Dr. Chris Mauki: Hakikisha una aina hizi 6 za ujasiri Mwenye Maisha yako
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba unashindwa kuzifikia ndoto zako au kufanikiwa kwenye maisha yako kwa sababu umekosa ujasiri unaotakiwa. Je unafahamu kwamba ujasiri una aina tofauti? Nifuatilie hapa nikufundishe aina 6 za ujasiri ambazo lazima uwe nazo kwenye maisha.
#DrChrisMauki#Maisha#Yako.
Safi san kaka topic yako imenigusa sana nakunifanya niamke nliko lala kimawazo kifikra na kitabia asante san
Dr Chris Mauki nimekuelewa Sana,ubarikiwe.
Nikuombe siku moja utoe somo linalohusu saikolojia ya viongozi wa kisiasa.Utufafanulie kwa nini politicians walio wengi hawatabiriki?kwa nini politicians hawasemi ukweli walio wengi? Ni nini chanzo Cha tabia hizo tata na ufumbuzi wake ni upi kwny ulimwengu huu unaobadilika kwa kasi ktk sayansi na teknolojia? Asante.
Waooo naitwa kazuba paulo Duce rectural wangu
Woooow mie nina tatizo la kushindwa kunyamazia jambo hapo unanisaidiaje Dr. Chris Mauki 😭😭😭
Asntea sana
Asante sana Dr Chris kwa madini haya hadimu
Nimekuskiliza sana lakini ungesemema jambo la kwanza kabisa ingekuwa ni mambo ya kiroho uongee kitu cha Mahana sana lakini wewe Mungu humemuweka mwisho pole sana kaka
Asante sana kaka Chris mauki somo limenigusa sana
Dr asante sana kwa somo zuri .
🙏ubarikiwe Dr
Asante Dr. Chris kwa somo lako
Asantee doctor kwa elimu nzurii 😄
Somo zuri sana
Asante Dr kwa somo zur
Thank you so much Dk.
Good bless you and your family
Kaka hbr mm naomba npigie nshda
Asante sana. Hakika wee n shujaa
Asante sana nimeendelea kujifunza
Ni Kweli.. Ila Jinsi gani ya kudumisha mahusiano ya sasa kufikia Kwnye ndoa badae.. Nisahidie hilo Dr.
Mm kila nikifanya kitu kinafeli nifanye nn