Nilitumia week mbili na sehemu nahangaika kumbembeleza mtu anikopeshe bila mafanikio, nilivoskiliza hapa TU nikajua maisha yangu yananihusu mmi kuyangaikia,, Leo hii nakwambia nachoma chapati na watu wametoa mwitikio naingiza kipato😥😥😥😥
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuendelea kuiishi ndoto yako...Nakushauri unayesoma comment hii baada ya clip hii search clip yake tittle aliipa "Nguvu Iliyoko Katika Maono" hautajutia muda wako
Joel mzima? nakutafuta sana sana as I need to discuss with you this is Dr Msaki J.L. remember uvccm moshi vijijini? 0767827896 ni kuhusu clips zako ...great great God bless you kwa unachokifanya......wow kiongozi
Hii ni kweli kaka, kitu kama hujakikamilisha huwez kukisahau kamwe muda wote utakikumbka, kama mm hapa kuna kitu nakiwaza mda wote sababu sijakikamilisha Asante kwa SoMo zuri❤️💪💪
Barikiwa Sana Joel kwa kazi nzuri naona mabadiliko makubwaaaa mnoo katika maisha yangu Japo Kuna sehemu kidogo ambayo bado unanisumbua cjapata muafaka wa wapi nianzie
Lakini Kuna wehu kama Mimi wakifatiliya kipindi kwenye mtandao wanaamini kama wanafaidisha wenye kipindi kuliko elimu au marifa tunayopata😭😭😭😭 basi mutuombee kwani ibilisi wivu kasha tuvamiya baba😀
nimefutilia clip zako chache broo nimegundua wewe ni mwana falsafa mkubwa sana na utazid kuwa mkubwa zaidi duniani, mungu aendelee kukupa nguvu na afya ili kizazi kichojaribu kupitia clip hizi kifaidike zaidi. nimeanza sasa kukufuatilia kaka. stay blessed forever broh.
Ni vipi kama kazi inayokuingizia kipato ndo inayokunyima furaha labda kwa kazi kubwa kipato kidogo na kukukosesha muda wa kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo ?
@joelnanauka ninekuwa nikikufatilia Sanaa na najifunza vingi sana kutoka kwako Ila naomba unisaidie kujibu hili swali Ni kwa namna gani naweza kumtambua mtu sahihi na ambaye anaweza kuwa mtu au daraja la mm kuendelea?
umekuwa Furaha sana Na naamini Kupitia mafundisho yako Nitafanikiwa Zaidi#Joel Nanauka love You so much Brother..Naomba Mwongozo Naitaj kunzisha Biashara
Joeli nina nyongeza katika hapo kuhusiana na mafanikio,,,mi naona mafanikio hupatikana pale mtu atakapokua anaishi katika kusudi lake,, namna ya mtu kujua kusudi lake ni pale atakapoelewa chanzo chake yeye ni kipi ,, sasa itambidi huyu mtu aanze kujua/kuelewa mahusiano yake yake ya moja kwa moja na chanzo chake ndipo ataanza kuabudu na kunyenyekea katika huyo kwahiyo sasa yeye alimuumba huyu mtu yeye ndiye anajua njia za huyu mtu,,, lakini/ angalizo njia hiyo ni nyembamba nasi wote waionayo,,, Katika wewe binafsi kuna upekee mkubwa sana katka yale utakayoyafanya hivyo itafanya watu kuhitaji hiyo huduma yako ya kipekee katika utatuzi wa matatizo/ maswali ambayo kwao wao yalikua hayana majibu,, sasa ni hitimishe hivi,, kitu kianzacho ni utambuzi wa mtu binafsi katika maswala ya spirit then hizo mali/pesa/ umaarufu vitakufuatia nyuma kwasababu unakua na code yako binafsi
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza, hasa kupitia athari za kukosa furaha, husabibisha kushuka kwa kinga ya mwili, pale unaposhambuliwa na mgonjwa ya ajabu, na pengine unaweza kwenda hospitali kila mara kupima na kujikuta huna ugonjwa wowote wakati wewe unajisikia hoi. MATOKEO YAKE PIA HUWAZA TOFAUTI, AIDHA UMEROGWA AU IMANI ZINGINE TOFAUTI, PIA UWEZO WA KUJIAMINI HUPUNGUA. Ahsante sana Nanauka coach wangu ,napenda sana maomo yako na nafatilia sana. Nataka niwe mwanafunzi wako katika ile coaching programme, naomba utaratibu wa kujiunga.
Safi sana brother Joel, nimefurahi sana kusikia mafundisho yako. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Naamini umeokoa roho za watu wengi kwa hiki unachokifanya. Da! Be blessed bro
Asante sana Nanauka kupitia wew leo maisha yangu yapo mazuri ndani ya ufaransa na kila siku nakusikiliza wew kabla ya kutoka kwenye miangaiko.. Hakuna mtu wa kunichezea akili yangu
Wale walio rudia kuangalia hii video 2024 wagonge like tujuane ime nipa uwezo wa kujiamini sana
Aisee kumbe ni miaka 6 iliyopita, mm Nilikuwa naangalia tu video
Like za kutosha kama unamkubali huyu jamaa
Nilitumia week mbili na sehemu nahangaika kumbembeleza mtu anikopeshe bila mafanikio, nilivoskiliza hapa TU nikajua maisha yangu yananihusu mmi kuyangaikia,, Leo hii nakwambia nachoma chapati na watu wametoa mwitikio naingiza kipato😥😥😥😥
Nakubali xana
Nimejifunza sana
Tunajifunza Sana bro!!
Hongera deat
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuendelea kuiishi ndoto yako...Nakushauri unayesoma comment hii baada ya clip hii search clip yake tittle aliipa "Nguvu Iliyoko Katika Maono" hautajutia muda wako
Mungu akutie nguvu ili uendelee kuwafundisha na wengne
My best Mentor of all the time JOEL may god bless you Bro #SeeYouatTheTop 🙏🙏
Joel mzima? nakutafuta sana sana as I need to discuss with you this is Dr Msaki J.L. remember uvccm moshi vijijini? 0767827896 ni kuhusu clips zako ...great great God bless you kwa unachokifanya......wow kiongozi
Daaa brother leo ndo naigundua hiii channel 7/7/2018 naweza pasuka kichwa coz kila ninachopitia nataman kinachofua hadii mb.znakataa
Mungu akubariki Kaka mafundisho yako ni tiba tosha
Kipaumbele changu ni lazma nmsikilize joel nanauka
Hii ni kweli kaka, kitu kama hujakikamilisha huwez kukisahau kamwe muda wote utakikumbka, kama mm hapa kuna kitu nakiwaza mda wote sababu sijakikamilisha Asante kwa SoMo zuri❤️💪💪
Hiiiyo example yakuwapa wengine watu majukumu nisawa ila mbona watuwsligeuka
Natak nikufate kwenye mitandao ya kijamii unatumia jina gani
Barikiwa Sana Joel kwa kazi nzuri naona mabadiliko makubwaaaa mnoo katika maisha yangu
Japo Kuna sehemu kidogo ambayo bado unanisumbua cjapata muafaka wa wapi nianzie
Barikiwa kwa elimu nzuri
Mimi ninatamani kuongea nawewe live, my phone 0759930705
Wow naskiziza 2020...nimependa Sana kutoka kenya
Yet another great educational talk. Big up Joel -:)))
asate sana tukopamoja kwakirakipidi unacho kito nakufatilia san
Najitahidi kufanya vitu lakini nashindwa
Naomba za huyu jamaa mie ninashida kubwa sana nisaidieni jamani plz!!!!!!!!!!!
Thanks I learn something from you brother.
Mim kla nikiamka napend kusoma BIBLE ubarikiwe san Kwa mafunzo yako
SWALI LANGU HUWANAULIZA NAHUWASIJIBIWI ... KWA DAR VITABU VYAKO NAVIPATIA WAPI...???
Newborn Haule house of Wisdom,Dar free Market,makumbusho,kariakoo etc wasiliana na 0756094875 utapata maelekezo zaidi
Joel Nanauka je sisi tulioko inje ya africa tutapataje hivyo vitabu 👂👈 tunaomba whatsapp Number
Arusha nitapatajee
Broo nimekubali hiyo point yakukosa furaha maranyingi napokuwa kazin uwa napoteza uwezo wakufanya kazi zangu kwakukosa furaha
Kaka wewe ni wa muhimu sana alooo your the best
Lakini Kuna wehu kama Mimi wakifatiliya kipindi kwenye mtandao wanaamini kama wanafaidisha wenye kipindi kuliko elimu au marifa tunayopata😭😭😭😭 basi mutuombee kwani ibilisi wivu kasha tuvamiya baba😀
Kaka Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana coz nafatilia sana masomo yako na ninasonga mbele.
Mamb dada uko sehem gan dada
nimefutilia clip zako chache broo nimegundua wewe ni mwana falsafa mkubwa sana na utazid kuwa mkubwa zaidi duniani, mungu aendelee kukupa nguvu na afya ili kizazi kichojaribu kupitia clip hizi kifaidike zaidi. nimeanza sasa kukufuatilia kaka. stay blessed forever broh.
niccoh gordon Ameen nashukuru sana
Mungu akubariki Sana
Leo umeniponya magonjwa yoteee. Nilikuwa sijui hii chanel thanks bro.
This is one is also A Psychologist
Ni vipi kama kazi inayokuingizia kipato ndo inayokunyima furaha labda kwa kazi kubwa kipato kidogo na kukukosesha muda wa kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo ?
Yani mzee umeshanigusaa
Brother ur a teach of life.
Niuwekweli bro uko poa
MUNGU aendelee kukutunza kaka umefanyika msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu
Also let them know that it's important to start the day with prayers and reading the bible.
God bless you joel
How If I'm not Christian ? You have say to submit to God only
This one is too important.
Japo ni ngumu kwa vijana, ila ni muhimu kwa kuwa ndani ya Biblia, kitabu kitakatifu, yote tunayoyatufuta yamwo ndani
@@ibraimoissiaca6058 yeye kasema kwa imani yake...
Ss unasmaediaje mtu mwenye Hana furaha ili kuregesha furaha a yake
Mimi huwa naanza na habari zako
Huyu mwamba ruge mtupu kasoro jina tu 🤝🤝🤝🤝 nakubali kaka madini yako yana penya ubongon kwangu
Mm ninakosa frah kwa biashara kua ngum nifanyejee
Joel nakupa 2 years tanzania itajua ww ni nani
Edward Joseph Ameen Edrward
Kila dk 1 nayo kuskiliza naona picha tofauti sana na yenye mafanikio mara 100 zaidi ya nlivyo saiv... ubarikiwe
asante sana kaka .unafundisha vizuri
GOD bless
Watching it again and again be blessed brother joel @kenya
NAAM KIONGOZI NI NJIA GANI UNAWEZA KUITUMIA KUEPUKA KUWA NA MAWAZO YA MDA MREFU. YANI MAWAZO (_)
Katika tanzania tunayoishi akuna kama joeli nanauka kama yupomtaje kwa jina kwenye tichng unafaa kua kiongozi mkubwa sana
Edward Joseph ahsante sana Edward,am humbled
Edward Joseph kaka vitabu nipo tabora
@joelnanauka ninekuwa nikikufatilia Sanaa na najifunza vingi sana kutoka kwako Ila naomba unisaidie kujibu hili swali
Ni kwa namna gani naweza kumtambua mtu sahihi na ambaye anaweza kuwa mtu au daraja la mm kuendelea?
Mungu wetu azidi kukutunza zaidi maana toka nilipoanza kukusikiliza nimekua mtu wa tofauti sana yaani mpaka najishangaa mwenyeye
Asante sana kwa mafundisho mazuri ya maamuzi kwa sehemu kuu tatu za maamuzi nimepati kitu kikubwa sana
nashukuru sana maana unibadili kimtazamo kila siku
Nmefurahia mafunzo yako kuna mengi najua sasa naomba mungu azidi kukupea iyo hekima let God use you to heal broken hearts
Nakushukur kakaang mana unatusaidi weng
umekuwa Furaha sana Na naamini Kupitia mafundisho yako Nitafanikiwa Zaidi#Joel Nanauka love You so much Brother..Naomba Mwongozo Naitaj kunzisha Biashara
David Andrew Marius ahsante david;pamoja sana
+Joel Nanauka aksante sana Barikiwa mno mno Sana'a..Naomba mwongozo Nianzaje biashara wazo nalo
sijuwi nikulipe nini
Nifanye nini ili niwe na furaha tena kwenye maisha yangu
Mm naomba namba yako kwajili ya ushauli zaidi
Sasa utaweza kumpa aje najukumu yako ebu toa mufano
Kweli
Joeli nina nyongeza katika hapo kuhusiana na mafanikio,,,mi naona mafanikio hupatikana pale mtu atakapokua anaishi katika kusudi lake,, namna ya mtu kujua kusudi lake ni pale atakapoelewa chanzo chake yeye ni kipi ,, sasa itambidi huyu mtu aanze kujua/kuelewa mahusiano yake yake ya moja kwa moja na chanzo chake ndipo ataanza kuabudu na kunyenyekea katika huyo kwahiyo sasa yeye alimuumba huyu mtu yeye ndiye anajua njia za huyu mtu,,, lakini/ angalizo njia hiyo ni nyembamba nasi wote waionayo,,,
Katika wewe binafsi kuna upekee mkubwa sana katka yale utakayoyafanya hivyo itafanya watu kuhitaji hiyo huduma yako ya kipekee katika utatuzi wa matatizo/ maswali ambayo kwao wao yalikua hayana majibu,, sasa ni hitimishe hivi,, kitu kianzacho ni utambuzi wa mtu binafsi katika maswala ya spirit then hizo mali/pesa/ umaarufu vitakufuatia nyuma kwasababu unakua na code yako binafsi
Its true to do it
Mentor #Joel thank you for your mentorship,, I am going to practice and live by doing this.
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza, hasa kupitia athari za kukosa furaha, husabibisha kushuka kwa kinga ya mwili, pale unaposhambuliwa na mgonjwa ya ajabu, na pengine unaweza kwenda hospitali kila mara kupima na kujikuta huna ugonjwa wowote wakati wewe unajisikia hoi. MATOKEO YAKE PIA HUWAZA TOFAUTI, AIDHA UMEROGWA AU IMANI ZINGINE TOFAUTI, PIA UWEZO WA KUJIAMINI HUPUNGUA. Ahsante sana Nanauka coach wangu ,napenda sana maomo yako na nafatilia sana. Nataka niwe mwanafunzi wako katika ile coaching programme, naomba utaratibu wa kujiunga.
Sana'a mfumbuzi
Mimi ninatatizo la kupanga ila kutekeleza inakuwa ngumu, sijui kwann?
Asante kwa ushauri wake mzur
Kaka kama umeshindwa kutekeleza unafanyaje
Ahsante sana ubalikiwe
Ndugu mafanikio nihatari
daaaaaah yan n kwel kbsaaaa lkn kuptia ww nmejfunz meng wallah......nkpnd w kaka...mungu akupe umr mref uzd kutufundshaaaaaaaa
👏👏👏
Nondo nimezikubali kaka
Nashukuru Sana kukujua naimani umenisaidia pakubwa Sana! Of course I will be there for you and I don't want to go back in my life !
Nimeanza kuwa mtu mwenye furaha sana baada ya kuwa nafuatilia masomo mazuri kupitia channel hii ahsante MUNGU 🙏🙏🙏
Vizur xn brother
Ubarikiwe Sana joel
Hakika mungu akubarik kwan umekua baraka sana kwangu
Francis Daimon Ameen nashukuru sana
Oyaa broo Kama unapitia Hari ngumu kimaisha labda mwamba amewadhulumu mirathi anaendesha familiar vibaya unafanyaje
tafta chako ndugu hutokuja gombana na mtu
Hongera cna kk
Ukweli katika maisha yangu yamekuwa ya kubahatisha yani sizingatii wajibu wangu ahsante sana
wewe nimwalimu kwel kweli
Ubarikiwe sana kaka angu
Naomba namba yako ya simu
kwakwel kaka nimekuelewa sana be bless
Wewe n chaguo la mungu kbsa
thanks u so much my brother nmejifunza mengi sana kupitia wewe mungu akubark sana
The concept is very helpful.. thank you brother you have awaken my mind
Nakuaminia bro Sana kaz nzuri
Jamaa anaakili mnoo
Safi sana brother Joel, nimefurahi sana kusikia mafundisho yako. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Naamini umeokoa roho za watu wengi kwa hiki unachokifanya. Da! Be blessed bro
asante sana kaka
My God bless u
Senks kaka
Namba yako mkuu
Golden hour yang kuanzia leo ntaitumia kuingia kwa hii page
Utapotea kijana, kumbuka kuwa kusikiliza bila pratics, ni shida mtupu
Nime ipenda sana hii 😮
Ur my hero bro,kilasiku unaongelea maishayangu nashukuru mungu kukuweka ili unitibu mm.mungu akubariki na akuzidishie
Asante sana Nanauka kupitia wew leo maisha yangu yapo mazuri ndani ya ufaransa na kila siku nakusikiliza wew kabla ya kutoka kwenye miangaiko..
Hakuna mtu wa kunichezea akili yangu
Japhet Paul hongera sanaaaa
Nikweli kaka
Kaka ubarkiwe sàna
Nafurahi sana kusikiliza kwa Kiswahili 😊
Huo ndo ukweli wa maisha.Asante sana.'Furaha ni mtu na mazingira yake.
Kwel kaka
Nakukubar birakibari,
Appreciated