru sana
Nakukubali kk postv zak mungu akubalk
Asante sn
Nilazima kbs kila kitu noted chini
Safi Sana bro ila maneno mengi nyoosha kwenye point
Nimependa mafundisho yako kaka akika umeniamsha asante mungu akuzidishie kwa kila kitu amina
Mafundisho mazuri sana kaka asante sana kuifundisha jamii
Assalaam alaykum. Shkrn sana brother kwa somo zuri. Nguvu ya maneno ina athari kubwa sana katika maisha yetu, mara nyingi tunayowaza na tunayosema ndio yanayotupata. Allah amesema mimi na mja wangu kwa anavyonidhani. Akidhani mazuri atayapata na akidhani mabaya atayapata. Think positive live positive.
Nimefundishika brother. Barikiwa sana
🙏🙏 thanks brother ez unanifunza mengi sana
Sadakta hongera kwa somo zuri
Yes good advice
Ezden kusali asbh ni muhim sana