IJUE SIRI KUU YA MAFANIKIO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Kama wewe ni msikilizaji wa makini kabisa utakua umegundua kitu kila watu wenye mafanikio wakianza kuzungumzia mafanikio yao, asilimia kubwa huangukia kwenye kutaja jaambo moja sana, au weni hutaja mambo yanayofanana sana. wengi zaidi ni lazima utasikia jambo la kwanza kabisa ni kumtanguliza Mungu, au Mungu kwanza na kauli zenye kushabihiana na hizo. Sasa hapa moja kwa moja kwa jicho la uchunguzi wa mambo kuna siri ndani yake hapa katika kumuweka Mwenyezi Mungu katika shughuli zako zote kiukweli kabisa.
Basi karibu sana katika somo hili tujifunze jambo baada ya kukutana na vijana kimasai na tukafungua mjadala wa kuwepo kwa Mungu na kumtumikia. Karibu sana.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
GROUP LA VITABU WHATSAPP:
Namba za malipo:
Vodacom: (+255)759191076
Airtel: (+255)682525620
Jina: Zahra
.
BIASHARA | MATANGAZO :
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
#Siri #Kuu #Mafanikio
Kabisa mungu ndio kipao mbele
Somo #nzuli
Kwel kbs
Nice vid
Iko pw kaka
Yani kaka kilawakati ninapo kuskiliza napata hatua moja mbele.God bless you Nancy kutoka kenya
Nakubali kazi zako broo
mungu alinde ishaah
Shukran kaka ezden ubarikiwe
Asante kwa elimu nzuri.
Thankx can brother kwa somo hili
Hakika najifunza mengi Sana kaka ubarikiwe Mimi tatma toka shinyanga pamoja Sana kaka ezden
Fatuma luze naomba namba yako please
Asante sana, Mungu ni zaidi ya kila kitu
Ahsante sana
Nimeipenda
❤❤
Mmasai kuna siku aliniuliza kwani ile ndege ikiruka inajuaje inakoenda? Nikamuelimisha na akafahamu. Asante kwa elimu nzuri Edzen
Asante bro
Nimekuelewa vzur
Ahsante
Mashalaah, Mungu akuzidishie
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
I rell parfect broo
nimekupata bro
Thx brother. Am Kelvin from Gy barbershop
Absolute broo
Blessed sana bro
Asantee
EACH ONE
TEACH ONE
Allah akulinde na husda pamoja na madui wabaya
Mr Ezden
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Amin
Ni kweli Mungu ndiye kila kitu
Naomba uniunge kwenye hilo grup
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
nice voice
Nawaza kuchangia iyo affu mbili bro naomba niunge
True God first bro
Asante Sana Kuna kitu kipya nimejifunza
Elimu yako ni mtaji tosha kwangu namimi nitafundisha wengi keep on
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
naongea je na mungu umenichangenyaa
Kitabu kizuri sana hikooo
Nakipenda sana kipindi chako
hongera kaka mungu ni suluhisho kwa yote.
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Nakupendaa mno na mungu akutunze Sana Kaka. Angu unanifundishaa mno
Asante sana. I hope bado unatufuatilia
Fair Perspective bro!!
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
@@smgfamilygroup2414 sawa mzee......ila ingekuwa poa nawe ukafanya hivyo kwangu!!!! Nasubir!!!!🤝
Asante
Brother umenibadilisha sana ktk maisha
Waelewa tunakuelewa vzr
Sijawahi kujuta kufanya kazi na mtu potential kama mr ezden jumanne
Nimekuelew bro
Asante sana kaka.......
Thanks alot kaka wanijenga sana🙏
👍👍
Asant
😀😀😀😀,,, masaiiii,,,, but shukrani kaka Ezden
Good lesson
Samahani natafuta Sana namb ya uyu broo ezden
Nakushukuru sana kaka pia nakuheshimu sana na ninaomba utupatie elimu kuhusu ujasiliamali kwasababu awamu hii ya tano imefanikiwa sana kutufanya vijana wengi kuwa wajasiliamali ila walio wengi hawana elimu ya ujasiliamali???
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Bila samahani ndugu yang pia usijali tuko pamoja
😍
😍
Yani brother kila mara nikikusikiliza naona unaniongelea mm kabisa yani
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
🙏
Brother naomba uniunge kenye group
Na mm niunge group bro sirious
Nice one u changed my life bro i don't like any time music in TH-cam
Asante sana Lazari Manal kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
We
Mashaallah is good
Mashaallah is good
Always i get something on your channel brother 🙏
tayar nimetuma niunge jina Edwin mchunguz
Tuma taarifa zako kwenye whatsapp namba hii 0759191076 sio hapa mzee
Natuma ujumbe whtssap kaka
Hey bro nawez kupt vtab
Aaah nazidi kujifunza kupitia video na vipindi vyako hakika nazidi kuelewa mengi kupitia wewe
Kila nikkusikiliza nasonga mbel
🙏🙏
Aslamu alayikum walahmatlilah wabarakatuh juma
waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Bro nakukubal xn..!!! Nahitaj niwe participant wa group lako la whatsap coz nafuatilia xn insperation zako
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Hili group bado lipo ?
Kaka mimi na kubali mungu yupo lakini watumishi wa mungu ndio waongo wanataka fedha tu
Bro naomba unisaidie namba zako nitakutafuta mm naitwa CPL Mbugi
hahahaha 🤣🤣🤣🤣👊
@@preciousprince9159 Tuma ujumbe kwenye whatsapp namba hii 0759191076
Hili nina mashaka nalo pia
Thanks ezden
Broo wamasai tuna dini bhana Ila wanaume wa kimasai hawaendag kanisani 90% ndo maan wanakuambia hatuna dini
hahahha...dah asante kwa kuniibia siri ndugu yangu
Pamoj Sana kaka mkubwa 🙏🙏
Kaka Mimi nimekuskiliza hivi karbu Ila nahitaji kujifunza Zaid HATA kuonana uso kwa uso LENGO nijifunze so nitakuptaje kaka mawasiliano yanahusika Zaid ili nikupate
Kaka naomba nomba ya watsp
Brother mm natamani niwe mfanya biashara lakn nakipaj cha kuandk nyimbo kuandaa script ya movie sjui nianzie nahtaj msaada wak
Je kitabu hicho mtu anaweza kukipata kwenye lugha ya kiswahili ?
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Ok bro binafs napenda San unavyofundisha pia napenda kujiunga na group lako la WhatsApp,
Tuma ujumbe kwenye whatsapp namba hii 0759191076
@@successpathnetwork ok
@@successpathnetwork niunge no.0676372037
Mimi ndo kwanza nmeona hii leo ila nataka hilo group la uchambzi naweza kuwekwa sasa au tayar imeisha?
Mimi naomba kumuuliza mtangazaji kwanini kama Mungu yupo maisha ya watu wengi duniani yanazidi kudidimia? Manake hiyo dini tuliyopewa sio ya ukweli, Mungu ndio yupo lakini kuna wajanja wachache duniani wametupa hiyo dini kutufanya maskini wao waendelee ndio maana mpaka leo utaona Africa kupo sana nyuma. Sisemi usisali au kuabudu Mungu ila kumbuka kuna binadamu wachache wanafaidi kwa wewe kutojua mambo mengine mengi sana ambayo sisi wataalamu tunaita Spirituality and Esoteric studies...
So unamaanisha nini ?? Tusiwe na dini?